Тёмный

MAANDAZI YA NAZI 

Mziwanda Bakers
Подписаться 128 тыс.
Просмотров 96 тыс.
50% 1

@Mziwanda Bakers
Unga/flour 500g
Sukari/Sugar 100g
Yeast/Hamira 11g/1Tbsp
Baking Powder 1tsp
Cardamon/Hiliki 1tsp
Milk Powder 2Tbsp
Nazi 1
Tui/coconut milk 1 and 1/4 cup
@mziwanda Bakers

Опубликовано:

 

28 дек 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 177   
@ZainabuMussa-xm5jm
@ZainabuMussa-xm5jm 16 дней назад
Ubarikiwe sana nmeyapenda na nmejifunza
@FaridaNgoma-p3q
@FaridaNgoma-p3q 16 дней назад
Mimi nikipika . maandazi yanakua magumu Ganda la juu
@azminawanyika6201
@azminawanyika6201 Год назад
We dada ubarikiwe sana sana .mm sikuwah pula mandazi ndo mara ya kwanza nimefata vipimo vyako .wee yametoka mazuri malaini Matamu sana yan mpaka siku ya pili andaz lainiiii .ivi navyokwambia juzi nimepika nimeuza andaz miatano moja na yamegombaniwa hatar 😂❤love you
@user-ku5hy5nc8n
@user-ku5hy5nc8n 5 месяцев назад
Nitaifanyia kazi ni kupe jibu Asante kwa somo
@aminamarika7601
@aminamarika7601 5 месяцев назад
Mashallah nimefatisha andaz limetoka amazingi
@d.p7353
@d.p7353 Год назад
Am Ugandan, i confirm Tanzanians make the best filled mandazi
@JovithaUsichoke
@JovithaUsichoke 2 месяца назад
Congrats 🎉🎉unajua sana sister
@wanjikujohnson1958
@wanjikujohnson1958 Год назад
Amazing recipe!
@aminasultani7670
@aminasultani7670 2 месяца назад
Asante sana nimepika maandazi laini kama sufi asante sana
@Rosebinoti
@Rosebinoti 12 дней назад
asante dada mandazi ni matam. je nikitaka yakae siku tano bila kuaribika niweke nini
@Juliandila
@Juliandila Год назад
How can I like this video a million times
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Год назад
Just a smile ❤❤❤
@demmytricia5071
@demmytricia5071 2 года назад
Waoooh 🙏🙏nimejifinza
@user-vo4rc1vd4d
@user-vo4rc1vd4d 5 месяцев назад
Nitapika Asante unafundisha taladltibu mtu anakuelew vizuri❤
@HashimMuhunzi
@HashimMuhunzi 20 дней назад
Mm kipimo chamafuta tu dada
@user-vl2rc5zi2r
@user-vl2rc5zi2r 5 месяцев назад
Waoo maamdaz matam sana❤❤❤ ubarikiw
@user-hw5wu4tn1h
@user-hw5wu4tn1h 3 месяца назад
Asnte kwa somo nafanyia kazi
@emanuelnyab9872
@emanuelnyab9872 2 года назад
Kazi nzuri sana
@NaahBoniphace
@NaahBoniphace 3 месяца назад
Daah!! Nzurii sana nimepend mpk nameza mate❤❤
@agnesskway8180
@agnesskway8180 3 месяца назад
Mmmmh maandazi mazuri
@beatriceuisso8364
@beatriceuisso8364 4 месяца назад
Hongera zako my. Nimekuelewa Sana ❤.
@josephinealex8966
@josephinealex8966 Год назад
Asante Mziwanda Bakars ,nashukuru sana nimekuelewa.
@user-wc4gr6mj9o
@user-wc4gr6mj9o 4 месяца назад
Ahsante dad mungu akubark San
@user-dr3et1gg7t
@user-dr3et1gg7t 10 месяцев назад
Ngoja niingie jikoni na mmi naleta majibu madam
@user-np3ny9le7m
@user-np3ny9le7m 7 месяцев назад
Kaz nzur mafuta ya mot au ya barid
@radugabriel6103
@radugabriel6103 Год назад
Asante upovizur mama nimeipenda iyo
@Rosebinoti
@Rosebinoti 12 дней назад
nimeelewa, je nataka maandazi yangu yakae siku tano bila kuaribika niweke nini
@drinahmwakio4929
@drinahmwakio4929 5 месяцев назад
Asante Kwa somo yangu huwa ni ngumu
@mwaliashakashindi-hg8wu
@mwaliashakashindi-hg8wu 6 месяцев назад
Kazi nzuri
@juliethmukulasi7365
@juliethmukulasi7365 6 месяцев назад
Nice
@hasinarashid5059
@hasinarashid5059 2 года назад
Nimesikiaa njaa ghafla😋😋
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 года назад
😉😉
@salmaalnaamani2786
@salmaalnaamani2786 2 года назад
Mansha'Allah matamu😋😋
@ainekishasamwel1248
@ainekishasamwel1248 Год назад
Dada mandaz yang yanakua hayn nyama ndan nini tatizo
@user-cc6wo4bp2p
@user-cc6wo4bp2p 9 месяцев назад
🙏🙏 barikiwa
@yasminmohamed8946
@yasminmohamed8946 5 месяцев назад
Just subscribed🌷🌷🌷
@yasminmohamed8946
@yasminmohamed8946 5 месяцев назад
I like your channel, because it has English ingredients🌷🌷🌷
@Bhokemotenyamuhanga
@Bhokemotenyamuhanga 4 месяца назад
Asante dada kwa somo ila Mimi nikipika yanakuwa na ugali katikati namba unisaidie
@cralaKolle
@cralaKolle 4 месяца назад
Nmeipenda
@SurprisedCakeSlice-go1ii
@SurprisedCakeSlice-go1ii 3 месяца назад
Masaala
@sofiarajabu1210
@sofiarajabu1210 4 месяца назад
Asante
@VesianaElisha-qc9sf
@VesianaElisha-qc9sf 22 дня назад
Ukikata hivyo unauzaje
@edithndungulu5251
@edithndungulu5251 2 года назад
😋😋🔥🔥
@IreneMtavangu
@IreneMtavangu 3 месяца назад
Ubarikiwe
@doramgaya467
@doramgaya467 Год назад
Asante sana dada nitajaribu na mimi
@nulkhafahud
@nulkhafahud 2 года назад
Sante love
@user-qi4ph1gh7w
@user-qi4ph1gh7w 9 месяцев назад
Yanamuinekano mzuri
@zawadimalyagili5833
@zawadimalyagili5833 2 года назад
Vzr sana
@Usercintahcin
@Usercintahcin Год назад
Asante sana mziwanda Bakers
@bingasamali8054
@bingasamali8054 7 месяцев назад
Ahsante
@beatriceakirwa7379
@beatriceakirwa7379 2 года назад
Mimi nimetoa yanaumuka upya ndan yaan ngano kabisa🥺
@paschalimaduka5589
@paschalimaduka5589 Год назад
Naomba njifunze toka kwako kukanda mandazi vzul
@SaidyMhamedy
@SaidyMhamedy Год назад
Mm nimgenyi wa mdanzi ya biashala
@devothakatuba1588
@devothakatuba1588 8 месяцев назад
Njia nzur
@devothakatuba1588
@devothakatuba1588 8 месяцев назад
Kwan blubend hujaweka
@ruthotanga2960
@ruthotanga2960 6 месяцев назад
I need to learn for bsnz
@siriyangu4724
@siriyangu4724 2 года назад
Mashallah ilo nipate na mbaazi weeh shukran daa
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 года назад
😉😉👌👌
@zilpamgeta9031
@zilpamgeta9031 Год назад
Na mm napenda kujifunza
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 6 месяцев назад
Safi
@AdelinaIbbo
@AdelinaIbbo Месяц назад
Mie yanatoka ndan hayaiv cjui kwnn au muda mwngn ynakuw na mafut mngi ndan
@user-ty2wz6un5o
@user-ty2wz6un5o 6 месяцев назад
Asante nimependa upishi wako wa maandazi na Mimi nitajaribu kipika
@Fatma-to6rq
@Fatma-to6rq 4 месяца назад
❤❤❤🎉🎉🎉
@devothafesto9853
@devothafesto9853 Год назад
Mazuri sn
@EManuelyKiyao
@EManuelyKiyao 4 месяца назад
🎉
@sophiewawasi7529
@sophiewawasi7529 2 года назад
Nashukuru nilipika yakatokea vizuri.Shukurani.Naomba kujuwa kutengeza icing sugar
@vero57
@vero57 Год назад
Mie napima na kikombe au macho
@vumiliasimon1789
@vumiliasimon1789 5 месяцев назад
Jamn unga kilo 3 viungo saizi yake
@johnanaclet9203
@johnanaclet9203 8 месяцев назад
Sawa
@salmanamulwa4390
@salmanamulwa4390 Год назад
Asata.mama
@elesrobert7642
@elesrobert7642 Год назад
Na pia maandazi yangu yanakua hayana kitu ndani
@wedielmbaga1489
@wedielmbaga1489 2 года назад
Mm nikipika madazi juu yanakua na ugumu sijui kwann
@miner_online7323
@miner_online7323 Год назад
❤❤❤❤
@jacquelinemauq9893
@jacquelinemauq9893 Год назад
🙏
@FaridaNgoma-p3q
@FaridaNgoma-p3q 16 дней назад
Kwa nnje yanakua magumu
@TereziaKisunga
@TereziaKisunga 29 дней назад
Kataka kujiunga
@MfaumeMfaume-kb8vf
@MfaumeMfaume-kb8vf 11 месяцев назад
nime yapenda piya natamani nifanye biashara hiyo lakini siwezi kuyapika diy
@GitauMuiruri-qw9bw
@GitauMuiruri-qw9bw 3 месяца назад
Do we have flour with out gruttain ??? watching in Mombasa,
@dinahkimario3361
@dinahkimario3361 Год назад
Thank you
@hiltrudemtalo9294
@hiltrudemtalo9294 3 месяца назад
Asante sana
@MASTULAMOHAMED-ug5on
@MASTULAMOHAMED-ug5on Год назад
Shida yangu nilikuwa naomba vipimo vya kila hitaji la maandazi
@user-qi4ph1gh7w
@user-qi4ph1gh7w 9 месяцев назад
Matamu sanaa
@Alliyhemed-gs6oz
@Alliyhemed-gs6oz Год назад
Nambie ebu
@Salumtatu
@Salumtatu 3 месяца назад
Asante dada
@user-qo3ni2yl6d
@user-qo3ni2yl6d 2 месяца назад
Kangu mimi shida kubwa mandazi yanakunywa mafuta
@happymcharo9059
@happymcharo9059 2 месяца назад
moto mdogo
@veronicajelome9126
@veronicajelome9126 3 месяца назад
Mimi naomba kuuliza nazi aichemshwi inakandwa ivyo ivyo ya baridi unakandia
@user-lp1md4mw3q
@user-lp1md4mw3q 11 месяцев назад
Shidayangu kilanipika yanakua mahewa ndani
@AliethAbela
@AliethAbela 3 месяца назад
Dalasa inakuwaje
@Catherine-n8r
@Catherine-n8r Месяц назад
1:09 mimi na shindwa kwenye vipimo vya kupima mda wa kutengeneza
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Месяц назад
Hauna mzani?? Au unapata shida sehemu ipi zaidi?
@user-xx6fj8ym8f
@user-xx6fj8ym8f Год назад
Nimejaribu kama ilivyo mara yangu ya kwanza kupika maandaz😂😂 na yamekuwa noma watu wameyasifia balaa wangejua kuwa ndo mara yangu ya kwanza kupika maandazi weee
@queentz8314
@queentz8314 2 года назад
Mashaalah missing you mamii. Tofauti ya mandazi na mahamri ni ipi?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 года назад
Sijajua tofauti yake ntachunguza au ni jina tu ??
@paulalove1223
@paulalove1223 8 месяцев назад
Nahisi nikitu kimoja lugha tofauti
@jamilabakari9260
@jamilabakari9260 2 месяца назад
Kama sina mzanj
@user-lp1md4mw3q
@user-lp1md4mw3q 11 месяцев назад
Nataka kujua kupika afkeki jeeunaweza kunipa darasa hilo
@RoseMelkiory-ci1or
@RoseMelkiory-ci1or Год назад
Mm nimgwn hapo ila nimekupenda Bure je hufundishi Kwa vitendo nje ya simu kipenzi
@loisagracesamuelmpangala5429
@loisagracesamuelmpangala5429 2 года назад
Maandazi kuwa na mafuta ndani na ngozi ngumu
@elijahgeorge4808
@elijahgeorge4808 Год назад
Mandazi mazuri me nikipika ngozi yake inakuwa ngumu naomba uniambae nakosea wap
@priscillaobadiah-eg6id
@priscillaobadiah-eg6id 5 месяцев назад
Habar dada, naomba utufundishe jinsi yakupik mandazi yale makubwa sana ya biashara,yanakua manene alafu yamejaa ,yanapikwaje? Na pia shida yangu ni asubh mandaz yanakua magum.
@solomoniswilla8441
@solomoniswilla8441 Год назад
Amira vip
@julyjoyce566
@julyjoyce566 2 года назад
Nikipika maandazi yangu yanakuwa na chumba na seble😆😆😆😆😆nikaambiwa wanayapenda watu wa tanga
@kutailadifi2854
@kutailadifi2854 2 года назад
😀😀😀Jmn Ety chumba NA sebule
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 года назад
😂😂😂
@evalinemalole6709
@evalinemalole6709 3 месяца назад
😢 mimi shida yangu ni mandaz yanakua magumu nahisi nakosea kwenye kukanda, natakiwa kukanda unga kwa muda gani?
@rehemamvungi5514
@rehemamvungi5514 2 года назад
Mimi yangu yanakuwa na nyama nyingi kwanini naomba nijuze
@user-fj2wv9ou9y
@user-fj2wv9ou9y 5 месяцев назад
Nataka kujua hamuweki baking powder
@lailaahmed8399
@lailaahmed8399 2 года назад
Mie vidole jamani vinajichora.. asante kwa video nzuri
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 года назад
Vidole vinajichora wapi mpendwa?
@Alliyhemed-gs6oz
@Alliyhemed-gs6oz Год назад
Mm naponda unga nayakata mandazi ila ukat wAkuchoma yanazama mpaka bade yanakuja ju tatzonn ala yana paxuka
@shaheroselalji9890
@shaheroselalji9890 Год назад
You have forgotten to list oil in the list of ingredients
@vivianmshomi9975
@vivianmshomi9975 2 месяца назад
Hapo kwenye maandishi ( recipe) hukuandika chumvi na mafuta ya kukandia japo umeelezea wakati wa kuongea.
@estheremanuel9806
@estheremanuel9806 Год назад
Shida yangu ngozi ya andazi inakuwa mgumu ila ndani imeiva vizuriiiii Sana sasa sijui nakosea wap
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Год назад
Moto umekuwa mkali zaidi jaribu kuchomea moto wa kiasi
Далее
Maandazi Ya Nazi Unga Kilo Mbili
10:44
Просмотров 34 тыс.
Викторина от ПАПЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:56
Jinsi Ya Kupika Maandazi Ya Nazi, Mwanzo mpaka Mwisho
14:40
MAANDAZI YA BIASHARA MATAMU SANA NA LAINI‼️
8:26
Просмотров 407 тыс.
MKATE MTAMU WA MAZIWA KWENYE JIKO LA GESI
8:28
Просмотров 1,3 млн
Maandazi Chap Chap
4:23
Просмотров 25 тыс.