Mbunge wa Chemba (CCM) Mohamed Monni akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha 2023/24.
Huyu mama ameridhika sana Kwa kweli alafu anachukulia maisha ya watanzania km hayana maana, hivi muulizeni yeye akiwa ni mwananchi wa kawaida na sio mfanyakazi Wala mfanyabiashara anaweza kuishi bila kuwa na ardhi. Nonsense kbs