Ametakasika mfalme wa watu Hili limenikumbusha mtume rehma na amani ziwe juuyake,,pale alipo mwambia swahaba wake amsomee qur'an yule swahaba akasoma mpaka pale alipo fika ::kila umma utakapo kuja na shahidi wake na wewe ukatujia na huu umma wewe ndio shahidi wao:: mtume wetu akalia sana,,,kumbe umma watu wenyewe ndio namna hii inastahiki mtume wetu kulia na hata sisi tusikitike sana nakumlilia الله atuongoze umma ndio hali hii sasa..الله atuongoze sisi na vizazi vyetu katika usawa wa hakki..
Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa Allah awaongoze hakuna ibada isipokua ile aliotufundisha Mtume swalallahu alaihi wasalam kupitia maswahaba wake waliongoka (swalafu swaalih).....Nas alu llah aafiya wasalama aafiya wasalama
Watu wanazini wanaangalia mipira wanamuaswi mungu lakin hamuafuati kuwaambia lakini mkiona watu wana piga maulidi na dhikiri munawatukana... sasa uislamu gani huo au ndio sunnah gani hiyo. Acheni tupate raha ndio starehe zetu hizi nyie endeleeni kufuga ndevu na kukata kanzu
*kama wewe sio mpenzi wa mambo kama haya basi wewe wacha kaa kimya ila usiwahukumu wengine kumbuka kuhuc kuhukumu ni kazi ya allah. Ni khitilafu tu hizi. Kwaiyo tuache wenye mambo yetu.