speech hii ni speech yenye kiwango cha hali juu sana. Diamond hapa hajatoa hotuba hii kama msanii Bali hii ni hotuba ya kiungozi. safi sana Diamond, love your country, love your government. Utafika mbali sana
was worried about all this bt m glad its been sorted out.Thanku Diamond kwa kunyenyekea nakuomba msamaha.Be humble nd our Good God will uplift u mo nd higher.
he is taking responsibilities to his mistakes..kudos Basata as you take care of whats going around when our musicians launch songs which arent appropriate. Thanks to Nasib and Raivanna for understanding where Basata is coming from.
wakenya waanafikiria siku moja Diamond atahamia kenya na muziki wakenya utakua juuu athubutu!! kama ataendelea kua huyo Diamond wa leo yuko hapo kwa sababu ya powerfull blessings na support za waTanzania
Ongea kiswahili baba. Kinge kinakuumbua. Ila umejikokota asante Zari. Na tanasha kweli anakujuilia maana si kwa sifa hizo. Ila hana hadhi yeye wala wewe. Kama utaoa mke asiejulikana basi hadhi yake itakua kubwa watu watakua wanatamani kujua habari zake kama Amina wa kiba shauku ilikua kubwa. Ila oa tuu mnaendana. Letu jicho
I love my country kenya hakuna matata kila shetani akitoka aliko toka anakuja kenya, karibuni wasafi lakini msituletee uhenga na ujinga wenyu Kenyans hatupendi ushenzi ni chini ya maji
Nyie wakenya mnaosema tuwape diamond sawa na sisi tupeni bandari ya Mombasa maana mnamtaka Sana he is source of our income afu diamond Una code mixing na switching kisenge
Lugwe lalo.. kwani weye Unafaa Unapomnyoosha mwenzako kidole na wewe jitizame vingapi vimekuelekea wewe.... ndio mana Kikwete Alimuita na kumsihi kuwa kuna watu. Hawana kitu na wengine ni mahasid sasa weye ndio hasid.
Modi my boy kp up by muoye tanasha is yr wife she can make a Gd wife coz she never listen to rumours. welcome to our beloved and PEACEFUL country WITHOUT negative restrictions feel free.pergorm with CONFIDENCE. 😍😍😍😍😍💞💞💞
matiang'i n 🔥🔥🔥 kenya atakuchota na spade heri uko kwenu n maneno basi Kenya wananchi pekee n 🔥🔥🔥 sembuse serikali n venye kenya hawaimbi uchafu wanafaint na mix ya swahili na eng basi
YAANI ww mwenyewe haujiongezi hadi iambiwe na binaadamu wenzio unafanya mambo km limbukeni wa pesa au ndo ulikuwa unawacheka na kuwasemanga wasokuwa nazo