Тёмный

Kwanini PUTIN amemtoa SHOIGU wizara ya ULINZI! Mfahamu BELOUSOV aliyemrithi, wanasema ni KICHWA 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 34 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 75   
@Zillionking627
@Zillionking627 5 месяцев назад
Asante sana sns❤❤ mnafanya tuifaham vizuri Russia 🇷🇺 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@MussaKilongola-hm8xl
@MussaKilongola-hm8xl 5 месяцев назад
Mnaelimisha jamii vizuri sana
@jacksonjudicate9388
@jacksonjudicate9388 5 месяцев назад
Truly SNS is something else, this is knowledge, U inform us more deeply. Cheers @bro sky @Sma
@MuzafarSaid-k8w
@MuzafarSaid-k8w 5 месяцев назад
Sky,Ali na Sma..nyinyi ni zaidi ya akili mpo sawa Sana kiuchambuzi .Allah awalinde na hasad
@NafuuTaib-u8q
@NafuuTaib-u8q 5 месяцев назад
DJ. smaa hongera sana mungu akubarik ukichelewa kuja hewani tunaumwa elimu yako cyoyakawaida zanzibar tupo na wewe sns ipojuu
@djsma255
@djsma255 5 месяцев назад
🙏
@joshemman520
@joshemman520 5 месяцев назад
good work sns
@PatrickKagiraneza-ok8cw
@PatrickKagiraneza-ok8cw 5 месяцев назад
Asante kwa analyses zenu kbsa...ongera...
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 5 месяцев назад
Hapa patamu san kw kweli Dj Sma +Aly masubi yaani lazim uondoke na kitu akilini jinsi dunia inavokwenda❤❤❤ big up
@noahlameck1564
@noahlameck1564 5 месяцев назад
Big up sana sns
@ismailjohn6108
@ismailjohn6108 5 месяцев назад
Asee Hii combination asee naielewaa snaaa aseee Congole kwenuuu
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 5 месяцев назад
Very interesting channel to watch, i never happened to join a college but i feel like I'm learning alot in this channel
@SalumMusafiri
@SalumMusafiri 5 месяцев назад
Asanti kwa kutupa news za vita ya urusi na inchi za magharibi From USA boston Massachusetts
@Kituramohamed9698
@Kituramohamed9698 5 месяцев назад
Timu Putin tujuane🎉
@salumadam2862
@salumadam2862 5 месяцев назад
Mko vizuli sana sns
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 5 месяцев назад
Best of the best team ya watu wa 3 mahodari wamekutana kutupa elimu acha tupokee madini
@chachajulius4481
@chachajulius4481 5 месяцев назад
Very good sky 👏👏👏
@evansogutu4167
@evansogutu4167 5 месяцев назад
Cher's to you pipo much luv and respect ❤
@Gulfnas1
@Gulfnas1 5 месяцев назад
Big up SnS
@SalumushabaniBilalijordan
@SalumushabaniBilalijordan 5 месяцев назад
Uchambuzi wenu umenifungua n'a kujua mengi asante sana
@evansogutu4167
@evansogutu4167 5 месяцев назад
Uchambuzi mzuri sana.... wachana na shuigu ...ila Lavrov is the big deal
@bugusambalinga3603
@bugusambalinga3603 5 месяцев назад
wakuu mnajua kuchambua mnatoa lishe bora za kisiasa
@radjamtaki5597
@radjamtaki5597 5 месяцев назад
Big up bros
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 5 месяцев назад
Wa leo
@ernestfelixigonga9726
@ernestfelixigonga9726 5 месяцев назад
Kwa nn hamtoi uchambuzi wa vita ya Congo
@michaelmatonange630
@michaelmatonange630 5 месяцев назад
Naisubiri iyo mada kwa hamu sana
@GeorgeMagadula
@GeorgeMagadula 5 месяцев назад
Dah chuma juu ya chuma sky we faysss
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 5 месяцев назад
Wachumi wa serikali za bongo uchumi wao nikuongeza kodi za mafuta,mabando na kuuza rasilimali za taifa😂
@JuliusSenyael-ej6hg
@JuliusSenyael-ej6hg 5 месяцев назад
Labda NDIO mitaala y uchumi unaofundishwa huko bongo
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 5 месяцев назад
Punt baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺💪🇵🇸🇵🇸
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 5 месяцев назад
Tuletea hiyo maada vichwa 😢vitoe kutu ya mazoea
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 5 месяцев назад
Fun fact: Putin ndio Rais pekee alotoka na ndege ya kivita nchini kwake akaingia Chechnya akapiga akiwa peke yake na akarudi moscow akiwa salama.😂😂 So ndio mana wamarekani hawamsomi huyu mtu tangia kuzaliwa kwake mpaka alipofikia.
@Maua-pg5gl
@Maua-pg5gl 5 месяцев назад
kuna site inaitwa new economic thinking kuna prof anaelezea vzr kuhsusu kufankiwa kwa Russia licha ya vikwazo alivowekewa na aliwaambia wale watu ambao walikuwa na dhamana ya kuandaa hvo vikwazo pale Princeton
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 5 месяцев назад
Jamani natamani Putin aongoze mpaka 2050😭😭😭
@matukutajuma156
@matukutajuma156 5 месяцев назад
Dj usichangany engrish kwenye historia
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 месяцев назад
Punguza chuki zako za kishamba kama una chukia iondoe sns maku wew
@bensonphilip9673
@bensonphilip9673 5 месяцев назад
This triangle ninknomer sana SNS Hapa Sky kati Ali kule Dj esma aloo ni motrooo
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 5 месяцев назад
Putin akimutoa mtu jeshini watu hawajaji ila kama ingukuwa Israel watu wangesema wamegawanyika acheni uchochezi wachambu maana watu wanakufa
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 5 месяцев назад
Ali banaaa unaongea sana humpi nafas dj asmaa
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 5 месяцев назад
Me naipenda urusi naifatilia urusi kivita since 2022
@LORDRICKNKYA
@LORDRICKNKYA 5 месяцев назад
Naomba mje na hii mada tujue waliweza vp kuvishinda vikwazo vyote hivyo???
@josepheriah5977
@josepheriah5977 5 месяцев назад
Alishindwa match
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl 5 месяцев назад
Nyinyi, munachambuwa mukiegemeya sehemu moja
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 месяцев назад
Kaegemee unakopenda wew
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 5 месяцев назад
Kwa iyo ulitaka waende Kwa mashoga ndio waegemee
@Gulfnas1
@Gulfnas1 5 месяцев назад
Tujuzeni role ya India na unafki wake ndan ya BRICS
@SAMA-jw4fr
@SAMA-jw4fr 5 месяцев назад
Tunajaribu kumshauri Mama waziri yoyote mpe miezi sita tu hadilivery unamtoa mpk utapata watu loyality kwa nchi yao na kwambia tena na tena achana na bwawa la nyerere weka umeme wa neclear hiyo ndio itakuwa legacy yako utakumkbukwa maisha yako yote na utakijenga mpakani baina ya uganda na kenya or baina malawi na zambia or baina na Burundi Rwanda na Congo hiyo ndio habari
@danielwilliam9758
@danielwilliam9758 5 месяцев назад
So, uyu ni mzuli kuliko shoigu au
@hijazhija316
@hijazhija316 5 месяцев назад
Pumzika
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 месяцев назад
Kwakweli😅😅😅😅
@charlesassey5642
@charlesassey5642 5 месяцев назад
Sky , alli na sma bado ni wachanga sana kwenye uchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa , mnalisha watu matango pori kila wakati !!! Please if don't clear evidence don't talk
@RamadhanRamdhan-i2c
@RamadhanRamdhan-i2c 5 месяцев назад
Me Puttin namuunga mkono sana asilimia 100/
@GabrielSky64
@GabrielSky64 5 месяцев назад
Alicho fanya Putin hakuna utofauti na kilicho fanyika. Israel kwa yule kiongozi wa majeshi
@MustafaChinanda
@MustafaChinanda 5 месяцев назад
Equal TRIANGLE ABC 😂😂❤❤ balaa like hapa sky dj sma aly masuby ogopa sasa "usicoment utumbo kama hujalewe eeh" new song harmonize bombocraa!!!
@hadjiMbugi-iu4eg
@hadjiMbugi-iu4eg 5 месяцев назад
Kweli ufisadi hauwezi kuisha mpaka Kwa puttin Kuna ufisadi pamoja na ubabe wake
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 месяцев назад
👊👍✌️.
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 5 месяцев назад
SNS mkojuu xana axee hongereni xana Tuko pamoja na Russia 🇷🇺🇹🇿
@ErickMapunda-pr1ex
@ErickMapunda-pr1ex 5 месяцев назад
Hapa kwetu control wa uchumi ni mwiguĺu, tutafika kweli?😅
@5G-wr5vz
@5G-wr5vz 4 месяца назад
😂
@UpendoSalum-uo3zl
@UpendoSalum-uo3zl 5 месяцев назад
241
@aishaarusha894
@aishaarusha894 5 месяцев назад
Wasemaje wa putin
@bodyaman
@bodyaman 5 месяцев назад
Sky naomba tujue vile zao la cannibes (mbangi) linavyochukuliwa urudi je,halihusiki katika uchumi wa urudi naomba utuletee nalala Kwa kuwa mi ni miongoni mwa watanzania naamini zao hili Lina utajiri ambao nchi masikini tunashindwa kuliheshimu kutokana na kuwa ndani ya box la Elimu dharimu tuliyoanzishiwa na wamagharibi,wakati wao USA,CANADA wanapiga mapesa kibao kutokana na zao hili la cannabis
@lucasmartin431
@lucasmartin431 5 месяцев назад
Bangi Ina madhara sana, Lima hata Mahindi Rafiki yangu....Kenya na Sudani wanayahitaji sana.
@Abninimo.
@Abninimo. 5 месяцев назад
Urusi gharama za vita imekuwa kubwa hivyo belousov amewekwa kwa sababu kuu mbili kudhibiti matumizi ya kijeshi pia kuandaliwa Kuendeleza utawala wa communist maana Kuna allegations za rushwa kutoka kwa FSB
@tyivbra
@tyivbra 5 месяцев назад
Majina yao magumi ety mishostini Mara shegu. 😂
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 5 месяцев назад
Hata hill Jina lako la pili ukimwambia Mrusia ataje lazma atapike
@justicebridge
@justicebridge 5 месяцев назад
Yani uwa siwaelewi kabisa ambacho uwa munaongelea.huyo jamaa ni mweu na ameshafail
@NicoleMakaveli-wr6mm
@NicoleMakaveli-wr6mm 5 месяцев назад
Haituhusu sisi waafrika na ufukara wetu
@uwimana6533
@uwimana6533 5 месяцев назад
Lakini unachakujifunza kupitia urkain , atamsaliti akingia kuleta ufisadi utakua nachakujifunza 😂😂
@aishaarusha894
@aishaarusha894 5 месяцев назад
Koma akuna ufukara africa ndoo maana atupigani
Далее
Только ЕМУ это удалось
01:00
Просмотров 455 тыс.
Rapportbonanza når sin kulmen
21:43
Просмотров 3,1 тыс.