Hongera dogo. Mimi nilipata div 4 ya point 28 niliishia form 4 cha ajabu nina nyumba 3 za ukweli gari la kutembelea spacio, Toyota pickup Townhice matatu kwa kusombea mali za shambani. Na bado nazisaka tu. Kuna wengine walipata matokeo mazuri sana nimeshawahi kukutana nao wapo kawaida tu hata sijui kwa nini. Kwasasa nina miaka 40 nilimaliza form 4 mwaka 2000
@@evelynkilawe5379 Pole sio lazima uamini kama imekuuma chomoa. Elimu darasani haihusiani akili ya maisha. Wapo walipata ziro darasani cha ajabu mtaani wako vizuri tu kama ww umepata one hongera lakini huna pesa pole sana.
Wahoo!!!! Hongera sana binti kipekee kwa kumtanguliza Mungu ,Mungu akuongeze kwa kila atua unayopiga.Dr.Edina !!! Hongera sana kwa ajili ya binti yako dada yangu
Kama unakubali kuwa dogo alikuwa hawazi njaa zetu za huku kitaa, sijui sijala chapati na maharage, nitapata wapi review ya maswali nisolve pepa, sina pesa ya pepa, sijalipa mchango wa fensi, sijalipa pesa ya mlinzi, sina four figure, sijapeleka maua shule, Gonga like 👍 tujuane 😄
Wooow, nice of you girl, you are focused with living dreams... Keep the shining spirit over there...🔥🔥🔥 I like yo saying, "Always GOD is number 1 to you".
sishangai maisha kama hayo ya ki class niwazi kwamba no stress hapo kukaa usisome niwewe tu.napia akili inachangia kaza mdada ufike melongo yako na utafika mamy ucjali kikubwa bidii tu.
Hongera mwaya watu wenye maisha mazuri kwao cku zote huwaga inaaminika hawasomi na hawana akili kutokana na kudekezwa na kujidaia mali za wazazi ww umeonesha mfano kutafuta vyako
@@leoncemloka5376 Yeah, kufanikiwa kimaisha ni swala LA MTU kujua anachotakiwa kufanya ili afanikiwe akifanya anafanikiwa. Wengi wamekwama kwenye kutojua yawapasayo kufanya ili wafanikiwe......
Mungu aendelee kumpigania awese kutimiza ndoto zake... Ila kama waliofaulu kiwango cha juu cha div one ya saba wapo wengi tu sidhani kama ni mmoja tu tanzania nzima
Si kweli sana sema tuu ni bidii ya mtoto, uwezo binafsi, mazingira na Mungu aliyempa nafasi kuwa na afya kufanya yote haya bila maudhi na hatimaye kufanikiwa kongole kwake, azidi kufanikiwa hata advance
Jamn hamjamuelew majib ni yale tunayofundishwa dalasan ndyo yanayo toka kwenye mtian na wenye uwezo wa kuhifaz kichwan ndo wanafka hap wenzng na mm nd tnafel
Binti nimekupenda sana, pamoja na kupita shule kama hizo umeojiwa na umeongea kwa kutumia lugha yako kiswahili hii inamaanisha unajitambua na kujua wewe nani tungekuwa sisi tuliosoma shule zetu maalum alafu tushike iyo nafasi chaa kingereza kingekuwa kingi kwenye hayo maojiano adi basi
We have to be careful an keep our smart children in secrect because from the 4 th of january the smart girl of Senegal ever has been abducted in France. They didn't find her till now, our smart children should stay in our country, because so many of them are working only for european country. We should also learn To say ma sha Allah wich means this is what Allah want, when we appreciat the intelligency or thé good things that Allah bas given To some people . May Allah bless Her and protect her. .
Elimu ni pesa bila pesa dvsion 0 coz mwenzako akirud anakuta msosi uko stby unasubiria mwenzangu na mim ukirudi shule hujapumzika Mara majan ya ng,ombe kazi nyingi hakuna chakula hakuna tushion
OMG OMG OMG she's soooo sooooo much beautiful and god fairing little cute girl Amebarikiwa nadhan with everything.. But still aliweka effort ++ prayers and finally she made it .. Kuna mamanzee wengine hawako na kila kitu.... Na wala hata hawajali 😔 😔 and daah nmejifunza kitu ( kwa wanangu.. Nitajitahd)
we nae ata akivaa mabaibui ukionekana malaya ni malaya tuu tena mavazi kama hayo ni shida tu eti magauni loh 😜 avae hivohivo ni binti wa kisasa huyo kwanza ana adabu na mambo safi atafika mbali huyoo achana na mavazi aisee 🤣🤣
Mimi ningepata nafasi ya kushauri Wizara ya Elimu, ningeshauri na kuomba, Haya mashindano ya Elimu isio na tija ningefuta, kwasababu sasa hivi mashindano yapo kwenye Lugha baada ya Elimu kukaa kwenye uhalisia wake na maana yake, Leo ili hujue shule nzuri unaangalia vitu viwili kuongoza kitaifa na wanafunzi kuongea kiingereza. Hapo ningeshauri kubadilishwe kwa kutambulisha Lugha ya kiswahili kuwa ndio lugha ya Kufundishia sio tu Shule za misingi bali hadi vyuoni, kila somo mtu aelewe kwa ligha yake ili awe mbunifu sio kukariri maelezo ambayo hana uwezo nayo kwa kujiongeza, kwasababu kuanzia mwalimu hadi mwanafunzi wote wamekalili....Shule imebadilika kutoka kwenye kuwa misaada hadi kuwa biashara ya Lugha na Matokeo yasio na tija kwa maendeleo ya Taifa na mtu binasfi.
A Very hard working attitude besides prayers.God helps who helpes himself always.There is nothing strange one this case whether a girl or a boy.Its quite normal.Nothing strange please.No media in this case