Kwa Tulioidurusu Quran Tunajua Ni Vijana Ndio walioweza Kuleta mageuzi Angalia Surat Al kahf Walikuwa ni Vijana na hata Nabii Ibrahim Alipambana kupinga Masanamu Alikuwa ktk Ujana. Wanasemaga Ujana Maji ya Moto na Fainal Uzeeni Hivyo basi Nakushauri Mzee Wangu Ninaekupenda Mno Pumzika Wapishe Vijana Hiyo nafasi Wewe Uendelee Kuwa Mshauri Mkuu wa Chama Nakuomba pokea Ushauri Wangu.
Ushindi naam upo kama kawaida yetu na tunamuomba Allah awatenze nguvu kwa maovu yao ccm wasokwisha kupanga Allahuma kfinihim bima Shiita some ni sana kwa kuamin kuwa Allah atawashinda nguvu ccm kwa maovu yao wasotaka kuwaacha madaraka
Kosa alilofanya ni kutoshiriki kwenye uchaguzi wa pili. Kapotezasha Citi 27 katika baraza la wawakilishi. Kajitoa CUF ambayo ilikuwa imeanza kupata nguvu.Maneno yake ya sasa hayafai.astaafu
Maalim Seif waache vijana waitetee haki kwakusubiri watu wa marekani hawawezi kukusaidia waache vijana marahii damu imwagike lakini nchi tuipate haq ya Zanzibar Pemba na unguza
Maalim kaa upande siasa za miaka hii sio za 1970s waachie vijana wakuonyeshe nchi ina chukuliwa vp mambo ya chuma kiulaya yameshapitwa na wakati tatizo sio kushinda ccm hawajawahi kushinda znz tatizo maalim huna plan B ya kuipata nchi waache vijana maalim please pumzika kula pencheni
Huyu babu mm ameishiwa na htbhamuogopi Mungubkuwadanganya Wa Pba kiLa uchao....!! Kuna Jahannam huko eeeehh...!! Ww endeLea tu kuwa Kibaraka wa CCM...!! Umewatoa wawakiLishi 27 na madiwani 99nktk ushiriko wa SerikaLi kwa hasad uLionayo...!!