Okopa mtu anaesema ndugu yake wa damu. Ipo siku na hawo utawatangaza mabaya. Gari tu inakutowa povu. Ndugu ni ndugu omba apana kuponda wako. Issa muokope Mungu duniya nimapito. Naokopa!!!!!!!
Ira mpe pesa zake dhambi usipompa pesa zake muogope mungu nayule dada alikupenda kwa dhati na mvumilivu na msili akuongelei vbaya naww usimuongelee vbaya
Mungu awabariki sana Familia ya Masham Sham kwa jambo zuri kama hili la kuondoa tafauti zao Juma na Mama Watt wake Alhamdulilah Alhamdulilah M.mungu awape kila la kheri Dunia na Akhera Bii Idhinillah Ameen
Isa azam nakukubali sana,zidi kupambana kabisa, 💪❤️🌞🙏🇰🇪. Lakini juma lipa deni na Kama mnaweza kusameheana basi mrudiane maisha mengine yaendelee👏🔥❤️🌞🙏🇰🇪.
Huyo issa azam anaonyesha ana roho mbaya sana njaa itampeleka pabaya sana mmbwa huyo unaambiwa damu nzito kuliko maji ipo siku damu itakuumbua tuu nyooooo
Kweli kabisa me ananikera kweli tushajua ni ndugu kinachomuongelea ally kiba nn na akikaa akisubiri kiba amjibu atasubiri Sana hana ujinga wako mpuuzi huyo Fanya maisha yako kiba kiba mnamtaja bcs unamwogopa chawa mkubwa ww
Dida nakupenda sana kabisa kwakweli juma alikua nakauka kama musomalia😅😅😆😆oooh juma ule mwanamke alikua nakupenda sana juma wanaume walimbukeni akipata pesa kesho anakutupa juma Mungu akusame haki yamungu this it's was time for you ku make that women happy ila unamurudishiya mabaya nooooo man juma murudishane yule mwamke nimuzuri wazuri niwengi ila wenye mapenzi yakweli awako most women today wata kupenda kwasababu unakua najina but this women did mind you did have money .juma ume mukoseya sana kabisa uyu mwanamke
Kwanza nimakosa kupeana mikono mke na mume mbali na kukumbatiana, pili....Ni makosa kuoa uache kisa wazamani arudi,hakuna ndoa Kama hio....huenda mumeongea Kwa dhihaka Ila kuna watu wengi wanaskiza na elimu ya dini kila mmoja ana kiwango chake, asije akafanya mtu Kwa kua ameskia kwenu...Tuwe makini maana hakuna anaeweza maswali ama Gharka ya Allah (S.W)