Тёмный

EXCLUSIVE: STESHENI MPYA YA TRENI DSM KWA NDANI, NI KAMA AIRPORT, MIGAHAWA NA VIP 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 194 тыс.
50% 1

Stesheni ya Reli ya Kisasa (SGR) ya Dar es salaam imekamilika kwa 100% na itakuwa na uwezo wa kuhudumia Watu zaidi ya 3200 kwa wakati mmoja ambapo stasheni hii imeunganishwa na barabara ya juu yenye urefu wa KM 2.5 ambapo treni zitakua zinapita juu kwa juu hivyo hata ile foleni ya magari ambayo ilikua inakuwepo kutokana na kupisha treni kupita kwenye reli ya zamani haitokuwepo tena katikati ya Jiji, Thadei Paul ni Meneja Msaidizi wa Mradi wa SGR (DSM - Morogoro) katueleza kila kitu.

Опубликовано:

 

18 окт 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 523   
@emmanuelmkama3000
@emmanuelmkama3000 2 года назад
Kuna watu wanakereka ni kwanini Magu hatoki akilini mwa Watanzania. Sababu moja wapo ni hii hapa. Watanzania tunampenda Magu sana, amefariki lakini nyuma ameacha jeshi kubwa kama mimi hapa. Tutamtetea siku zote.
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 года назад
Kwasbb alithubutu Sana huyu wa SSA mmmmh hata akifa watu watashangilia
@essauedson5589
@essauedson5589 2 года назад
Wote tuko pamoja
@irenefranco4448
@irenefranco4448 2 года назад
hakika magufuli 😭😭😭😭
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 года назад
Asante sana Ndugu Yangu comment Yako Nzuri sana
@aminahussein5418
@aminahussein5418 2 года назад
Mie bado basikitika Sana uyu mama simuelewi kabisaaaaaa ata afeleo sistuki
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 2 года назад
RIP OUR PANAFRICANIST, AFRICAN HERO AND PROPHET, MAGUFULI - YOUR ACTIONS CONTINUE TO SPEAK LOUDER THAN WORDS. IMPERIALISTS AND CAPITALISTS MANAGED TO KILL YOU, BUT THEY WILL NEVER KILL YOUR BRIGHT IDEAS…RESPECT FROM CONGO🇨🇩A LUTA CONTINUA…VIVA LUMUMBA, KWAME NKRUMA, BIKO, SANKARA, SAMORA, CHEIKH ANTA DIOP, MAGUFULI ETC.✊🏾
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 2 года назад
RIP JPM
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 2 года назад
Rest in peace dady Maguful
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 2 года назад
Prophet???
@husseinmillinga1920
@husseinmillinga1920 2 года назад
huna akili prophet
@coffeemuya618
@coffeemuya618 2 года назад
You made me cry my brother
@benedictkihombo348
@benedictkihombo348 2 года назад
Hii kazi ya Marehemu Rais J.P.M Mungu Mwenyezi ampumzishe kwa Amani huko aliko. Respect for you J.P.M.
@balilemwab.2542
@balilemwab.2542 2 года назад
R. I. P Magufuri 🙏You gone but you left Tanzania in the world map for short time... Always feel proud that your have been my President. 🙏🙏👏👏👏
@c75923
@c75923 2 года назад
RIP President Magufuli CHUMA!! Kuna wasenge flani kama wanataka kufuta historia kwamba kilichofanyika ni cha kawaida blablabla lkn HAWATOWEZA kazi ulizoacha hazikuwahi kufikiriwa toka Uhuru! Continue to Rest In Peace our Champion.
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
Kweli kbs
@akahtaan7288
@akahtaan7288 2 года назад
Lugha chafu ni dalili ya kukosa malezi ya wazazi. Kijana unachafua sifa ya watanzania. Kuwa na adabu
@raiderinfos1472
@raiderinfos1472 2 года назад
Nimeyatoa maisha yangu kwa ajili ya watanzania masikini ipo siku nikifa mtajua namaanisha Nini in magufuri's voice 🎤🎤R.I.P CHAMP 😔😪😪
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 года назад
Rest in peace our President JPM, tunakukumbuka kwa moyo wa shukrani🙏🙏🙏pumzika kwa amani🤲🙏🌺🌺🌺🌺🌺
@athanasndele6213
@athanasndele6213 2 года назад
Tunakukumbuka daima. Hapana mwingine kama wewe
@RockCityTV
@RockCityTV 2 года назад
Hakika hakuna mwingine Kama JPM
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 2 года назад
Magufuli mungu akulaze mahali pema baba ,tunaona vision yako..
@patloveupdatestv1005
@patloveupdatestv1005 2 года назад
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼 ru-vid.com/show-UCBGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg
@veronicascottmollel7897
@veronicascottmollel7897 2 года назад
Miaka mitano tu amefanya vingi je angemaliza kumi?
@gloryidelya9899
@gloryidelya9899 2 года назад
Balaaa Amesima mia Kazi yake ipasavyoo coz nchi yetu Tajir kwani isipendeze Tuna ripa kod kwanin tusipendezeshee nchi yetu Tajiri Jamani Tukipata kiongoz Msimamizi Boraa Lazi nchii Ipendeze Marehemu Alivunja Record Ya Uongoz Wake .Shujaa Mungu Ampumzishe kwa Aman
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
Amiin
@laurentchimbirani5990
@laurentchimbirani5990 2 года назад
Zaidi ya 90% ya watoa comment wanamtaja Hayati Rais JP. MAGUFULI.., Hii inaonyesha ni namna gani mtoto wa Chato Geita alipendwa. Rest Easy BABA 😥😭
@ibrahims.manyilizu378
@ibrahims.manyilizu378 2 года назад
Yeah man
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 2 года назад
Dah...! Natamani sana JPM mwenyewe angekuwepo. #RIPJPM
@angelamarlow510
@angelamarlow510 2 года назад
Yaan ww unawaz km mm
@abuubilal2646
@abuubilal2646 2 года назад
@@angelamarlow510 mnawaza ujinga
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 2 года назад
@@abuubilal2646 nyumbu unateseka..!!
@swalehemzimba3316
@swalehemzimba3316 Год назад
@@abuubilal2646 wewe ndo mjinga utakua upo pamoja na hao wasio hurumia wanyonge
@emmanuelmkama3000
@emmanuelmkama3000 2 года назад
Ingependeza kiongozi yeyote anaye anzisha mradi apewe heshima ya bonge la picha yake ya mradi. Hii it itawafanya viongozi wajao nao kujipiga kifua ili wakumbukwe. Hii miradi mikubwa inahitaji kiongozi maono. Asante JPM!
@allyhassan7522
@allyhassan7522 2 года назад
Kama hapo kwa Mwl.Nyerere naomba hiyo picha ibadilishwe na iwekwe ya JPM haraka sana kabla sijakasirika.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
@@allyhassan7522 Waweke hapo picha mbili. Ya Baba wa Taifa na JPM wakishikana mikono huku kukiwa na treni ya zamani kama ilivyo kwenye picha na treni ya kisasa .. ili kuonyesha muunganiko wa tulikotoka na tunakoenda
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Rais alikuwa moja tu... Nyerere Baba wa Taifa indeed...
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 2 года назад
@@j.c.maxima816 kwani huyu alikosea kuijenga hii!!!? Au nayo niyanyerere?
@shabanimwakalundwa2077
@shabanimwakalundwa2077 2 года назад
Amakwer makufuli ndo mtuu pee mwenye ficra zakipee sana ndugu zangu watanzania alitaka watanzania tuishi maisha mazuri nyumba kunonge bwana mweee DAAA AI MISS❣️♥️♥️♥️♥️ MAKUFULI🙏💌🤛💯 KIPEZ CHAWATU
@gloryidelya9899
@gloryidelya9899 2 года назад
😥😥😥😥😥😥Tunammisi mnoo MUNGU Ampunzishe kwa Amani
@alphonceelias2551
@alphonceelias2551 2 года назад
Rest in peace baba yetu JPM.mzalendo no I wa nchi hii takatifu.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Amen. Nimependa comment yako kuhusu nchi yetu Takatifu ya Tanzania. Nimefurahi kuona mtu mwenye mawazo kama yangu kuhusu Tanzania
@yassersalleh8409
@yassersalleh8409 2 года назад
Aya yote ni maisha alio take tuyajue mzee wetu hayati magufuli mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
@patloveupdatestv1005
@patloveupdatestv1005 2 года назад
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼 ru-vid.com/show-UCBGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 2 года назад
"Heri atendaye mema mengi bila kutazamia malipo, maana vinywa vingi vitamsifu toka pande za mashariki hata magharibi naam kizazi hata vizazi". "Uhuru na kazi, Hapa kazi tu, kazi iendelee"
@hamisisabdallah3146
@hamisisabdallah3146 2 года назад
Rest in peace John Pombe Magufuli "Jemadari"
@zawadigwilenza4027
@zawadigwilenza4027 2 года назад
Ameeen
@setholivier4862
@setholivier4862 2 года назад
Amen
@kamulipatrick8933
@kamulipatrick8933 Год назад
Hakika jpm pumzika kwa amani
@mr.ab_officially6507
@mr.ab_officially6507 2 года назад
Tukipata viongozi kama JPM 10 tu wanatosha zidisha kwa miaka 50 TZ it ill be more than abroad
@andrewmashika3756
@andrewmashika3756 2 года назад
Fabulous! You shall always be in our heart,.. Tutakukumbuka, Tanzania kweli ni nchi tajiri👌🏾 ✨
@hatibuyusufu4668
@hatibuyusufu4668 2 года назад
Ahsante sana Mzee Magu ahsante sana Mwamba Africa ahsante sana Mzalendo wa Kweli ,ahsante sana mama Samia ahsante sana super WOMAN ahsante sana kwa kuendeleza miradi ya mkakati
@ibrahimhemedi9079
@ibrahimhemedi9079 2 года назад
Very nice Kama mtoni vile RIP Magu homie kwa TZ uzarendo wako.
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 года назад
Tunakushukuru mama Samia kwa umaaliziaji wa ujenzi huo wa tren watakao kuchukuia wavimbe wapasuke
@happyglorynnko602
@happyglorynnko602 2 года назад
@@abuuramadhan8093 hakuna upinzani kati ya magu na Samiha lkn kunautofauti kati ya mzalendo na fisadi ambaye yuko tayari kupokea fungu kwaajili ya kuwakandamiza wananchi wake kwa faida yake mwenyew bila kujali watu wake. Hii ndy tofauti tu
@nasrachaula9878
@nasrachaula9878 2 года назад
Daaaaaah nataman hata kulia why God Hakika vizur havidumu Hkn magufuli amejua kuibadilisha Tz na kuipa heshima LALA SALAAM BABA 💔💔
@patloveupdatestv1005
@patloveupdatestv1005 2 года назад
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼 ru-vid.com/show-UCBGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 года назад
We kuma sio kila sehemu fungua ujionee fungua mwenyewe ujionee again kuma wee
@nasrachaula9878
@nasrachaula9878 2 года назад
@@shinipapaya846 😂😂😂imekuwaje Tena mbona mitus
@jumaabdala7530
@jumaabdala7530 2 года назад
Mungu mlaze Pema Magufuli Aliipenda Tanzania mzalendo nambar( 1)
@peterdeus6093
@peterdeus6093 2 года назад
Swali ni kwamba rais wasasa na hao wajao wataanzisha miradi mikubwa kama hii maana inahitaji viongoz wenye maamuz magumu
@patloveupdatestv1005
@patloveupdatestv1005 2 года назад
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼 ru-vid.com/show-UCBGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg
@rhoidakippa163
@rhoidakippa163 2 года назад
Kweli kabisa
@shadrackzablon5983
@shadrackzablon5983 2 года назад
Good point
@ammarybasoty4601
@ammarybasoty4601 2 года назад
Jibu miradi ilianzishwa wakiwa wote na Anaimalizia na atazindua mingine mingi
@musamohamedi9090
@musamohamedi9090 2 года назад
Si lazma kila raisi anzishe miradi yake
@micamathew2595
@micamathew2595 2 года назад
Ningependa sana kuona picha ya hayati Magufuli katika jengo hilo jmn, hivi kwanini baadhi ya watu hawampendi huyu hayati Magufuli??? Hili jengo na uzuri wake isingekuwa Magufuli jmn isingekuwepo.
@J4UPro
@J4UPro 2 года назад
Haswaa
@yohanapapu812
@yohanapapu812 2 года назад
Hata mimi natamani sana jengo liwe na picha kubwa ya Nguli wa Africa Hayati Magufuli
@selemanmaganga6013
@selemanmaganga6013 2 года назад
Hata Mimi natamani kuiona picha ya shujaa Magufuri akitabasamu kweli Mwendo kaumaliza!.
@emanuelmoshama3899
@emanuelmoshama3899 2 года назад
Angalia video yote ndo u comment
@josephmwanasanga2522
@josephmwanasanga2522 2 года назад
Kabisa mkuu
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 2 года назад
Hongera Mama Samia unaupiga mwingi kuendeleza mazuri ya Mtangulizi wako kazi iendelee
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 2 года назад
Mungu ndio mwingi wa malipo kwa yote uliyoyafanya Magufuli, tulikuwa na kistesheni kiboovu umetuachia jumba hâta za ulaya aziingii, kwakweli msiba wako ni pengo kubwa kwetu
@siwonikewiliam5104
@siwonikewiliam5104 2 года назад
Kweli tutakumbuka daima kwa mema yako mungu akupe kauli thabit
@twalibmgagi1652
@twalibmgagi1652 2 года назад
Nakubali-nakubali-nakubali, mambo ambayo nilihisi sitowahi kuyaonaga Tz kumbe yanawezekana kama hiv
@angelamarlow510
@angelamarlow510 2 года назад
Yana wezekana kwa anae dhubut mpendwa kaz ya hayat Rais Magufuli
@ivanterence698
@ivanterence698 2 года назад
Stesheni linapendeza kweli. Tunaita "post-modern." Love from Kenya
@wilfredmoshi6507
@wilfredmoshi6507 2 года назад
Tatizo letu Tanzania ni maintenance he baada ya miaka 5 litakuwa na hali gani. Tukumbushane mwendo kasi stand zilivyokuwa na sasa zinahali gani,tukumbushane zile post zilizowekwa na makonda dar es salaam kwenye maua.sasahivi zinazidi kuisha na hazijulikani zinapokwenda.shida hatuna plan ya maintenance.
@patloveupdatestv1005
@patloveupdatestv1005 2 года назад
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼 ru-vid.com/show-UCBGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg
@abdulatiftu9836
@abdulatiftu9836 2 года назад
@@patloveupdatestv1005 fungua ujionee
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Wazee wa vyuma chakavu
@gracerwegoshora3793
@gracerwegoshora3793 2 года назад
Yaani mimi nawapa hali vyoo itakuwaje? Hygene kwa wabongo ni shida
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Hapo mchezo wa nyani mitini ukienda chooni unakutana na kitu kimeganda UTI nje nje mbongo pasua kichwa
@manenohongera7617
@manenohongera7617 2 года назад
Iv magufuli aliwazaga wapi daanh inalilah wainalilah rwajuni 😭😭
@raujohn8238
@raujohn8238 2 года назад
Na ao wapumbavu walio muhuwa nao watakufa tu naizo mali wanazo zihiba wataziacha na mwenyezi mungu hanawasubilia tu kwa mungu yeye ni mweye kusubilia tu
@saidirashidi6522
@saidirashidi6522 2 года назад
Ndg we achaaa wadhani wataishii miaka 100000000000000000000
@pilirajabu6853
@pilirajabu6853 2 года назад
Unauhakika aliuliwa?? Au unaongea tu mtu akimwaga mboga unamwaga ugali acje akafikilia nakumwaga maji
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Covid 19 imemweza Mzee wa watu,,,
@kingmichael1234
@kingmichael1234 2 года назад
Usafi ni muhimu sana wa nje na ndani katika jengo hili, tunawaomba ndugu zetu watanzania mzingatie sana usafi na kufanya check up ya kila siku, kuangalia kama mashine na vyombo vingine vyote ndani ya jengo viko salama, wizi, uaribifu, uchafu ni mwiko, hili jengo limegharimu pesa nyingi sana hela za kodi ya watanzania. Hongerani sana TRC kwa kazi kubwa sana mnayoifanya. Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
@derrickmutuma7185
@derrickmutuma7185 2 года назад
Good job Tanzania. Love and greetings from Kenya. Pamoja tusonge mbele!
@jaffersandi8048
@jaffersandi8048 2 года назад
You welcome our relative
@veronicascottmollel7897
@veronicascottmollel7897 2 года назад
Natamani Magufuli angekuwepo afungue mwenyewe 😭😭😭 Tutamkumbuka sana 😭😭😭😭R. I . P Magufuli
@angelamarlow510
@angelamarlow510 2 года назад
Hakika tutamkumbuk
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 2 года назад
Rip JPM Tutamkumbuka na tutamuenzi Daima 😭😭💔🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@sarahmsuya5416
@sarahmsuya5416 2 года назад
Nje kupo exactly and even more. I’m glad to see this here in my motherland 💪🏽👌🏾👏🏼👏🏼👏🏼
@akahtaan7288
@akahtaan7288 2 года назад
Nini maana ya exactly Sara
@katemachanda7035
@katemachanda7035 2 года назад
Tunajua Magufuli alikua Hana ubinafsi, lkn hapo ilipaswa ikae picha yake badala ya Babu...
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Zingewekwa zote mbili
@pilirajabu6853
@pilirajabu6853 2 года назад
Mbona dalaja la kigamboni haikukaa picha ya kikwete ikakaa picha ya nyerere
@katemachanda7035
@katemachanda7035 2 года назад
@@pilirajabu6853 Ni kweli. Daraja la Kigamboni ilikua maono na ndoto za Nyerere. Hata Bwawa la umeme Hilo ni maono ya Nyerere so wakiweka mapicha yake poa. Lkn SGR mamangu, hayo maono na ndoto za Mzee baba Magu, alitamani halafu hapohapo akafanya maamuzi magumu ya kibabe.
@pilirajabu6853
@pilirajabu6853 2 года назад
Sawa ilikua maono ya nyerere mbona hakufa kipindi chake kikwete ndo akaja kufanya kipindi yy niwaziri wa miundombinu kaja kua rahic ndo kalifungua
@pilirajabu6853
@pilirajabu6853 2 года назад
Pia mbn uwanja huo akaita mkapa unazani watu hawaon bhn wamefanya hivyohivyo ndo sahihi bhn
@hallin9561
@hallin9561 2 года назад
Tatizo waafrica hatunaga service na miundombinu yetu, utashangaa baada ya miaka 5-7 pamechoka mataa hayawaki, vyoo vimeharibika no maintenance
@J4UPro
@J4UPro 2 года назад
Siyo leo watu siku hizi wameelevuka lejea usafi wa miji siku hizi ni misafi.
@issakitallo8103
@issakitallo8103 2 года назад
Akili zako bado zimeganda. Daraja la kigamboni lina miaka zaid ya 5 mpaka sasa na bado pako vizuri
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
@@issakitallo8103 Akili wapi na anasema ukweli sasa wewe unatoa mfano wa daraja na pahala pa watu ukusanyika mbona ni mfano wa hovyo , Mbongo tangulini akatunza sehemu za mikusanyiko vizur kwani hauoni pale penye bus terminal mbezi ya kimara
@issakitallo8103
@issakitallo8103 2 года назад
@@Mpakauseme Akili zako zimeganda pia kwaiyo wewe peke ako ndo unajua kutunza mazingira.. Airports nazo ni sehemu za mikusanyiko, malls huko zinajaza watu daily na muda wote safi
@issakitallo8103
@issakitallo8103 2 года назад
@@Mpakauseme wanafunzi Udsm pale walikua hawakauki mlimani city ila pako safi muda wote. Mikusanyiko ipi unayosemea Mh. Enviromental Auditor
@leverimlaki5667
@leverimlaki5667 2 года назад
Shukrani kwa Engineer kwa maelezo mazuri
@zimbazimba1000
@zimbazimba1000 2 дня назад
I’m loving these developments!! So proud to be Tanzanian ❤❤
@noonelike6382
@noonelike6382 2 года назад
Big up magufuli huko ulipo.
@pelegrinmwamba1594
@pelegrinmwamba1594 2 года назад
Magufuli nakukumbuka baba
@patloveupdatestv1005
@patloveupdatestv1005 2 года назад
Fungua ujione aiseee🤭🙏🏼 ru-vid.com/show-UCBGjEtmsEsFvt2fMeWNtvPg
@rehemamaduhu5642
@rehemamaduhu5642 2 года назад
Juhudi zake zinaonekana japo yeye muhusika hayupo
@mohamedmuhajiri4690
@mohamedmuhajiri4690 2 года назад
Mpaka inatia uruma mwamb
@nativeinfotv9620
@nativeinfotv9620 2 года назад
Kweli nikimkumbuka JPM nasikia kulia tu😂😂😂😂Mungu msamehe makosa yake
@imaryamjk2866
@imaryamjk2866 2 года назад
Woaw this is dope, We need more dope infrastructures like dic, Tz is gona be more better place🙏
@yunusabdulwallace3801
@yunusabdulwallace3801 2 года назад
Hongera mama samia kwa kusimamia vizuri miradi iliyoachwa na Magufuli.
@trioyoung1389
@trioyoung1389 2 года назад
Kazi ya magufuli iyo
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Mama Samia atafanya kubwa zaidi! Muhimu, Taifa linasonga mbele 🙏🏽
@jumbemwajabu4006
@jumbemwajabu4006 2 года назад
Baba umelala mema umetuachia haaa ya Allah mpe pepo mja wako huyo
@abdichangalima3773
@abdichangalima3773 2 года назад
J.C hapa hatushindanishi maraisi,tunawamotivate tu ili wafanye vizuri kwa ajili ya nchi.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
@@j.c.maxima816 Atafanya nini hakuna ata dalili yeyote ujenzi wenyewe unasuasua
@alexmasinde2031
@alexmasinde2031 2 года назад
Hatuna budi kuwa wazalendo pindi mradi ukamilikapo🙏
@katan671
@katan671 3 месяца назад
BIG UP MAMA SAMIA KWA SPEED KUBWA YA UJENZI WA TRAIN HII. A VERY HIGH SPEED.
@tadyinkmussa2530
@tadyinkmussa2530 2 года назад
R.i.p jpm
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 года назад
Mkapa na kikwete walituangusha sana na wizi ulikuwa mwizi sana wakati wa uongozi wao.Magufuli ametufanyia makubwa sana na kwa kipindi kifupi sana.RIP Magufuli
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 2 года назад
Hongera serikali ya awamu ya tano chini ya Samia na Magufuli mlianza pamoja na sasa unaendelea peke yako mama yetu.
@justinecleophas2950
@justinecleophas2950 2 года назад
Rest in peace JPM....TRUE LEADER ALWAYS PROVE HIS VISION
@leshaomatayian142
@leshaomatayian142 2 года назад
Well done Tanzania.Keep setting the pace for African infrastructure modernization.
@edwintouches
@edwintouches 2 года назад
Kazi nzuri, ila sasa maintainance kwa Watanzania ndo tatizo. Wazee wa Vyuma chakavu dah sijui itakuaje the next 2 years. I hope tutalitunza Jengo. Kazi nzuri, pia nimependa kuona Mdada kashika Camera hahaha! 😀👏
@amiria.mustafa9859
@amiria.mustafa9859 2 года назад
Tanzania mpya, najivunia kuwa mmoja kati ya mafund wanaoendelea na ujenz huu🙏
@challobruno5768
@challobruno5768 2 года назад
Rip jpm
@clinton6688
@clinton6688 2 года назад
Long live in our heart.... Our honorable president Mangufulii💯💫
@luifdls6217
@luifdls6217 2 года назад
ewaaa pazurii sana..naona maendeleo ya nchi yanapamba..Tanzania oyeee🔥🎉🎉🙌
@ukweli255
@ukweli255 2 года назад
Hongera sana kwa Walipa kodi Hii ni pesa ya Watanzania ndio imelala hapo..uwezo wa kufanya miladi mingi kwajili ya Watanzania upo ni swala la viongozi wetu kutambua wajibu wao na kuheshimu Mali za Umma Tanzania ni Tajiri ila ukosefu wa uzalendo na uwajibikaji ndio unafanya Nchi inaonekana ya ovyo
@samweliandrea7802
@samweliandrea7802 2 года назад
Duuu magufuli mungu akulaze mahali pema peponi maana ulicho tufanyia Tanzania hatuna chakukulipa bali tunasema Asante t
@adellahjonas7008
@adellahjonas7008 2 года назад
najivunia kua mtanzania kwakweli mungu wabariki viongoz wetu uwape hekima km za mfae sulemani
@kakabaraka1058
@kakabaraka1058 2 года назад
nimekuelewa sana jamaa unae guide tour, i can tell you're an intelligent and articulate person na hujameza tuu haya maelezo.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
Eeeeeh Tanzania hapo au🙄🙄mashallaha magu weee 😪💦
@bryyazz8313
@bryyazz8313 2 года назад
Natamani huu utaratibu uwepo kama ulivyowasilishwa na ENG. Huwa tunajisahau ,maana unakuta utaratibu unafatwa kwa mwezi mmoja tu, baada ya hapo tickets zinachanwa kwa mkono kma vile ilivyo DART (mwendokasi)
@abdichangalima3773
@abdichangalima3773 2 года назад
Nafikiri waziri mkuu atalitilia manani ili yastokee ya "mwendo kasi"
@bienvenumasali2548
@bienvenumasali2548 2 года назад
Nji zingine zanipa Tamara bro. Yaani yavutiya. From drc
@Boss_Zenjboy_7
@Boss_Zenjboy_7 2 года назад
Jasiri aliumaliza mwendo, Jemedari Tingatinga Big up
@jlyimu1990
@jlyimu1990 2 года назад
Ila tulivyo hatujui kutunza after 2yrs pamechakaa very nice ..hongera Eng kwa maelezo mazur
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 2 года назад
Magufuli❤️r.i.p
@edwinemrod3933
@edwinemrod3933 2 года назад
Kilicho Baki ni kuitunza hii project. R.I.P Magufuli 💔
@phoncechriss
@phoncechriss 2 года назад
Tadei paul ameelezea vizuri sana, huduma zikianza rasmi tujitahidi kutunza miundombinu hii idumu
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 года назад
Tutakukumbuka sana kwa mengi mazuri na heshima uliyoipa Tanzania RIP Commred Magu
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 года назад
Ninaomba niwapongeze Sana wale wote walio comment kwa kumpongeza marehemu Dr.Pombe Jonh Magufuli,alisema tutamkumbua kwa mazuri wala sio mabaya.kweli amekufa tumemzika lkn matendo yk yanaishi.
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 2 года назад
Ulaya ndani ya Dar es salaaam waaoh wow
@alimambabazi3666
@alimambabazi3666 2 года назад
GOD bless TANZANIA 🇹🇿
@dorisimwenda6279
@dorisimwenda6279 2 года назад
Mungu akulaze peponi Magu wetu. Ona hii miradi, mtanikumbuka kwa mazuri! Alisema Magu,
@gloryidelya9899
@gloryidelya9899 2 года назад
Amina Dunia Nzima walimsha ngaa kiongoz Waa Ajabuu mwenye msimamo na Nchi yake 😭
@kubyjuma4843
@kubyjuma4843 2 года назад
That's Magu legacy
@DAMUSAFI
@DAMUSAFI 2 года назад
VITI NAVYO MVIWEKEE PAKUJAJI SIMU KAMA UWANJA WA NDEGE ITAPENDEZA ZAIDI “hilo Ni wazo langu”
@tusaamon3216
@tusaamon3216 2 года назад
R. I. P Magufuli mungu akulaze mahali pema peponi mwendo ukimaliza tz tunakukumbuka kwa mengi
@yusufrajabu8425
@yusufrajabu8425 2 года назад
Magufuli alikuwa anafanya vitu vya maana na vinaoneana, mama wa kambo😕
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Huyo unayemwita hivyo atawashangaza! Na mtabaki midomo wazi! 😂😂Tuombe uhai tu! Kazi iendelee!
@josephgomalo41
@josephgomalo41 2 года назад
Mumemuondoa Ben Mwanantala aliyekuwa alitujulisha vilivyo ili mkae nyinyi.. hivi wote kwenu ni Zanzibar au?? Kama unaelezea ambavyo Ben alifanya vizuri zaidi.. ni kwa ninin mumemuondoa..? NIkiwa raisi.. nitawafukuza wote.. including huyu Samia wenu mzandiki..! RIP JPM rais wangu..!
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 2 года назад
Mambo ya jpm hayo daa mungu aku leheem uko ulipo 2ta mkumbuka daima kwa uzalendo wake katka inchi na maono yako kwa taifa
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 2 года назад
Mueliziaji una Kithethe😂😂😂😂😂. Salute kwa Magufuri tutakukumbuka sana
@williammsigala6950
@williammsigala6950 2 года назад
Maono ya chuma kilichopita!!
@lande7510
@lande7510 2 года назад
safi 👏👏👏👏
@raymondjeremiah5857
@raymondjeremiah5857 2 года назад
Magufuli hakwepeki ni km kanuni za hesabu utamuchafua weeeh mwisho utamusafisha
@raujohn8238
@raujohn8238 2 года назад
Kunawatu walikasilika kipindi magu halivyo kua hanafanya hayo mambo wakafanya njama zao hili Auwawe kwa mahana nyingine wama muhuwa tena watu wenyewe ni viongozi wa CCM wengiwao walikuwa hawapendi anavyo fanya magufuli mwenyezi mungu Amleem Rais wakweli magufuli
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 года назад
Acha Kuropoka huku ukiwa huna uthibitisho,,,Ukisifu tuu inatosha sio uanze na mengine ile uonekane na wewe umechangia vijihabari vya kipuuzi mnavyosimulianaga huko kwenye vijiweni vyenu vya kipuuzi vya wanyoa kisaani na viduku!!
@florianruttahindurwa1189
@florianruttahindurwa1189 2 года назад
Wakati wake ulifika ndugu!ingekuwa bado Mungu wa mbinguni ange mwepusha kama kwenye sumu aliyopewa.Tusilaumu everyone dies.
@SALEHEKUNGULE
@SALEHEKUNGULE 2 года назад
Kwanza jifunze kuandika. Pili ficha upumbavu wako kwa kutoleta taharuki kwa jamii kwa kuleta habari za kuunga unga mnazosimuliana vijiweni. Hii haikufanyi uonekane kuwa una mapenzi makubwa kwake kwa kuleta habari za uzushi.
@gsninetz5019
@gsninetz5019 2 года назад
R.I.P Jpm msukuma Mwenzangu Mwendo umemaliza
@emmamtusi9868
@emmamtusi9868 2 года назад
Mimi huwa sipendi sn kumkumbuka huyu jpm nimefiwa na ndugu wengi sn wa damu.ila hakuna kifo kilichoniuma km magu mimi bado inaniuma sana
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Tuko wengi aisee. Magu alinifanya nilie kama mtoto
@fadhilmtunha4070
@fadhilmtunha4070 2 года назад
Thanks ayo kwa kuonesha Mambo mhim na ya faida kwetu
@jescagodwin2732
@jescagodwin2732 2 года назад
Asante Mungu for our Magufuli please raise him again we will receive him with 2 hands
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 года назад
MAGUFULI ndio Rais pekeee aliyefanya maajabu katika Taifa la TANZANIA.
@gangmore9091
@gangmore9091 2 года назад
Hongereni Tanganyika kwa maendeleo 👊👊
@rukaka_jr4514
@rukaka_jr4514 2 года назад
RIP MAGUFULI
@mudikiongozi9505
@mudikiongozi9505 2 года назад
Hongeren kwa kaz mlioifanya
@deborahjackson1059
@deborahjackson1059 2 года назад
Rest in peace Magufuli😭😭
@princemercury5824
@princemercury5824 2 года назад
Magufuri for life
@emmanuelzao
@emmanuelzao 2 года назад
Jamani ni maendeleo ya mradi sio msiba … nimekuja kwa amani tu.😎
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 года назад
Mim naona Tanzania pazuri kuliko South Africa au macho yangu ukienda Tabata watu wanamajumba kam wako south tu Na zaidi ukija hapo station duh airport
@assimmhamed1851
@assimmhamed1851 2 года назад
Maa shaa ALLAH
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 года назад
Hakika kazi karibu inakwisha
@rehemacharles6159
@rehemacharles6159 2 года назад
Amka kidogo Baba Magufuli uje uone matokeo ya kazi uliofanya hakika hautatoka kichwani mwangu siku zote wewe ulikua zaidi ya kiongozi bora ...we miss u alot 😔
Далее
Склеил девушку-курьера ❤️
01:00