Duh pole kwafamilia poleni pia kwawaigozaji wetu watathnia ya filam za bongo muvi maana mzeewetu pembe alikua muigizaji mahiri naanaye jituma poleni Sana Bwana ametoa na Bwana ametwaa jinalake nalihimidiwe !!🙌🙌🙌🙏🙏🇹🇿
Pole sana senga ngoni mwenzNgu imetuumizz hata sie mzee wetu akituchekesha sana mungu ampe kauli thabit awe na makazi mema mungu Amsamee pale anapo kosea
Navaa viatu vya senga jinsi alivyo pokea huo msiba nimejikuta napokea maumivu makali sana pole sana senga pole tanzania tumepoteza mtu mtu aliye tufariji sana kipindi tukiwa na msongo wa mawazo