Daaah mungu akujaalie kwakweli brother maaana nilikuwa nishaanza kukata tamaa katika ndoto yangu ya kuwa mchezaji mkubwa maana naona nilio kuwa nao wanafanikiwa Mimi bado nasota hakika Leo imetokea tu kuangalia lakini ghafra nimepata nguvu ya ajabu sana Allah akusaide dahh
Kaka umenifungua macho mungu azidii kukupa maarifa zaid na zaid ili uwendendelee kutufundisha, nimejifunza mengi kwak na naendelea kujifunza... Ubarikiwe sn
Mungu aktangulie sana Brother @Joel nanauka maana umenifanya niwe nawafunguwa macho vijana wengine ninaokutana nao nguvu uliiona kwako ukaigawa kwa jamii 💎💪🤝🙏🙌
Napenda sana kukusikiliza nna imani ntapata nguvu na ntainuka tena nilijaribi kujiajili mwenyewe nikafeli na nikapoteza pesa nyingi sana kwa sasa jimerud kwenye kuajiriwa tena lakin nataman sana kuacha kaz na nijiajili ila cjui ntaanzia wapi msaada tafadhali
Nashukru sana kaka Joel mimi unaishi ndani yangu toka 2014 nimepiga atua sana sana kwa kusikiliza video zako cha ajabu siku ya kuamkia leo 12 ,04,2021 nimeimbiwa pikipiki yangu nimeamkia police nimerudi nyumbani ikanibidi nipumzike kidogo wakati niko kitandani nikasema ngoja niweke bando jabo kwa sasa bando lenyewe unapewa tone ili niweze kupitia video zako kufungua tu ikaingia video hii apa kama umeandaa kwa ajili yangu imenipa matumaini upya nashukru na mungu azidi kkuinua
Mr Nanauka kwanza hongera sana kwa uwezo mkubwa wa ushawishi wa kiuchumi pamoja na ushawishi wa kufanya watu kutokata tamaa regardless na alicho kutana nacho... nimejaribu sana kukupata kwa simu yako ya mkononi nilitaka unisaidie.. please naomba nitext number yako nikupigie .... filly_s79@yahoo.com
Ww ndomie nilikua nafanya kazi ambayo inanilipa vizuri dah nilivyoolewa 2 naona kama ndoto zangu zinapotea mbele ya macho yangu yaaan cjui atanifanyaje kuna muda natamani ataniachike ..ilinikasake maisha yng