ww shekh Othman fund mungu akupe wepes uzid ufund ww ndo miongon mwa warith Wa mitume niombeee dua na mm Allah snipe nguvu na snipe wepes Wa kutoa ili tuupoteze umasikn .ukiikubal hii gonga like .
Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh...Shukran Ktv tz Online Kwa Kutufikishie Kheri Hizi Namuomba Allah Awazidishie Rizki Zenu Na Awaruzuku Afya Njema Na Uhai Mrefu Wenye Kheri...Pia Naomba CD Ya Haya Mawaidha In Shaa Allah Zinapatikana Wapi Naomba Unisaidie
Jazaaka llahu sheikh othman maalim Kheir kubwa hii ktv nawashukur sana kwa Kazi kubwa hii safi sana namuomba allah awalipe kher Km kuna mtu anamchukia Sheikh Othman maalim basi mtu huyo achunguze nafsi yake vizuri
you all prolly dont care at all but does someone know of a trick to get back into an instagram account?? I stupidly lost my account password. I love any help you can offer me!
@Jonah Finn i really appreciate your reply. I found the site thru google and im in the hacking process atm. Takes quite some time so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.
Maasha-Allaah sheikh Othmaan Allah akupe umri mrefu waje kufaid na watoto wetu Inshaa-Allah... Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe wepesi ktk kutowa Mali zetu ktk mambo ya kheri Inshaa-Allah..
Sheikh Othman Maalim Allah akubarik ktk utoaji wa mawaidha na Darsa zenye tija kwetu na atufanyie wepesi sisi wapokeaji hakika tusiishie ktk kusikiliza pasi kuyafanyia kazi kwa yakini tutapiga hatua Inshaallah
Ihtilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah subhana wataala,tuache kujitukuza kupita kiasi,mtukufu ni Allah,tumtukuze Allah subhana wataala na tumfuate mtume aliyotuelekeza.Barakallahu feequm.
Saad Mohammed Allah akupe ufahamu..Ama kwa hakika Sheikh Othman ameeleza kwa ufasaha sana walakin kutokamana na comment yako inaonekana una gonjwa la dhanna kiilmu huenda ukawa humuelewa ndio maana umeingiza mada ya maukid hapa usilolijua na nina imani sheikh Othman alieleza kiufasaha kuhusu suala zima la maulid walakin yako no chuki....ondoa hilo akhui sote ni wamoja
@@aishahamadi9605 htilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah
@@adamzdamz6592 akhui Allah akuzidishie ilmu na akuongoze ila nakushauri sikiza faswaha alizoziongea sheikh...mada imehusu adua yetu ni Ufukara na akarambaramba kwenye ikhtilaaf...maadamu wewe chuki unayo juu ya msimamo wa Sheikh othmaan kuhusu maulid wataka msimamo wako ndio usikizwe...yeye anayo sababu ya kusherehekea maulid...walakin nyinyi ndio munaojiona wema kuwapa wenzenu moto na pepo...nikikwambia nitajie uharamu wa Maulid huna hata sababu moja na utakazozitaja hazitoshabahiana na maulid tunayoyajua sisi bali utatafuta viasbab vidogovidogo ambavyo hata sisi twapingana navyo katika kusherehekea maulid...Maulid hakuna bid'aa ndani yake na pepo haingii yeyote ila kwa Rahma za Allah....ikiwa umeshindwa na ilmu ya "mujtahidun" katika kueleza mambo haya usitumie RU-vid pia wewe maana ni BID'AA hakuna mtume wala swahaba wala tabieeen alietumia RU-vid...Tafakari na utambue kuna ilmu za mujtahideen usiwe shabiki wa shekhe flani mukawa mwawapa watu majina yasiyostahili mukiwaingiza na kuwatoa watu kwenye uislamu munavyotaka nyinyi haifai sote ni wamoja na bid'aa za wazi pia sisi twazijua na twazipinga. ASSALAMU ALAIKUM
Kweli lkn kila mwaka hawasemi kwa7bu maneno yote wanapangiwa na serekali hawawezi kutaja mashekhe roho zinauma kila mtu anasemakwanini maada ya mashekhe inaachwanyuma
M.Mungu awalipe kheri daima watumishi wote wa KTV hii ni sadaka kwenu kwa ssi tulio mbali tunahisi tupo ktk viwanja kwa kweli tunafarajika pia ALLAH awalipe kheri wahadhiri wote. Amiin
Mashallah Allah awadumishe mashekhe wetu Na maamiri wetu WA markaz akiwemo amiri mkuu amir Ali khamis mwinyi Kwa kuifanikisha ijtimai Allah awajaze kheri nyingi