فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي. Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi??? Hebu Bafana akusomeshe hapo
Acheni kutuchekesha! kweli maulidi ni bidaa ilo wazi wanakatika chakacha mpaka basi. Bachu Allah azidi kuku hifadhi nash.wetu bafana Allah awahifadhi nyote ambao mnaitetea haki bila kumsahau swaiba wako Abu qatada mkono kwa mkono hadi peponi.
Sheikh bhachu usijali tuko nawe kielimu na sio kishabiki umedhihirisha umma ukweli ulivyo na tumetosheka...sasa endelea na da`wah yako kama kawaida na tutakuhakikishia ile silsilah ya maulid tutakua nawe sambamba... Allaah akuhifadhi na akujaalie umri mrefu na hikmah na akulinde na kila aina ya hasad na balaa zozote.
Mashekhe hawazungumii tena haki za waislamu ,jinsi wanavokandamizwa,watoto wanavoingizwa katk ushoga na usagaji,wanavo bebeshwa mada ya kulevya,watoto wa kiislam jinsi wanavoingizwa ktk biashara ya ukahaba ! mtihani sana mayahudi wanatucheka sana wametukamata ndipo!
Bidaa ni uozo kuliko hayo uyazungumziayo bidaa hii ni laana kabisa hata ufanye ibada ipi kwa bidaa hutoboi isipokuwa kwa rehema ya Mola kukemea bidaa ni muhimu sana halafu si kila mmoja atazungumzia mada zile zile acha kila mtu apambane wakutanishe juhudi kuna wanayofanya hayo unayoyasema nilipo mimi kila ijumaa hakuna kinachobadirika isipokuwa tarehe tu mambo yale yale muda mwingine unaamua tu ukaswali kwengine hii ni challenge watu warudi kwa Allah
Zungumzia na wewe bas. Wenyewe alisha zungumzia hayo kitambo na mara kwa mara huwa wanayazungumzia. Pia masheikh wapo wengi sasa unataka wato wazungumzie mada moja kila siku???? Halaf hao watoto unaowasemea wengi wao wamechagua hizo njia. Pia bi-daa isipozungumziwa si ndo watu watazid kupotea bila elim??!
MAULIDI ni Bidah na hizi dalili hapa. 1. Mtume mwenyewe hakuyafanya akiwa hai. 2. Hakuna aya ndani ya Quran takatifu kuhusu maulid. 3. Mwanae wa kike Fatma (r.a) hakuyafanya. 4. Maswahaba wote wanne hawakufanya. 5. Wajukuu wa mtume wakufanya. 6. Imekuja miaka mia saba bada ya Rasul kufa. 7. Barzanji ame zaliwa 1716 juzi tuu mia mia tatu. Swali ni wamuamini vipi barzanji mtuzi wa mashahiri...salalaaa masufi hamuoni kwani nyie ni vipofu na viziwi? MAULIDI ni haramu mwisho wake ni motoni. Topokeni jamanini. Subhanaallah
Masha Allah ukwel utazid kudhihirika hawana majibu ya hoja 19. Wanasema sheikh Muhammad Bachu hana elmu na lugha inamsumbuwa lakin na masheikh wakubwa kumbe waliyaongelea hayo aceni bidaa maulid hayana ushahidi wowote
Muogope Muumba wako ww... mas-ala ya kulaani mtu kwa kutaka malipo ya RU-vid ww yakuhusu na wapi.... mbona hao watu wenyewe wasilalamike hata walalamika ww.... usiwe mtu wa jazba, ukatumia ubakhili wako, uchoyo wako, ulemavu wako wa kiakili na ujinga wako kumlaani mtu ambaye ameambia watu ukweli.... yaani wataka kusema hio video inamfaidisha bachu pekeake na wala sio upande wa pili pili... ama hao wa upande wa pili wawatetea kwa kigezo gani wkt hao wenyewe wameshindwa kutetea nukta moja tuu kati ya nukta nyingi zilizo hitajika... FUATA UKWELI NA UACHE UPPUUZI NDUGU, hasira zitakupeleka pabaya!!!
Hakuna atafutae kiki.....kma nyie mwatafuta ushindi ila Muhammad Bachu ataka watu wajue kua yote ni bidaa.....na sio heshima kumuita mwenzako kikojozi chuki hizo..... dini haiendi hivyo
Maadamu hamutaki kusoma ilimu mutaendelea kupingapinga mawlidi na filhali munayo yenu muloyazusha kama hayo ya mawlidi lakini kwa sababu ya jahli na hawaa za nafsi hamuyaoni ... Tatizo lenu kubwa ni uhaba wa ilimu na ushujaa wa kusemasema
Nami naona kaeli hapa kuna hawaa ya nafsi hakuna elimu ya kukubali mawlid hakuna hiko kitu na wewe mwenyewe shahidi isipokuwa tu ni Qibri hakuna manufaa anayopata mtu kukutahadhaeisha na hii bidaa isipokuwa anakupa mtihani ujue halafu ukaidi yeye kazi yake keshamaliza hataulizwa siku hiyo nadhani unaijua vizuri tusijishau ndugu katika uislamu
Hadi Sasa sijasikia jibunla swali. ''Ni ITTIFAQ GANI ya Wanachuoni wa Elimu ya Hadithi waliosema kitabu kikiwa na hadithi Munkar Basi Kitabu hicho HUITWA Ni kitabu Cha Uongo au Mwandishi wa kitabu HUITWA Muongo?'' Wote tuliotazama hulle MJADALA tuliona Sheikh Bachu hakujibu.
Ndugu zangu waislam tuache mchezo na dini ya Allah haqi ni haqi hata kama Hawa masufi wako wengi huo sio ushindi kwao Bali ni hatari sana kwao sheikh saaid bafanah huyu ndo kajua Nini maana ya elim na haqi Iko wapi sio sheikh diwani Al kubrah na yule wa Kenya Yuko mamrui mjinga kama yeye hakuna namuomba Allah awape haki katika nafsi zao twarika acheni mchozo na dini ya Allah kaburi sio mbali nayusia nafsi yangu pamoja na ndugu zangu waislam
maada husika haikua namna watu wanavyo icheza Maulid. maada ni ukweli katika maulid. nilidhani ungeuliza wale wanaocheza wako sahihi au laa. wale hawako sahihi na maulid haijaelezwa kusherehekewa vile. Matendo ya mtu mmoja sio kigezo cha kusema maulid ni bidaaaa. niwaulize tyuu. ni kweli waislamu ni magaidi kutokana na imani za kigaidi za baadhi ya watu wanafanya matukio ya mauaji na kuitajwa ni wailamu?
Saiv washaanzisha ligi eti kwa ajil ya kumsheherekea mtume yaan wamezid tena wameend ktk nyimbo na saiv washaanzisha ligi yaan mtihan mtupu ila tuwaombee dua allah awaongoze...
Waislamu tuacheni mizozo...tusiifanye Dini kama biashara...mfano: waupande huu wako na brand ya samsung na upande mwengine wako na brand ya Iphone...kila mmoja anamuangalia mwenzake kasoro ndogo tu ndio nafasi yake ya kujenga jina na kufanikisha soko la biashara yake kwa kupaza sauti juu ya kasoro za mwenzake kuifanya ovu kabisa ila pengine sivyo bali nikwasababu tu ni washindani katika biashara...Khofu ni tusijetukaibinafsisha Dini...kwa kuifanya kama biashara baina yetu!
Sikiloza alafu fikilia lakuandika bidaa ww unaiyona zambi ndogo. Kwahiyo upotayali. Kizazichako kialibiwe. Laazima. Likemewe hili jambo katri ya uwezo wao na ss pia tuwanass familiazetu
@@suleymansalim5732 ushauri wangu ni tanbihi tu...Maa Shaa Allaah Haki ndio tegemezi sahihi kabisa ila ina mizizi yake na ni chungu katika ladha na kwa wizani ni nzito kama jabali, wewe unaye ibeba sio rahisi na yule unaemkusudia pia kwake sio rahisi...lazima iwepo mizani!
MAWAHABI UKIWATAJIA BIDAA WANAZOFANYA WAO WATAZITETEA MPAKA KIPOVU CHA MDOMO KITAWATOKA JAPO HAWANA AYA WALA HADITHI EG. KUTOA HOTUBA YA IJUMAA KWA KISWAHILI
Saivi kuna mpaka kombe la mpira la mtume muhammad,( s a w ) yaaki jambo hili limenikera kwelikweli, hivi mtu anamzulia mtume muhammad ( s a w ) uongo halafu aachiwe tu ?
Sheikh ww na kichwa chako hicho manii wamekufa kutambo,mtume wetu kawatoa wapi akawasalisha ndani ya baitul maqdis hali ya kuwa wamekufa kama wauliza kuwepo kwa asiya kwa mazazi ta mtume?
Jambo ambalo linanamuhusu mtume lilokuja kwa dalili kutoka kwenye quraan na hadithi sahihi hatunabudi kuliamini, lakini jambo ambalo halina dalili kutoka quraan na hadithi sahih hilo tunalazimika kulikataa na sio makosa Kuita uongo
Shekhe cc tunajua kwamba kwa Allah kila jmb linawezekana kwaiyo ilo la kuja Asya na Maryam linawezekana tena sn tu, suali hapa n jeeee limethibiti wapi ili ucwe n uongo???
Mawahabi ufahamu wenu ni bora mbuzi anaweza akawa muelewa kuliko nyie nyie mmenyimwa ufahamu na elimu we ungesema tu sijui mbona hujasema hujui ulijua kama umekamwa kama yale uloyaandaa yte yamekwamaaa
Sasa kama ufahamu ni mgumu mbona hamfahishi watu 3hrs hata ibara moja kashindwa kunuku hayaa hata HADITH DHWAIF MMEPEWA OFFER MTUMIE LAKINI WAPI.TULINE UMMA UTAMBUE hakki kupitia mashekh.
Km naww unatk mjadala hem wek siku yak uingie kweny mechi tuone km naww utafik dkk 20 sio kukaa hapo na kujadil mambo yalio pita km una pwent jamaa yupo kasem mda wowot tuu yupo tayari❤
Kupinga hivi unajua maana yake mtu akisema kitu fulan hakuna ndio kashapinga kwahvo kitu kupinga sio mpaka uletewe makaratac Wewe chamsingi ukiambiwa simu sio yako wewe thibitisha kwa kutoa fingerprint bac lakn ukianza story hueleweki
Hivi wewe ukiambiwa ulete dalili ya kutofaa kuswali rakaa nne katika swala ya maghrib waeza leta dalili? anaetakiwa kuleta dalili ni aliyeleta jambo wala sio anaepinga, wewe unadai gari ni lako utaulizwa logbook, hii ni mifano ya kidunia tu kwenye dini ndio usisema, hatuna nafasi yakuengeza katika dini ibada yoyote ampaka iwe na dalilii sio kujibunia tu bila ya dalili.
Hivi ikiwa mmb yametolewa ktk hicho kitabu chenu cha Maulidi na yakaitwa kua n mmb ya uongo, na ktk hadithi sahihi Mtume asema "mwenye kunicngizia mm uongo makaazi yake n motoni" ss hapa ama mujikubalishe kua ktk watu wanaomcngizia uongo Mtume au muje na dalili za kuonyesha kua hayo yaliyoitwa kua n ya uongo c uongo na ya kwl kwa hoja hizi baaaaas🎉
Kabla ya kuangalia hii video nilikua ahlu sunnah wal jama³a nasherehekea maulidi lakini sasa bado niko ahlu sunnah wsljama³a na nazidi kuyasherehekea maulidi
Iyo part ya bahero ndio imenigusa miaka 600 mtu anatuletea maulidi alaf wanasema ni ibada...ukiwauliza dalili wanaleta story mingi.yani shehk bachu usichoke kutuelisha ili jambo limeharibu watu wengi mno...
Hata kupigwa haikuanza leo,na kama Barazanj ingekuwa sawa tangia miaka hiyo ingetafasiriwa vizur kuwaka hayo majaz na kuifanya isiwe na mjadala tena lakini mpaka hamna bas,kuna shida ndani yake,hata maulidi ya zamani na sasa hivi ni tofauti sana,asaiv n ngoma kabisa
W munshid unaweza kuthibitisha huo ushirkina Kama c ushabik t ulionao? Hivi nyinyi mnadhani Kuna vitabu gani kilicho salama hakina makosa vilivo tungwa na wanachuoni ispokuw kur aan pekee bac
Hata zinaa, shirking, wizi, uongo,namengine ni dhambi za wazi na watu wote wanajua wsla haxitak dalili lakini hawaachi ingawaje Allah amekemea ktk kuran illa ujumbe umefikaaaaaaa
Allah akuongoze ila tambua hiyo ni bidaa ndugu yetu katika uislamu si kwa manufaa yetu bali kwako siku utaposimama na kuulizwa ibada hii uliitoa wapi sidhani kama utakuwa na majibu tuache kibri hilo ni vazi la Allah jitoe kwenye hii shubha na Allah atakulipa inshaallah.
Mimi naamini kwamba wanyama wanaweza kuongeaaa tena sina shaka katka jambo hilooo sasa kama nyinyi munashaka basi pia kuweni na shaka pia mazazi ya nabii issa kwa sababu kama mwenyezimungu kaweza kufanya miujizaa katka mazazi ya nabii issa vipi ashindwe kufanya miujiza katka mazazi ya mtume s.a.w !
😂😂😂😂 yaani wallah hojaa mulizo nazo zakitoto kabisaa ! Hii yote inaonesha wazi kuwa Badoo wadogo sana kwenye elimu ! Nendeni Mombasa mkasoneshweee ! Yaani mungu kakupeni kipaji Cha kuporojaa tuuu maneno mengii ila hojaa hamuna za msingii! Yaani unashangaa wanyama kuongea katika mimba ya mtume na wakati qur Ani inatwambiaa wanyama wanaongeaa!
Weee Mpuuzi Sna Nani Alikuambia ivyoo Ndivyo Ujinga wenu Mlivyo Aminishwa Et Maulidi Yanaleta Waislam Pamoja Shit Point Kijinga kabisa Iv Mtume Muhammad S,w Haliwaleta Waislam Pamoja Wakati Kupitia Matamasha Ya Maulidi 😂😂 Atuwezi Kunyamaza Kuona Dini Ya Haki Ilio Kamilika Kisha Tuone Wapuuzi Wanaichavua Kisha Tukae kimya Jambo Ambalo Halikubaliki kabisa Tutakapo Nyamaza Kesho Masuni Tutaulizwa Juuu Ya kuona Mtume Muhammad S,w Anazulia mambo Ambayo Akufanya kisha Mmenyamaza ili Hali Tunajuwa Kwaiyoo Atuta Nyamaza kabisa Kumchavua Mtume Muhammad S,w
Et Ujaona Dalili Subhannallah Daah Bidaa Zimewadhiri Sana Unataka Dalili gni Ikiwa Matamasha Yenu Ya Maulidi hayaja dhibitika Kwenye Qur'an Wala Kwenye Adith Sahihi Sasa Wewe Una taka Dalili gani Mpuuzi wewe
😅😅😅wee watha mchezo weye...pilau n chakula hupewa watu km swadaka ...kwaio kutoa swadaka pia n bidaa...nyiee nenden mukasome achaen ushabk katka DNI😂 SubhanaLLAH
Baina ya Nabii Daud(AS) na Mtume Muhammad(SAW) nani bora kuliko mwengine? Na mbona Nabii Daud(AS) imesemekana wazi kuwa na ndege na majabali walipiga tasbihaat na ya wanyama kuongea kuhusu Mtume Muhammad (SAW) haikuelezwa na Allah (SW) . Waislamu amkeni Maulid ni uzushi mtupu..... Anaetaka aamini asietaka akufuru. Bora ujumbe umewasilishwa na masheikh zetu na hio ndio wataitumia kama hoja mbele ya Allah(SW)
😂😂😂 kama lazima upate andiko kama unavyo taka weww basii watu wasinge wenza kufutu maswali maana kila miaka ikienda na maswali yanatokea mapyaa! Kwahiyo kama jambo halikutajwa kwenye qur ani wala sunna ndo tuliache tuseme halifai hata kama ni jambo halipingani na qur ani ?
Wakati mtume aliwahi kuwasalisha mitume na washakufa haya hiyo iseme pia (Israi na miiraj) mtume muhammad aliwasalisha mitume na washakufa wewe huna ilimu yeyote huna fanni yoyete wategeme tafsiri ya sheikh saleh Al faris.
Mikusanyiko ya kheri sh Bahero ni dini na thawab Allah anawapa waja wake tene anajifakharisha kwa mikusanyiko ya kheri... Thawabu hutoi wewe wala mie wala baba zetu wala mama zetu Wewe si muandishi wa thawabu Tusivamie mamlaka ya Allah
Mtume amesema: من أحدث في أمرنا هذا ما ليس منه فهو رد Yoyote mwenye kuzua katika dini jambo ambalo halina asili ya quraan na hadithi, basi ataregeshewa mwenyewe. Maelezo: Kuzua katika dini kumekatazwa hairuhusiwi mtu kufanya ibada yoyote pasina kuwa na dalili kutoka kwenye quraan au hadithi, ibada yoyote ambayo inafanywa kinyume na mafundisho kutoka kwenye quraan na hadithi haikubaliwi wala haina thawabu bali ni dhambi na huenda mwenye kuifanya akakumbwa na adhabu siku ya kiyama kwa muujiju wa hadithi nyingine ya mtume كل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار Kila uzushi ni upotevu na kila upotevu motoni
Wewe sheikh unaonekana qur ani huijuiii au huisomii ! Kwa sababu qur ani inatwambia kwamba wanyama wanaongeaa ! Kama qur ani inakubali kwamba wanyama wanaongeaa basi hakuna shaka kwamba wanyama wanaweza kuongea ktk mimba ya mtume s.a.w ! Sasa hapo uwongo upoo wapi ? Na wakati qur ani haijapinga kwamba wanyama wanaongeaa! Ingelikuwa qur ani haikusema kwamba wanyama wanaongeaa basi tungesema kweli hili jambo ni lauwongoo! Na lazima tuelewe kwamba kuongea kwa wanyama ni jambo la kimiujizaa na jambo hilii hutokea kinyume na mazowea ya watu na kwa vile mtume .s.a.w alikuwa ni kiumbe boraa na kiumbe kitakatifu ndio maana wanyama wakaongeaa ! Kwahiyoo hiyoo sio hoja ya msingii kupinga kwamba wanyama kuongeaa ni uwongoo ! Basi kama hivyoo basi pia unakanusha qur ani kwamba wanyama hawawezi kuongeaa ! Hilii jamboo linawezekana kutokea tena bila ya shaka yoyote ilee kwa sababu halipingani na qur ani !
Yaani saivi mitandao ya kijamii dini ya kiislamu imehamia kutukanana na kukejeliana tu hakuna tena elimu inayopatikana ,kila mtu anaonesha uhodari wa kuongeaa na kuwa yeye ni msomi kuliko mwengine!!
Tumekuwa umma Bora kwa sababu ya kuamrishana mema na kukatazana uovu. Ubaya hauwezi ukaachwa hivihivi. Msione vibaya mkiambiwa Kweli. Fuata haki ndugu yangu
Mtume alipotumilizwa, alipowalingania makureshi, baadhi yao wakasema kuwa Muhammad anawatukana miungu, ndani ya barazanji kuna uongo na ushirikina mashekh wakisimama kuyazungumza hayo mwasema mashek wanatukana
Katika mtaa wako kuna majirani wangapi hawaswali ,kuna ndugu zako wangapi hawaswali ,kuna watoto wangapi wanaishi katika mazingira magumu sababu wazee wao wametengana au wamefariki bada ya muda wanabakwa na kulawitiwa ,wafanyaji ni waislamu,na wanaofanyiwa ni wasilaamu,kwa nn tusijikite huku,tukaweka mjadala tukajua tunatatua vipi changamoto zao,sisi tumewekwa ktk sehem ya kupigana madongo,wakiristo wanajadili mambo ya msingi ktk kueneza injili yao na kuwa na maisha bora!
Mnyama yoyote km kuna jambo kubwa linataka kutokea basi allah anawapa khbar tena mambo haya tunayashudia leo nyie mnajiita mashekhe mnashangaa tukio kubwa la kuzaliwa mbora wa viumbe ?me sishangai ni lakawaida tu ikiwa kw mtume SAW.
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي. Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi??? Na hii hadithi Bafana ataidhoofisha vipi ama ataifahamisha vipi, ama hakuwa ameiona?
Kingine hamna jipya zaidi yachuki hata daghawa yenu hainaga ladha hii nidini sio siyasa.lau ungekuwa natabiya mbaya mwenye roho mbaya watu wangekukimbia.,,
Wallah muna jisumbua akili maulid yata bakia ya ki somwa mpaka kiama na kila uchao yana zidi daima .....nibora mtu afuate lake analo liona nisawa kwake allah ata tu hukumu ....
Kama unapenda mtume fata Sunna zake fungal kila Monday Wacha kufata uongo wa barzanje Sasa wewe unaona kufata uzush ndio kupenda mtume ama kufata mafunzo yake