We dada ubarikiwe sana sana .mm sikuwah pula mandazi ndo mara ya kwanza nimefata vipimo vyako .wee yametoka mazuri malaini Matamu sana yan mpaka siku ya pili andaz lainiiii .ivi navyokwambia juzi nimepika nimeuza andaz miatano moja na yamegombaniwa hatar 😂❤love you
Nimejaribu kama ilivyo mara yangu ya kwanza kupika maandaz😂😂 na yamekuwa noma watu wameyasifia balaa wangejua kuwa ndo mara yangu ya kwanza kupika maandazi weee
Habar dada, naomba utufundishe jinsi yakupik mandazi yale makubwa sana ya biashara,yanakua manene alafu yamejaa ,yanapikwaje? Na pia shida yangu ni asubh mandaz yanakua magum.