Ndugu yangu wewe usilete mapenzi ya ushabiki kwa kulazimisha kitu kama hujuwi ni hujuwi ni nini kinachoendelea Mo alisha mkataa Chama kumpa mkataba mpya kwa makubaliano mapya na Magoli alimtaka bali Mo alimwambia yeye Magoli akimtaka Chama basi yeye amlipe yeye Magoli sasa kwa nini wanam bania ?
Yani huyu jamaa anaongea kishabiki waziwazi, Iko hivi yanga wamemsajili chama taerehe 1/7)2024 asubuhi, wakati mkataba wake na simba uliisha takrinani masaa 6 nyuma. Je shida Iko wapi? Kwani mazungumzo ya kumsajili mchezaji ni lazima yachukue miezi??
Mbape ametangazwa real madrid kabla ya hapo alishawahi kukataa mara mbili kusaini pale psg kuongeza mkataba.Mara ya mwisho mbape na babake waliomekana kwenye viunga vya madrid prpbably ni mazungumzo ya mkataba wa awali kusain pale Madrid mbona hatujasikia Psg wakilalama kuhusu Mbape kwenda Spain ?????? Israel Lugano unabumba maneno acha kung'ata maneno
Tupe hicho kifunga namba ngapi? Mchezaji akibaikiza miezi sita hakuna kifungu kina lazimishi timu inayomtaka kuongea na timu. Simba ni wahuni tuu hakuna hoja yoyote