Тёмный

LIVE: Breakfast kwa Joseph Musukuma I Mbunge wa Geita Vijijini I Jambo Kubwa I Musukuma Anaongea 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 67 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 95   
@missminnatz
@missminnatz Год назад
Wema hauozi, uaminifu, hard working pay, sharing is caring, never give up na kuwa mkweli.. aloo msukum umeacha funzo jwa vijana wa kileo. 😊
@humbemusa3480
@humbemusa3480 Год назад
Noted Uaminifu, kupambana bila kukata tamaa, Wema unalipa, kujiamini na ujasiri. Asante Musukuma nimekuelewa wewe mpambanaji
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Год назад
Hii story ni nzr sanaaa,na ni ukwelii,aliway kuhojiwa na wasaf,maelezo hayajapishana kabisa,big up msukuma
@dilbertalphonce6859
@dilbertalphonce6859 Год назад
uongo si una ukariri tu
@naseershiner6738
@naseershiner6738 8 месяцев назад
Daah hii interview nimeiludia Mara Tatu ukiachana na ile sku ya kwanza. Naisikiliza kwa radio 2023 but amini menifungua vitu vingi saana vijana wengi walio soma hawajui utofaut wa degree kuibadilisha kuwa lak moja ni kitu kikubwa sana hata msanii #fidq aliwahi sema katika mashail yake kuwa kufanikiwa siyo elimu ni maujanja ujanja frani tu hivi ko Msukuma ni mtu mmoja ambae anapenda kupambana yaan kwa ujumla wasukuma wengi tupo hivyo hata mimi ni hustler 💪🏻 saana japo bado sijafanikiwa ila naamini
@lucialeonard2675
@lucialeonard2675 Год назад
Hii interview ilibidi afanye na Millard ayo ndo ingekuwa nzur huku mnamkatisha sana kunabaadhi ya vitu tunakosa
@khadijamteganda738
@khadijamteganda738 Год назад
Kabisa
@kinigarm8239
@kinigarm8239 Год назад
Mimi HUYU jamaa tusimhukumu kwa suala la bandari. He is just a natural talented person. Hebu tutumie kichwa hiki.
@dilbertalphonce6859
@dilbertalphonce6859 Год назад
kiende wapi?
@ramadhankombe2643
@ramadhankombe2643 Год назад
Kiukwel msukuma asilimia kubwa ndio hua ananimaliziaga bundle langu.yaan namkubali xn,huyo ni mwamba.namfuatilia xn,kwanza hafake maisha,wala kujisifia kitu ambacho hana.kwanza anajiamin hta akiongea ni burudan.big up xn kiongoz.
@revocatucamon7439
@revocatucamon7439 Год назад
Msukuma ni very intelligent
@mhidinijuma1206
@mhidinijuma1206 Год назад
Msukuma is very intelligent......
@unclefrance4662
@unclefrance4662 Год назад
Namuoneaga mbali Sana huyu mwamba hongera kwake iwish one day akawa present
@kulvetiaseli3569
@kulvetiaseli3569 Год назад
interview nzuri sana uyu jamaa inabid ajekugombea urais yup vizuri sana magufuli ajae
@thomasmhindi
@thomasmhindi Год назад
clouds mnamkatisha sana king.. matangazo mengi sana .jamaa mpeni sku nzima mnawahi kunywa chai2 badala kutugawia hayo madini
@ozcanrawaah6426
@ozcanrawaah6426 Год назад
Alisema ruge kwenye maisha chakwanz tafuta nafasi ukipa nafasai onyesha uwezo ukionyesha uwezo utatengeneza jina na jina. Ndo litakalo kupa pesa sema sisi vijana tuna jisahau sana ukipat nafasi unatak pesa ndo ifuate that's why Tuna feli sanaa
@stevensostenes7985
@stevensostenes7985 Год назад
Fact
@kevinmtasiwa5703
@kevinmtasiwa5703 Год назад
Born entrepreneur.. kwanza kapiga ndala
@bworldpro
@bworldpro Год назад
Nimejifunza wema ukifanya unakufuata, na uaminifu ni kitu muhimu nacho kitafuata...Msukuma amebarikiwa
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 Год назад
Clouds mna vifaa vibovu sana. Camera mbovu, maiki mbovu, interview nzuri
@GerradNkonyozi-eo3cm
@GerradNkonyozi-eo3cm Год назад
Saluti msukuma, at Mimi uliwahi kuwa boss wangu,
@LawrenceKakuba-xe5zm
@LawrenceKakuba-xe5zm Год назад
Mheshimiwa wewe ni mbunge wa kipekee ,kwa simulizi zako nimejifunza mengi na nimekuelewa vizuri tofauti na nilivyokua nakufikiria awali mheshimiwa mbunge
@mushjosephat
@mushjosephat Год назад
Kuna kitu nmekiona hapa "Magufuli alikuwa anaendesha Tax usiku" Dereva anaendesha mchana....Duh
@humbemusa3480
@humbemusa3480 Год назад
Nguvu ya kofi daaah haya maisha ni shida sana
@thomasmn2723
@thomasmn2723 Год назад
Asante msukuma
@Amiboy425
@Amiboy425 Год назад
Back Town ugweno moja iyo
@thomasdimme7899
@thomasdimme7899 10 месяцев назад
Tunajifunza dk king
@godfreychaba9673
@godfreychaba9673 Год назад
Masudi unamkatisha sana msukuma, story hainogi, Irudiwe na milard ayo
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 Год назад
Inabidi Sky Walk airudie ndani ya SnS itabamba sanaa
@missminnatz
@missminnatz Год назад
Achoongea msukuma ndicho wanachokifanya wachina japani na wahindi, coz wanasoma wanapata elimu na wanaigeuza elimu kuwa pesa na ndio wanafanya vizuri dunia ktk maendeleo duniani.
@kabangoamini8431
@kabangoamini8431 Год назад
Isee msukuma mungu anakupenda
@mbelwakyaruzi1493
@mbelwakyaruzi1493 Год назад
Dha!!story inafanana na yakwangu kabisa nilipotoka jerq japi bado cjakutana na biashara kubwa ya mamilioni ila naona kabisa naelekea uko,nadhan baada ya magumu uqa ni baraka ila ni kama utamtegemea mungu lakin jitiada pia
@ramadhanishabani1738
@ramadhanishabani1738 Год назад
Kama na wewe matangazo yanakuboa nikutakie siku njema..
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Год назад
umeniongezea ujasiri sana mwamba
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 Год назад
Anashida moja tu ya kuunga mkono uzwaji wa bandari yetu, af Cha ajabu alikuwa anawakemea wanaotetea bandari yetu bungeni.
@mann9460
@mann9460 Год назад
watangazaji maandz haw sasa mnamsimulia nan muache aongeee
@yonamfangavo6413
@yonamfangavo6413 Год назад
Darasa la saba la kipindi cha msukuma ni elimu ya digrii ya kipindi hiki
@elianeirakoze8562
@elianeirakoze8562 Год назад
Mimi pamoja n'a degree ya university n'a hock mitumba Nairobi
@hezronvuhahula3839
@hezronvuhahula3839 Год назад
Akili na elimu ni vitu viwili tofauti
@ushauriwabureubaoniefmradi3856
Program nzuri, mahojiano mazuri, Ila sound bado boresheni hapo zaidi
@charlessmashaka9859
@charlessmashaka9859 Год назад
dah msukuma umepambana sana
@brownkira1332
@brownkira1332 Год назад
Naomba millard ayo amuhoji ndo ingeeleweka sana maana story imekatishwa sana
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 Год назад
Pia Kuna mtu wakuitwa Sky Walk ndani ya SnS nimtu hatari kwa interview mcheki ndani ya SnS
@beniegasped7307
@beniegasped7307 Год назад
Asee mejifunza namna moja sisi wasom tunashndwa kucomvert education into moneyyy
@mhangwacastory8765
@mhangwacastory8765 Год назад
Ebwana mic sio nzuri,sound boresheni,
@mrsmile5425
@mrsmile5425 Год назад
Millard Ayo airudie...Msukuma anajieleza vizuri nyie mnazingua
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 Год назад
Pia Sky Walk ndani ya SnS itabamba Sana!!
@northerntanzaniatv4033
@northerntanzaniatv4033 Год назад
Duuh hii clouds amna kitu yaan ni zero kipindi nikizur lakn mmeshindwa kukiendesha vizur mpangilio ni mbovu mno
@josephmakonga3201
@josephmakonga3201 Год назад
Wajina unanifanya nizidi kupambana sana
@kamaleckfkeihulakfkeihula939
Huanakuku barisana dk king huyu jamaa
@georgerichard6706
@georgerichard6706 Год назад
Hii interview haija fanyiwa hakiii
@stevensostenes7985
@stevensostenes7985 Год назад
Ndo media tunayoitegema hila mmeonesha udhaifu mkubwa saaan yaan live lkn matangaz humo humo, afu mara saut inakata mara haituliii. Poor poor pooor
@mohamedally4496
@mohamedally4496 Год назад
Hii interview angepewa millard ayo.
@zakiaramadhan8284
@zakiaramadhan8284 Год назад
Sauti
@ShadrackMwepelwa
@ShadrackMwepelwa Год назад
Msukuma ni mtu nzuri Sana Ila kamuombe msamaha spika mstaafu Mr Job Ndugai na kwenye suala la bandari amefichwa ukweli kupitia lugha ya kingereza,Ila angeelewa kilichomo kwenye mkataba Nina imani angeupinga kinagaubaga.
@georgenathanael
@georgenathanael Год назад
Clouds mnazngua
@luisevarist4819
@luisevarist4819 Год назад
Matangazo ni mengi sana muacheni atupe materials yake
@helpers10
@helpers10 Год назад
Inabidi uandike kitabu Mheshimiwa! Hii stori ina mafunzo mengi kwa vijana.
@deusntobi1450
@deusntobi1450 Год назад
Clouds mnafeli mno yaani mtahaba aliko anasikitika xn. Mpngilio mbaya sauti hakuna duh!!
@allymdoka8634
@allymdoka8634 Год назад
Haya ndio maisha halisi ya mtaftaji wewe ni taikuni msukumaa
@ManyiwaJilungu-p6q
@ManyiwaJilungu-p6q Год назад
Vijana wa tl
@josephdionis4290
@josephdionis4290 Год назад
Dah msukuma ni jini nyie acheni jmn, namkubali sana mwamba huyu
@princebaissa2506
@princebaissa2506 Год назад
🙏🇹🇿
@josephjila957
@josephjila957 Год назад
Umetoka mbali
@deonatusyokta3579
@deonatusyokta3579 Год назад
Matangazo yenu yanahalibu
@ngerejangwala2295
@ngerejangwala2295 Год назад
Mafundisho hayo mazuri
@mhangwacastory8765
@mhangwacastory8765 Год назад
Nikipata namba ya Msukuma Kuna kitu cha kuongea nae
@edisonkashaija4067
@edisonkashaija4067 Год назад
kila mtu ana historia yake tena zingne zetu zinatosha kabisa
@reubenmasanja30
@reubenmasanja30 Год назад
msukuma ni mfano kwa vijana kufocus na kupambana
@davidfrancis8582
@davidfrancis8582 Год назад
Mheshimiwa anapaswa kuandika kitabu
@GeorgeKetaketa
@GeorgeKetaketa Год назад
UAMINIFU UNALIPA
@emanuelkisanga3429
@emanuelkisanga3429 Год назад
Vyombo vyenu vimetuangusha.
@Diamondtikto
@Diamondtikto Год назад
hawa jamaa kuhoji hawajui
@joshuamabubu-bs3tc
@joshuamabubu-bs3tc 10 месяцев назад
Muongo huyu mwaka 80 unamamilion Sawa lakn ni miaka mingap (Umuri) Ukisema miaka 18 bas now una 60 je ni kweli?
@LawrenceKakuba-xe5zm
@LawrenceKakuba-xe5zm Год назад
Kuna jambo la kujifunza ,kuhusu maisha ,
@printingtanzania
@printingtanzania Год назад
Kwanini mko live na mnaweka story nje ya mada na wala sio matangazo
@husseinalladin
@husseinalladin Год назад
Nahis Kwa wanaoskiliz kweny radio au pia tv inakua imeenda matangaz nilazima
@sirajbakari104
@sirajbakari104 Год назад
Huyo mbaruku hani han kazi yeye anachat tu
@lujobilz7482
@lujobilz7482 Год назад
💪🤓🕴
@ngerejangwala2295
@ngerejangwala2295 Год назад
Nalidaka nayombe nanho
@dannywillson5874
@dannywillson5874 Год назад
Kwenye kuhoji Kuna mmbo mnafel Mara mkate saut Mara nn mnaboa
@mwanabucheyeki226
@mwanabucheyeki226 Год назад
Sifa ya Msukuma ilikuwa nzuri sana, lakini imekuja kuporomoka ghafla kwa kupigia chapuo la Bandari!
@adamumustwafa1374
@adamumustwafa1374 Год назад
Haya na wewe tuambie sifa Yako Nini.
@mushjosephat
@mushjosephat Год назад
Eti ka Magufuli kakaja Hahahahaha
@jacksonmayunga199
@jacksonmayunga199 Год назад
Sound system ijaakaa poa ila interview iko poa
@sethstiven3393
@sethstiven3393 Год назад
Cluoz mnatumika mshanunuliwa nyie wa hivyo sana, kama chambo la fei toto mlitumika iweje mamilioni ya DP WOURD
@benedictpatrickwilliam2758
@benedictpatrickwilliam2758 Год назад
Poor....
@FrankJoseph-l9x
@FrankJoseph-l9x Год назад
VERY POOR,hakuna sauti
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Год назад
ILA WASUKUMA KONYO😀,SAA YA 450K NDO AITEST KWA KUKANYAGA NA GARI😃😄🤗,ME NIMESHUKA DAKIKA YA 9 YA INTERVIEW
@stevenswai4639
@stevenswai4639 Год назад
Aseee mna matangazo marefu mno mpaka yanaboa
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 Год назад
Msukuma.umehongwa.ukubali.usikuli.bali.umehongwa.warabu.wana.hela.sio.wewe.na.tu.mabunge.menzio.mmehongea.tukutane.2025
@bellaanthony7860
@bellaanthony7860 Год назад
Kichwa kibovu wewe
@GeorgeKetaketa
@GeorgeKetaketa Год назад
UAMINIFU UNALIPA
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Год назад
Sana
Далее