Dah nimetupa muda mwingi sana kuwangalia show kali kutoka kwa Legendary JUMA,MZIKI WAKO BADO NI MOTO MKUU YAANI UNADUMU SANA DUH HIZO NGOMA ZOTE KAMA ZIMEPIGWA JUZI KATI TU.
jonijoo napenda teamwork,creative mind,teamspirit, mko sahihi kwa maoneleo yangu nikependelea katika hii show yenu ikewezekana pakaongezeka mcheshi joti itakuwa kizazi sana
jaman kunanyimbo mpya wanapenda kuipiga wasafi efm sijajua nani kaimba ira maneno machache nimekariri yanasema sitaki kiki niko praiveti anae jua arie imba nyimbo hiyo naomba anitumi jina rake
hao jamaa wenyew wanaosema hawajawah kusadia lkn kukosoa aisii ndo maaana wanateswa na redio za mawingu kwasabb ka watumwa wa maneno ona nakuonesha niki wa pili clouds mwana fa cloudz roma cloudz wote wakosoaji utakuta wana tumika kupinga wat wanachokifanya
Sema watangazaji nyie mnadharau kwenye maswali kwa mtu mnaonekana mnamletea dharau san bro! Nimecheki interview yenu mliofanya na weusi mnawauliza maswali kwa wogaaa hadi ili fikia hatua wanawaletea dharau ndani ya studio yenu plz mbadilike muwe na heshima msiangalie msanii yuko vip kumbuken kila mtu anamaisha yake, sema nature anahekima sana
Wasafi fm wasafi tv wasafi media wasafi music wasafi wcb dur ama kweli kila binadamu anaumuhimu katika dunia inamaana bila diamond platnumz isingekuwepo wasafi
muziki unahitaji sacrifise nyingi sana ambazo usipofanya yanakukuta ya kupotea kwny game...nature ameziita majukum, sio mbaya kua karib na familia. bt kwny gem unaongeza chance ya kupotea. only way kubak ni kujidedicate muda wako na career yako ya muziki. kama wafanyavyo kina eminem.. most of them hawana mahusiano mazuri na watoto ama familia zao..pen down