Тёмный

#LIVE 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 580 тыс.
50% 1

#LIVE : THE SWITCH MUSIC COVER NDANI YA WASAFI FM - OCTOBER 09, 2020

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@Enjeri
@Enjeri Год назад
Still listening to this in 2023❣️❣️❣️ mob love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 3 года назад
Kama umeona hassan mapenz ana kipaji kikubwa gonga like hp
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 года назад
Ni balaaa hilo hili omg mpaka mwili umenisisimka ni kwenye damu hiki kipaji ahhhhhh omg sijawahi ona one in million
@zubedaseif2950
@zubedaseif2950 3 года назад
Tatizo hajui kutunga
@johnsilima1629
@johnsilima1629 3 года назад
@@zubedaseif2950 hilo sio tatizo kuna wasanii kibao wanaandikiwa na ni wakubwa sanaa
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 года назад
Anajua uyu jamaa
@johnsilima1629
@johnsilima1629 3 года назад
@@user-un3df1sl2h kabsa
@aminaalli2287
@aminaalli2287 3 года назад
Kama unaamini nyota ya hassan imewaka gonga like nyingi hapa....wakati wake umefika sio uongo almasi hiyo mashaallah kila mja ana wakati wake wa kupata riziki yake
@geroldmwinuka6411
@geroldmwinuka6411 3 года назад
kama ume play zaidi ya mara moja gongo like twende sawa
@bamzy2033
@bamzy2033 3 года назад
waah ooh my goshh diamond this talent not a joke , make a plan for young man kama unamkubali huyu boy nipe like hapo.
@josephmfyuji1517
@josephmfyuji1517 3 года назад
God bless
@DjEricTheBaddest
@DjEricTheBaddest 3 года назад
Have Listened For This Like 1000 times.... 2021 From Kenya 🇰🇪
@ibrahimsaidychawage4534
@ibrahimsaidychawage4534 3 года назад
wcb ndy anafaa hassan mapenz wngap mpo kwa ajili ya hassan mapenz
@gloryjulius1108
@gloryjulius1108 3 года назад
Tupooo
@roi2553
@roi2553 3 года назад
Imeisha iyooo
@fadhilisinkala5116
@fadhilisinkala5116 3 года назад
Tupo sasa msanii ndo Huyo hakuna MTU anamuweza uyu na motoooooooooo
@rosejames9428
@rosejames9428 3 года назад
☝️
@adventynyambalafu9717
@adventynyambalafu9717 3 года назад
Uyu jama niatali sana
@abasialimussa5372
@abasialimussa5372 3 года назад
Hii kweli almasi mchangani kwa kuwa imeingia mjini tusubiri wadau waisafishe👏👏👏👏
@suleshm4627
@suleshm4627 3 года назад
Kipaji unacho bro, unaweza 🇧🇭🇹🇿🇰🇪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@flownmagnifico5188
@flownmagnifico5188 3 года назад
Huyu jamaa anatudanganya Sana , unaweza sema Muzik ni rahis, so talented 📣📣📣
@neemapatrick1395
@neemapatrick1395 3 года назад
Kabs yani
@ikhakaiikha361
@ikhakaiikha361 3 года назад
Nendaa na wew studioooo
@risperladee5718
@risperladee5718 3 года назад
This bruuuu gat talent not a joke.. Diamond do something for this fellow 🤔🤔🤔🤔🇰🇪🇰🇪
@hassanmapenzi6188
@hassanmapenzi6188 3 года назад
Mnisaidie kubonyeza picha iliyo kushoto na kusbribe kwa channel yangu ya hassan mapenzi kwa mengi mazuri
@mw3850
@mw3850 3 года назад
@@hassanmapenzi6188 kipaji unacho kaka....nakutakia kila la heri
@hassanmapenzi6188
@hassanmapenzi6188 3 года назад
@@mw3850 asante nitaweka bidii hili niwe kwa mikono salama mniombee hili nifike mbali zaidi na niwaletee mambo mazuri makubwa
@chrispinchrisant1540
@chrispinchrisant1540 3 года назад
@@hassanmapenzi6188 wee ni balaa.ni hatari sanaa
@saida.muhsin2187
@saida.muhsin2187 3 года назад
@@hassanmapenzi6188 nimekubali na ninakukubali sana
@risperladee5718
@risperladee5718 3 года назад
❤️🔥🔥🔥👌👌👌👍👍👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌.. Mapenzi hayana commando.
@agathaanyango2366
@agathaanyango2366 3 года назад
Ako sawa bsa 👌👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯🔥🔥💯💯💯💯💯💯🇰🇪
@osmanmohammedosman5493
@osmanmohammedosman5493 3 года назад
Anajua sana huyu mwamba🇨🇩🇨🇩imeisha iyooo
@mtokambali2320
@mtokambali2320 3 года назад
Narudia tena “Huyu kijana akae kwanza kwenye Band. Huko Ndio future yake ilipo” solo kwa sasa hapana
@raphaelmramba4573
@raphaelmramba4573 3 года назад
Wangapi walio kaa kwenye Band wakatoboa Wote wanalia njaa kazi yao kurogana alafu ww unamuombea akakae uko kweli jaman
@gladysngamimakau7099
@gladysngamimakau7099 3 года назад
Solo ako sawa coz song inatolewa na wakatiwake interview mob siku moja anaweza sana ata stage peke yake yuko poa chezea vocals juu chinina aangani 1love from kenya
@davisjumb458
@davisjumb458 3 года назад
Anajua sana aisee
@dullahmudy2464
@dullahmudy2464 3 года назад
Wakwanza leo naombeni likes zenu😍
@theresiajohn8407
@theresiajohn8407 3 года назад
Yn nimeludialudia mara 💯 huyu mjinga anajua 😍
@stellakigomba7648
@stellakigomba7648 3 года назад
😊🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@danielanganile7457
@danielanganile7457 3 года назад
Hatari kabisa huyu ni shida
@danielanganile7457
@danielanganile7457 3 года назад
Hiki kipaji sio Cha kuacha
@mwanzogalasian8799
@mwanzogalasian8799 3 года назад
Nakubali
@aymanabushiri516
@aymanabushiri516 3 года назад
Yaani mchozi umenitoka kwa furaha huyu kijana anaimba jamani
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 3 года назад
😭😭💓💓
@callmangumbo1552
@callmangumbo1552 3 года назад
Kabisa aseee mi nimejifil ngekuwa mm aseee ,jamaa abarikiwe
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 3 года назад
Yupo vizuri mashaallaah
@stellakigomba7648
@stellakigomba7648 3 года назад
Furahaa imezidi ninalia!!! Cm ww mungu akubariki sanaaa
@jafarisaidisaidy8708
@jafarisaidisaidy8708 3 года назад
Dogo anaweza sanatu
@johnsilima1629
@johnsilima1629 3 года назад
Wangapi tumerudia kipande anachoimba
@boniphanicechass958
@boniphanicechass958 3 года назад
Anafaa San bro
@gracekaniki789
@gracekaniki789 3 года назад
Yaani anaimba kwa hisia sana big up Hassan
@joelasu2082
@joelasu2082 3 года назад
Yuko vizr sana
@elishakihaga6120
@elishakihaga6120 3 года назад
Amaizing so much
@sulleymagelanga4354
@sulleymagelanga4354 3 года назад
Duuh huyu jamaa htr!! Wakat namsikiliza yaan nilisahau kama kuna wasanii wengine Tz
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 года назад
Umeonae mimi mwenyewe nijisahau
@athumanibakari7998
@athumanibakari7998 3 года назад
Ni kweli
@mtitagirloriginal6890
@mtitagirloriginal6890 3 года назад
😂😂😂😂🤣🤣kwa kweli
@KhadijaKhadija-uc2uw
@KhadijaKhadija-uc2uw 3 года назад
Kweli kabisa
@bettykavisa7640
@bettykavisa7640 3 года назад
🤣🤣🤣🤣Ako chonjo😆😝
@happinessmartini8567
@happinessmartini8567 3 года назад
Sijajutia mb zangu kabisa kijana anaweza mno
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 года назад
Big gara b. Big up Hassan mapenzi we mkal mwanangu. Unajua sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😄😄😄🤙🤙🤙🤙.
@officialmrtop1018
@officialmrtop1018 3 года назад
Aje huku WCB hao kina Ommy Dimpoz hawana lolote
@cr9builder792
@cr9builder792 3 года назад
Huyu Jamaa Ana Unyama Ndan yake Respect 🔥🔥🔥
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 3 года назад
C muuza mitumba lazima awe mnyamwezi😆😆
@mikemrosso5679
@mikemrosso5679 3 года назад
@@sharonchristian3711 true
@deodatusnchimbi7633
@deodatusnchimbi7633 3 года назад
mtaftieni kipindi MC GARA B apoooooo mnyamwezi saanaaaa vokooo ina kaa sana kweny mc
@elshaarawymuhabesh316
@elshaarawymuhabesh316 3 года назад
Umeona ee
@johnsilima1629
@johnsilima1629 3 года назад
Kabsa
@gabrielkilonzo5702
@gabrielkilonzo5702 3 года назад
We call this Mugithi in Kenya. This dude is fiiiiiiiiiine, BUT he should capitalize on this space, get a good band , perform other musicians songs live with his touch, mash up ile, He will be fireee.
@afri-ka1956
@afri-ka1956 3 года назад
My friend that ain't Mugithi.
@jobwanjala9176
@jobwanjala9176 3 года назад
Unajiaibisha😂😂😂
@immanueljohn2672
@immanueljohn2672 3 года назад
😂😂😂😂😂 Mtanzania na mkenya mkisii wapi na wapii ?? Ila wakenya hapana hahaaaaaa
@michaeldaudi2853
@michaeldaudi2853 3 года назад
Haha mugithi.umetisha bro
@cadeelaamila4763
@cadeelaamila4763 Год назад
I blame your pink shirt
@nansikilovele1424
@nansikilovele1424 3 года назад
Wasafi tushakusafisha ukikichafua utajua mwenyew! Imeisha hiyo!!!!
@officialmrtop1018
@officialmrtop1018 3 года назад
Hahahah imeisha hiyo
@pablomufasa854
@pablomufasa854 3 года назад
Hakika asijekuwa chokoraa
@johnsilima1629
@johnsilima1629 3 года назад
Hahah kweili kabsa
@hassanmapenzi6188
@hassanmapenzi6188 3 года назад
Si mnisaidie kusubscribe kwa channel yangu kuna mambo mengi mazuri inakuja
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 3 года назад
Kizazi snaa
@kimsamson6149
@kimsamson6149 3 года назад
daah jamaa ni firee motooo likes kwake Allah akufungulie njia
@clementlupatu1642
@clementlupatu1642 3 года назад
Kaka kwa mara nyingine nakuambia nyie mna kipaji sana natamani hapo mungekuwa wote waone munavyo kinukisha
@tangaboymedia3124
@tangaboymedia3124 3 года назад
Talent Never Get Faked - He Got Real Talent Big Up Kaka @ HassanMapenziOfficial 🧡🧡🧡
@alexkyando3622
@alexkyando3622 3 года назад
diamond platinum please push this talent of Hassan to the next level
@ivonafrans1245
@ivonafrans1245 3 года назад
Jamn kaka unatabasam hadi raha mungu akufikishe pale alikopanga yey...... Sauti yako jmn daaaaaah mashallah Wasaf tumekuswitch na kukusafisha ukiloga utajua kaka mola akulinde Umefanana na davido sanaaa kaka
@elnabilbentaleb7008
@elnabilbentaleb7008 3 года назад
Jamaa Hana Makuu Hajifanyi anajua jua Vitu He is So Real keep up Bro 🔥✌
@stevenmasato5787
@stevenmasato5787 3 года назад
jamaaa huyu ni fireeeeee anatisha sanaaaa, ni balaaa mjini huyu duh!!!
@stonebwoe7621
@stonebwoe7621 3 года назад
Uuu ndo tunasemaga utashaaa uyu jamaa mtasha yaani mtaaramu
@ibrahke2859
@ibrahke2859 2 года назад
Eeih this keeps on remembering me my late dad who loved this man hassan mapenzi
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
Mwenye kukopi wimbo ameimba vizuri kuliko mwenye wimbo waoo that's Talanta 🤝👍👌🏿
@julianayesayamwailolo8240
@julianayesayamwailolo8240 3 года назад
Mwenye nyimbo ni nani Amina
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
@@julianayesayamwailolo8240 angalia vizuri mpendwa interview then atagundua kwanini nimeongea hivyo.❤
@callmerex_5494
@callmerex_5494 3 года назад
Kama umeangalia More than Once_👊
@bilalbizimana980
@bilalbizimana980 3 года назад
He is so talented, all the best Hassan Mapenzi
@alexanderraphael5537
@alexanderraphael5537 3 года назад
Daaah! We jamaaa ni 🔥🔥 even i can not explain
@heriholder1625
@heriholder1625 3 года назад
Jamaa anajua lakini inabidi awe chini ya wcb kwa kipindi cha miaka 4 ndio tumsaini wasafi maana hatutaki kukurupuka wasafi.
@officialmrtop1018
@officialmrtop1018 3 года назад
Hilo linajulikana lakini pia inatokana na uwezo umri wa mtu mwenyewe pia
@eddyevarist2593
@eddyevarist2593 3 года назад
sio lazima akae miaka4 ukiona mtu kawekwa muda mrefu ujue uwezo wake bado wanataka wajihakikishe zaid ila uyu anahitajika kuingia studio moja kwa moja
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 3 года назад
@@eddyevarist2593 hapana ujue wcb chuo pale kwanzA afundishwe kujicontrol alafu na nidhamu
@ammiebowden7354
@ammiebowden7354 3 года назад
Utamsaini wewe na nani?😂😂😂
@negaboy497
@negaboy497 3 года назад
@heri holder unajiona mondi mzee
@tangaboymedia3124
@tangaboymedia3124 3 года назад
Live No Sound Effects But He Kill go Murder da Game .........
@ntawundabawillyfullpowerwi481
@ntawundabawillyfullpowerwi481 3 года назад
Hummm uyo jamaa siyo mtu wakawaida amenipeleka mbali sana kwa style yake anastahili saaaana kuitwa Msanii 🤔🤔🤔🇨🇭🇨🇭🇨🇭🇨🇭 suisse
@aishamnyeke1163
@aishamnyeke1163 3 года назад
Kakupeleka mbali wapi apo 😂
@nasrakapama3670
@nasrakapama3670 3 года назад
@@aishamnyeke1163 😂😂😂Nasijuwi atarudije huko alikopelekwa
@abrahamwanaswa1631
@abrahamwanaswa1631 3 года назад
Much love from +254 , the guy is talented
@emmanueljanuary8112
@emmanueljanuary8112 3 года назад
Brother god bles you mi unanifuraisha unarivaa sana jina lako m unanifuraisha unajua sana kuishi na watu
@ongidijuniour2348
@ongidijuniour2348 3 года назад
DUH NAMKUBALI SANA HUYU DOGO SANTI GERA B KULETA TALENT,NIPO KENYA MI PRODUCER NAPENDA KUFANYA KAZI NA HUYU DOGO
@gullaalex6590
@gullaalex6590 3 года назад
Anafanana n Davido na anakipaji mm n shabiki wak
@Officalnaph
@Officalnaph 3 года назад
DIAMOND TAFADHALI SANA MCHUKUE HUYU KIJANA TAFADHALI SANA MCHUKUE HUYU KIJANA, NAKUOMBA TAFADHALI
@martinjoelr277
@martinjoelr277 3 года назад
Anaweza sana yuko vizuri sana
@sponcersaita2599
@sponcersaita2599 3 года назад
Kwery dingi
@mirajimwango5763
@mirajimwango5763 3 года назад
Je anaweza kutunga,
@halimambwego3520
@halimambwego3520 3 года назад
Akifanya vizuri baadae ananangwa diamond kwa jasho na nguvu zake...hashindwi kubutua hii kombolela ili aokoe wengine tatz watz wanyambaji.na kuanza kumshindania
@glorynzota4660
@glorynzota4660 3 года назад
Ampeleke wap
@risperladee5718
@risperladee5718 3 года назад
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Whaaaaaaaaaaaat whaaaaaaat.. Kununua CD you make me mis my ex like crazzzzzyyy!
@priscamaina4176
@priscamaina4176 3 года назад
Huyo jama sauti anyo, uuuu love from Kenya,
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 года назад
hasani katinga wasafi mungu amuongoze
@kamberejuma3413
@kamberejuma3413 3 года назад
Www
@vunjabeisports8379
@vunjabeisports8379 3 года назад
Jamaa anasisimua sana, anajua mpaka yeye mwenyewe ajui kama anajua, he is so lit!
@sirabahendayussufu2862
@sirabahendayussufu2862 3 года назад
Sijawahi comment today na comment kwa huyu dude
@andekijanawawatu2067
@andekijanawawatu2067 3 года назад
Kama umemkubali hassan mpenzi gonga like ndugu zangu twende sawa
@evodykalala509
@evodykalala509 3 года назад
Zaidi ya kipaji
@malindianking3271
@malindianking3271 3 года назад
Kijana talent iko. CEO, MD, WASAFI PRESIDENT DANGOTE .#Simba.Muinue huyu kaka .Kipaji hicho kaka
@scorpiondastan1179
@scorpiondastan1179 3 года назад
Hasan Mapenz mwanangu 🦇 🦇🦇 unalaana ya kuimba vizuri respect for you 🦂🦂🦂
@nyotamy3678
@nyotamy3678 3 года назад
Hawa jamaa wa ivi wenye vipaji wako wengi sana.. ni ivo tu umetokea kumuona mchizi.. Nafikiri Kama tunataka vitu vzr hasa media.. ni vema ziibue vipaji Kama hivi mikoani huku..
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 3 года назад
Nyota My3 kila mtu anainuka kwa wakati wake
@immanueljohn2672
@immanueljohn2672 3 года назад
Kweli brother kila kitu na wakati wake,ila pili tunaitji mtu wakutushika mkono ili tufike sehem fulani .
@ommybrain9607
@ommybrain9607 3 года назад
huyu jamaaa dah anafanya uone mziki ni mrahisi sana
@yohanandalahwa983
@yohanandalahwa983 3 года назад
kwanza jamaa ana enjoy sana kuimba hatumii nguvu,hatumii nguvu mziki kwake ni kitu automatic
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 3 года назад
😆💓💓
@jonathanimdegela1005
@jonathanimdegela1005 3 года назад
Hahahaha
@ommybrain9607
@ommybrain9607 3 года назад
@@sharonchristian3711 sana
@deogratiusmlengu5246
@deogratiusmlengu5246 3 года назад
Sawa bhana 2ache utan kaka anajuwaaaa
@hassankasigwa477
@hassankasigwa477 3 года назад
Huyuu jamaa ni Jini sio mtu 100%🔥🔥🔥
@fatimaharoon8218
@fatimaharoon8218 3 года назад
Kweli hdi raha
@goegymchugaji2629
@goegymchugaji2629 3 года назад
Jini mkata verse
@douglasslawrence7992
@douglasslawrence7992 3 года назад
Huyu lazima atakuwa ameimba sana kaswida wakati wa udogo.....i guess, he is so good
@mosakaraideniiraidenii7651
@mosakaraideniiraidenii7651 3 года назад
No kweli uyu mwangu tumeimba nae sana kwasida
@fredyasante1115
@fredyasante1115 3 года назад
Mimi huwa sicoment ila this dude is really got power ✊
@innocentelphas438
@innocentelphas438 3 года назад
Afu kama vile anafanana na davido ..sura!!!
@ethersamson5312
@ethersamson5312 3 года назад
Kumbe umeonaeeee
@juliethmwakanyamale9155
@juliethmwakanyamale9155 3 года назад
Nimona pia nkabalance shobo hahahh
@maryludovick2538
@maryludovick2538 3 года назад
Jaman talent kubwa hii 💥💥 unajua mpk unaboaaa 😂😂😂😂😂😂
@arthurchengo5470
@arthurchengo5470 3 года назад
This is live and it's so melodious no sound effects. He is so good
@rajabukwaju7795
@rajabukwaju7795 2 года назад
rajabj ukwaju
@messaabbas8346
@messaabbas8346 3 года назад
The guy he’s so awesome wallah,,he have something for really 😍😍😍big up broo,,,am enjoying,,,oooh god ☺️☺️☺️,,moo love ❤️ one love ❤️from 🇰🇪👏🏻
@badmanno.1650
@badmanno.1650 3 года назад
Anajua bro... Anajua sana zaidi ya sana ... Hio sauti live bila instruments... One in a million voice...
@stellacosmacy4785
@stellacosmacy4785 2 года назад
Hongeraa upo pw
@johnsonmwakio8792
@johnsonmwakio8792 Год назад
Nipo Kenya msa kongowea uku mambo kuntu kabisa ...mimi mchungaji ila kwa mambo kama hya ya talent mi hupenda sana ...sasa kwangu mimi nampa mia kwa mia Hassan huyu kaweza vibaya sana yani mnyama huyu....Platinums usichelewe mwanangu.....ivo yani.
@abdallamohamedabdalla5260
@abdallamohamedabdalla5260 3 года назад
Kenya Tushapitisha, Kazi Kwako SIMBA 🦁🦁🦁
@rahultv6173
@rahultv6173 3 года назад
Garab anafaa kuwa mtangazaji wasafi please fanya mpango
@harunmwatele6457
@harunmwatele6457 3 года назад
Njoo Kenya brother,uko juu.🔥🔥🔥🔥hii almasi mchangani.big up Sana 🤜
@judithgeorge1756
@judithgeorge1756 3 года назад
Jamani kaka angu mungu akuinue kiukweli unajua sana sauti yako nzuri sana mungu akuinue kiukweli jamani nakuombea
@bakaribashiru7680
@bakaribashiru7680 3 года назад
Hamis bss cha mtoto yan broo Mungu azid kukubarki sana big up
@johnmagambo9231
@johnmagambo9231 2 года назад
Nimerudia zaidi ya mara 10 kwenye hicho kipande cha zilipendwa.duuh!!! Jamaa hatari na nusu
@nassebmaenjela4433
@nassebmaenjela4433 3 года назад
M Alipangalo mungu aliwezi kupanguliwa na mtu yeyote kaza dogo
@alexandermaziku1403
@alexandermaziku1403 3 года назад
kama naiona collabo ya hassanmapenz na mboso
@chax255
@chax255 3 года назад
Sio na Zuchu.. maana maadhi yake ni kama ya CHECHE hv
@boniphacemashauri3318
@boniphacemashauri3318 3 года назад
Na wewe kumbe unaona kama mimi ndg yangu jama yuko vzr
@kezadawoodmrisho13
@kezadawoodmrisho13 3 года назад
Yes his a real deal nimependa his voice
@husnnytahir9539
@husnnytahir9539 3 года назад
Hello, Simba!! This is a real talent.
@derickdmaliganya4441
@derickdmaliganya4441 3 года назад
yaaaan anakipaj cha hali yajuuuuuuu sanaaaaaaaa hata mungu mwenyew anajua
@kamalissabig2429
@kamalissabig2429 3 года назад
We jamaa unikome we msenge unajua kinoma yan yan hauna mpinzani upo juu walah Jah bless Niger
@amissahassan495
@amissahassan495 3 года назад
Yani unamkubali mpaka unamuwa towa tusi Dhuuu😂😂😂😂🙌🙌
@najmagudeh203
@najmagudeh203 3 года назад
😂😂😂😂😂
@hassanmapenzi6188
@hassanmapenzi6188 3 года назад
Mnisaidie basi Ku subscribe kwa Chanel yangu kuna mengi yanakuja
@amissahassan495
@amissahassan495 3 года назад
@@hassanmapenzi6188 tuachie ujinga bwana wewe. Tushajuwa. Channel yake nipi sihiyo yako
@sarahbuthu7785
@sarahbuthu7785 3 года назад
Daaaah unaweza Sana Yani adi unabowa gudiiii hasani mapenzi upo njema sans
@selemanibididas3988
@selemanibididas3988 3 года назад
Eemungu nifanye diamond nichukue hiki kipaji
@antarsangali4456
@antarsangali4456 3 года назад
Watu wa music jifunzeni kuwa na uzalendo,roho nzuri kama za kina Simba Diamond na Bro GaraB
@fatmahassan2089
@fatmahassan2089 3 года назад
Duuuh yuko vizuli sana huyo Hassani mungu amuzindixhie kipaji
@rosedaud8376
@rosedaud8376 3 года назад
He made ma heart bust nice voice and talented🙌 ni fire
@irenewilbard2513
@irenewilbard2513 3 года назад
This guy jmni🔥🔥🔥🔥🔥🔥.. He got me smiling tuu Kila saa yani😊😊😘😘... unajua sanaaaa, mungu akubariki😍😍😍😍😘😘😘😘❤️❤️❤️
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 года назад
Official song ya singeli inaitwaje, imeimbwa na nani?
@kindepi_tz8949
@kindepi_tz8949 3 года назад
Mc balaa.. Nakuja
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 года назад
@@kindepi_tz8949 Thanks bro
@lubingakayeba5364
@lubingakayeba5364 3 года назад
kama umehona hasani mapenz anakipaji gonga like
@michaelmnkai1741
@michaelmnkai1741 3 года назад
Wazo langu asibadilishe styles chakufanya atunge nyimbo za Aina hiyo hiyo sema Aimbe mpya asifanye cover bali atunge mpya ili zuku iendelee isife ss wazee wagambe ndo ngoma zetu
@fatimahaji396
@fatimahaji396 3 года назад
Anaimba kama ataki ametulia uyu ndio msani sio unaimba mpaka povu linatoka Muigeni Hassani kiboko yenu
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 3 года назад
I play back so many times this show it's amazing💯👍🥰😘😘💃💃💃💃💃
@juliusjaliwa9887
@juliusjaliwa9887 3 года назад
Daaaaaa kusema mwimbaji njo sasa hapo nahapo aija oshwa ndani yaviombo kabisa, yaani naona Chistiabela wapili huyu. Na kwahushauri wangu kwa Record label kama vile wasafi kipaji kama hichi kilikuwa kinakosekana pale yaani nilikua najiuliza kila siku hata nilikua na comment but isn't answer for that but finally naona kwambali kama inaanza kuja vile please Diamond try this guy and utapata something from him, wish you all the best Mr Hassan
@judithgeorge1756
@judithgeorge1756 3 года назад
This is amazing sana kaka safi congratulations
@ezekielraymond8749
@ezekielraymond8749 3 года назад
This is the real and huge talent 🔥
@Presenterodiplatform
@Presenterodiplatform 2 года назад
watching all the way from kenya..............
@mansourrukaka3061
@mansourrukaka3061 3 года назад
dah jamaa ni fundi jaman yan mpaka unakosa cha kusema🔥🔥🔥💯
@djsililaog1820
@djsililaog1820 3 года назад
Dah ujamaa anajua had anakera nlikutana nae na msanii wangu mmoja alitufunka hatari
@doreenmkingi3117
@doreenmkingi3117 3 года назад
This what we call talent... Big up hassan mwenye mapenzi ake
@obestone1188
@obestone1188 3 года назад
Jamaa anajua. Utamu wa music unaufeel kabisa .dahh hich kipaji
@oscarchia4596
@oscarchia4596 3 года назад
🤛
@abbybrave8839
@abbybrave8839 3 года назад
Oyooo wazeee wa malove love jamaa anajua bhana like kwake👍
@perfectinnocent1875
@perfectinnocent1875 3 года назад
Jamaa anajua sana tena sana yaani hapo hajaandika popote lakini anatema cheche kiasi hiki??? Hivi ndo vipaji tunavyovitaka Tanzania sio akina Hbaba na babalevo
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 года назад
Bora babalevo anajua kuliko uyo hbaba😄😄😄🇹🇿.
@SaidSaid-bq6mk
@SaidSaid-bq6mk 3 года назад
Broo umewahi kumfatilia vizuri baba levo ww baba levo ni bonge la msanii sio umemjua kwa kua yupo wasafi hem mfatilie ngoma zke za nyuma utajua km b levo fundi manyumba mtaalam jamaa anajua vbya
@perfectinnocent1875
@perfectinnocent1875 3 года назад
@@mahmoudaziz4717 afadhali wewe
@perfectinnocent1875
@perfectinnocent1875 3 года назад
@@SaidSaid-bq6mk Nimemjua tangu kitambo sana kabla hata hajaja wasafi, ko uwezo wake wa kupiga kelele anao
@veeJesus
@veeJesus 3 года назад
We baba levo humjui wew kana upo u tube kaangalie ngoma zake
@sharinv8864
@sharinv8864 3 года назад
Gai this young boy knows hw to sing jameni yuko na kipawa anaimba exactly the thing ukweli kabisa mapenzi hayani macho. Msimuche
@saladaniel9274
@saladaniel9274 3 года назад
Yaani unajua mpk unakera😂
Далее
Самый БОЛЬШОЙ iPhone в МИРЕ!
00:52
Просмотров 783 тыс.
Вопрос Ребром - Булкин
59:32
Просмотров 509 тыс.
Kwetu Audio making WASAFI STUDIO
10:00
Просмотров 1 млн
Hassan mapenzi | Hans Love
3:18
Просмотров 181 тыс.
Самый БОЛЬШОЙ iPhone в МИРЕ!
00:52
Просмотров 783 тыс.