Daah juzi nilikuwa Star Park Morogoro, then kama zali DJ akagusa hii ngoma. Usinitanie wahuni wakataka irudiwe na hivyo ikawa. Respect and RIP Langa, Chid huyu ni nomaaa.
Hakuna watu wakuziba mapengo yenu respect Sana lengends mnajua mmejua mmefanya zaidi ya Sana aisee mungu awape baraka na r.i.p langa mungu akupunguzia adhabu ya kabri huko ulipo na akupe mwanga wa milele