Тёмный
No video :(

LISSU AKIWASHA MANG'OLI MKOANI ARUSHA, APOKELEWA NA MBOWE NA LEMA, WANANCHI WAJITOKEZA KWA KISHINDO 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 166 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@amanikhamisi334
@amanikhamisi334 2 месяца назад
Lisu njoo kunduchi mji mpya Kuna madudu mengi
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 2 месяца назад
Mh Lissu kapiga Jeans ya kishikaji sana😂
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 Месяц назад
Sawakabisa ndg mh lissu nimekwelewa kabisa, CCM nimajambazi tu hawanalolote zaidi yawizi
@JacksonFrances
@JacksonFrances 2 месяца назад
Piga Spana Mheshimiwa Lissu Mpaka Vijana Tuamke Kulikomboa Taifa Letu Dhidi Ya Maharamia,, Mafisadi na Wanyonyaji CCM "
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 2 месяца назад
✌️✌️✌️✌️forever
@prospermalala6636
@prospermalala6636 2 месяца назад
MH Lisu Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha, kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yenu ielewe haki zao zilizofichwa na haramu CCM, uwezo wao umefika mwisho wa utawala haramu,
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc Месяц назад
Lisu karibu SANA huku KUSINI yaani nmt, Tunduru na. Namasasi karibu sana
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Месяц назад
Hats kama ni wa humid inahusu chadema mipango mzima ccm hatuitaki inanuka imeoza imechakaa
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 14 дней назад
Uchaguzi ujao wa serikali za mitaa ni kuwaondoa ccm madarakani.
@user-zq4gj1jm5t
@user-zq4gj1jm5t 7 дней назад
Hata Muwadanganye Vipi Wananchi Mnajisumbua Maana Hata Mkiishika Nchi Hamtafanya Kitu Zaidi Ya Kuichuna Nchi Na Watanzania Wenyewe, Maana Kwanza Mtajitajilisha Nyinyi Na Familya Zenu Na Kuwaacha Wananchi Kwenye Mataa, Kwakusema Tuu Mnajua Kulopoka Hiyo Yote Njaa Tuu,
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 2 месяца назад
Lissu njoo jamani orkesumet please
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Месяц назад
Cshikamooni wazazi wangu name Safiiii sana
@mataypanga5262
@mataypanga5262 2 месяца назад
Lissu umekosea,enzi za Herman Sarwat jimbo la Mbulu lilijumuisha majimbo ya (Mbulu Mji,Mbulu Vijijini, Babati mjini,Babati vijijini,Karatu na Hanangw).
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 2 месяца назад
Kakosea nini kama yote hayo majimbo uliyotaja lilikuwa jimbo moja , kwahiyo lilipogawanywa ndo unataka wasiwe wajukuu wa Sarwatt
@YaeLondon-xy7sh
@YaeLondon-xy7sh 2 месяца назад
Hajakose ndo maana anasema mbulu
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n Месяц назад
Alichokosea. Lissu Nn? Iv Unajua Sababu Ya Kugawa Majimbo? CCM wamlianza Kugawa Majimbo Baada Kuona Chadrma Wameshika Alimashauli Zote Kama Ujui Mm Ndio Nakuchana Kaka Ccm Ndio Tatizo Kwenye NCHI Hii
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n Месяц назад
NA KUSIMAMIA MAWAKALA PIA POLISI WASIWATOE VITUONI POLISI WANAISADIA CCM KUPOLA UCHAGUZI LISSU WAMBIE POLISI NAO WAKISHILIKI KUWASAIDIA CCM WAWAUE
@frankcharles3980
@frankcharles3980 2 месяца назад
Chama imara kabisa
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 Месяц назад
Pesa iliyochangwa imefikia tsh ngapi? Wape mrejesho au
@amanikhamisi334
@amanikhamisi334 2 месяца назад
Sarut
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n Месяц назад
Mkondiya Ww Fala Uchochezi Ukowapi Hapo Nenda Shule Ccm Siowatu Wazur
@evelina9621
@evelina9621 2 месяца назад
Kuna.mgoli.ya.mkono Yatakigww.kivipi.uangalifu Utakiwa.tumieni Mbinu.kama.mwalim Nyerere
@user-eg1mz6vo1d
@user-eg1mz6vo1d Месяц назад
Usitukumbushe Diwan wetu pendwa
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka Месяц назад
Si anamsifia jamani hayati mh Moshi Darabe sijaona baya hapo.marehemu Thomas M Darabe tulikuwa naye udiwani chapakazi na mstaarabu aliyejawa na moyo wa upendo .Mungu ampe pumziko la milele🙏🙏
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 2 месяца назад
Mwenyezi Mungu hatampa Nusura ya kuchaguliwa Na Safari hata anaropoka mapinduzi Malaika wanamhesabu inshallah Hesabu za maovu yake wanayo Hii haisubiri kiyama atalipwa kwenye uchaguzi Siku ya malipo atahukumiwa matusi alomtukana Rais Samia
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 2 месяца назад
Lema na Tundulisu niviongozi wahuni .tu .Hawana hoja zozote zaidi ya uchochezi na mstusi
@chidybizz8684
@chidybizz8684 Месяц назад
Wamechochea nini?mtu mzima hauna akili hata kidogo
@akkdillin9781
@akkdillin9781 Месяц назад
😮😮😮😮😮😮pole sana.wahuni wako wapiiii'kuelimisha jamiii.ni uhuni.
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 Месяц назад
Watanzania sio wajinga tena mtasema tuu 25
@c.l.g.mchurch6426
@c.l.g.mchurch6426 20 дней назад
Tunajuwa umekengeuka na ccm mtakomaaa 2025 😂✌️
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 14 дней назад
Clemence pole Sana.
@kibuzosengamshairi4214
@kibuzosengamshairi4214 2 месяца назад
Watishie nyumbu wenzako
@LuganoPondo-km8ub
@LuganoPondo-km8ub 2 месяца назад
Roho Ina kuuma sana,jinyonge basi
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 2 месяца назад
Lisu ni mkimbizi anamtukana Rais wetu ili akamatwe asingizie usalama Mwenyezi hatampa baraka ya kuchaguliwa Mbowe tafuta mgombea mzalendo huyo ni mkimbizi anachafua Jina na sifa za nchi yetu tuko macho naye Anacho kibeba nyuma ya pazia tunakijua. Tukana Mheshimiwa rais wetu ambaye kwenu si mheshimiwa mtakavyoweza matusi yatawagharimu
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 Месяц назад
Lissu hana sifa ya kuchaguliwa kuwa Rais Hakuna Rais mlemavu Duniani hivyo hana Sifa ya kugombea Hapo ananawaona wapumbavu waliomchangia pesa
@yonapius6001
@yonapius6001 Месяц назад
Ulemavu wa mguu ni Bora kuliko ulemavu wa AKILI.
@c.l.g.mchurch6426
@c.l.g.mchurch6426 20 дней назад
@@adamlubawa1281dishii limeyumbaa pole san 😂
@c.l.g.mchurch6426
@c.l.g.mchurch6426 20 дней назад
Tunajuwa umekengeuka wew polee san😂 unajitowa akili 2025 ✌️
@ibrahimngwira327
@ibrahimngwira327 Месяц назад
😅
@evelina9621
@evelina9621 2 месяца назад
P GB
@kibuzosengamshairi4214
@kibuzosengamshairi4214 2 месяца назад
Hao wabunge wasomi waliwasaidia nini wana karatu
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 2 месяца назад
Ukiambiwa utaje kazi za Bunge (au wabunge ) huzijui . Ndio maana unasema hivyo ,kazi moja ya Bunge ni kutunga sheria na wewe taja zilizosalia kama unazijua ,naona huenda kazi za Bunge huzijui.
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 Месяц назад
We ni Haini mchochezi Haiti hupati kura we mkimbizi usijinasibishe na utanzania baking na Hao baba zako wabeljiji unataka kuuza Tanzania kwa wabelji tube kama Congo laana zinakukuta Sema uongo utakugharimu
@user-ii2ej1bx4n
@user-ii2ej1bx4n Месяц назад
We nae peleka hasira zako za uchawa wako ccm
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Месяц назад
Wajinga Fulani Tu hawa ambao hawajitambui ukawapa nchi wajinga kama hawa ccm imefanya mambo mengi sana mabarabara mashule maospitari wao chadema wamefanya walimpa kura hizo kwa sababu ya ukabila
@c.l.g.mchurch6426
@c.l.g.mchurch6426 20 дней назад
Acha porojo kodi zetu wana nchii watanzania naona umekengeuka ccm wezi tuu 2025 ✌️
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 месяца назад
Hamtapata kura kamwe
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 2 месяца назад
Wewe unajuaje ?Acha ujinga
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 месяца назад
@@dionismutayoba3542 Siasa siyo kutukanana nakuhakikishia hilo tusi itamkost Lisu hivi kozi ya matusi mlipatia wapi
@user-os6mt1pm9q
@user-os6mt1pm9q 2 месяца назад
Mimi nitawapa kura
@shabanadam4476
@shabanadam4476 2 месяца назад
Wanatutetea nchi yetu inapigwa bei kwa wakoloni katika karne hii ya 21 inaumiza 😮
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie 2 месяца назад
Tutawapa kura ww na wajinga wezio baki huko pumbavu
Далее