Yesu akajibu akawaambia angalieni MTU asije akawadanganya akawaambia yeye ni kristo,,napenda tena napenda sana nyimbo zenu ulyankulu,may almight god bless yu
Naisikiliza kwaya hii kwa takribani miaka zaidi ya 20, nyimbo zao hazichuji, waliimba katika roho, nasikiliza karibu kila siku nyimbo hizi, kwaya za siku hizi zimebakia na midundo tu na vitu vinavyosisimua hisia wakati zimekosa uvuvio wa roho mtakatifu. Mungu awabariki sana
“Vumilieni simama imala . Yesu yukalibu kucukuwa watu wake “ Nawapenda saana watu wa Mungu ! I was not even born at that time but I am enjoying your songs! God bless you 💕
Hivi Hawa watu naweza kumpata japo mmoja akiwa hai???na je nitampataje???nataman nijue alipo japo mmoja niende kumtembelea,waliimba nyimbo nzuri mno Tena mno,sauti nzuri,ujumbe mzuri huwa napenda sana kuwasikiliza
Kwaya ya Ulyankulu yaniiii ni miongoni mwa waimbaji ninao wakubali nyimbo zao zina ujumbe MUNGU AIBARIKI KAZI YA MIKONO YENU pamoja na UIMBAJI WENU🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa na uimbaji wao. Mungu awabariki walio hai, na wale waliotangulia mbele za haki, Mungu awakumbuke na asahau makosa yao. Hakika mmekuwa baraka kwa kizazi hiki. Naitwa Frank Mangowi. Dar es salaam.
Hii kwaya hata sijui tuifanyie nini kuwalipa mchango wao kwenye gospel lakini ndiyo hivyo tena kanisa lilitakiwa liwalee hawa mpaka kufa kwao... nakumbuka enzi ile hela ya kupewa na ikiwa yangu basi ya uwizi maana sikuwa mzuri saaaana. Familia yangu Mungu aibariki sana ....