Тёмный
No video :(

#live 

BENTV MEDIA
Подписаться 47 тыс.
Просмотров 4,5 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 Месяц назад
Ndugu yangu wewe usilete mapenzi ya ushabiki kwa kulazimisha kitu kama hujuwi ni hujuwi ni nini kinachoendelea Mo alisha mkataa Chama kumpa mkataba mpya kwa makubaliano mapya na Magoli alimtaka bali Mo alimwambia yeye Magoli akimtaka Chama basi yeye amlipe yeye Magoli sasa kwa nini wanam bania ?
@ErastoOmari-ij1zs
@ErastoOmari-ij1zs Месяц назад
Mchezaji Anaruhusiwa Kuanza Mazungumzo na Mchezaji Akiwa Kabakizamiezi 6 Bila Kuzungumza Na Timu Husika
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
CHAMA AMESAJIRIWA NA YANGA JULY 1/7/2024
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
WEWE MJINGA KUWAHI KUTOKEA,FIFA ITATOA RELEASE LETTER SIO LAZIMA SIMBA WATOE
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato Месяц назад
Huyu jamaa anaongea ushabiki sio mpira
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr Месяц назад
HICHO KIBALI GANI SI CHAMA ASHAMALIZA MKATABA WAKE SIMBA ? MKATABA UPI CHAMA NI MCHEZAJI HURU
@MrishoMatimbwa
@MrishoMatimbwa Месяц назад
Na bado mpaka waseme
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
HUO SIO UHAMISHO,UKISTAAFU KAZI LAZIMA UPEWE KIBALI CHA KWENDA KWENU????
@KumbaBoy
@KumbaBoy Месяц назад
WW muongo ujui chochote kama ingekuwa Ivyo mdawote wachezaji wangekua wanauzwat uyu ajielew
@salumzambwi8941
@salumzambwi8941 Месяц назад
Pia alitoa mfano wa Okwi kuwa alicheza Alhilali ya sudani kitu ambacho siyo kweli, OKwi hajawahi kusajiliwa na timu hiyo!
@KumbaBoy
@KumbaBoy Месяц назад
Ayo ni mazungumzo yakibiyashala katika cmba na yanga akuna biyashara ya mauziano
@seydouside4081
@seydouside4081 Месяц назад
Morrison..na chama..hivi ni tofauti..nauliza hivi marehemu.na.hayati..kunatofauti..!
@EmmanuelMalangahe
@EmmanuelMalangahe Месяц назад
Simba haina haja na chiba snapewa displin tu
@jacksonsungwana7253
@jacksonsungwana7253 Месяц назад
Duuu,kwel Kwan thank you walizotoa waliwapa taarifa kabla ligi hajaisha? Acha kupotosha
@salumzambwi8941
@salumzambwi8941 Месяц назад
Yani huyu jamaa anaongea kishabiki waziwazi, Iko hivi yanga wamemsajili chama taerehe 1/7)2024 asubuhi, wakati mkataba wake na simba uliisha takrinani masaa 6 nyuma. Je shida Iko wapi? Kwani mazungumzo ya kumsajili mchezaji ni lazima yachukue miezi??
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf Месяц назад
acha kuongea ujinga ww
@ErastoOmari-ij1zs
@ErastoOmari-ij1zs Месяц назад
Msemaji wasima Kashasema Chama Nimchezaji Wa Yanga Hawezi Kumzungumzia
@MrishoMatimbwa
@MrishoMatimbwa Месяц назад
Simba wanaweweseka tu kipigo walichopigwa ni kikali sana Cha kuchukuliwa huyo chama na bado mpaka waseme
@ErastoOmari-ij1zs
@ErastoOmari-ij1zs Месяц назад
7:10 Kipengele Gani Kinasema Mchezaji Akimaliza Mkataba Ananyimwa Hakiyake Yakusajiliwa Timu Nyingine
@AbdulIsrah
@AbdulIsrah Месяц назад
Mbape ametangazwa real madrid kabla ya hapo alishawahi kukataa mara mbili kusaini pale psg kuongeza mkataba.Mara ya mwisho mbape na babake waliomekana kwenye viunga vya madrid prpbably ni mazungumzo ya mkataba wa awali kusain pale Madrid mbona hatujasikia Psg wakilalama kuhusu Mbape kwenda Spain ?????? Israel Lugano unabumba maneno acha kung'ata maneno
@user-dz8ex4fk2x
@user-dz8ex4fk2x Месяц назад
Acha uongo hujui chochote, vipi kuhusu morisoni kipindi Simba inamchukua walitoa taarifa kwa yanga?
@JackKanyigo
@JackKanyigo Месяц назад
Yataisha mbona Fei alienda Azam huku ana mkataba na Yanga?..TFF wali😂 fanya nn?
@veelmng7746
@veelmng7746 Месяц назад
Tupe hicho kifunga namba ngapi? Mchezaji akibaikiza miezi sita hakuna kifungu kina lazimishi timu inayomtaka kuongea na timu. Simba ni wahuni tuu hakuna hoja yoyote
Далее
Х.евая доставка 😂
00:23
Просмотров 1,3 млн
СЕРЕГА ПИРАТ - TEAM SPIRIT
02:37
Просмотров 227 тыс.