Тёмный

P-Funk Majani: Ni kweli nilimtesa Kajala, siwezi kumtungia tena mwanamke wimbo (Chill na Sky Part 3) 

Dizzim Online Official
Подписаться 19 тыс.
Просмотров 67 тыс.
50% 1

P-Funk Majani anasimulia jinsi ambavyo aliwahi kumtesa mpenzi wa zamani Kajala, anaelezea jinsi alivyomsaliti na rafiki yake na kumtungia wimbo I'm Sorry. Anasimulia kuhusu familia yake na jinsi ambavyo alishindwa kutumia muda mwingi na watoto wake wakubwa. Anaelezea pia jinsi ambavyo amebadilika sana ukilinganisha na jinsi alivyokuwa zamani.
Chill na Sky ni kipindi cha redio cha saa nzima ambacho huruka kila siku za Jumamosi kupitia www.dizzimonline.com. Kinaendeshwa na Fredrick Bundala aka Skywalker. Download app yetu Playstore na Appstore ili usipitwe na vipindi vyetu.
_________________________________________________
Tufollow kwenye mitandao ya kijamii:
Instagram: / dizzimonline
Twitter: / dizzimonline
Facebook: / dizzimonline

Развлечения

Опубликовано:

 

26 май 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 46   
@mouraj1376
@mouraj1376 4 года назад
Pfunk tunaomba uturudishie mziki wetu wa zaman sasa pruducer fake, mc fake yan hakuna feeling kabisa km umeliona hili gonga like hapa..
@barakamgina6630
@barakamgina6630 3 года назад
ONE AND ONLY PRODUCER IN TZ EVER
@salminhustler962
@salminhustler962 Год назад
Nimemuelewa majani anafanya kazi kubwa kuna watu wanaamchukulia poa kumbukeni kila mtu ana maono yake kwenye huu ulimwengu big up to majani long forever legend
@ambililasambo5783
@ambililasambo5783 6 лет назад
Ukiwa na akili utamuelewa xn huyu jamaa namuelewaa xn huyu bro
@babenealoyce889
@babenealoyce889 5 лет назад
P. Funky, umekomaa kwa kweli. Unaweza saidia wengi kwa ushauri.
@ostazclassic3370
@ostazclassic3370 6 лет назад
Ndo produced number one tz
@jackiemapenzyambwamedson3919
@jackiemapenzyambwamedson3919 6 лет назад
I like the way he talks
@joesimba
@joesimba 5 лет назад
Ushamzimikia ww
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 7 лет назад
p. funk nakukubali sanaaa aisee
@daviekleva1856
@daviekleva1856 7 лет назад
Ningependa kama majani angetoa kitabu cha maisha yake huku akihusisha na historian au chanzo cha bongo fleva kwani yeye ndiye GODFATHER wa huu muziki wetu
@juniorkapayer2395
@juniorkapayer2395 5 лет назад
True that
@fhvbvgkvgc8073
@fhvbvgkvgc8073 3 года назад
Kabisa
@bensonkaile9606
@bensonkaile9606 3 года назад
It's good to be close to God brother.. #ProudlyStaunchCatholic
@abedkirway8668
@abedkirway8668 3 года назад
Huwa namkubal san majn wa bong rekod kuliko produza yeyote bongo kaza broo ww ndio king of bong flave wasanii bora wote wametok kwako
@ibrahimzuberi1029
@ibrahimzuberi1029 5 лет назад
big brain
@Shozesholive
@Shozesholive Год назад
Good nice
@garoedod6272
@garoedod6272 4 года назад
mtoto wako mkubwa mashallaha
@neemanicholaus5468
@neemanicholaus5468 3 года назад
Kheee eti ndo naangalia leo.🤣
@hadijabashil2680
@hadijabashil2680 3 года назад
Tuko wote ambao ndo tunaona mwka huu
@saladaniel9274
@saladaniel9274 3 года назад
Na mm pia
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 года назад
Tupo wengi🤣🤣🤣
@johnelias9179
@johnelias9179 3 года назад
Neema VP
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 года назад
Bongolo🤣🤣🤣🤣
@michaeladd3445
@michaeladd3445 5 лет назад
Baba la baba
@anithaphilip3526
@anithaphilip3526 4 года назад
Mi nshawahi kusikiaga izo stories, alikua anapiga wasanii makwenzi, anatukana , anawafukuza studios, ila alivyojibu ilo swali nimemuelewa
@Shozesholive
@Shozesholive Год назад
Kweri sana
@sakinaathuman7125
@sakinaathuman7125 3 года назад
Anaonekana msitaarabu sana huyu kaka
@Hotensia
@Hotensia 10 месяцев назад
Weee paula anafanana na babake jamani
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 3 года назад
kweli tumeshakua watu wazima
@kiatu
@kiatu Год назад
Watching in 2023.
@saidrajabu9589
@saidrajabu9589 3 года назад
Hizi ndo interview za kuangalia
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 7 лет назад
masikini ana try kutokutukana ila unasikia Wata f 😢 I knw ni ramadan pia 😂😂😂😂 mie naona ramadan isogezwe iwe miez 2 angalau tusaidie wenye zambi nyingi kama sisi
@maryamdounga2290
@maryamdounga2290 6 лет назад
Kitone Kantasha1 😂😂😂daah
@ramadhanibwitu4266
@ramadhanibwitu4266 6 лет назад
Kitone Kantasha1
@husseinc
@husseinc 7 лет назад
p1
@rodampazi8616
@rodampazi8616 6 лет назад
Majani kama mzungu jamani kaa!
@iamzillahx6901
@iamzillahx6901 5 лет назад
Chotara huyo, Tz & Dutch
@marymasanyiwa5738
@marymasanyiwa5738 3 года назад
Babaake ni mzungu kabisa
@timothymikola2317
@timothymikola2317 10 месяцев назад
Baba muolanzi mama tz. Njombe
@hellenmvungi8294
@hellenmvungi8294 2 года назад
Wapare
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 3 года назад
mzee unachana povu
@anethnyamwangi5667
@anethnyamwangi5667 3 года назад
Niko
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 лет назад
maswali ya maana huulizi....sasa kwa nini ujamuuliza watoto hao mapacha wako wapi na kwa nini hawajulikani
@mkungamedia6090
@mkungamedia6090 7 лет назад
Nassor Said unataka swali gani mfano
@ashaomary347
@ashaomary347 3 года назад
Sema tu p nilikuwa nashughulika tupo kuwa tu aishi mikocheni B du jamaa alikuwa mtata sana kweli alikuwa anamtesa kasema uwazi ila Sasa Kawa mtu Zima
Далее
Впервые дал другу машину…
00:57
Редакция. News: 124-я неделя
52:01
Просмотров 1,8 млн
Mkasi - SO5E03 With P Funk
29:34
Просмотров 150 тыс.
🍁 Поверил в себя
0:19
Просмотров 1,5 млн
Это жизнь😂инст:sarkison7
0:10
Просмотров 2,3 млн
мы в телеге - hahalivars
0:52
Просмотров 4,2 млн