Wanawake wa GPSA Makao Makuu, sehemu ya Ugomboaji na mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika maandamano katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya Wanawake Duniani 8 Machi, 2022.
Kauli mbiu ni "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
#SikuYaWanawakeDuniani2022 #IWD2022 #GPSATanzania #BohariKuuYaSerikali
10 мар 2022