Hivi karibuni, kumekuwa na tetesi na habari nyingi kuhusu uongozi wa Eng. Hersi Said Ally katika klabu ya Yanga. Eng. Hersi amechaguliwa kuwa rais wa kwanza wa klabu hiyo kufuatia mabadiliko katika katiba ya Yanga ambayo yalihitaji uchaguzi wa rais na viongozi wengine wa kamati kuu Hakuna taarifa rasmi kwamba uongozi wa Eng. Hersi ni batili. Kwa kweli, uchaguzi wake ulifanyika kihalali na alikutana na vigezo vyote vinavyohitajika kwa nafasi hiyo Pia, mashabiki wa Yanga wameonyesha imani yao kwake kutokana na juhudi zake katika kuleta mafanikio kwa klabu, ikiwa ni pamoja na kushinda mataji ya ndani na kufikia hatua za juu katika mashindano ya kimataifa Kwa hivyo, habari kwamba uongozi wa Eng. Hersi ni batili hazina msingi wa ukweli. Inaonekana kama uvumi usio na uthibitisho rasmi
Kikeke unashuhuli kubwa kuwafunza hao jama, ukitaka kuhabarisha watu lazima uwe na 80% ya ukweli. Kwanini asijiweki mbali kama anajuwa muongo na kesho sheria zitamchuw1
Jama anasapoti hilo Mtuu wavurugu huyo Jemedar. Na hao body yawazamini walisikilizwa ?? Kivipi ??? Apo unasema walisikilizwa unauhakika ??? Kuwq mtangazaji wa recherche ??
CROWN MEDIA ACHENI KUKAA NDANI KAMA UTUMBO KWANI KWENYE MATUKIO MAIRI MBONA AMPO KILA SIKU NINYI MUNACHUKUA VITU AMBAVYO VISHAOJIWA NA MEDIA NYENGINE WHY??? UONGOZI WA YANGA UPO LIVE NINYI KAZI HAPA NI NINYUMBANI 😐😐😏😏😏ATUKATAI KWAMBA NYUMBANI ILA MUSIKAE KAMA UTUMBO