Daah hii interview nimeiludia Mara Tatu ukiachana na ile sku ya kwanza. Naisikiliza kwa radio 2023 but amini menifungua vitu vingi saana vijana wengi walio soma hawajui utofaut wa degree kuibadilisha kuwa lak moja ni kitu kikubwa sana hata msanii #fidq aliwahi sema katika mashail yake kuwa kufanikiwa siyo elimu ni maujanja ujanja frani tu hivi ko Msukuma ni mtu mmoja ambae anapenda kupambana yaan kwa ujumla wasukuma wengi tupo hivyo hata mimi ni hustler 💪🏻 saana japo bado sijafanikiwa ila naamini
Kiukwel msukuma asilimia kubwa ndio hua ananimaliziaga bundle langu.yaan namkubali xn,huyo ni mwamba.namfuatilia xn,kwanza hafake maisha,wala kujisifia kitu ambacho hana.kwanza anajiamin hta akiongea ni burudan.big up xn kiongoz.
Alisema ruge kwenye maisha chakwanz tafuta nafasi ukipa nafasai onyesha uwezo ukionyesha uwezo utatengeneza jina na jina. Ndo litakalo kupa pesa sema sisi vijana tuna jisahau sana ukipat nafasi unatak pesa ndo ifuate that's why Tuna feli sanaa
Mheshimiwa wewe ni mbunge wa kipekee ,kwa simulizi zako nimejifunza mengi na nimekuelewa vizuri tofauti na nilivyokua nakufikiria awali mheshimiwa mbunge
Achoongea msukuma ndicho wanachokifanya wachina japani na wahindi, coz wanasoma wanapata elimu na wanaigeuza elimu kuwa pesa na ndio wanafanya vizuri dunia ktk maendeleo duniani.
Dha!!story inafanana na yakwangu kabisa nilipotoka jerq japi bado cjakutana na biashara kubwa ya mamilioni ila naona kabisa naelekea uko,nadhan baada ya magumu uqa ni baraka ila ni kama utamtegemea mungu lakin jitiada pia
Msukuma ni mtu nzuri Sana Ila kamuombe msamaha spika mstaafu Mr Job Ndugai na kwenye suala la bandari amefichwa ukweli kupitia lugha ya kingereza,Ila angeelewa kilichomo kwenye mkataba Nina imani angeupinga kinagaubaga.