Тёмный

Alichokisema Tundu Lissu baada ya CCM kumchangia Sh5.3 milioni 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 139 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 556   
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 2 месяца назад
Mmh mwaka huu mtasema,Magufuli hayupo
@neemakerefu4876
@neemakerefu4876 2 месяца назад
Cccm nashauri. Mchangieni apate urais .Kura zote ,2025 ushindiuwe Kwa lissu😂
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 2 месяца назад
Lisu nikushauli hiyo hera chukua umechangiwa na watu wanaokupenda ndani ya CCM na nje ya CCM saaafi
@MWAMPAMBA
@MWAMPAMBA 2 месяца назад
Baba siyo Njia ya kumuvuta ccm
@abdulhussein7774
@abdulhussein7774 2 месяца назад
Acheni figisu ccm
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 2 месяца назад
chadema wana taget nzuri tulia mwanangu ccm lazima tuiangushe
@simonMollel-rr3gb
@simonMollel-rr3gb 2 месяца назад
Ni mtego alafuwametia kashfa​@@MWAMPAMBA
@Pascaltz
@Pascaltz 2 месяца назад
Hili shoga nn
@MwesigeMwesige
@MwesigeMwesige 2 месяца назад
Iyo kejeli
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 2 месяца назад
Mi namkubali lisu apokee hiiyo hela kunawatu wapo ccm lakini wanampendalisu Kwa moyo kabisa
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA 2 месяца назад
Uwakika
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 месяца назад
Sanaaaa tu huyo ni mwanadamu kuna maisha baada ya Uchaguzi nq Siasa binadamu inapaswa mpendane duniani tunapita tu
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 2 месяца назад
Hiyo ni njia moja wapo ya kumdhalirisha kwani yeye peke yake ndio ameumizwa?
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 2 месяца назад
@@husseinmkanga7794 hela ichukuliwe gari ikatengenezwe mengine ya siasa yataendelea
@ephraimkalanje7105
@ephraimkalanje7105 2 месяца назад
Ni ya kutoka moyoni hii enyi CCM...au unafiki fulani na kumdhalilisha mtu...pamoja na changamoto zake alizonazo za afya yake? Kwani utaratibu wa Mbowe Mbowe kutumia chopa hauna maelezo na sababu zake? Kwani usafiri anaotumia mwenyekiti wenu CCM ndo unaotumiwa na kila mtu huko? Maridhiano makubwa na upendano wa kweli ingekuwa ni kuacha kutekana, kufunguliana kesi za uongo, kutesana kwa vipigo vya polisi visivyo na sababu, kushirikiana kwa pamoja kujenga mustakabali mwema wa kuendesha nchi kwa kuwa na katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na mihimili imara ya kitaasisi ya kuhakikisha kuna utawala bora...kujenga nchi yenye kufuata HAKI! Haya ya kuchangiana, kusaidiana yataoneka mema zaidi katika mazingira ambapo kila mmoja hamtilii mashaka meingine. Yataonekana ni utani wa kweli na si utani wa kushushiana heshima au kumzodoa mtu. Simba a Yanga hutaniana sana na washabiki wa kweli hununuliana hata vinywaji huku wakitaniana. Lakini wapo katika ushindani wa mpira ambao husimamiwa vizuri na kwa haki na waamuzi...japo kasoro zaweza kuwepo za kibinadamu kwa marefa.
@NicodemBarantanda-ud7qy
@NicodemBarantanda-ud7qy 2 месяца назад
Aibu kwa ccm mnayofanya ila nimewapongeza kwa kuwa mmetabili raisi ajaye imekaa vizuri Sana mtaongeza kufanya hayo akiwa anaelekea Ikulu mtenda haki pamoja na kwamba wanaoendelea kumdhalilisha bila 7bu, Lakini ndivyo ukweli unavyokwenda kutumia maana hata Yesu akiwa amebeba hatima ya Dunia alidhalilishwa kiasi Cha kutemewa mate ndiyo maana tupo hapa leo.Tanzania MUNGU anakwenda kutupatia kiongozi wa kutoka kwake ikiwa mifumo ya kuwapata VIONGOZI haitaingiliwa
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 месяца назад
Nani anaelekea ikulu?
@EliasPaul-qs2ib
@EliasPaul-qs2ib 2 месяца назад
Unaota wew
@edwinamos9734
@edwinamos9734 2 месяца назад
😊😊😊
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 2 месяца назад
Nafikiri mmeona ndani ya ccm Lisu anashangiliwa. Msigwa kawaponza indirectly ndani ya ccm wafuasi kibao wamfuata Lisu, maana ilipo mali yako ndipo roho yako ipo.
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 2 месяца назад
msigwa ana fanya kazi nzuri sana
@reubenmhagama8164
@reubenmhagama8164 2 месяца назад
Kazi Gani nzuri mnafiki tu huyo
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 месяца назад
Si kweli
@SisteryMagwaza-pi2yk
@SisteryMagwaza-pi2yk Месяц назад
Lisu yupo kwajil ya wananchi wake na sio kwajil ya chama chadema sisi wote tuko kwajil ya nchi yetu kuikomboa na mafezul🙏
@AnthonyChaula-d8l
@AnthonyChaula-d8l 2 месяца назад
Tundulisu chukuwa hiyo hela
@marymwasiga
@marymwasiga 2 месяца назад
Lisu, Ana busara''' sana'
@JastinyMbeyale
@JastinyMbeyale Месяц назад
Arise and sine
@clementmgongolwa8316
@clementmgongolwa8316 2 месяца назад
Hilo gari mbona mliharibu ninyi wenyewe
@saddychavala2052
@saddychavala2052 2 месяца назад
Hivi shetani akisema Bwana asifiwe utaitikia Amina au utamkemea
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 Месяц назад
Anaanzaje Mimi nasemaga wachungaji ole wenu😢😢😢
@reginas1832
@reginas1832 2 месяца назад
Mheshimiwa Lissu usipokee hiyo fedha
@goodluckkombe994
@goodluckkombe994 2 месяца назад
Imewekwa ktika account yake ...
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 2 месяца назад
Mungu akubariki sana list kwakukubali mchango
@sabrinafadhil8835
@sabrinafadhil8835 2 месяца назад
Aina maana
@BarakaMwakalinga-sn5sp
@BarakaMwakalinga-sn5sp 2 месяца назад
Mchango mtego huo, mchango wenye masimango kiasi hicho hapana. Mnamchangia lisu alafu mnaponda lissu.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 месяца назад
Chama chako ndiyo kilisababisha hayo yote. Ni aibu kuona bado naishi
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 2 месяца назад
Hii ni nzuri mno inatakiwa kuigwa wote ni wa Tanzania mmeifundisha jamii ya kitanzania Itikadi zetu zisi tutofautishe Watanzania ❤❤❤❤
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 2 месяца назад
Baada ya kuwafunga na kuwapiga
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN 2 месяца назад
Mama mungu atakulipa Tundu lisu anamchango mkubwa sana ktk nchi yetu ingependeza kama Utojali Mpe gali jipya mungu mungu akulinde sana mama
@martinigabriel702
@martinigabriel702 Месяц назад
Wee msigwa mnafiki sana
@NakembetwaKitundu-tn7xx
@NakembetwaKitundu-tn7xx 2 месяца назад
Game of mind
@mohamedkwiga6870
@mohamedkwiga6870 2 месяца назад
Dahhh' Msigwaaa siasa ubao
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 2 месяца назад
Lisu ukipokea tunakulaani wananchi Haki na batili havikai pamoja
@willymwasakyeni4393
@willymwasakyeni4393 2 месяца назад
Heee we vip unamlaani kama nani we MUNGU au
@CretusMwalongo
@CretusMwalongo 2 месяца назад
Acheni Mabwege kujipendekeza kwa mh.LISSU
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 месяца назад
Bwege wewe usiyejua Siasa kafie mbele
@VictorFungo-b6n
@VictorFungo-b6n 2 месяца назад
Msigwa ni chenga hakika! Mungu amponye
@Jumamagacha
@Jumamagacha 2 месяца назад
@mberaemmanuel9091
@mberaemmanuel9091 2 месяца назад
Good🎉
@georgemwaikusa4451
@georgemwaikusa4451 2 месяца назад
Waishi na Msigwa kwa tahadhali sana vinginevyo watajuta
@remtulanassary
@remtulanassary 2 месяца назад
Kwan nnani alienpiga RISASIIII??
@AbrahamSekuze
@AbrahamSekuze Месяц назад
CCM mnajua alichofanyiwa Tunduliso mungu anawaona
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 2 месяца назад
Msigwaaaa!!!!!!!!! Sina hamu na wewe maisha yoteeee
@abdallasheha4173
@abdallasheha4173 2 месяца назад
Mbona msigwa umekonda sana yangu kutoka ccm
@twalibulomy-cd4zd
@twalibulomy-cd4zd 2 месяца назад
Anenepe kwani anachinjwa?. Saiv ana afya. Unene kawa tembo.
@LusunguWatsonMgeni-gr8zt
@LusunguWatsonMgeni-gr8zt 2 месяца назад
Mimi na shangaa sana MTU kashiba kande zake huko anasema yafaa kuigwa kitendo cha CCM kuchangu pesa Kwa ajiri ya Kamanda Lissu wameshidwa kumpa HIKI zake za Ubunge Leo change hivyo visendi hivyo ni unafiki TU
@GerardMdui
@GerardMdui 2 месяца назад
Afrika bado sana
@Ambwene
@Ambwene 2 месяца назад
Mimi ni CCM lakini mheshimiwa Lisu usichukue hizo Pesa ni za kinafiki 😢😢😢
@briankatani6770
@briankatani6770 2 месяца назад
Hakika siasa bhana,Lisu Lisu Lisu
@eliajimmy95
@eliajimmy95 2 месяца назад
Mlimpiga risasi, leo mnajifanya mnahuruma, Lissu kuwa makini wachonganishi hawa
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 2 месяца назад
Hakika
@josephineokama2200
@josephineokama2200 2 месяца назад
nakuambia hivi washaanza kujitafuna wenyewe ccm ndani kwa ndani we unafikiri kinnana kujiudgulu ni mjinga nape kuwa kando ni mjinga yajayo yanafurahisha
@rastheunique
@rastheunique 2 месяца назад
Mbona mi sielewi hii scene
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 2 месяца назад
CCM wanafiki sana..Mibaba mizima na ndevu michawa..
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 2 месяца назад
Iyo pesa nipeni mimi ntampelekea lisu
@ngusawales2039
@ngusawales2039 2 месяца назад
Msigwa ndo kaniharibia kuangalia hii chaneli jinga kweli ila makala na nchimbi 👍👍👍👍
@samoskiyalo6095
@samoskiyalo6095 2 месяца назад
Hongera sana ila msigwa ni jipuuu
@dicksonulotu7427
@dicksonulotu7427 2 месяца назад
Mhe Lisu naomba uchukue hiyo hela.wananchi wanakuoenda
@VotanVotan-gb3hd
@VotanVotan-gb3hd 2 месяца назад
Heshima sana chama letu
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 2 месяца назад
Lisu kama ni molion tano toka kwa CCM achana nazo mimi pekee naweza kupa hizo
@light-techchannel5946
@light-techchannel5946 2 месяца назад
upumbavu tu huo, kweli wanashindwa kuchangia watu mashuleni au watoto yatima hata hospitali, mko kuchangisha za gari
@KananaKadogholo
@KananaKadogholo 2 месяца назад
Hii huruma!! Mmmh?
@LusunguWatsonMgeni-gr8zt
@LusunguWatsonMgeni-gr8zt 2 месяца назад
Lissu hanunuliwi wananunuliwa wasio na akili timamu kama hao wakina Tomaso mnaowatumia Kijani Chadema ni chama makini sana nasio vyama vingine kama vyo Watanzania CHADEMA ni kweli tusifanye makosa Tena watu watuchangulie hapana
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 2 месяца назад
Ela za kinafiki hizo
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 месяца назад
Unafungwa macho wanajuana kwakile walichokifa mbea
@khamismansour5932
@khamismansour5932 2 месяца назад
CCM NI MIJITU MIJINGA SANA HUO MCHANGO SI WAWAPELEKEE WATU MASIKINI WANAOKOSA HATA MLO MMOJA
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 2 месяца назад
Lissu ni jeshi, ila ni dhahabu, afu tunatakiwa kumpa nafasi anayostahili, na anamchango mkukwa katika nch hii
@anselmoonolius
@anselmoonolius 2 месяца назад
Kua ccm ni sawa na kua upande wa ibilisi
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 2 месяца назад
BIG BRAIN MUHESHIMIWA ANTIPASSLISSU 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@DoiDoi-p9m
@DoiDoi-p9m 2 месяца назад
Lisu ni mtanzania hata Mimi nimefurahi achangiwe maana mbowe ni mbinafisi sana
@DaudiOkey
@DaudiOkey 2 месяца назад
Mmefanya vzr Ila nanyie wabunge mchangieni kuonyeaha kweri mnampenda mbarikiwe sana
@jamhurigeorge7730
@jamhurigeorge7730 2 месяца назад
Lissu usijalibiwe na vipande vya pesa nakuomba sana lissu usipokee
@KhalfanJuma-ii4fk
@KhalfanJuma-ii4fk 2 месяца назад
Lissu ninaye mjua Mimi akipokea hiyo hela huyo sio lissu naapa kwa katiba ya Chadema na kwa uaminifu na misimamo ya lissu.
@Mumewangu
@Mumewangu 2 месяца назад
Hiyo lisu imeenda chezea ccm we
@YahyaOthman-et2ki
@YahyaOthman-et2ki 2 месяца назад
Mm nakushauri lisu pesa usichukue
@FadhilyOthman
@FadhilyOthman 2 месяца назад
Lisu usichue pesa za hao mbwa wakubwa
@michaelpatrick9317
@michaelpatrick9317 2 месяца назад
Mwanaharakati wa kweli Tundu lissu 😂😂 LKn hapo Msigwaaa umeingiaa Kwa sababu ya Maokotoo CCM very poor hunaaa Siasa wew ni njaa tuuu 😂😂 mwizii
@ahmedhamis
@ahmedhamis 2 месяца назад
Lisu pokea hela na kazi iendelee
@SauwaeliNnkoEbenezer
@SauwaeliNnkoEbenezer 2 месяца назад
Lisu usipokee pesa za wahuni
@amaniamani6391
@amaniamani6391 2 месяца назад
Akipata urais hatowaacha kabisa mlipeni stahiki zake basi
@dennislyimo94
@dennislyimo94 2 месяца назад
mamae chama cha majizi
@kirungekirunge5920
@kirungekirunge5920 2 месяца назад
yaani siasa Tanzania ni ajira safi ya kuishi Kwa kufuatiliwa maisha yakko Kwa uzuri
@alinasor8553
@alinasor8553 2 месяца назад
Mie chadema siwaamin naona wapo kimaslahi zaidi
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 2 месяца назад
Msimgwa anaonyesha kumpigia debe lisu kwamba anakubalika
@deodathsilayo3639
@deodathsilayo3639 2 месяца назад
Chukua pesa mzee wetu hizo ni zetuu tuu
@TwinaweEnterprises
@TwinaweEnterprises 2 месяца назад
Nyie ndiyo mliharibu gari lake
@trueprophet7627
@trueprophet7627 2 месяца назад
Kwa sifa alizosema Msigwa inamtambulisha Mh. Lissu kuwa ni mzalendo wa Taifa hili na anafaa kuwa kipekee RAIS WA TANZANIA
@viootanzania9080
@viootanzania9080 2 месяца назад
Ila hizi ni sanaa tena sanaa za wazi wazi hivi ndivyo tunavyocheza na hisia za watanzania
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 2 месяца назад
Hata mfanyeje haji ccm mlichomfanyia mungu anajuwa nanyinyi mnajuwa mnaweweseka tu hamna sela tena
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 2 месяца назад
Good tundu lisu
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 2 месяца назад
Kumbe msigwa ndo msemaji wa lisu
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 2 месяца назад
Lisu pokea pesa haraka
@JumaKitutu-t4s
@JumaKitutu-t4s 2 месяца назад
Lisu ni smart anajua anachofanya Hiyo pesa yenu chukueni wenyewe
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 2 месяца назад
Wanafiki hao lisu .ujuwe Wana taka kututoa Kwenye reli tusahau ya mbeya.
@Mumewangu
@Mumewangu 2 месяца назад
Mtajuwa hamjui
@jeffhard5773
@jeffhard5773 2 месяца назад
​@@Mumewangunaam nipo hapa mumeo
@JamesZakayo-o2f
@JamesZakayo-o2f 2 месяца назад
Hii ni kupoteza mada ya wabakaji
@hapaupdates9277
@hapaupdates9277 2 месяца назад
LISU ATAKUWA RAISI TANZANIA 2035
@SimonAfrael
@SimonAfrael 2 месяца назад
Mchungaji mnafiki uyo
@karamarwamugema3700
@karamarwamugema3700 2 месяца назад
Lisu hiyo hera ikipokelewa atakuwa amekubali kashfa iliyotolewa na Makara pamoja na Msigwa. Huwezi kuzidiwa ujasiri na Hamisa Mabeto aliyekataa Range ya Harmonise kwa ajiri ya diginity yake. Mimi nafikiri hizo hera zirudishwe na wapewe onyo kali kuwa wakome kbs. The way forward, chama kingefanya top up haraka Lisu akanunuliwa Range mpya ili kukata ngebe. Kujikomboa ni pamoja na kukataa dharau.
@MwljofreyChitta
@MwljofreyChitta 2 месяца назад
Pesa za kejeli.
@irenebarakeli
@irenebarakeli 2 месяца назад
Kwa Nini hawakumchangia wakati anaumwa Lissu ogopa hizo Hela kama kaaa laa moto kufa kiume achana nazo boss wangu
@JoeSheushi
@JoeSheushi 2 месяца назад
Hichi ndio chama
@RubenMollel
@RubenMollel 2 месяца назад
Mm namxhauri lissu asipokee hizo ela kwani Hawa CCM ndio wanaona sasaivi unafaa kuchangiwa hiyo ni siasa tuuh ya CCM
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 2 месяца назад
hii ndo njia nzuri ya kukivunja chama cha ccm
@MurunguwetoshaDeheaven
@MurunguwetoshaDeheaven 2 месяца назад
Mnatafuta Laana,damu ya MTU haidhihakiwi,Nani aliliharibu Nani?
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 месяца назад
SAFI SANA CCM, MWENDA KWAO SI MTUMWA..., TUNAJENGA TAIFA MOJA.. JAPO WENGINE NI CIA AGENTS..
@yudachelango6824
@yudachelango6824 2 месяца назад
Siasa za MAJITAKA HIZI. Na kuzalilishana
@StevenNyanguye
@StevenNyanguye 2 месяца назад
Mheshimiwa lisu ucjaribu kupokea,wengetangaza aliekupiga lisasi haki ya mungu leo ningepiga makofi kwa ccm
@CYPRIANMACHIBULA
@CYPRIANMACHIBULA 2 месяца назад
CCM HATA MREMA ILIWAHI KUMCHANGIA NA AKASEMA AKACHUKUE FOMU. KWAMAANA HII CCM CHAMA MLEZI
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 2 месяца назад
Msigwa hufai kabisa kuitwa mchungaji. Hufai!!!
@deuskamugisha3627
@deuskamugisha3627 2 месяца назад
ajafikia hali hiyo
@camilomassao8971
@camilomassao8971 2 месяца назад
Unafiki ni kitu kibaya sana.
@AloyceKaspari
@AloyceKaspari 2 месяца назад
Duuuhh, Tanzania yangu Mungu tuhurumie.
@mlyamalitv1789
@mlyamalitv1789 2 месяца назад
Hapo mnafiki ni Msigwa anjilinganisha na MBOWE-Royal na kambeba.
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 2 месяца назад
Acheni story nani kamfanya awee kilema?
@kurwanjonge4586
@kurwanjonge4586 2 месяца назад
Anaempenda lisu si angempelekea mwenyewe
Далее
Гаджет из даркнета 📦
00:45
Просмотров 140 тыс.
Гравировка на iPhone, iPad и Apple Watch
00:40
Why is the Commonwealth Expanding?
9:21
Просмотров 132 тыс.