Asante sana maman Niko Burundi nirijalibu fanya iyo ya sim biriendeka safi kabisa mungu akujalie ingine hakili yakuzindi asante sana tena sana i love you so much
Dada mm nataka dawa ya kufanya mume wangu nitacho mwambia akikubali na nina rafiki yangu yeye hata umwambia naenda kwake baci hataki nipe dawa ya kumtuliza na anisililize na akubali kwa kutamka nenda mana sina rah yeye ndo yupo juu mm lolote nalo sema hataki wala asiki nipe dawa ya kufungaa mdomo anisilize na asinipinge na anaiombe radhi atulie na mm niwe furah ya maisha na rafiki yangu iwe anakubali nanda kwake na yeye anakuja kwangu na yeye asiseme kitu mume wangu nipe dawa ya kufanya akubali bila wasi na yeye anisikilize mm tu na kukubali nitacho mwambia
Naomba dawa ya kufanye rafiki yangu kama alikua hataki urafiki ubesty na mm baci atake wa dhati tuwe wale rafiki wa kushikana na kushibana saa zote mpo pamoja
Habari yako dada Jana usiku saa saba nilikata karatasi na nikaandika majina mara tatu kwa yule ninaye mtaka halafu nikachukua punje nne za saumu ile karatasi nikaiweka juu ya kitabu halafu nikachukua simu nikaiweka juu ya karatasi halafu nikachukua saumu nikaweka pembeni nemwa simu halafu nikaanza nikamwita muhusika kwa jina lake maratatu kisha nikaanza kuongea maneno niliyo kusudia kwa dakika 10 halafu nikachukua ile karatasi nikaiwe kwa kitabu ili kama hakupija simu nifanye na leo je zile saumu za jana nitupe niweke saumu nyengine
Sister cute mm nina shida, mm. Nimeolewa lkn nampenda sana x wangu lkn yy hanipendi tna kwasababu nimeoleka sasa nifanyeje ili arudi kwangu maana mm nampenda hatari