Huyu Jamaa anaakili sana sana, MNAHOJI BILA KUJUA SHERIA HATETEI KUHUSU UMALAYA NA KUJIUZA ANACHOSIMAMIA NI SHERIA JUU YA WALIOKAMATWA wakihusishwa na kujiuza pia DC hakutenda haki kwenda na camera ni udhalilishaji ilihusisha mpaka mpita njia tu unajikuta unakamatwa unawezaje kumtambua mtu anayejiuza kma wewe sio mnunuaji. Furahi na Cheka kwakua halijakukuta.
Mmh, hii kalikali kwelikweli. Yaani polisi hujui unamkamata mtu kwa kosa gani badala yake unawaburuza tu watu na kuwaweka selo?? Huu ni u - polisi au uhuni na ujambazi tu? Je, ni kwa kuwa tu umepewa amri na Mkuu wa Wilaya? Bongo tuna kazi kwelikweli!!
@@deogratiusyudatadei5658Wanajua Sheria na wanajua wakiua watu watapelekwa Mahakama za Dunia za Haki za binaadamu kama walizopelekwa wale walioua Rwanda .Kwa hiyo wanajua mipaka yao ,hata hapa Tanzania ni vile hawajadhuru raia la sivyo huwa Dunia inaona .Kumbe Raisi Ruto Jana aliamuru Jeshi liingie barabarani lakini wamegoma maana wanajua wajibu wao na wanajua hatma yao itakuwa ni Jela
KUNA WAJINGA WANATOA MAONI YA KISHABIKI BADALA YA KUSOMA SHERIA NA NINAWÀSHAUTI WANATOA MAONI YA KISHABIKI WAKASOME SHERIA ZA NCHI.WASOME CLIMINAL LAW,CLIMINAL EVIDENCE,CLIMINAL INVESTIGATON ZOTE WASOME PIA WASOME KATIBA YA NCHI INASEMAJE WASITOE MAONI YA KISHABIKI
Ila kazi ya wakili ni mbaya wakàti mwingine unatetea wazinifu kweli ogopa siku ya kiama utakuja ulizwa na mungu hawo wale mijekedi na wakirudia wanyongwe pamoja na mashoga wanyongwe itungwe sheria madadapoa na mashoga wanyongwe ili iwe fundisho
Hawa mapolice nao wanatumika vibaya, yaani unakwenda kuwakamata watu bila kujua unawakamata kwa kosa gani, hii ni aibu, nakuomba sana kaka Madereka wanyooshe hao watovu wa nidhamu.