Тёмный
No video :(

#live 

BENTV MEDIA
Подписаться 47 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@benjaminnelson4834
@benjaminnelson4834 Месяц назад
Unajuaje Simba at Fanya vizuri
@saidilindukwa
@saidilindukwa Месяц назад
Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅
@ebisomola9989
@ebisomola9989 Месяц назад
Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli
@adamgwila3395
@adamgwila3395 Месяц назад
Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona
@benjaminnelson4834
@benjaminnelson4834 Месяц назад
Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi
@iddrisanyange8175
@iddrisanyange8175 Месяц назад
Weto masta na wanajuwa mpira
@msemakweli...
@msemakweli... Месяц назад
Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.
@sauka9622
@sauka9622 Месяц назад
Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana
@HamadMkubwa
@HamadMkubwa Месяц назад
ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢
@RashidiMkongewa
@RashidiMkongewa Месяц назад
Ngao yanga 8 vs simba 0
@IsayaJoseph-ty3kq
@IsayaJoseph-ty3kq Месяц назад
waambie ukweli
@salymgaimale235
@salymgaimale235 Месяц назад
Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu
@seniormagali5580
@seniormagali5580 Месяц назад
Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki
@collectionline6055
@collectionline6055 Месяц назад
Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌
@christopherchisuligwe512
@christopherchisuligwe512 Месяц назад
Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 Месяц назад
Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 Месяц назад
Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli
@Graceyust
@Graceyust Месяц назад
mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka
@kasimuhamidu8467
@kasimuhamidu8467 Месяц назад
We fala tu
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Месяц назад
Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja
@jumapindi2313
@jumapindi2313 Месяц назад
Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali
@shalooboyburundi
@shalooboyburundi Месяц назад
ays unaongeya ukwr
@SanziNzige
@SanziNzige Месяц назад
Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako
@suitbertmaro5792
@suitbertmaro5792 Месяц назад
Jinga hili
@kainkamwagila6046
@kainkamwagila6046 Месяц назад
We ni shabiki yanga😅
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 Месяц назад
Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣
@AlfredRutaguza
@AlfredRutaguza Месяц назад
Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli
@sophyodago5062
@sophyodago5062 Месяц назад
Mchambuzi maandazi kwelikweli
@user-sz6ht5wm2g
@user-sz6ht5wm2g Месяц назад
Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli
@benjaminnelson4834
@benjaminnelson4834 Месяц назад
We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora
@adamgwila3395
@adamgwila3395 Месяц назад
Maandazi wewe utakumbuka naneno yako bichwa wewe
@jonathansirkintungi7434
@jonathansirkintungi7434 Месяц назад
Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.
@maulidkawala104
@maulidkawala104 Месяц назад
Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel
@idrisanaumanga6410
@idrisanaumanga6410 Месяц назад
Makolo tulia boya wewe, jamaa anaongea fact!
@user-pl4rm6rk8n
@user-pl4rm6rk8n Месяц назад
Ambukile ndo ww
@AdenSator
@AdenSator Месяц назад
😂😂😂😂kweli kaka
@tseinlee6727
@tseinlee6727 Месяц назад
Wachambuzi wa skuiz shida sana
@MzeewaYanga-hm8jq
@MzeewaYanga-hm8jq Месяц назад
Kwl😂😂😂😂
Далее
Can You Bend This Bar?
01:00
Просмотров 3,9 млн
BABA YANGU KIPOFU Full episode /31/ #love
40:19
Просмотров 153 тыс.