Halmashauri ya Mji wa Tunduma Kwa kushiirikiana na Serikali imejenga shule ya sekondari Samia SH iliyopo Halmashauri ya Mji wa Tunduma na inavutia Kwa mazingira mazuri huku walimu na wanafunzi wakifurahia mazingira ya shule hiyo Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo mhe. Philemon Magesa amesema pshule hiyo ni miongoni mwa shule zilizo pendekezwa kujenga katika mikoa 10 ambapo Songwe ni Moja ya mikoa iliyobahatika kuwa katika mkakati huo.
.
.
.
.
.#bombafmdigital #live #bombafm #live #subscribe #bombafmdigital #subscribe #live #bombafm #bombafmdigital #live
14 окт 2024