Тёмный

Kwa Viumbe Vyote Barabara 13 Ulyankulu Yesu alipokuwa ameketi 

KWAVIUMBE VYOTE KWAYA Rd13 ULYANKULU
Подписаться 7 тыс.
Просмотров 375 тыс.
50% 1

Kwa Viumbe Vyote Barabara 13 Ulyankulu Yesu alipokuwa ameketi

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 180   
@johnhosea1321
@johnhosea1321 3 месяца назад
Tunaoendelea kupata ujumbe huu 2024 weka like kuonesha upendo ❤ wa kutosha kwa wahubiri hawa.
@richardkubanda6627
@richardkubanda6627 2 года назад
Nahisi kutokwa machozi, Marehem mama yangu mzazi alizipenda sana nyimbo hizi. Barikiweni sana Wana Ulyankulu.
@lumierejason5019
@lumierejason5019 8 месяцев назад
Marehemu mama yangu pia alikuwa akizipenda sana , RIP MAMA
@fridasiwingwa9080
@fridasiwingwa9080 5 месяцев назад
Mama yangu pia alizipenda mno mno hizi nyimbo. Mwenyezi Mungu aendelee kumpumzisha kwa amani Mama. Amina
@millionaire_mentor_ndobandola
@millionaire_mentor_ndobandola 14 дней назад
@@fridasiwingwa9080 HATA MAMA YANGU ALIKUA AKISIKILIZA NA KUTUSIKILIZISHA HZI NYIMBO PIA AMEFARIKI ALIACHA KITU KIKUBWA MOYONI MWANGU
@shideashidea5570
@shideashidea5570 6 лет назад
Gonga like kama unawapenda hawa waimbaji 2018
@mamajanee1790
@mamajanee1790 5 лет назад
Nawapenda sana japo Mimi ni roman catoric tena sana mama yangu mtu wa Tabora naludia tena nawapenda sana,sana amina
@erickfungo7979
@erickfungo7979 2 года назад
Legendary choir who agree with me 2022
@lydiahmutai6456
@lydiahmutai6456 2 месяца назад
Revisiting again in 2024🎉gonga like pliz
@jacksonmlacha6724
@jacksonmlacha6724 4 года назад
Nyimbo hizi zinatia faraja na kunkukmbusha mbali...mbarikiwe kila mmoja anaepitia hizi nyimbo...Amen
@danadon6782
@danadon6782 4 месяца назад
❤❤ 2024. Mathayo 24
@dicksonakyoo8222
@dicksonakyoo8222 5 лет назад
Yesu akajibu akawaambia angalieni MTU asije akawadanganya akawaambia yeye ni kristo,,napenda tena napenda sana nyimbo zenu ulyankulu,may almight god bless yu
@richardnakashange8207
@richardnakashange8207 5 лет назад
since 1992 I was still under age and now I m 37still enjoying
@esthersher7605
@esthersher7605 3 года назад
I know this feeling. Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪
@pkyegon
@pkyegon 3 года назад
Never heard this yet am 3yrs older than you 😁😁😁
@aristotledemartinez2149
@aristotledemartinez2149 2 года назад
Naisikiliza kwaya hii kwa takribani miaka zaidi ya 20, nyimbo zao hazichuji, waliimba katika roho, nasikiliza karibu kila siku nyimbo hizi, kwaya za siku hizi zimebakia na midundo tu na vitu vinavyosisimua hisia wakati zimekosa uvuvio wa roho mtakatifu. Mungu awabariki sana
@dicksonakyoo8222
@dicksonakyoo8222 11 месяцев назад
Real gospel zilikuwa hizi,achana na hizi za siku hizi
@jennifernzioka81
@jennifernzioka81 4 года назад
2020 still my favorite
@AlinanusweKasyele
@AlinanusweKasyele 5 лет назад
kwa kweli Mnastahili tuzo ya Kwaya Bora ya Muda wote ''Hall of Fame''
@dicksonakyoo8222
@dicksonakyoo8222 5 лет назад
Ni kweli usemavyo,,,hawa waimbaji sijui nisemeje lakini mungu awabariki popote walipo
@johnsonokeyo2021
@johnsonokeyo2021 5 лет назад
vumilieni my song since 1996.Anakuja na kila jicho litamwona.Ombi letu tupata uzima wa milele.
@naahmontee3694
@naahmontee3694 4 года назад
Nani anawaangalia hawa wapendwa 2020 gonga like kama tuko pamoja
@sifamaombi9342
@sifamaombi9342 5 лет назад
“Vumilieni simama imala . Yesu yukalibu kucukuwa watu wake “ Nawapenda saana watu wa Mungu ! I was not even born at that time but I am enjoying your songs! God bless you 💕
@johnabel6872
@johnabel6872 Год назад
2023 amen
@Moraa556
@Moraa556 Год назад
My old time favorite choir
@lookenfrag7412
@lookenfrag7412 4 года назад
Nyimbo zao ni habari njema tosha. MUNGU AWABARIKI HAWA BARABARA 13 SIKU ZOTE ZA MAISHA YAO.. Ameen
@johnmbise8996
@johnmbise8996 4 года назад
Hakika Mungu awabariki na vizazi vyenu mlijitoa kwa mioyo yenu yote kufanya kazi ya bwana mbarikiwe sana 2020 tuko pamoja
@hopelazaro8570
@hopelazaro8570 3 месяца назад
I was soo little this songs make me happy and cry 🙏🏼
@AgnessNjeri
@AgnessNjeri 5 месяцев назад
Waimbaji waliimba katika roho na kweli mmbarikiwe sana
@abodetidings8392
@abodetidings8392 3 года назад
choir ya zamani sana, mungu aendelee kuwabaliki imana ibongerere imigisha myinshi
@bkdongivupb773
@bkdongivupb773 5 лет назад
2019 Mei.... still enjoying
@ignassmsemwa
@ignassmsemwa Год назад
Mbalikiwe kwa uimbaji.nyimbo za faraja watumishi
@rebeccaonesm8543
@rebeccaonesm8543 4 года назад
2020 like hapa kama umebarikiwa Kama mm
@muhindosyatsemajacques4406
@muhindosyatsemajacques4406 4 года назад
Merci
@dicksonakyoo8222
@dicksonakyoo8222 Год назад
Hivi Hawa watu naweza kumpata japo mmoja akiwa hai???na je nitampataje???nataman nijue alipo japo mmoja niende kumtembelea,waliimba nyimbo nzuri mno Tena mno,sauti nzuri,ujumbe mzuri huwa napenda sana kuwasikiliza
@MupeCom
@MupeCom 10 месяцев назад
Najiunga Nawewe kwenda kuwaona inapendeza kwa kweli
@linanoella4641
@linanoella4641 4 месяца назад
Mimi pia jamani tuwapate tuzungumze nao lakini pia tuwashukuru kwa their amazing and everlasting songa
@benjaminnowa4548
@benjaminnowa4548 3 месяца назад
​@@MupeCom tabora wanaptikana
@bettydickens4114
@bettydickens4114 Год назад
Kazi nzuri sana. Wimbo huu ni chanzo cha imani yangu, hunileta karibu sana na Mungu. Barikiweni.
@MrAsifiwe
@MrAsifiwe 2 года назад
Never fading, still sweet in the ears notwithstanding the years
@dicksonakyoo8222
@dicksonakyoo8222 5 лет назад
Lakini atakayevumilia hata mwisho ndiye atakayeokoka,mathayo 24:13 safi San ulyankulu choir mungu awabariki kwa nyimbo zenu nzuri
@nelsonzakayo496
@nelsonzakayo496 3 года назад
2021 still listening
@ibrawawason3808
@ibrawawason3808 5 лет назад
super Choir in TZ
@peds2love
@peds2love 11 месяцев назад
Best choir ever.. I miss this.. when everything was simple and the songs were ministering..
@dianamsemo3608
@dianamsemo3608 2 года назад
October 2021 naendelea kubarikiwa sana 🙏😇
@IsaacJavan
@IsaacJavan 4 года назад
This song makes me cry
@christinamachage5397
@christinamachage5397 3 года назад
Za kale ni dhahabu still am young up to now bado na barikiwa na hizi nyimbo 2021 like here
@DNY303
@DNY303 4 года назад
Kwa kweli hiyi choir nayipenda kwa sana....tangu mwaka wa 2000 mpaka hivi nafwata nyimbo zawo.Mungu awabariki sana.
@JosephMkongo
@JosephMkongo 4 месяца назад
Nawakubali sana mbarikiwe sana 2024
@dicksonakyoo8222
@dicksonakyoo8222 5 лет назад
Kwakweli ulyankulu nyimbo zenu zinanibariki sana,,,,
@lillyf426
@lillyf426 6 лет назад
Enzi zile watu hawakua wanajipodoa ndo wamwimbie Mungu...wako sawa kabisa,kuanzia sauti,mavazi na wimbo...wanaimba kwa hakika.mbarikiwe sana...
@dicksonakyoo8222
@dicksonakyoo8222 5 лет назад
Sahv vipodozi Vingi,,hawa walikuwa wanamuimbia mungu sahv wengi wanafanya biashara
@richardkhamisi9653
@richardkhamisi9653 4 года назад
Imagine these were refugees from Burundi who settled in Tanzania. Yet they forgot their difficulties and served God! Blessed lot
@herielijosephat8004
@herielijosephat8004 2 года назад
Kwaya ya Ulyankulu yaniiii ni miongoni mwa waimbaji ninao wakubali nyimbo zao zina ujumbe MUNGU AIBARIKI KAZI YA MIKONO YENU pamoja na UIMBAJI WENU🙏🙏🙏🙏
@esanfesto9923
@esanfesto9923 6 лет назад
yaliyo imbwa ndo tunayasikia yanatokea nihakika mwisho umekalbia niwajib wako ewe mkirstu
@softmediatechnologytanzani9109
@softmediatechnologytanzani9109 3 года назад
Nabarikiwa na uimbaji wao. Mungu awabariki walio hai, na wale waliotangulia mbele za haki, Mungu awakumbuke na asahau makosa yao. Hakika mmekuwa baraka kwa kizazi hiki. Naitwa Frank Mangowi. Dar es salaam.
@ignassmwalongo
@ignassmwalongo Год назад
Amina mtumishi
@daudizengo8865
@daudizengo8865 4 месяца назад
Wengi wao wana umri wa miaka 68
@elaineeliudi2497
@elaineeliudi2497 3 года назад
Wimbo wangu bora sana unanijenga mpaka sasa ni mpya kila siku
@learuzamuka6834
@learuzamuka6834 7 лет назад
Mungu azidi kuwa bariki sana
@abcccc2665
@abcccc2665 3 года назад
Hiv hawa watu wapo kweli?
@eliufoowiliam8882
@eliufoowiliam8882 4 года назад
Naikubali sana hii kazi .nakumbuka mbali sana .
@MagnusSweddy
@MagnusSweddy 4 месяца назад
Hao ndiyo Wapentekoste halisi
@aronmwambapa5250
@aronmwambapa5250 6 лет назад
FACT msg, bless servants of God
@derickkatunzi1679
@derickkatunzi1679 4 года назад
Mbalikiwe na Bwana kwa uimbaji mzuri wa kumtukuza Bwana wetu Yesu Kristo. Natamani nikutane na ninyi mbinguni
@BenjaminNgove
@BenjaminNgove Месяц назад
Nyimbo ambazo zilitoka kwa biblia barikiweni sana
@ZacharyKe
@ZacharyKe 5 месяцев назад
My late dad's favourite choir of all time.
@prettyveronica5951
@prettyveronica5951 5 лет назад
Best kwaya from alpha to Omega
@dicksonakyoo8222
@dicksonakyoo8222 11 месяцев назад
Naungana na wewe,sidhani kama ilishakuwepo Wala utakuwepo kwaya nyingine Bora kama hii
@tellassekemneke5988
@tellassekemneke5988 6 лет назад
amina nawapenda , nyimbo zina ujumbe mbalikiwe.
@medionindagijimana9020
@medionindagijimana9020 6 лет назад
Hakika MUNGU Awabariki sana waimbaji wimbo huu unanigusa sana moyoni mwangu mubarikiwe
@TonneyAbiero
@TonneyAbiero 6 месяцев назад
The year is 2002. I was just joining form 1 at Kanyawanga school. The song is so Nostalgic
@MathiasMokaya
@MathiasMokaya 2 месяца назад
Sauti nzuri kabisa
@philipmwendwa6249
@philipmwendwa6249 2 года назад
2022...baraka tele.
@charleslyuki691
@charleslyuki691 2 года назад
Ahsante sana kwaya barabara 13 Ulyankulu Tabora nyimbo zenu mpaka sasa 2022
@simonkabuchojudiciary
@simonkabuchojudiciary 7 месяцев назад
Mum from Narok you made this the best wakati tulikuwa wadogo. I love this till today.
@bettydickens4114
@bettydickens4114 Год назад
Ujumbe mzuri sana. hongereni wana Barabara 13 Ulyankulu
@samuelkubiha976
@samuelkubiha976 4 месяца назад
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@agnessnkugwe615
@agnessnkugwe615 3 года назад
Kazi yenu ni njema ktk Bwana. Mmekuwa Baraka kubwa kwa kizazi hiki.
@lightnessmwinyi2676
@lightnessmwinyi2676 2 года назад
Kwaya za Zamani walikuwa wanavaa heshima lakini saizi mmh tumwachie Mungu tukisema tunaambiwa Mungu haangalii mavazi
@seehelp
@seehelp Месяц назад
Amen Amen Amen hallelujah
@abodetidings8392
@abodetidings8392 4 года назад
wow this is very very old choir
@josephmayunga4743
@josephmayunga4743 5 лет назад
Mungu awabariki wanakwaya wote maana mnibariki mimi
@bensonlucasmbunda2489
@bensonlucasmbunda2489 2 года назад
Hii ni injili kamili kabisa...wanahubiri...Mungu awape mwisho mzuri wa wokovu....Ebr 12;14
@DottoMwampale-e7e
@DottoMwampale-e7e Месяц назад
Uimbaji situation hizi umekuwa Sanaa badala ya kuimba katika roho
@shayolizeni182
@shayolizeni182 5 лет назад
Wananibariki sana hawa waimbaji kwa nyimbo zao kweli hazichuji hata
@Bobby32636
@Bobby32636 Год назад
Wonderful choir. May God bless you. Looking forward to new songs
@crispaseve
@crispaseve 4 года назад
Hii kwaya hata sijui tuifanyie nini kuwalipa mchango wao kwenye gospel lakini ndiyo hivyo tena kanisa lilitakiwa liwalee hawa mpaka kufa kwao... nakumbuka enzi ile hela ya kupewa na ikiwa yangu basi ya uwizi maana sikuwa mzuri saaaana. Familia yangu Mungu aibariki sana ....
@medionindagijimana9020
@medionindagijimana9020 6 лет назад
Hakika MUNGU Awabariki sana waimbaji wimbo huu nifundisho kwawatu wote wenye mwili
@raymonddanielcosmas444
@raymonddanielcosmas444 3 года назад
Nyimbo ina UPAKO leo na kesho.
@kivurugaathuman2694
@kivurugaathuman2694 2 года назад
Wow! Ujumbe Mzuri saana, Mungu azidi kuwabariki.
@juliusmwendwa3742
@juliusmwendwa3742 Год назад
Walioyatabiri yafanyika Sasa: kusalitiana, taifa kupigana na nyingine, manabihi wa uongo, njaa, tetemeko etc. Tuvumilieni Yesu yu'Karibu!
@bernardjosephmulokozi3901
@bernardjosephmulokozi3901 2 года назад
Pumzika kwa amani Mama yangu, yaani nimekumbuka mbali sana.
@wamburamwikwabi7155
@wamburamwikwabi7155 4 года назад
Huwa nabarikiwa saaaana na hiii kwaya Mungu awabariki saaaaana
@امزكرياالجابري-ه7ق
@امزكرياالجابري-ه7ق 4 месяца назад
Amina
@esanfesto9923
@esanfesto9923 7 лет назад
nimeupenda sana
@frederickilumba6204
@frederickilumba6204 2 года назад
Mungu awabariki kwa kazi na juudi mbarikiwe
@MupeCom
@MupeCom 10 месяцев назад
Awa waliimba ktk roho nakweli ndiomaana muda wowote uweziwachoka kusikiliza nyimbo zako waliona mbali, hivi wanapatikana wapi wanatakiwa tuzo
@JosephMkongo
@JosephMkongo Месяц назад
Barikiwa sana2024
@annapeter4994
@annapeter4994 6 лет назад
Naomba mwenye wimbo wa " Ni noeli..... aturushie pia hapa. Uliimbwa na hawa hawa wanakwaya
@joefreyambrose7387
@joefreyambrose7387 5 лет назад
Mrekwa Mrekwa hellow
@plasdomligo2403
@plasdomligo2403 Год назад
Barikiwa Sana na hizi nyimbo 2022-2023
@nkurukiyesamuel4043
@nkurukiyesamuel4043 10 месяцев назад
Hivi hawa watu kwa nini hawaendi kutembelea sehemu tofauti za dunia mmoja au kundi ,Kama Burundi chimbuko Lao na wakafanyiwe michango?,ingekua vizuri
@restutaigangati1523
@restutaigangati1523 Год назад
Napenda nyimbo zenu mbarikiwe
@johnisrael5475
@johnisrael5475 Год назад
Mungu awabariki
@julesngama2508
@julesngama2508 4 года назад
Muli ubiri ukweli wa maisha ya jayo, mu barikiwe saaaaaana
@allisonmbwambo3023
@allisonmbwambo3023 4 года назад
Nawapenda wote mko vizuri mungu awabariki sanaa
@walterkiprono273
@walterkiprono273 3 года назад
Glory be to God
@sonnozac4189
@sonnozac4189 4 года назад
Vipawa hivi hakika vitatuzwa... Nakumbuka enzi zile ladha ile ile hata leo
@eunicebaraka367
@eunicebaraka367 2 года назад
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu
@muganyizijoseph6581
@muganyizijoseph6581 2 года назад
Napenda album yote.....
@joyjoel6631
@joyjoel6631 2 года назад
Nawapenda sananyimbo zenu zinanibarik
@Ney-wu1wi
@Ney-wu1wi 4 месяца назад
Zinanibariki ❤❤
@AlliMwaka
@AlliMwaka 6 месяцев назад
Asante ulyankulu
@ochogopeter8892
@ochogopeter8892 6 лет назад
kiukweli wimbo huu naupenda saana
@mfalmelexx3029
@mfalmelexx3029 Год назад
In the 90s we had it spotless
@TonneyAbiero
@TonneyAbiero 6 месяцев назад
God bless.
@catherinenthambi9710
@catherinenthambi9710 2 года назад
2022 January still watching
@donaldyusuphu1879
@donaldyusuphu1879 Год назад
Amen Mungu awabarik sana sana
@tzyetu7109
@tzyetu7109 6 лет назад
very powerful song
@gooluckjoseph7225
@gooluckjoseph7225 6 лет назад
Hakika ujumbe mzito
Далее
Каха и жена (недопонимание)
00:37
How would you react?!😳
00:44
Просмотров 3,4 млн
Njoo Ufanyiwe Maombi
9:01
Просмотров 81 тыс.
Heri Mtu Yule Asiyekwenda
4:56
Просмотров 122 тыс.
Endongo Ya Yezu
7:43
Просмотров 23 тыс.
No Ithui Twari Kuo- SMS [Skiza 5802092] to 811
5:02
Просмотров 3,4 млн
Yesu tatamfya iyooo...
6:06
Просмотров 386 тыс.
Mapigano Ulyankulu Kwaya Tazama Yesu
4:28
Просмотров 281 тыс.
Samson Na Delila
6:20
Просмотров 11 тыс.
Каха и жена (недопонимание)
00:37