Тёмный

#LIVE 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 99 тыс.
50% 1

#LIVE: BLOCK 89 EXCLUSIVE INTERVIEW WITH P FUNK - DECEMBER 20. 2019

Опубликовано:

 

6 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 201   
@alexmahenge9408
@alexmahenge9408 4 года назад
hii interview hamkujipanga, hamjamtendea haki p, sijaona maswali, muwe na mtu ambaye anajua muziki ulipokuwa mziki aulize maswali ya maana!!
@josam2125
@josam2125 4 года назад
kweli asee...
@georgewmk7601
@georgewmk7601 4 года назад
Alex Mahenge kabisa
@fatnahsaleh860
@fatnahsaleh860 4 года назад
Nimependa interview ya leo. Respect 🙇 P Funk🔥🔥🔥# wasafi 4life
@shabannyamsalika8959
@shabannyamsalika8959 4 года назад
Lil Ommy atabak kuwaburuza tu Watangazaji hamjui mnachokiuliza!!!
@obagoabhiathan3565
@obagoabhiathan3565 4 года назад
Bila shaka wewe utakuwa mjumbe wa team wadada
@dominickraphael4414
@dominickraphael4414 4 года назад
Huyu ndo Pfunk majani !!!!aise nafurahii kumuona, heshima yake...
@chibu255boaz5
@chibu255boaz5 4 года назад
Block89 sayali nyingine jonijoo babako nakukubali ile mbaya
@husseinsalumu5860
@husseinsalumu5860 4 года назад
N
@kelvin8324
@kelvin8324 4 года назад
Big boy P funk salute ✋✋ thanks to Willy m Tuva I knew u before hata nikuone.......and please block 89 you should invite that TV and radio presenter(mzazi Willy m Tuva )from 254.....
@neemaabdu1091
@neemaabdu1091 3 года назад
Nimependa apo pfunk aliposema MTU anatumia vitu big up sana vijana wengi wamehalibika
@thomasndumila4382
@thomasndumila4382 4 года назад
Muda mwingine mjipange watu Kama majani si wa kuuliza maswali yasiyo na taarifa sahihi unaona anavyowasahihisha? Hatupondei block 89 hapana Ila time nyingine mjipange maana majani ukimuita kufanya interview uwe well prepared. Karabani nimekuelewa kizazi sana.
@innocentjay5844
@innocentjay5844 4 года назад
Mwalimu ameingia darasani. P funk God bless you bro.hakuna swali walilokuuliza coz hawaujui mziki umetoka wapi
@boazysanga6320
@boazysanga6320 4 года назад
I like this, big shoutout for p funk...!! Anafany niendelee penda bongo music
@Barrydauda
@Barrydauda 4 года назад
this Majani Guy should get PHD ya heshima kwenye muziki wetu wa Bongo
@sadickrajabu1191
@sadickrajabu1191 4 года назад
PhD?
@Barrydauda
@Barrydauda 4 года назад
@@sadickrajabu1191 sure why not?
@sadickrajabu1191
@sadickrajabu1191 4 года назад
Nakushauri soma maana ya elimu kisha jua ngazi za elimu na namna ya kupata kwa kupitia class au vigezo vya kutunukiwa award in education issue
@Barrydauda
@Barrydauda 4 года назад
@@sadickrajabu1191 wewe ulie pitia ungetupa mwanga hapa kwanza
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 4 года назад
Sure anafaa
@cuthbertbruce2098
@cuthbertbruce2098 4 года назад
Wasafi tafuteni mtangazaji mkongwe kidogo maaalumu ajili ya wakongwe Kama hao kina P naona mnashindwa kabisa kumuhoji P
@kulwangomale3630
@kulwangomale3630 4 года назад
Unajielewa ww??
@kessygifty6509
@kessygifty6509 4 года назад
Aliya nakupenda kinomanoma
@allygublasi2863
@allygublasi2863 4 года назад
Kuna maswali mnaepuka kumuuuuliza the legend p sasa sjui nikwann,,, swali inabidi umuuulize ni kwann alizima ghafra akawa hasikiki kma aliyokuwa anaskika enzi zle za akina espekta haluuuun babuuu
@sebastiankatalle2732
@sebastiankatalle2732 4 года назад
P funk bonge la producer bongo next level
@henrykishiwa6755
@henrykishiwa6755 4 года назад
Ukimtoa jonijooo 'na huyo demu, hao wengine mmewaokota wapi,?mbona hawana sifa za utangazaji!sijui wameajiriwa kwa sifa zipi, fukuzeni utumbo huo
@yohanayohana193
@yohanayohana193 4 года назад
p funk noma juma nature toa ngoma na p funk
@francechiwinga28
@francechiwinga28 4 года назад
P funk mnyama mbaya sana jamaa ukiskiliza kaz alizofanya mdundo wakipekee
@lilakhhassan6896
@lilakhhassan6896 4 года назад
Album ya kwanza ya sog ili sambazwa na fm alibeba gitaa kwenye picha ya cover duu mmenikumbusha mbali cc ndio manguli wa usambazaji tulianza na music huu long time
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 4 года назад
Nilichogundua jamaa kaja kufundisha vijana hamna mtu wakuuliza swali hapo mtu pekee mwenye ametulia ni Jonijoo anajielewa na yule jamaa chinedu niniii
@kamdinimusic4252
@kamdinimusic4252 4 года назад
Yes ma blood p funk yupo vzur sana
@ziadamahfoudh310
@ziadamahfoudh310 4 года назад
Mwamba kachill on dis 1 mtu imara nakukbali sanaa ila P funk umeiteka block 88.9 interview yako hamna kabisaa na upate msanii mkubwa ùmsimamie itaķua poa sanàa
@emmanuelnoel4288
@emmanuelnoel4288 4 года назад
Sema ndugu zangu block89 ni hamjui mziki wote.. 😅😂😂 interview unamfanyia mtu smart Kama P hata hujajiandaa, wote wasenge tu
@masoodedwin8332
@masoodedwin8332 4 года назад
Clouds wameharbu mziki na maisha ya watu
@robertndongo789
@robertndongo789 4 года назад
Da ujui chochote kuhusu mziki ujui hats watu gani walio umaket mziki was bongo
@SAMJIKASSIM
@SAMJIKASSIM 4 года назад
maswali yote wamekopi katika interview Majani aliyofanya na Lil Ommy wa Times FM
@AbdulkadirSoud
@AbdulkadirSoud 4 года назад
Hiko kijamaa kimeuliza swali la kiduanzi saana Dakika ya 26:38 Hajui kitu kabisa! eti Mkali wa Rhymes Mandojo na Domokaya wapi na wapi?
@alfredjoel5997
@alfredjoel5997 4 года назад
Abdulkadir Sudi hajakosea wale jamaa walikuwepo nao top 3
@mosesyongolo5764
@mosesyongolo5764 4 года назад
big up rapcha congrats u hav emproved since scul u sang on ur graduation day big up
@Chingagirl123
@Chingagirl123 4 года назад
Maneno yake yanaelimisha..kuchana anajua ila aongeze speed kidogo na abadilike km kinyonga.sijui mnanielewa..ila big up Legendary Majani
@anethnelson9307
@anethnelson9307 4 года назад
Hapo angekuwepo Lil Ommy aseee anajua kupangalia maswali sana
@badmanno.1650
@badmanno.1650 4 года назад
Hao presenters cjui wametokapi ....kwanza huyo rasta bure kabisa...kapoa
@moudymchemia6598
@moudymchemia6598 4 года назад
Kama mna mtu anakuja kuhojiwa jiandaeni Na maswali vinu sio mihemko ya furaha Baadhi wapo good baadhi wanachemka
@hanselwhiteside2962
@hanselwhiteside2962 4 года назад
Hakuna kazi bila kujiandaa ila kuna maswali yanapojibiwa unakuta amejibu hadi swali namba tatu na tano... Utashi wa utangazaji sio tu kuandaa maswali, kuna muda unaangalia na mtu unaemuuliza, P funk sio Dudu baya ukamuuliza ujinga akakuchekea
@sampaconnector2845
@sampaconnector2845 4 года назад
Interviewers wakiwa wengi...naona km inaleta distortion cz kila ktu kinakuwa shallow ila one on one hii interview ingekuwa deep sana na tungejifunza mambo kutoka kwa interviewee!! Ni maoni tu
@heribasinger3889
@heribasinger3889 4 года назад
P funk majani kitambo Sana aisee.
@muddymidoli8527
@muddymidoli8527 4 года назад
SAfi
@abdulruyobya2149
@abdulruyobya2149 4 года назад
50:00.... huyu dogo hizo lyrics kaziandika..... hakuna freestyle hapo
@godsonkilepy6074
@godsonkilepy6074 4 года назад
Sema majamaa miyeyusho kinoma inabidi mjipange na watu wanaojua ili kipindi kiwe bora
@feisalissa3009
@feisalissa3009 4 года назад
P funk tuko pamoja nakubali🇿🇼🇿🇼🇿🇼
@pieroswedy2452
@pieroswedy2452 4 года назад
uyo jamaa alie vaa kijeshi na mtambala wake ajui kabisa kutangaza au ndo kujuana
@brownjulius8514
@brownjulius8514 4 года назад
Duuh aisee wee kiboko
@thedoctor727
@thedoctor727 4 года назад
uyo jamaa fund sana inawezekana wewe huo unadandia basi kwa mbele
@hanselwhiteside2962
@hanselwhiteside2962 4 года назад
Mzee usiseme mtu hajui maana sidhani kama una Elimu yoyote ya utangazaji, kutangaza kuna mambo mengi sana sijui umemchukulia category gani au unamfananisha na nan...? Bango ni kubwa
@dach_addiction9557
@dach_addiction9557 4 года назад
Huyo anaitwa mnyama chinedu
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 года назад
Kalipso hayupo kwahiyo kamreplace kwa mda
@makoyebq879
@makoyebq879 4 года назад
Majaniii wasafi hapa
@agustinomaganya5427
@agustinomaganya5427 4 года назад
P funk umetuweza million9 au8 just for shoes nani pair12 tu I can't believe that joh umetuingiza chaka kaka ata kama n nje hyo pesa siunafunga duka lako mwenyew kubw la viatu hapa bongo na mzgo ukaw unachukua huko huko nje
@cpawilsonmashauri8686
@cpawilsonmashauri8686 4 года назад
Hebu jaribu kuingia mtandaoni uone bei za viatu Original.. Halaf rudia tena
@luagampugusi8389
@luagampugusi8389 4 года назад
Rapcha ni mkali...salute mzee
@sadikijani4307
@sadikijani4307 4 года назад
Watangazaji!! Jaribuni kuangalia interview za Ayo tv au clouds muone wanavyomhoji mtu kulingana na caliber yake!! Huyo Pfunk ni legendary mkubwa ila nyie mnamhoji kwa hali ya chini kiasi kwamba hatoi mambo mazuri aliyonayo katika tasnia ya muziki.
@makavellichisajida6167
@makavellichisajida6167 4 года назад
Wasafi interviews za malengendary kama awa jipangeni huyo sio harmonize. Nextime mjiandae
@IsraelSaria
@IsraelSaria 4 года назад
Wazo zuri sana, jifunzeni kuuliza maswali mafupi....
@swalehejeilani8112
@swalehejeilani8112 4 года назад
Nikweli kabisa
@nicken3250
@nicken3250 4 года назад
Wako less informed..
@erickngatunga2359
@erickngatunga2359 4 года назад
kabisaa utotoutoto mwingi you suppose to ask serious questions man!! stop kidding.
@shaziliyumba6654
@shaziliyumba6654 4 года назад
Mtu mkubwa anaulizwa vitu vya kitoto Hamjatendea haki p P mtu mkubwa bhana kwa hii game
@abdallahmchange1370
@abdallahmchange1370 4 года назад
Namkubal sana majani
@gideonmathias9705
@gideonmathias9705 4 года назад
My best producer ever
@thomasmoris6603
@thomasmoris6603 4 года назад
Kuna maswali amumuulz alafu mpo weng apo studio au mnamuogopa
@topcomedy1637
@topcomedy1637 4 года назад
Nimependa sana Fanya kupita kwangu ICHUKA TV vitu vikali nimeweka
@romanusfikiri3194
@romanusfikiri3194 4 года назад
Aisee watangazaji ovyo sana yan wameshindwa kabisa kuuliza maswali yaukweli,wanaishia kucheka cheka tu.jipangeni mmeboa coz majani alibidi ajibu maswali mazito
@fadhiliaswa5063
@fadhiliaswa5063 4 года назад
Kwenye comment mashabiki wa upande wa pili utawajua tu wao ni kuponda tu
@williamiranga7715
@williamiranga7715 4 года назад
Yap,... P Funk the Legend!
@mwasakafyukasamson
@mwasakafyukasamson 4 года назад
Soggy wa 1995 , alikua na Camp yake Karakata , Kipawa na Ukonga ....
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 года назад
Watangazaji wanamuita mtu kwenye interview halafu hawana info za kutosha jamaa anawakosoa tu....mjipange wazee
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 4 года назад
Wivu wako
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 года назад
@@adijaniyonkuru9731 wivu wa nini sasa? Wewe huoni na kusikia? Au ndo mapenz upofu?
@williamkigonela5467
@williamkigonela5467 4 года назад
Wivu
@gilbertjackson55
@gilbertjackson55 4 года назад
@@feyzalyusuph14 asanteeee
@StahmyJunior
@StahmyJunior 4 года назад
Huyo Rapcha anaflow style kama Young Killer wa sasa.
@alijuma6502
@alijuma6502 4 года назад
Huyo dogo nimkali sana!
@sudymalema2313
@sudymalema2313 4 года назад
Msiwe mnamualika mtagazaji alafu mnaleta upuuzi mnaulizamaswali ,muwemnajifunza kwa liliomi
@ismailmashimba3470
@ismailmashimba3470 2 года назад
Da! Namkubali sana majani
@franklinemoi8516
@franklinemoi8516 4 года назад
Rapcha nomaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
@barakabakari5987
@barakabakari5987 4 года назад
Yan interview mbovuu hamjui hata kuhojii
@sadamramadhan9887
@sadamramadhan9887 2 года назад
Wewe ndohujui
@eliasmshiu2600
@eliasmshiu2600 4 года назад
sema nene jonijoooo,, you do yo homework broh.. keep it upp
@elishakilasi8714
@elishakilasi8714 4 года назад
Alfan----this---is---u---a---king---broooo
@jacksonpinon1600
@jacksonpinon1600 4 года назад
Lily ommy king of interview wasafi masharo hamna mpya nyie sio ubunifu, afu chalii alievaa T-shirt nyeupe anakiherehere
@abdul-karimaliabdulla3978
@abdul-karimaliabdulla3978 4 года назад
swali langu kwa kaka mkubwa P.MAJAN na Cloud Media hebu atueleze kuna mahusiano gani kati yao????
@dottoedmund5687
@dottoedmund5687 4 года назад
P majani I have enjoyed the interview
@kassimmvuoni709
@kassimmvuoni709 4 года назад
Aisee huyo dada mashallah.
@nicholausmakundi2663
@nicholausmakundi2663 4 года назад
The Legend himself Majanii
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 4 года назад
huyu jamaa yuko kinyamezi sana
@hamispeter9043
@hamispeter9043 4 года назад
Mzee mwenyewe
@rehemashafi4809
@rehemashafi4809 4 года назад
Uyo ndio bab paula mwenywe heshima yk mzee
@brownjulius8514
@brownjulius8514 4 года назад
P funk majani legend
@mohamedalaraimi6813
@mohamedalaraimi6813 4 года назад
Mangoya keshakuwa Marehemu jamani
@nizobeatz90
@nizobeatz90 4 года назад
Najua amjaguandua majan anaongea kibabe sana
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE 4 года назад
Kama unapenda simulizi za kihistoria subscribe kwenye channel yetu
@omboiobed_scar
@omboiobed_scar 4 года назад
Sana @rapcha_tz
@merrykomu1825
@merrykomu1825 4 года назад
Bro mtu imRa nakukubal sana na unajua sanaaa
@danfordmwingira8512
@danfordmwingira8512 4 года назад
Pfunk anavocal la kibaharia sema nn wasafi kazen mdoq mdoq mtaeleweka tuu...
@nicken3250
@nicken3250 4 года назад
Huyu dogo mwenye kofia hana anachojua.. Hovyooo
@rojamore688
@rojamore688 4 года назад
ulizeni maswali ya kijanja kwa huyo mtu bhna
@charleslucas6042
@charleslucas6042 4 года назад
Hahaha huyo dada leo kapigwa doro Kakosa swali kabisa
@sadamramadhan9887
@sadamramadhan9887 2 года назад
Jamaa yupo vzr
@sportsuperriches8969
@sportsuperriches8969 4 года назад
Rapcha nomaaaaa
@mjunimjuni9982
@mjunimjuni9982 4 года назад
1:11:02 ma nigga mbona kama unajisema mwenyewe, you literally just said you do nearly everything kwenye label yako?? Live what you preach bro! Muchas gracias, I was expecting more wisdom from you P!
@ahmedmahamudu4140
@ahmedmahamudu4140 4 года назад
@Rapcha Tz we mkali sanaa💥💥💥
@fredkambanga9415
@fredkambanga9415 4 года назад
Duuuh umekula chumvi bro naona uko na wanao
@franklinemoi8516
@franklinemoi8516 4 года назад
Nakubaliii 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
@nasloyal5886
@nasloyal5886 4 года назад
P FUNK appreciate you broh
@richieville2002
@richieville2002 4 года назад
Nyimbo 800. Salute!
@sylvanuskavindi2756
@sylvanuskavindi2756 4 года назад
Jamaa wanamjua Soggy wa Kibanda Cha Simu!!! Kweli nyie ni watoto wa juzi. Soggy kabla ya hapo alikuwa mtangazaji RFA wakati huo akiimba Hot Pot Family. Usimuone mfupi ni mzee yule bro.
@mirajichambega6271
@mirajichambega6271 4 года назад
Umetisha mzee mwenzangu
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 4 года назад
Is this the return of mr. P funk....??
@Mtamaduni14
@Mtamaduni14 4 года назад
P funk midundo ya haki Legend
@erickwalter2291
@erickwalter2291 4 года назад
Rapture Mkali Kuliko Yule Wa Kumuita Muuaji Mdogo
@gervas58
@gervas58 4 года назад
Nani kaona Jonijo akinusa Mkono kayoka chooni🤣🤣
@lilakhhassan6896
@lilakhhassan6896 4 года назад
Sasa ndio mjue kama saidi fela ni mgeni tu
@miltonmugisha1805
@miltonmugisha1805 4 года назад
Huyu mtoto wa majani balaa
@dorcasdarshin8976
@dorcasdarshin8976 4 года назад
Hii hamkujipanga
@jumabunzari8378
@jumabunzari8378 4 года назад
hahahahahahaaaaaaa wa bongo bhana dola 4500,sijui mkwama wapi sababu kila msanii akifanyiwa mahojiano anasema ananijiweza,ngoja apate majanga kidogo utasikia mpka mawaziri wametanjwaa akiomba msaada,acheni hizo
@fadhiliromwald
@fadhiliromwald 4 года назад
Legend
@swalehejeilani8112
@swalehejeilani8112 4 года назад
Mtu kama huyo mnaacha kumuuliza maswali yamaana
@nginirasaire5876
@nginirasaire5876 3 года назад
The confidence
@dvjbingo8028
@dvjbingo8028 4 года назад
Sio nikusaidiaje wazee nyimbo inaitwa ndivo sivyo mbona mnafeli jaman wasafi au hamjui nyimbo za old school
@director.mdozydanjoe2693
@director.mdozydanjoe2693 4 года назад
Raptchaaaaa
Далее
Mkasi - SO5E03 With P Funk
29:34
Просмотров 151 тыс.