Тёмный

LIKO LANGO MOJA WAZI. dinu zeno. 0625954315 

Dinu Zeno
Подписаться 148 тыс.
Просмотров 3,2 млн
50% 1

Kama unahitaji nyimbo hizi tafadhali niandikie kwenye coment hapo chini kuwa unahitaji nyimbo ngapi na namba yako ya simu ya whatsapp.Nitakutumia bure kabisaa.
Liko lango moja wazi ni wimbo kutoka katika kitabu cha tenzi za Rohoni. Hakuna lango lingine limwezeshalo mtu kupita kufika mbinguni ila ni Yesu tu ndiyo lango hilo.
#dinuzeno

Опубликовано:

 

23 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@aggyfridahm7519
@aggyfridahm7519 3 года назад
My brother be blessed,how many are blessed by this song like me🙋
@DinuZeno
@DinuZeno 3 года назад
Thanks. To God be the Glory
@roseyhoney478
@roseyhoney478 5 месяцев назад
Nyimbo yangu ya kila siku kila dakika 2024 mko wapi najishi niko mbinguni aki huu wimbo😢😢unifanya nikaripie mungu wangu kila saa vya dunia ni ovyo tu yesu ndiye njia tu ooo hallelujah stay blessed forever brother keep the fire burning
@neemamwakapala4980
@neemamwakapala4980 5 лет назад
Kwa Yesu raha sana nakushauli wewe ambaye bado hujaingia kwenye lango hili njooo upesi uwingiye bado neema ipo karibu sana Mungu akuinuwe zaidi mtumishi
@yasintadavid3396
@yasintadavid3396 5 лет назад
nyimbo hizi nikizisikiliza najihisi kumuona mungu, km na wewe zinakubariki fanya kulike ili twende pamoja
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Hakika
@josephmndeme923
@josephmndeme923 5 лет назад
kweli nyimbo ni nzuri sana
@agnesrobert6221
@agnesrobert6221 5 лет назад
Yasinta David hata mimi limenigusa
@simbonmasimba9307
@simbonmasimba9307 5 лет назад
Yasinta David nnabarikiwa sana moyoni mwangu
@fredrickopetu549
@fredrickopetu549 5 лет назад
Yasinta David nazama kweli
@georgen5723
@georgen5723 4 года назад
I woke up this song singing in my heart. I remember the testimony of nyisak nchaula from Tanzania,, who saw a large, beautiful door in heaven, and when she came back, she said"nilikumbuka mwimbaji mmoja aliyeimba" liko lango moja wazi". kumbe ni kweli hili lango lipo mbinguni!!!
@serahakinyi8941
@serahakinyi8941 4 года назад
Napenda hizi nyimbo sana kwa ajili zanibariki ninapozisikiliza naomba unitumie via whatsapp tel no. 0768223296 na nitashukuru
@dottotungu8973
@dottotungu8973 4 года назад
Nzur sana hizi nyimbo,,, zimebadilisha maisha yangu sana sana,,,nitumie WhatsApp kwa namba 0765014339
@stevendominick7422
@stevendominick7422 4 года назад
Bukard chares from igunga whatsup no 782732798
@zenobihoka6368
@zenobihoka6368 4 года назад
Hakika hizi nyimbo ni nzuri ajabu
@DinuZeno
@DinuZeno 3 года назад
Amen
@furahinikisapi9987
@furahinikisapi9987 4 года назад
Tukipita lango hili tutatua mizigo tuliyochukua kwanza na tutavikwa uzima haleluya....napata faraja sana kupitia tenzi hii ubarikiwe sana mtumishi Wa mungu na uinuliwe kwa viwango vingine
@olive7193
@olive7193 4 года назад
Kweli lango la mbinguni li wazi.thz songs conforts me through thz hard tym of covid 19
@faridaechemutai6302
@faridaechemutai6302 Год назад
Thank you my lord for everything 🙏 🙌 l love these songs of praise the almighty god .May god bless you all choirs🎉🎉🎉
@agathanyondo3192
@agathanyondo3192 4 года назад
Kumbe hata baba angu yupo mbunguni maana naamini alipita lango .... limpasalo RIP dady najua uko mbunguni in jesus name😭😭🙏
@elizabethstephano7841
@elizabethstephano7841 3 года назад
Amina pole dea
@olsvardonegredo5650
@olsvardonegredo5650 3 года назад
😭😭😭😭😭
@safarimangi5374
@safarimangi5374 4 года назад
Mungu ni mwema alitukomboa kwa kumtoa Mwanae Yesu Kristo ili atukomboe kutoka ktk nguvu za giza na kisha kutuhamishia kwenye Ufalme wake tusemi nin Bwana Bali tunashukuru kwa jinsi Pendo lako lilivyo Kuu Ujitwalie Sifa na Utukufu Ee Mungu Ufalme wako uje Utawale Milele na Milele
@Ladypeace12312
@Ladypeace12312 6 лет назад
l hardly listen to gospel music, but l trembled across this beautiful song, thanks for uplifting my spirit when l am down
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
To God be the glory
@jonathankaparita4312
@jonathankaparita4312 5 лет назад
vyema
@mwingaapolinarymatusisiois1326
Amina ubarikiwe sana
@paulomapunda7626
@paulomapunda7626 4 года назад
liko lango moja wazi nalo ni YESU KRISTO wate waingie kwake, this is so powerful. Amen
@jacklinejackson790
@jacklinejackson790 4 года назад
Lango ndie YESU BWANA wote tuingie kwake 🙏nahis kubarikiwa nahis uwepo wa MUNGU eee Mwenyez MUNGU utujalie waja wako tukujue wewe na kutenda yaliyo mema 🙏Amen
@isendielvis7375
@isendielvis7375 6 лет назад
Lango ni moja tu aki huu umenifanya kumjua mungu na kubarikiwa sana
@philomenakitabu6182
@philomenakitabu6182 5 лет назад
Kweli Mungu uabudiwe milele
@lulumasanga9686
@lulumasanga9686 4 года назад
Hakuna lango lingine zaidi la hili tunaloliamini la mbinguni haleluya
@jennyshuby713
@jennyshuby713 4 года назад
Ubarikiwe sana muimbaji
@ednabufanyagy5749
@ednabufanyagy5749 3 года назад
Nabalikiwa sana
@paulomapunda7626
@paulomapunda7626 4 года назад
DINU ZENO, liko lango moja wazi brother nalo ni YESU KRISTO wate waingie kwake, this is so powerful. Amen
@charlesotieno1790
@charlesotieno1790 3 года назад
I thank God for His servant for the work He has laid before them actually this songs are blessings to me, may God continue using you people
@gracemsemo9414
@gracemsemo9414 7 лет назад
Ameeeen Tunamuamini Mungu atatenda maaana nyimbo za tenzi ni adimu mno......tukiona hivi kama wewe umeguswa kuimba tunafurahi kwa kweli ubarikiwe mno
@joshuayohana5054
@joshuayohana5054 3 года назад
Mungu akubariki
@brendaivandanga617
@brendaivandanga617 5 лет назад
Barikiwa sana,, napenda huu wimbo Wanifanya kama naweza pawa juu mbinguni
@johnndirangu3082
@johnndirangu3082 5 лет назад
A real encouragement to those who have fallen into despair the door is still open. The Lord bless you Sir
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Amen and you too man of God
@isakachibulilui.kitesiyokw7332
@isakachibulilui.kitesiyokw7332 3 года назад
Mamkubali
@Trevor16077
@Trevor16077 2 года назад
When I listen to this song...najikotana kua karibu na Mfalme wetu Yesu Kristo...Amen
@thomaskeli4005
@thomaskeli4005 4 года назад
A good song that makes to focus on Jesus because He is the only way....Nashukuru sana kuisikia wimbo huu
@carolinendasala935
@carolinendasala935 7 лет назад
Wow I can't explain how I feel ..when I hear this song..Hallelujah 👐👌👌❤Lango ndiye yesu Bwana wote waingie kwake lango..........niwazi Amen Amen..May God bless u abundantly!
@johnjrop1580
@johnjrop1580 5 лет назад
Lango ni Yesu kristo.
@selinalugila8980
@selinalugila8980 5 лет назад
Amina
@rhinaregina5806
@rhinaregina5806 6 лет назад
Amen mbarikiwe Sana watumishi wa Yesu, Mungu naomba lango labinguni na mimi niingia Yesu 🙏🙏🙏
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Mungu ni mwema
@rhinaregina5806
@rhinaregina5806 6 лет назад
Dinu Zeno amen 🙏
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
@@rhinaregina5806 no one
@cleophaceexaudian920
@cleophaceexaudian920 6 лет назад
Huu wimbo huwa naupenda sana hata akiimba ambeye hajui kuimba ntacheza na kuimbanaye
@cleophaceexaudian920
@cleophaceexaudian920 6 лет назад
Dinu Zeno but naitaji audio nijaribu kuitafuta nafeli
@cleophaceexaudian920
@cleophaceexaudian920 6 лет назад
Nipo shinyanga
@veronicathomasi8387
@veronicathomasi8387 4 года назад
🙏🙏🙏🙏
@veronicathomasi8387
@veronicathomasi8387 4 года назад
🙏🙏🙏🙏
@gladnessferdinand2768
@gladnessferdinand2768 3 года назад
Me huwa naskia kulia halafu naogopa kufa
@masindaeliwilliam1720
@masindaeliwilliam1720 6 лет назад
Ubarikiwe Sana yani Hakuna siku inapita sijasikiliza uimbaji wako
@ShineeM2
@ShineeM2 4 года назад
1. Liko lango moja Wazi,Ni lango la Mbinguni, Na wote Waingiao Watapata nafasi. Lango ndiye Yesu Bwana Wote Waingie Kwake, Lango! LangoLa Mbinguni ni wazi. 2. Yesu ndiye lango hili,hata sasa ni wazi, Kwa wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini. 3. Hii ni lango la raha, Ni lango la rehema, Kila mtu apitayeHana majonzi tena. 4. Tukipita lango hili Tutatua mizigo Tulichukua kwanza Tutavikwa uzima 5. Hima ndugu Tuingie lango halijafungwa likifungwa mara moja halitafunguliwa.
@neymermponde7810
@neymermponde7810 3 года назад
Amen mpendwa barikiwa sana
@zainabuyasin8189
@zainabuyasin8189 6 лет назад
nyimbo hiz nazitafuta hatimae leo nimebahatisha asante sana kaka kwa wimbo mzuri lango ni mojaa tuuu tena la rehema kila mtu anapita tena kwa majonzi lango hil lazim upite ili kutua mzigo mzito amen
@faridamussa3619
@faridamussa3619 6 лет назад
Ubarikiwe Kaka,nahitaji CD yako
@Grace-so6lx
@Grace-so6lx 6 лет назад
nyimbo nzri sana
@samsonmndeme3735
@samsonmndeme3735 6 лет назад
sante san nyimbo nzuri
@stelalumumba5903
@stelalumumba5903 6 лет назад
zainabu yasin wrote waingie kwake hBagui yesu
@isackharrson8524
@isackharrson8524 5 лет назад
wimbo huu ndg unanigusa sana tena mungu kweli akuongoze pale unapo fanya kazi yake..
@briankibet9387
@briankibet9387 2 года назад
Omba mguu akuchukuwe ..we ear lying our selves .. truly ...James changole ..Judy moi ... Emmanuel Kipkoech ..kiprop ...mumanyi u are blessed u have a God heart ...But people will mistake you humans leave in deception ...Find God ..This song is the real true ... Muslims ..china ..all people all over the world will confess Jesus is the one ..
@blueskynews9199
@blueskynews9199 3 года назад
My childhood friend has just passed and am dedicating this song to her rest in peace diano chepoisho
@DinuZeno
@DinuZeno 3 года назад
Let God be with you
@blueskynews9199
@blueskynews9199 3 года назад
@@DinuZeno iam humbled
@wemaelimbwambo3429
@wemaelimbwambo3429 4 года назад
Du nmeanz sabato vizuri wimbo mzuri sana tena sanaaaa🇹🇿apa
@happyneskanyenye3760
@happyneskanyenye3760 6 лет назад
Ahsante sana kwa wimbo mzuri hizi nyimbo nazitafutaga naomba uniunge Kwenye group lako
@vickymollely1643
@vickymollely1643 4 года назад
Kweli ata mimi naomba
@ruthneloba5394
@ruthneloba5394 2 года назад
I'm always here. Good singing, Nazipenda nyimbo za injili sana. Mungu akubariki sana na tenzi za rohoni. Ahsante sana
@DinuZeno
@DinuZeno 2 года назад
Asante sana na Bwana ni mwema
@abelsanga2616
@abelsanga2616 5 лет назад
namkumbuka mama mzazi. alikuwa akiniimbia. 2004 Mungu akamchukua ningali mdogo. mpaka Leo natafakari nyimbo alizokuwa akiniimbia
@gladnessferdinand2768
@gladnessferdinand2768 3 года назад
Pole sana
@abelsanga4935
@abelsanga4935 3 года назад
Asante sana Gladness
@dorismakori
@dorismakori 4 месяца назад
Here in 2024. Woke up with it in my Spirit. On loop. Feeling blessed🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@bettykhasandi1155
@bettykhasandi1155 6 лет назад
Nyimbo zako zanibariki sana,God bless you mchungaji
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen. Karibu whatsapp 0625954315 Betty Khasandi
@isackharrson8524
@isackharrson8524 5 лет назад
nice
@solomonmbuna7229
@solomonmbuna7229 3 года назад
AMENI
@anethmalongo6754
@anethmalongo6754 7 лет назад
hakika liko lango moja wazi nabarikiwa sana na nyimbo,zako mpendwa mungu akuinue kwa viwango vya juu sanaa Be BlesseD
@eleanemusic4139
@eleanemusic4139 3 года назад
I always feel God's power In this anointed song. God increase you. Much love from Kenya.
@DinuZeno
@DinuZeno 2 года назад
Thank you, thank you, thank you.
@janephilipo5463
@janephilipo5463 2 года назад
4
@johnwatoro6937
@johnwatoro6937 2 года назад
yes
@geoffreyhavyari1295
@geoffreyhavyari1295 Год назад
@@DinuZeno thinks my brother
@eliashope1484
@eliashope1484 4 года назад
Ahsante kwa ujumbe mzuri ubarikiwe katika kazi ya bwana
@gracekimani7000
@gracekimani7000 6 лет назад
Asante Kwa nyimbo hizi ,tamu mno God bless you
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen. Grace Kimani
@haikamremi4865
@haikamremi4865 5 лет назад
Barikiwa Mtumishi..Napenda nyimbo za tenzi sana
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Bwana ni mwema
@beckyajako3352
@beckyajako3352 3 года назад
2021 And still fresh, bado hu wimbo unanibariki tu.
@DinuZeno
@DinuZeno Год назад
Ooh! God is Good
@cleophaceexaudian920
@cleophaceexaudian920 4 года назад
Wimbo mzuri lakini hata wewe mtumishi umeutendea haki kabisa, ujumbe mzuri pia
@ainessbubelwa3870
@ainessbubelwa3870 7 лет назад
Mungu akuongoze daima na Milele mpendwa.
@veronicathomasi8387
@veronicathomasi8387 4 года назад
Ubarikiwe kwanyimbo nzuri
@faridaechemutai6302
@faridaechemutai6302 2 года назад
I love ur all songs somuch may God bless u and ur family ..Ameeeeen
@DinuZeno
@DinuZeno 2 года назад
Thank you very much for your love.
@dr.maryngunyi8325
@dr.maryngunyi8325 5 лет назад
One of my late dad Rev James Ngunyi’s songs! I love this song!
@DinuZeno
@DinuZeno Год назад
To GOD be the Glory
@ramadhanamwoma728
@ramadhanamwoma728 3 года назад
Ninazidi kubarikiwa na huu wimbo, Mungu akubarik sana ndugu nawote ambao walifanikisha wimbo huo
@DinuZeno
@DinuZeno 3 года назад
Amen
@wickypaul8181
@wickypaul8181 6 лет назад
Amazing, such a blessing.barikiweni sana watumishi
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen. Karibu sana. Wicky Paul
@stecychebet1304
@stecychebet1304 3 года назад
Naitaji nyimbo 10 my Whatsapp number is 0759146867
@lightnessstanley9640
@lightnessstanley9640 7 лет назад
mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako,hakika nyimbo zako zinanips faraja kubwa iliyopotea when I hear ,Amen
@nyawishzion3713
@nyawishzion3713 4 года назад
Who's with me here 2020 till Jesus Christ come back
@estherkhamete4168
@estherkhamete4168 4 года назад
Am here
@rizikimwanyae9490
@rizikimwanyae9490 4 года назад
We are together
@dizzboss7526
@dizzboss7526 4 года назад
Even me am with you
@dorricemoses655
@dorricemoses655 4 года назад
Haleluya
@mercychebet9948
@mercychebet9948 4 года назад
Me
@mamelitangemela2405
@mamelitangemela2405 3 года назад
Wimbo umetulia, hakika kutubu ni sasa.🙏🙏
@DinuZeno
@DinuZeno 3 года назад
Hakika
@siavelaelias2672
@siavelaelias2672 7 лет назад
Good sound,good song,God bless you I love this song so much..
@obadiahkieti9268
@obadiahkieti9268 4 года назад
This song 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 really makes my heart break
@obadiahkieti9268
@obadiahkieti9268 4 года назад
This song 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 really makes my heart break
@lightinessmsangi7412
@lightinessmsangi7412 7 лет назад
nimependa nyimbo zako mtumishi nimebarikiwa sanaa mungu akujaze roho mtakatifu uwe chombo cha kueneza habari kote ulimwenguni .
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Na iwe hivyo hakika
@peternandwa4927
@peternandwa4927 7 лет назад
asante sana kwa nyimbo zenu zenye baraka, kuna nyingine zaiidi ama ni hizi pekee, niko Mombasa kenya
@faithfaith4782
@faithfaith4782 7 лет назад
peter nandwa poa to get her bro faith
@shalomtz5153
@shalomtz5153 6 лет назад
mungu akubariki mwanangu huduma njema by mtume macha
@chioma303
@chioma303 5 лет назад
Asante
@janethmgogosi5334
@janethmgogosi5334 5 лет назад
amen sina chakusems
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Sijui umezipata ngapi au unazo ngapi za kwetu tafadhali
@sophiamaziku6470
@sophiamaziku6470 4 года назад
Nimebalikiwa na na lango mungu akuzidishie huduma hii kutupatia
@winnyomae8735
@winnyomae8735 6 лет назад
The voice lango lango calls all sinners to get in that lango.... li wazi..
@neolinechemtai4565
@neolinechemtai4565 6 лет назад
Lango la mbinguni ni wazi ,,,I feel touched by this song,,,,
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Amen
@mercytoo2325
@mercytoo2325 6 лет назад
Very Powerful, Let's surely enter Now while that very Door is still Open, the Great Day of the Lord is the Day of Shutting the Door. Be Blessed of God Please. THE MESSIAH IS COMING
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen amen amen Mercy Too
@mariamsamson307
@mariamsamson307 4 года назад
Ubarikiwe mtumishi nami naomba unitumie hizi nyimbo nimebarikiwa sana na nyimbo zako
@mariamsamson307
@mariamsamson307 4 года назад
Namba yangu ni 0755704778
@brownaled2576
@brownaled2576 4 года назад
Mungu ameweka kitu kikubwa moyon mwako kwa sababu hiyo kuwa imara sana na uwe na bidii ktk yesu
@sylviaindeche6729
@sylviaindeche6729 3 года назад
I can't stop listening to this song everyday
@zenobihoka6368
@zenobihoka6368 4 года назад
Uko vizuri my friend
@vanesamwel5578
@vanesamwel5578 6 лет назад
Be blessed brother, it's only one way, Jesus Christ,,msalaba,💒👆🙌
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen amen. vane samwel
@jamesmwasambili381
@jamesmwasambili381 7 лет назад
Dinu Zeno ubarikiwe kwa sauti nzuri na uimbaji mzuri,nabarikiwa na nyimbo hizi za Tenzi za Rohoni,umeimba kwa ustadi mkubwa,Mwenyezi Mungu akubariki
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Amen
@annettekhavai4119
@annettekhavai4119 3 года назад
HALLELUHYA .THE HOLY SPIRIT LED ME IN SINGING THIS SONG .I HAD TO LOOK FOR IT .AM BLESSED.SHALOM
@aishamwanajuma2939
@aishamwanajuma2939 5 лет назад
Nice song inanibarki sana kutoka kwa mawazo machafu naona utukufu 2 cjiskii nkibanduka kwa krsrto
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Mungu akusaidie
@neemaemmanuel4942
@neemaemmanuel4942 4 года назад
Lango ndie Yesu bwana, who's here during this corona pandemic 😭🙏🙏
@silyviapaul2676
@silyviapaul2676 4 года назад
Furaha yangu ni KUONA unazidi kubarikiwa,ubarikiwe sana mtumishi
@mufush
@mufush 4 года назад
Kutoka uswisi naupenda huu wimbo sana nishacheza Mara nyingi hadi mtoto wangu wa miaka kumi kachifunza Kiswahili kidogo,ajabu ni kwamba hizo Rhythm nasikia kenya kitambo kwetu ubaluhyani,barikiwa kaka
@kezajeannettemisago8694
@kezajeannettemisago8694 6 лет назад
Mungu akubariki sana kaka yetu ! Huu ni wimbo wa faradja sana nakujenga moyo 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Ameen. Karibu sana.
@glorymangowi7913
@glorymangowi7913 3 года назад
Am listening to this song 😭 while praying for the soul of our lovely dady and honourable president to rest in peace 🙌
@DinuZeno
@DinuZeno 3 года назад
To God be the Glory
@phideliambonika228
@phideliambonika228 5 лет назад
Asante sana ubarikiwe songa thawabu yako IPO utakapomaliza kazi.
@joantestimony4775
@joantestimony4775 6 лет назад
Oooh blessings bro, lango la neema Amen.
@NeemaNestory-h8j
@NeemaNestory-h8j 8 месяцев назад
Nabarikiwa Sana kupitia wimbo huu mungu atupe neema na rehema.
@miriamchawala5930
@miriamchawala5930 6 лет назад
Lango ndie Yesu Bwana wote tuingie kwake. 👏👏💝💟💟💞
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen amen. Miriam Chawala
@adolphinekeyanina7136
@adolphinekeyanina7136 6 лет назад
Vraiment votre style de musique m'amène dans la présence de Dieu soyez béni abonnement 😍😍😍
@kevinjumba6787
@kevinjumba6787 7 лет назад
feeling blessed this day. my GOD CONTINUE TO BLESS YOUR WORK
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Amen
@jedidahmutheu4088
@jedidahmutheu4088 3 года назад
Am as blessed as you 🙏
@tulimyakembukwa6368
@tulimyakembukwa6368 4 года назад
Mungu awabariki watumishi wote mnaomsifu na kumwabudu mungu nabarikiwa sana
@judithjohn182
@judithjohn182 4 года назад
Am blessed with this hakika lango ni Yesu.
@sarahmmary2027
@sarahmmary2027 5 лет назад
Bwana yesu wewe ni mkuu na fadhil zako ni za milele,, tuokoe kwenye midomo ya shetana,,
@janetchepchirchir8109
@janetchepchirchir8109 6 лет назад
I'm much blessed with thy song,may God reward you abundantly mtumishi
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen amen na utukufu umrudie mtakatifu wa Israeli
@buligamalima7697
@buligamalima7697 5 лет назад
Lango
@deograciousetyangopidi9809
@deograciousetyangopidi9809 5 лет назад
@@DinuZeno ameni nimebàrikiwa
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
@@deograciousetyangopidi9809 Amen asante sana
@christinapaskal8744
@christinapaskal8744 3 года назад
Amina mutumixhi wamungu lango mojatu
@fastonerugotwa3026
@fastonerugotwa3026 7 лет назад
hakika umeimba vzr sana wimbo Mzuri unatubariki.ubarikiwe sana
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Asante sana
@kamau833
@kamau833 3 года назад
2021 and beyond Amen so uplifting.
@salmamataluma6511
@salmamataluma6511 5 лет назад
Barikiwa sana mtumishi pia wimbo umenibariki Sana
@mhujoaloyce8766
@mhujoaloyce8766 7 лет назад
Ubarikiwe mungu azidi kuwa nae katika kusambaza injili kwa njia ya uiambaji
@clianmassay8930
@clianmassay8930 6 лет назад
miko Aloyce AMINA
@khairatzinzibar1434
@khairatzinzibar1434 6 лет назад
Amina ujumbe mzuri sana lipo lango moja wazi la mbinguni liwazi na Mungu akubariki sana
@emanuelselula806
@emanuelselula806 5 лет назад
Ubarikiwe mtumishi.
@mercytanui4810
@mercytanui4810 4 года назад
This song always heals my heart whenever I got hurt 🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@abigalwilly6435
@abigalwilly6435 2 года назад
rt
@rosecharles9284
@rosecharles9284 4 года назад
Natamani na mm kujiunga nanyi katika kumuimbia Mungu, najisikia kuomba niposikiliza nyimbo zako, Mungu akubariki
@lilianmaiyo72
@lilianmaiyo72 4 года назад
I can hear this song many times, really blesses me.
@lilianvalentine9935
@lilianvalentine9935 4 года назад
hongera kwa kazi ya kuimba tenzi za rohoni mungu aendelee kukupa kibali hiki zaidi na zaid....naomba nirushie tenzi nyingine kupitia namba hii
@mgorebahati7582
@mgorebahati7582 6 лет назад
Lango ndiye Yesu bwana, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Amen
@DinuZeno
@DinuZeno 5 лет назад
Amen
@agneszayumba1731
@agneszayumba1731 4 года назад
Hongera kwa kazi nzuri ya kumwimbia Mungu. Nimependa wimbo huu sana.
@leahsalwa4323
@leahsalwa4323 6 лет назад
Amen nimebarikiwa tena sana.
@georgerugu954
@georgerugu954 4 года назад
Hakika Yesu ndio lango
@tumainimbilinyi6591
@tumainimbilinyi6591 4 года назад
Amina nimebatikiwa sana kwa wimbo mzur
@VaneM-s5d
@VaneM-s5d Год назад
Mungu hawabariki sana ndugu,dinu,zenu, keep this song up, again, thanks again ❤
@DinuZeno
@DinuZeno Год назад
Amen
@irenemakokha7615
@irenemakokha7615 6 лет назад
This truck blesses my soul like fresh n the desert b blessed bro and continue serving our beautiful God
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen & amen. IRENE MAKOKHA
@yusufuloiyusufu4803
@yusufuloiyusufu4803 4 года назад
Naziomba
@godfreynampongezaraiskutoa7610
@godfreynampongezaraiskutoa7610 3 года назад
Amen
@johnhenjewele1521
@johnhenjewele1521 6 лет назад
ubarikiwe uinuliwe zaidi mtumishi
@LL-xr4ci
@LL-xr4ci 3 года назад
Blessed is he that seeks refuge at the Throne of mercy! Shalom
@DinuZeno
@DinuZeno 3 года назад
Amen
@LL-xr4ci
@LL-xr4ci 3 года назад
@@DinuZeno Hallelujah!! Natuma kwa email nipate nyimbo za tenzi,,,
@LL-xr4ci
@LL-xr4ci 3 года назад
@@DinuZeno Na kama ni sawa mbele ya Mungu na mbele yako nitoe mchango kuendeleza injili:Kwa ajili hii Mungu ametuumba
@LL-xr4ci
@LL-xr4ci 3 года назад
Hello naomba namba ya mchango,ile ya mpesa
@dianafranco7570
@dianafranco7570 6 лет назад
nabarikiwa sana na huu wimbo barikiwa mtumish
@margaretmakala8534
@margaretmakala8534 6 лет назад
Asante sana ndugu huo wimbo wa langoungu akubariki sana ni margaret Kenya
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Amen. Asante sana na karibu.
@DinuZeno
@DinuZeno 6 лет назад
Unaweza wajulisha rafiki zako pia. Asante sana.
@mmkwenihira7826
@mmkwenihira7826 3 года назад
Amen Lango lambinguni liko wazi kwawaniaye YESU 🙌 be blessed brother
@frankmpembu3700
@frankmpembu3700 6 лет назад
YESU ndiye NJIA ya kweli ya kwenda MBINGUNI.Hakika YESU ni LANGO la kwenda MBINGUNI twendeni sote kwenye LANGO
@sophiabasil6024
@sophiabasil6024 6 лет назад
barikiwa sana amen amen
@venakijana4647
@venakijana4647 5 лет назад
Frank Mpembu amen
@PaulineImujaro
@PaulineImujaro 7 лет назад
ukweli lango langu ni yesu bwana tuu sina mwingine wakumtazamia thnx for the song.brother.
@PaulineImujaro
@PaulineImujaro 7 лет назад
I like the song most imegusa moyo wangu deeply with most soft tough Amen man of GOD.keep on .
Далее
KALE NILITEMBEA. TENZI ZA ROHONI.
8:59
Просмотров 575 тыс.
Liko Lango
3:59
Просмотров 180 тыс.
Liko Lango Moja Wazi
8:38
Просмотров 22 тыс.
MSALABANI PA MWOKOZI. TENZI NAMBA 77
5:49
Просмотров 1,3 млн