Тёмный

MWANAFUNZI WA KWANZA KIDATO CHA NNE NCHI NZIMA WASICHANA, MAGUMU ALIYOPITIA, NDOTO ZAKE 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 258 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 779   
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 3 года назад
Wow wow wazazi wake wamuombee sana ni binti Mzuri na mstaarabu shetani akae mbali kwake kwa jina la Yesu
@arnoldrukwembe4146
@arnoldrukwembe4146 3 года назад
Mbona muna muiga murady hayo
@saidnassoro9562
@saidnassoro9562 3 года назад
Mtoto mwenyewe wa Kidhua hatati
@saidnassoro9562
@saidnassoro9562 3 года назад
Mtoto wa Kishua
@subirajohn728
@subirajohn728 3 года назад
Amina!
@presseg.6362
@presseg.6362 3 года назад
Amen
@videralfred8889
@videralfred8889 3 года назад
Hingera binti hongera sana natamani binti yangu afanye vizuri kama wewe miaka hiyoo ijayoo mungu bariki mabinti wote Tanzania Wajitambue
@missangela6720
@missangela6720 3 года назад
Safi
@hannahsanga5647
@hannahsanga5647 3 года назад
Amen
@marygregory7566
@marygregory7566 3 года назад
Nimependa hapo kwenye kumtanguliza Mungu..hongera binti unajitambua sana
@othmanitindwa4909
@othmanitindwa4909 3 года назад
Nyumba ninayoish ya nyasi pia inavuja nilikua nasomea kibatari usiku ndani moshi tu I'm score dvsion 2 thanks god
@njigecharles4690
@njigecharles4690 3 года назад
Your English is poor!
@HASASON
@HASASON 3 года назад
Umasikini haijawahi kuwa excuse ya kuwa intelligent kama ndio hivyo wazungu wote wangekua vilaza, stop that dumb excuse
@heppylugajo9246
@heppylugajo9246 3 года назад
English yako ime kaa kama ya division 4😂😂😀😀
@josee8224
@josee8224 3 года назад
@@HASASON ushindani hauko sawa ndugu
@melon8901
@melon8901 3 года назад
@@njigecharles4690 🤣🤣🤣jamenii
@bennychawala2776
@bennychawala2776 3 года назад
Endelea kumtanguliza Mungu ndio Siri ya mafanikio This Girl is so genious serikali iwatumie watu km Hawa tutafika mbali kwenye innovation
@munishiamedeus
@munishiamedeus 3 года назад
JK Nyerere, then Kaizirege, halafu Tusiime na mwisho Kanosa.... Wazazi aisee tuzidi kupambana tutafute pesa
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 3 года назад
Shule zote kalii
@douglasmodrax4608
@douglasmodrax4608 3 года назад
At Francis girls umetisha mwaka huu
@godlema6104
@godlema6104 3 года назад
Ukianza na nyumba yao tu lazima unajifunza kitu pia angalia mtoto alivyo kuwaanabadilishiwa shule pesa kitu kingine
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 3 года назад
@@godlema6104 sanaaa
@godlema6104
@godlema6104 3 года назад
@@زيتونتنزانيا ahahaha
@issamajanavi2198
@issamajanavi2198 3 года назад
Tuangalie pia watoto waliofanya vzur wanaotokea katika mazingira magumu
@abdiabdallah697
@abdiabdallah697 3 года назад
Millard Ayo tutafutieni yule aliyefeli ambaye ana F zote ili tujuwe na yeye changamoto ambazo wanapitia mpk wakapata F.
@pasikalmsobi5241
@pasikalmsobi5241 3 года назад
Hahaaaaa
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 3 года назад
Wamfatilie Legend yule...😂
@emanuel1990ism
@emanuel1990ism 3 года назад
wamefungana wako wengi au achague muwakilishi amuhoji😁😁
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 3 года назад
@@emanuel1990ism umenichekesha hahahahhhh
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 3 года назад
@@emanuel1990ism 😄😄😄😄😄😄😄khaaa
@chondecannibal6108
@chondecannibal6108 3 года назад
Hongera dogo. Mimi nilipata div 4 ya point 28 niliishia form 4 cha ajabu nina nyumba 3 za ukweli gari la kutembelea spacio, Toyota pickup Townhice matatu kwa kusombea mali za shambani. Na bado nazisaka tu. Kuna wengine walipata matokeo mazuri sana nimeshawahi kukutana nao wapo kawaida tu hata sijui kwa nini. Kwasasa nina miaka 40 nilimaliza form 4 mwaka 2000
@rhoycerenathus1118
@rhoycerenathus1118 3 года назад
Safi san
@evelynkilawe5379
@evelynkilawe5379 3 года назад
masonik wewe huna lolote 😅
@chondecannibal6108
@chondecannibal6108 3 года назад
@@evelynkilawe5379 unateseka ukiwa wapi? Kwa taarifa tu ardhi ndio ilinibeba.
@evelynkilawe5379
@evelynkilawe5379 Год назад
@@chondecannibal6108 huna lolote masonika wewe ukweli unakuuma kajambe huko 🤣🤣🤪🤪🤪🤣🤣🤣zero wewe
@chondecannibal6108
@chondecannibal6108 Год назад
@@evelynkilawe5379 Pole sio lazima uamini kama imekuuma chomoa. Elimu darasani haihusiani akili ya maisha. Wapo walipata ziro darasani cha ajabu mtaani wako vizuri tu kama ww umepata one hongera lakini huna pesa pole sana.
@josephchuwa1206
@josephchuwa1206 3 года назад
Wadogo zangu wa familia za kibatari tuendelee kumuomba Mungu tu aendelee kutulinda na kutusimamia vema.
@mariachannel2047
@mariachannel2047 3 года назад
hahahahaha umenikumbusha mbali. sio wote wanaofeli ni wajinga
@robertkisasa1346
@robertkisasa1346 3 года назад
Hata hao hao wa vibatari kuna mwamba huko kachomoka na 1.7 na vibatari hvy hvy so smart ni smart tu
@zarunaamwanajimba1950
@zarunaamwanajimba1950 3 года назад
Amina
@estherlengwa8689
@estherlengwa8689 3 года назад
Kabisa tuendelee tyuu kujifukiza
@maridadi8
@maridadi8 3 года назад
umasikini huchangia wengi kuto fanikiwa. Dada mshukuru mungu wazazi wana uwezo
@greatiq7835
@greatiq7835 3 года назад
Mwenyezi Mungu mlinde! Mwenyezi Mungu mtimizie ndoto zake kielimu na kimaisha katika njia zako!
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 3 года назад
Hongera sana mama usipotoke huwo NI mwanzo mzuri jiepushe Na YASIO mazuri ili uwe mmoja Na viongozi WA leo hongera sana
@marhaban2012
@marhaban2012 3 года назад
Sema Ma sha Allah tabaraka Rahmane. We wish her full success in her life , keep working hard . Everything Will be al right in your futur in sha Allah.
@adventureguidertanzania2331
@adventureguidertanzania2331 3 года назад
Tuliomaliza 2012 hadi waka rudia kusahisha mitihani eka 👍 hapo tukumbushane mwaka wetu ule
@dominamichael4659
@dominamichael4659 3 года назад
Wale wa 2012 tupoo
@rabiashaali8754
@rabiashaali8754 3 года назад
Nmecheka xnaa jmn dah yn ule mwaka ni hatari kwa kweli
@adventureguidertanzania2331
@adventureguidertanzania2331 3 года назад
Mambo yalikuwa huko kwenu?
@athumanimafugalo9917
@athumanimafugalo9917 3 года назад
Ukiangalia hiyo nyumba, utagundua wengine tunasindikiza wanaoishi.
@giftmassawe9419
@giftmassawe9419 3 года назад
😂😂😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
Haswaaaa 🤣🤣🤣🤣
@justinafredrick6772
@justinafredrick6772 3 года назад
Haaaaa
@rehemamagwila4305
@rehemamagwila4305 3 года назад
Maisha n folen Mungu hutoa kwa wakati anaotaka yeye.muamin yeye
@saidelsheeday2010
@saidelsheeday2010 3 года назад
Hahaha
@jonathanmanyang5521
@jonathanmanyang5521 3 года назад
Beautiful mind👏
@josephemmanuel3175
@josephemmanuel3175 3 года назад
Kama unaisikia sauti ya millad Ayo gongalike
@simonchambo1230
@simonchambo1230 3 года назад
Huyu jamaa anajua kazi yake hakika.
@gilbertmichael9130
@gilbertmichael9130 3 года назад
Huyu jamaa atakuwa ndugu yake na milad
@daffstar6339
@daffstar6339 3 года назад
Mdogo wake huyoo
@welfaretanzania2662
@welfaretanzania2662 3 года назад
Naisikia kabisa Ayo version 2.1
@boscoaron2004
@boscoaron2004 3 года назад
Jamaaaa kaiga kila kitu ametisha sanaaa aiseee Yuko powaaa Sana
@queencharles4823
@queencharles4823 3 года назад
She is bright! If you depend on God! Blessings every were! They are blessed.
@hellengeorge3601
@hellengeorge3601 3 года назад
Wahoo!!!! Hongera sana binti kipekee kwa kumtanguliza Mungu ,Mungu akuongeze kwa kila atua unayopiga.Dr.Edina !!! Hongera sana kwa ajili ya binti yako dada yangu
@fleythevoiceofficall5314
@fleythevoiceofficall5314 3 года назад
Kama una amini kila kitu ni mipango Ya mungu Gonga like
@silvestresanka6652
@silvestresanka6652 3 года назад
Kwa maisha hayo kweli asingefeli, wadogo zangu wasakatonge tupige moyo konde ipo siku yes
@prettyh7509
@prettyh7509 3 года назад
🤣🤣🤣
@ignas-vc5xm
@ignas-vc5xm 3 года назад
Kama akili hauna hauna tu
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 года назад
Nimecheka dear
@ignas-vc5xm
@ignas-vc5xm 3 года назад
@@salamakombo3257 kwani wangapi kwao wanamaisha mazuri lkn vichwa vya panzi hahaahhahaaa
@ghostelmendez7206
@ghostelmendez7206 3 года назад
@@ignas-vc5xm hahaahhahah
@godsonmrema5538
@godsonmrema5538 3 года назад
Kama unakubali kuwa dogo alikuwa hawazi njaa zetu za huku kitaa, sijui sijala chapati na maharage, nitapata wapi review ya maswali nisolve pepa, sina pesa ya pepa, sijalipa mchango wa fensi, sijalipa pesa ya mlinzi, sina four figure, sijapeleka maua shule, Gonga like 👍 tujuane 😄
@rosemaryminja3299
@rosemaryminja3299 3 года назад
Daaaaaaa umenichekesha kweli kaka mawazo yakitaa yanafelisha sana watu Mara ufukuzwe huna adaaa nahapo unakuta hata so ada kubwaa daaaah acha tuu
@godsonmrema5538
@godsonmrema5538 3 года назад
@@rosemaryminja3299 😆 😆 😂
@mickd527
@mickd527 3 года назад
Iko waz DG alikua awaz chcht dhid ya pindi 2
@ufahamuoriginal4092
@ufahamuoriginal4092 3 года назад
Amini wakishua tu hawa wengine tunapewa nauli tu hatujui tunakula nn
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 года назад
Wapo kibao waliokuwa na kila kitu na wamefeli tu
@amanimanase5794
@amanimanase5794 3 года назад
Mi ninavyojua elimu ni mazingira na akili kutulia pia na mchango wa wazazi pamoja na kipato hii lazima uwe No 1
@wellbrand3415
@wellbrand3415 3 года назад
Wooow, nice of you girl, you are focused with living dreams... Keep the shining spirit over there...🔥🔥🔥 I like yo saying, "Always GOD is number 1 to you".
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
Hongera mungu akutangulie ktk kila hatua yako ya masomo unayopiga na atimize ndoto zako
@alirashid3239
@alirashid3239 3 года назад
sishangai maisha kama hayo ya ki class niwazi kwamba no stress hapo kukaa usisome niwewe tu.napia akili inachangia kaza mdada ufike melongo yako na utafika mamy ucjali kikubwa bidii tu.
@catherineshayocwbp.2093
@catherineshayocwbp.2093 3 года назад
Hongera mama... feels so real. More blessing mama... my son will be their too... hongera sana
@aliaboud7517
@aliaboud7517 3 года назад
Japo kua una miaka 15 kwa heshima yako shkamoo MAMA
@twariatiomary486
@twariatiomary486 3 года назад
Pesa ndugu yangu
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 года назад
@@twariatiomary486 pesa za nini?
@marympango9247
@marympango9247 3 года назад
Ha haaaa
@missangela6720
@missangela6720 3 года назад
Hahahahaha. Marhabaaaa
@MwalimuJelly
@MwalimuJelly 3 года назад
Tafuta pesa uache kusalimu watoto
@tukuswigaikasu5227
@tukuswigaikasu5227 3 года назад
Nimekapenda haka kabinti. Kanaonekana kwao matawi but still anaoneka ana adabu na utulivu 😍
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 года назад
Kweli kabisaa
@queencharles4823
@queencharles4823 3 года назад
Malezi bora, mazingira mazuri, alafu afya njema, na maisha ya ibada, hence mafanikio ni kugusa tu
@glorylema
@glorylema 3 года назад
Na shule pia
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 года назад
Kabisa
@furahakamugisha4455
@furahakamugisha4455 3 года назад
Hongera mtt mzr
@johnmligo6966
@johnmligo6966 3 года назад
Uelewa huu ni mkubwa.... so humble.
@eunicegerminus193
@eunicegerminus193 3 года назад
Hongera mwaya watu wenye maisha mazuri kwao cku zote huwaga inaaminika hawasomi na hawana akili kutokana na kudekezwa na kujidaia mali za wazazi ww umeonesha mfano kutafuta vyako
@alphoncegeorge1439
@alphoncegeorge1439 3 года назад
Maisha pia yana support yy kufanya vizur shida ni kwa wale waishio kwenye maisha magumu kwa kweli ni nguvu za mungu
@roselugendo6943
@roselugendo6943 3 года назад
Mtoto wakishua anapambana safi sana, hajabweteka. Hongera mwanangu. Kaza buti
@missangela6720
@missangela6720 3 года назад
Kabisa
@heppylugajo9246
@heppylugajo9246 3 года назад
Kwel yani ina hamasisha sana
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 года назад
Kufeli darasani sio mwisho wa maisha
@cheenwizzy9445
@cheenwizzy9445 3 года назад
Ndo mana ulifel
@leoncemloka5376
@leoncemloka5376 3 года назад
Lakin wapo waliofel shule pia maisha nayo wakafel vilevile
@leoncemloka5376
@leoncemloka5376 3 года назад
Lakin wapo waliofel shule pia maisha nayo wakafel vilevile
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 года назад
@@leoncemloka5376 Yeah, kufanikiwa kimaisha ni swala LA MTU kujua anachotakiwa kufanya ili afanikiwe akifanya anafanikiwa. Wengi wamekwama kwenye kutojua yawapasayo kufanya ili wafanikiwe......
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 года назад
@@cheenwizzy9445 Hongera kwa kufaulu.......
@sarahshalom97
@sarahshalom97 3 года назад
Mungu aendelee kumpigania awese kutimiza ndoto zake... Ila kama waliofaulu kiwango cha juu cha div one ya saba wapo wengi tu sidhani kama ni mmoja tu tanzania nzima
@sebastianroswe1649
@sebastianroswe1649 3 года назад
Muh kwa mazingira
@stevelouis2502
@stevelouis2502 3 года назад
Masikin atusomin jaman ona matajil wana2zid kila sehemu ongela dada 😭😭😭😭👏👏👏👏👏
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
🤣🤣🤣 umenichekesha. Ila nikupe moyo Mungu aangalii utajiri/umaskini kukupa riziki na Baraka. Yeye hugawa apendapo, endelea kuomba siku yako yaja
@denishaule4397
@denishaule4397 3 года назад
Mazingira yamemsaidia kufaulu kwa kiwango hicho
@emilianaemmanuel1949
@emilianaemmanuel1949 3 года назад
Japo eapo wengi waliokua pia na hayo mazingira na bado wakafeli but mazingira yamechangia Xana
@magretkijanga6038
@magretkijanga6038 3 года назад
Mazingira ya kitajiri kwa watt walio we ngi mabaya wanajjsahau
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 года назад
Kuna wangu alikuwa na mazingira mazuri kabisa lakini kapata sifuri yenye masikio
@maketedc7444
@maketedc7444 3 года назад
Si kweli sana sema tuu ni bidii ya mtoto, uwezo binafsi, mazingira na Mungu aliyempa nafasi kuwa na afya kufanya yote haya bila maudhi na hatimaye kufanikiwa kongole kwake, azidi kufanikiwa hata advance
@denishaule4397
@denishaule4397 3 года назад
@@maketedc7444 mazingira yana asilimia kubwa sana
@josephvenus3259
@josephvenus3259 3 года назад
God bless you all the time, kip it up to fulfil your dreams! God is great!
@joycempangile810
@joycempangile810 3 года назад
Msichana cyo mwanamke mwandishi.. Pia mtoto amesema anataka kuwa Engineer wa mambo ya gas cyo petrol..
@allenmrema2909
@allenmrema2909 3 года назад
Wewe ndiyo haukumsikia....binti amesema anataka aje asome engineering a-specify kwenye petroleum and gas
@gloryshau6384
@gloryshau6384 3 года назад
Ila kiukwel saut znakarbia kufanana ishu milad ayo ni muongeaj sana
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 года назад
Ni mwanamke ndiyo kiswahili sanifu
@deodatusrweyongeza6747
@deodatusrweyongeza6747 3 года назад
Justina wahaya mna akili sana shomile family
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 года назад
Mungu mwema na wanajitima
@loner_wolf
@loner_wolf 3 года назад
Miaka yote wanafunzi wote wanapewa msjibu shuleni, chamsingi ni kuyahamishia kwenye karatasi, mpeni sifa yake bwana.... Kafanya vzuri......
@missangela6720
@missangela6720 3 года назад
Wewe ulipopewa ulikuwa wa kwanza au wa ngapi????
@denicenshange3882
@denicenshange3882 3 года назад
Wew kma akili una una tu acha wivu
@leylaiddy5815
@leylaiddy5815 3 года назад
Hahaa maneno ya mkosaji bhana.. mwenzangu majibu uliyopewa wewe ulikuwa unayahamishia wapi??
@norbertenock3154
@norbertenock3154 3 года назад
Jamn hamjamuelew majib ni yale tunayofundishwa dalasan ndyo yanayo toka kwenye mtian na wenye uwezo wa kuhifaz kichwan ndo wanafka hap wenzng na mm nd tnafel
@missangela6720
@missangela6720 3 года назад
@@leylaiddy5815 Safi sanaaaa
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 3 года назад
Binti nimekupenda sana, pamoja na kupita shule kama hizo umeojiwa na umeongea kwa kutumia lugha yako kiswahili hii inamaanisha unajitambua na kujua wewe nani tungekuwa sisi tuliosoma shule zetu maalum alafu tushike iyo nafasi chaa kingereza kingekuwa kingi kwenye hayo maojiano adi basi
@magnusbugingo7471
@magnusbugingo7471 3 года назад
Smart girl akili nzur huonekana kwenye mwili mzur in short Mtoto yupo smart
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
@johnsangida5158
@johnsangida5158 3 года назад
Nice mate ila wangekuja na kwetu mim pia nimepata one ya 7+A ya Maths😂😂😂
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 года назад
Hongera
@johnsangida5158
@johnsangida5158 3 года назад
@@trophainamagogwa9991 tnx be blessed
@prettycareen170
@prettycareen170 3 года назад
Mtu mwenye akili akiongea tu utamjua 💋
@barikimashusha5658
@barikimashusha5658 3 года назад
HV nan mwngn anaanglia hyo nyumba😂😂😂anyway hongera bhn Ila watot wa matajir mbn ndo wanafny vzr au ndo ile family background
@hemedykiboko2650
@hemedykiboko2650 3 года назад
She looks like she's a boyfriend and she doesn't care about love affairs😂😂. But All in all wazazi wake huyu mtoto wanamchango mkubwa sana
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 3 года назад
Wananichekesha ao wanaolalamika kua maskini
@mahabavoice1833
@mahabavoice1833 3 года назад
Duh wale mboga moja wenzangu gonga likes hapa
@deniscosta7236
@deniscosta7236 3 года назад
Ok vizuri sana, Mungu awe nawe katika safari ya masomo ako yajayo.
@amosmahona433
@amosmahona433 3 года назад
Huyu mwandishi namkubali Sana sauti afi, anajiamini, anaubunifu, muonekano safi, hongera sana ayo tv na milard ayo kwa waandishi bora.
@allymapinda8804
@allymapinda8804 3 года назад
Huyu jamaa sauti yake ni kama Millard Ayo mwenyewe.
@cocomapicha
@cocomapicha 3 года назад
Kabsaa
@theofridaalfonce5391
@theofridaalfonce5391 3 года назад
Nyc Sana. Dd you have act as an catalyst to us girls at all stay blessed
@victorjulius7930
@victorjulius7930 3 года назад
Hongera binti Mungu azidi kuwa upande wako utimize ndoto zako na taifa kwaujumla inapendeza sana atakujieleza kwako inasadifu ulichokipata.
@pachamalota4455
@pachamalota4455 3 года назад
Hongera binti chocolate 🍫🍫, fanya bidii mafanikio yapo kwaajili yako
@michaelmfinanga2920
@michaelmfinanga2920 3 года назад
Huyu ni mboga nane hivo mafanikio yapo tayari nyumbani hata km asinge faulu
@pachamalota4455
@pachamalota4455 3 года назад
@@michaelmfinanga2920 usiseme ivo, acha Mungu amlinde katika atua zake, duniani si watu wote wema.
@marhaban2012
@marhaban2012 3 года назад
We have to be careful an keep our smart children in secrect because from the 4 th of january the smart girl of Senegal ever has been abducted in France. They didn't find her till now, our smart children should stay in our country, because so many of them are working only for european country. We should also learn To say ma sha Allah wich means this is what Allah want, when we appreciat the intelligency or thé good things that Allah bas given To some people . May Allah bless Her and protect her. .
@yuniabeli8492
@yuniabeli8492 3 года назад
Elimu ni pesa bila pesa dvsion 0 coz mwenzako akirud anakuta msosi uko stby unasubiria mwenzangu na mim ukirudi shule hujapumzika Mara majan ya ng,ombe kazi nyingi hakuna chakula hakuna tushion
@philomenajames3266
@philomenajames3266 3 года назад
Safi wanawake tunaweza hongera sana binti kwa kutokuwaangusha wazazi wako big up keep up never give up
@rebeccasefyuko7621
@rebeccasefyuko7621 3 года назад
hongera binti Yesu akusaidie uenderea hivyo
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 года назад
Mkawahoji na waliofanya vibaya tujue changamoto zao kuna watoto wanaishi maisha magumu nyie
@fulgenceoswald3866
@fulgenceoswald3866 3 года назад
Hahahaha kweli aisee tatizo hawatakubali kuhojiwa
@maulidmnukwa3171
@maulidmnukwa3171 3 года назад
Hahahahha..... Kaka umetisha
@teamfocusfunny966
@teamfocusfunny966 3 года назад
Hahahaa
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 года назад
@@fulgenceoswald3866 wanakubali mdau
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 3 года назад
wee aibu hawawez kukubal mtu anastress zake ukamwekee macamera tn😂😂
@cleofasswenya6443
@cleofasswenya6443 3 года назад
Waoo Good , God be with you in other level.
@richardmagasa4900
@richardmagasa4900 3 года назад
Huyo Ni msichana Bado hupaswi kumwita mwanamke
@naomifesto8616
@naomifesto8616 3 года назад
Hongera sana binti....nimependa hekima yako ya kuongea.... usiache kumtegemea Mungu na kujibidisha zaidi.
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 3 года назад
Pongezi binti mungu akufanyie wepesi maishani
@scolasanga6395
@scolasanga6395 3 года назад
Hongera sana
@abakuryatv2119
@abakuryatv2119 3 года назад
OMG OMG OMG she's soooo sooooo much beautiful and god fairing little cute girl Amebarikiwa nadhan with everything.. But still aliweka effort ++ prayers and finally she made it .. Kuna mamanzee wengine hawako na kila kitu.... Na wala hata hawajali 😔 😔 and daah nmejifunza kitu ( kwa wanangu.. Nitajitahd)
@magezirajabu7127
@magezirajabu7127 3 года назад
Jah akubaliki uzidi kufanya vema uko mbele👊👊
@mwanaidsalehe1109
@mwanaidsalehe1109 3 года назад
Hongera sana Mungu akutimizie haja ya moyo wako ufike unakotamani.
@carlosmzena548
@carlosmzena548 3 года назад
God's great she's Respectful and hard worker she deserves
@sawanjema4889
@sawanjema4889 3 года назад
Hongera.ila kama kweli unamtegemea mungu,usirudie kuvaa hivyo visuruari kumb torati 22:5.
@joelathiambo4312
@joelathiambo4312 3 года назад
Irrelevant
@evelynkilawe5379
@evelynkilawe5379 3 года назад
we nae ata akivaa mabaibui ukionekana malaya ni malaya tuu tena mavazi kama hayo ni shida tu eti magauni loh 😜 avae hivohivo ni binti wa kisasa huyo kwanza ana adabu na mambo safi atafika mbali huyoo achana na mavazi aisee 🤣🤣
@fetyalmasi8916
@fetyalmasi8916 3 года назад
Hongera na mwnywz mungu akutangulie ufanikiwe ktk masomo yako
@faustaamasy2482
@faustaamasy2482 3 года назад
Jaman hiyo saut mnaisomeaaa ama?? Mbn watangazaj wengi wa Millard saut zinafanana??
@magreth7981
@magreth7981 3 года назад
🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️Mm pia nawazaa hivyo!
@faustaamasy2482
@faustaamasy2482 3 года назад
@@magreth7981 mim hata siwaelew japo wanaongea vizuri
@innocentchacha1082
@innocentchacha1082 3 года назад
Neno " sana sana sana" limetumika sana sana sana kwenye hii video sana
@claudialupimo7614
@claudialupimo7614 3 года назад
Hahhhhaaa na kweli
@pieremchome5202
@pieremchome5202 3 года назад
Innocent chacha umelisikia hili neni sana sana
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 3 года назад
Hahahahaaaaa
@jamesmligo9251
@jamesmligo9251 3 года назад
#🤣🤣
@jeezvirtfilmmaker8374
@jeezvirtfilmmaker8374 3 года назад
💪💪💪 make your studies to be the balance diet of your heart
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 3 года назад
Mtoto ukitaka awe na akili darasani kwanza Ni Mungu pili wazazi tatu walimu kama mzazi ufatilii mtoto basi jua ume fail
@deborajackson7284
@deborajackson7284 3 года назад
Hongera dada,Mungu akujalie mwisho mzuri.
@emmypapius3892
@emmypapius3892 3 года назад
Hongera sana sana sanaaa God bless u sana sana sana uendelee kufaulu sana sana
@sharinv8864
@sharinv8864 3 года назад
Hongera sana mungu akubariki sana namba 1 na 2 wote engines
@mbarakahussein9641
@mbarakahussein9641 3 года назад
​ Mimi ningepata nafasi ya kushauri Wizara ya Elimu, ningeshauri na kuomba, Haya mashindano ya Elimu isio na tija ningefuta, kwasababu sasa hivi mashindano yapo kwenye Lugha baada ya Elimu kukaa kwenye uhalisia wake na maana yake, Leo ili hujue shule nzuri unaangalia vitu viwili kuongoza kitaifa na wanafunzi kuongea kiingereza. Hapo ningeshauri kubadilishwe kwa kutambulisha Lugha ya kiswahili kuwa ndio lugha ya Kufundishia sio tu Shule za misingi bali hadi vyuoni, kila somo mtu aelewe kwa ligha yake ili awe mbunifu sio kukariri maelezo ambayo hana uwezo nayo kwa kujiongeza, kwasababu kuanzia mwalimu hadi mwanafunzi wote wamekalili....Shule imebadilika kutoka kwenye kuwa misaada hadi kuwa biashara ya Lugha na Matokeo yasio na tija kwa maendeleo ya Taifa na mtu binasfi.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 года назад
A Very hard working attitude besides prayers.God helps who helpes himself always.There is nothing strange one this case whether a girl or a boy.Its quite normal.Nothing strange please.No media in this case
@salminasalim5630
@salminasalim5630 3 года назад
Waiyukage bojo Katonda azidi kukwebembela akuwe amagezi obe wa mbele buli ona mbali olagya
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
Umenikosha kweli, olige owamawe!
@benbranco3688
@benbranco3688 3 года назад
miaka 15 kamaliza four,,mm ndo nlikua form one
@meshackmihayo7480
@meshackmihayo7480 3 года назад
😂😂😂😂
@arry7562
@arry7562 3 года назад
🤣mbavu zangu🤣🤣🤣
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 3 года назад
Kama mm😀😀
@devidpanja115
@devidpanja115 3 года назад
Af TO
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 года назад
Haha mie kama ningeendelea ingenikuta form 2😁😁😁😁
@rhodasamwel2485
@rhodasamwel2485 3 года назад
Hongera sana kwake
@restutazimbeiya3806
@restutazimbeiya3806 3 года назад
Hongera sana mtoto mungu azidi kukutangulia ufike ndoto zako
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 3 года назад
Masha Allah ❤❤❤❤
@marymosha5394
@marymosha5394 3 года назад
Ongera Sana Justina mungu akubariki na kukulinda katika safar ya masomo yako.
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
Hongera sana bint Mungu akulinde na family yako
@samjomatata296
@samjomatata296 3 года назад
Hongera sana mdogo wang
@ashahashimu1019
@ashahashimu1019 3 года назад
Hongera sana bint
@Zaikadena
@Zaikadena 3 года назад
Mazingira tu ni mzr lzm nashule alsoma nzr asa utafer nn
@faustaamasy2482
@faustaamasy2482 3 года назад
Umeona ee
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 года назад
Ni akili ya mtoto wangapi kwao mazingira mazur lkn zero
@lisakishosha2235
@lisakishosha2235 3 года назад
Anauwezo mkubwa tu maana wapo wengi wanaosoma shule nzuri lakini mhhh normal results like those from ward schools
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 года назад
@@agathathobias8690 kweli kabisa. Hata nina wangu kafeli tu kifala
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
Weeeeee wangapi matajiri kwao wanafeli? Wengi mno mtoto anaona nyumbani kuna kila kitu kwanini akeshe?
@isaacmwansile5091
@isaacmwansile5091 3 года назад
Mambo safi super sio diesel
@abdulkarimpeter2348
@abdulkarimpeter2348 3 года назад
Nyumba yenyew inaonesha haina njaa lazima mtoto awe wa pl
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 3 года назад
Yan hali ya maisha imechangia kwakwel🙂🙂
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 года назад
😂😂😂😂😂😂
@vero57
@vero57 3 года назад
WANAWAKE oyeee!! HOGERA SANA, nyumba NZURI SANA aisee wow!!
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 3 года назад
Acheni uwaki TAFTENI ST KAYUMBA HAO NDIO WANAOFAUL NGINJANGINJA sio hawa WANAOSOMEA MITIHANI COPY AND PASTE na number MOJA mmemrukajeee?
@embruno3533
@embruno3533 3 года назад
Fact
@beatricerenalda8071
@beatricerenalda8071 3 года назад
Hope wangetafuta wa st kayumba ingependeza Zaid
@sadockalfred1710
@sadockalfred1710 3 года назад
Kabsa na kupewa majibu pia
@maxmillianmarco9470
@maxmillianmarco9470 3 года назад
Saf wazo zuri
@HASASON
@HASASON 3 года назад
Kwa akili hii maanake wazungu ambao ni matajiri dunia hii wangekua wote vilaza sio? Badala yake ndio wamekuletea masikini elimu
@sofiambogo5675
@sofiambogo5675 3 года назад
HongerA saana binti yesu akutunze
@sabinaawesso2493
@sabinaawesso2493 3 года назад
Hahaha! Jamani kiswahili kigumu khaa ni wasichana cyo wanawake ni wavulana cyo wanaume .
@mariammotoraiz8482
@mariammotoraiz8482 3 года назад
Kila la kheri bint mzuri
@cosmasdaud9088
@cosmasdaud9088 3 года назад
Hongera Sana maisha bora nayo yanachangia mafanikio ya mtu nyumbani Kama hotelini ni nomaaa
@petrozingwa7374
@petrozingwa7374 3 года назад
😂😂😂😂 hakika😂😂
@happymwashimaha5134
@happymwashimaha5134 3 года назад
Ni kweli kabisa
@petrozingwa7374
@petrozingwa7374 3 года назад
@@happymwashimaha5134 nimekubali😁😁
@esthermassay1702
@esthermassay1702 2 года назад
Hongera sana binti yetu
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full Episode /38/ #love
26:23
Просмотров 62 тыс.
9월 15일 💙
1:23:23
Просмотров 1,2 млн
Njia rahisi ya Kuitambua Siku ya Kubeba mimba
13:03
Просмотров 3,2 млн