Тёмный

MASHAUZI YA ISHA AKIGOMA KUMSAMEHE MPENZI WAKE MABANGO 'SIKUTAKI USINIZOEE' 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 40 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 345   
@BahatiAlly-xs8jr
@BahatiAlly-xs8jr 29 дней назад
Msamehe uyo kijana ni mkweli mungu huea anasamehe piga goti kwaza daisha useme na mungu uyo ni mwanadamu ameamu kijizalilisha Kwa ajiri yako najua jisigani unajisikia namuomba kama mdogo wangu mfikilie piga goti Kwa mungu awe mume sio swala nawe kaka ikitokea Aisha amekusamehe uwe na ofu ya mungu ukipendwa pendeka niliipenda San kapu yenu mmeniumiza San namuomba mungu awe katiyenu muwe mke na mume nawapenda San❤️❤️❤️🙏🙏
@keyla3641
@keyla3641 25 дней назад
Yani umeongea ukweli kabisa
@xkingx8041
@xkingx8041 Месяц назад
Msamehe uyo isha. Hao viumbe hawaombagi msaamaa. Huto mpata mkamilifu.hao viumbe ma jeurii hao. Msamehe ishaaa
@Nahimanasudi-kh2xo
@Nahimanasudi-kh2xo Месяц назад
Isha Baby tuko pamoja ❤❤❤
@kadito-o3j
@kadito-o3j Месяц назад
Wanawake wanahuruma sanaa niamini mimi wakipenda wanapenda asilimia mia ❤❤huruma akiweka atamsamehe
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x Месяц назад
ogopa wanawake wanaopenda kweli kweli ni wabaya ukimkosea aaanh utaomba poo
@kadito-o3j
@kadito-o3j Месяц назад
@@user-wd2bc7bf5x it's true asilimia mia ndugu yangu
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 Месяц назад
Isha una roho nzuri ila mabango kakosea
@MohamedMachete
@MohamedMachete Месяц назад
Vijana tafuteni hela pata picha broo hapo familia yake inamuona anaishi maisha mazuri lakini leo hii wanamuona anamlilia mwanamke kisa maisha mazuri 😢😢 muhimu kweli kuwa na pesa yako😮😮😮
@Nahimanasudi-kh2xo
@Nahimanasudi-kh2xo Месяц назад
Isha tuko na ww Baby ❤❤❤
@NdayisengaAmina
@NdayisengaAmina Месяц назад
Nitazidi kuzidisha duwa kwa Allah alirudishe penzi lenu lirudi kama Hawali
@sharifamohammed6317
@sharifamohammed6317 Месяц назад
Ulisikia wapi dua za zinaa zinakubalika wee uogopiii
@MariamRashid-sm5zw
@MariamRashid-sm5zw Месяц назад
wanawake tunatakiwa tuwe kama mwanangu isha tungekheshimika
@midilastahans7188
@midilastahans7188 Месяц назад
Maskini ya Mungu wangu etiiii naruhusiwa kuja kuka au??jamani nimemunurumia.kukosa kazi kubaya sana uwiiii uwiiii vijana wetu fanyeni kazi acheni kulelewa.uwiiiiiiiii😢😅
@rosebeniel
@rosebeniel Месяц назад
Unawaza kulelewa tu wengine wana mapenz hawaangalii.hilo
@user-bp7ry5ey1f
@user-bp7ry5ey1f Месяц назад
Aisha tafadhali msamee wewe ni Muslim Mimi najua wanadam makosa niyetu,, ila pia usisahau kuna watu wanapenda kuaribu maisha ya watu, ,, Mimi sijapenda ivyo msamee muendelee n maisha😌
@SallehFakki
@SallehFakki Месяц назад
Please da Isham nakuomba umuelewe huyu kaka Anakupenda please msamehe my
@user-ok2mk8mh4j
@user-ok2mk8mh4j Месяц назад
Mungu anakuona isha
@YasintaMinja-ob1nt
@YasintaMinja-ob1nt Месяц назад
Kpnz msamehe tu huyo mkaka maana nimstaraab kwa kwel ni mwanaume gan anaweza kuomba msamaha hatharani ❤❤
@PascoMlinga
@PascoMlinga Месяц назад
Mnajizalilisha hayo matatizo yenu mlitajiwa muyamalize wenyewe nyumbani sio kwenye mitandao
@GloryTesha-g6p
@GloryTesha-g6p Месяц назад
Mwendelezo pls
@user-zl9pl2ib4q
@user-zl9pl2ib4q Месяц назад
Nilikua nakuona mwanamke ila nimekuzarau umejitoa sifa sifa mwanamke ni kusamehe kwa Nini usimsamehe mwenzio inamana wewe mnafiki una mzalilisha mtoto wa watu kwenye vyombo vya habari sio viziri
@wilsonwizzo2483
@wilsonwizzo2483 Месяц назад
Daah sema wanaume huwa tuanaushirikiano sana Ukicheki hapo jamaa wanavyompambania mwana😂
@saidkibabe7131
@saidkibabe7131 Месяц назад
Bro code baba😂😂😂😂
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂mashemeji uchwara 😂😂
@TomeTenendeTenende-rz2ys
@TomeTenendeTenende-rz2ys 10 дней назад
Kkkkkkkkkkkkk vizuri sana aise
@SophiaMwenda-m3l
@SophiaMwenda-m3l 21 день назад
Msamehe Jamani huyo kijana kila mtu anamapungufu hata kama utapata mtu mwingine huenda anamapungufu kuliko huyo samehee tu Dada Isha
@HALIMASIRI-w7i
@HALIMASIRI-w7i 29 дней назад
Msamehee Aisha please wewe nibinadamu kuwa nautu haki please
@ZoyaAli-qy3tg
@ZoyaAli-qy3tg 29 дней назад
Maskini hadi anahuzunisha msamehe maana sio rahisi mwanaume kunyenyekea hivi 😢😢
@ferdaedward8373
@ferdaedward8373 25 дней назад
Nimeipenda ngugu samehee niwanaumewachache wanaomba msamaha huyoa nakupenda
@NeemaMweta
@NeemaMweta 29 дней назад
Mkomeshe ivoivo na wengine wajifunzeze namnyota wake wa giza akome
@MariamRashid-sm5zw
@MariamRashid-sm5zw Месяц назад
insha mwanangu naomba msamekhe sana lakini mfunge ndoa inshaallah mpe nafasi yamwisho
@NakivonaSalim
@NakivonaSalim Месяц назад
Macho ya da Isha yanaongea bado anampeeenda mabango
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Месяц назад
Ndioo anampenda
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 дней назад
Kweli yani
@annemtaki8483
@annemtaki8483 Месяц назад
Isha msamehe mpenzi wako. Elewa kwamba hao ni wavurugaji tu. Mkiachana watafurahi sana.
@maryamedi9141
@maryamedi9141 Месяц назад
Msameh jmn dad Isha hakuna mkamilifu
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Месяц назад
Mashaallah jike la simba likitaka kung'ata linang'ataaa ng'aaaaaaaaaaaaa mnyooooshe ivyo ivyo kwnza akilud adabu
@MariamRashid-sm5zw
@MariamRashid-sm5zw Месяц назад
inshaa msamekhe mwanangu 15:50
@hypogotz8705
@hypogotz8705 Месяц назад
Vijana tafuteni hela 😂
@boniphacerweyemamu2118
@boniphacerweyemamu2118 Месяц назад
Sikuzote mwanamke akikupa nafasi ya kukusikiliza ujue asilimia ya kusameewa ni mkubw huyu lazima amsamee😊
@nikiwejimson8527
@nikiwejimson8527 18 дней назад
Ahahahahahaha😂
@salamakiwinga6310
@salamakiwinga6310 Месяц назад
Bas mimi sijui sina akili vzr yule mbwa kashanipiga matukio kibao nusu nife ila akisema tu niasamehe nishamsamehe adi najishangaa mweh natamani ningekuw na moyo km wako isha 😢😢😢
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Месяц назад
Itakuwa unampenda sana au unafikiria yale anayokupa usiku unazani huyopata zaidi ya yy😅😅😅
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 29 дней назад
Umri umeenda na achana na maisha ya kitoto we ushakuwa mtu mzima na umeshatumika sana hata ladha hapo hamna mmeeeek
@anniemallagi
@anniemallagi Месяц назад
Duuh pole mabango naona shangazi kakaza
@emmymgonto4110
@emmymgonto4110 Месяц назад
Dada yangu Isha ukipenda una nyongo kali Kama mimi Mungu atusaidie
@ireneflorence2232
@ireneflorence2232 Месяц назад
Mwanamke akishakupa sikio lake imeisha hiyo.😂😂 mpeni mda tu
@veronicangwale7159
@veronicangwale7159 28 дней назад
Msameheee acha mashauziiiii
@MwantumuAbdy
@MwantumuAbdy Месяц назад
Umenifundisha kitu kikubwa sana dd angu nimekuelewa bure i got ur point sis love u
@samwelmasunga8293
@samwelmasunga8293 Месяц назад
Shangazi isha Msaheme Mabango kwani ni wachache sana wenye moyo kama wa jamaa mtu kukufuta mpaka apo ni hatali sana wengne huwa wana sema mpo wengi lkn mabango ashafika sehem sahihi msamehe aunt tuna kuomba jmn
@user-fi7ky7ub6s
@user-fi7ky7ub6s Месяц назад
Msamehe tu dada Aisha mungu atakusamehe tu
@najatramadhani6300
@najatramadhani6300 28 дней назад
Nakuelewa sana isha❤ pole sana
@LucyOmary
@LucyOmary Месяц назад
Samehe dada Isha tena mshukuru mungu bwana wako ansomba msamaha warahi usipomsamehe utakuja pingwa na vitu vizito na hutoombwa msamaha
@dullahbakari4813
@dullahbakari4813 Месяц назад
Daaaaah Isha msamehe tu aiseee 🙏
@vickykapama8386
@vickykapama8386 Месяц назад
Amekosea sana tena sanaaaa kubadilisha password. Cha kufanya wewe nenda ukatulie kdg na ukafikirie kwa MAKINI! Ukirudi upya na MFUNGE NDOA ILI MUWE MUME NA MKE.. Aisha hasira zk zikisha isha atakuwlewa. Inshallah 🙏
@NeemaMweta
@NeemaMweta 29 дней назад
Mwanangu nimekupendaaaaa ishaaaaaaaaaa saaaaaaaafi usimpe mkono atakuharibia nyotaaa
@giovannajohn3813
@giovannajohn3813 Месяц назад
Da Isha naomba umsamehe plz hakuna mwema hata mmoja kwenye dunia hii iloyojaa laana msamehe nakuomba
@aishandayishimiye5127
@aishandayishimiye5127 Месяц назад
Isha msamehe mpenzi ila ongeza spidi ya kufanya yako
@Jumashadhil380
@Jumashadhil380 Месяц назад
Yani Mwanamke Akisema Hataki,, Ndugu Zangu Uwe Na Hela Au Hauna Yani Kama Hataki Hataki tuuh,, Yani Akisema Hataki Alafu Anataka Basi Huyo Anataka,, Lakini Akisema Hataki Alafu Hakiwa Hataki Basi Huyo Hataki,,, Oya Wanangu Tujifunzeni Kuwapenda Back Hawa Wanawake Wanao Tupenda
@AbdulhaamidSoud
@AbdulhaamidSoud Месяц назад
Hajapenda huyu maxinguo tu
@brycesopsop719
@brycesopsop719 Месяц назад
Pole bro hope mutarudiana 2
@gindamaster1784
@gindamaster1784 Месяц назад
Mwamba anatema sana vocals
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Месяц назад
Isha macho yanaonesha bado unampenda mabango 😂
@user-xi8ll6ub4j
@user-xi8ll6ub4j Месяц назад
Tatz alisem siwez kumic labd nitamic cha kul tu Leo vp unapig got
@SeleTosha-hk8kp
@SeleTosha-hk8kp Месяц назад
Aisha I'm very sure ur very straight kwenye huo mvunjiko wenu wa mapenzi ila my opinion is stop hizo mambo za kuhojiwa hojiwa that's not nice,coz wewe sio wa kwanza ku breck love that's my opinions sister, stop that fanya mambo yako achana nae hana mpango 🇿🇦
@righitkileo
@righitkileo 28 дней назад
❤❤Ushauri wanqu Nyie watu maarufu anqalieni namna nzuri ya kumaliza tofauti zenu bila kuanikana humu.wewe Mwanaume kuwa mwanaume bac.hii namna kama ndo inazidisha huyu mama kuendelea kukukata. Au vile nyie wa Uswaz ndo mlivyo
@SallehFakki
@SallehFakki Месяц назад
Dada isha please nakuomba msamehe. Ata sister tunskosea ila Alla hutusameheee
@ndolepeter2770
@ndolepeter2770 Месяц назад
Ila ww mvulana umelogwa jaman yaan had umekonda, hembu jitulize unatuabisha wazazi jaman kama kakufungulia dunia siuedeleze, au ndy ganda la ndizi, Piriiiiiii! mpaka Maka😂😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Месяц назад
Unajuwaje huyo mwanao alichooneshwa huko muombee dua aowe
@KisileAbdallah
@KisileAbdallah Месяц назад
Msamehe bwana mpk anatia huruma 😮
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 дней назад
Ww muChe atakuj kumkumbuka mtu anaomb msamaa siumsamee tu
@SallehFakki
@SallehFakki Месяц назад
Pia kumbuka ss binaadamu tumeubwa na mapungufu my msikilize mwenzio kiukweli anakupenda. Please my masamehe my
@RehemaMwakapimba
@RehemaMwakapimba Месяц назад
Isha acha ushamba wewe ni mwanamke. Tayali kaisha kuvua nguo mama. Msameee sana.
@wardaomary2997
@wardaomary2997 Месяц назад
😂😂😂 mchaga na iddris nyie aya mwenzenu anaomba msamaha sasa😂😂😂
@sk-wj9or
@sk-wj9or Месяц назад
Aisha uliisha wahi yasema hayo awali. Mungu akuhifadhi ukhty. Nakuzimia mno.
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Месяц назад
Isha msamehe mtoto wa mwanamke mwenzio kazaliwa na yy maskini 😢😊😊😊
@kelvinmootian6965
@kelvinmootian6965 29 дней назад
Hae
@LydiaFaustine-bk6nv
@LydiaFaustine-bk6nv Месяц назад
Mwenyewe anajua anapendwa sana ndo maana anaringa sana, ringa mamaa🎉
@TomeTenendeTenende-rz2ys
@TomeTenendeTenende-rz2ys 10 дней назад
Kkkkk apo sasa kkkkkk
@Husna-pn5gg
@Husna-pn5gg Месяц назад
dada ishaa msamehe bhn kijana wawat daah😢 minilikua nakupenden jmni
@peacecook1492
@peacecook1492 Месяц назад
Msamehe mshikaj Yuko real
@jadetoto
@jadetoto Месяц назад
Watatafutwa na Radio zotensasa Isha anajishauaa ngojanukutane na Abdul wa Diva akucheat mpaka ufe
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw Месяц назад
Dada isha nakupenda umeongea kweli
@user-rb5hs3lq6v
@user-rb5hs3lq6v 8 дней назад
Inaniuma kuona wanaomuomba isha asamehe wengi ni wanawake. Hii ndio sababu wanawake hamueshimiki na wala wanaume hawaogopi kuwasaliti kwa sababu wanajua watafanya ujinga mwisho watasamehewa tu.Ama kweli heshima ya mwanamke inashushwa na mwanamke mwenyewe
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct Месяц назад
Isha jamani msamee mtoto wa mwanamke mwezio .najua umeumia lakini msamee mabango haludii Tena.
@user-sj6qh3yr5t
@user-sj6qh3yr5t Месяц назад
Jamani wote hao ni watu wazima maamuzi ya mtu yaheshimiwe walipotakana mlikuwepo? Mwacheni
@IssaPara-bt9hg
@IssaPara-bt9hg Месяц назад
Chizi kweli wew mama mkuu acha ujinga kaambele acha Mambo yako utakufa wew
@aikamungure7056
@aikamungure7056 29 дней назад
Isha upo sahihi sana,Ila msamehe tu,maana atakuwa ameshaijua thamani yako
@user-rv6wf5zr6m
@user-rv6wf5zr6m Месяц назад
Tangaza ndoa usipalilie zinaa kaka hayo ndio mapenzi unajuwa kubembeleza mabango msamehe Isha
@haryanyawu640
@haryanyawu640 Месяц назад
Aliekwambia hawana ndoa nani?
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Месяц назад
Ila kaisha kanajua kuringa jamn 😂😂 uko. Mwishon mie hoi uku wallah
@evalokwetikya1984
@evalokwetikya1984 Месяц назад
Baba umeyakanyaga kwa watu wa Mara fanya yote usithubutu kuchezea mapenzi au moyo wake itakula kwako
@edgercyprian964
@edgercyprian964 7 дней назад
Daaah Aisha ebu mpe nafasi ya mwisho mwenzio unajua mwanaume mpaka kufikia kuomba msamaha
@loner_wolf
@loner_wolf 16 дней назад
Huyu demu hataki kweli for now ....cjui baadae huenda anything can happen .
@mishimtambo4684
@mishimtambo4684 Месяц назад
Kwani kabla ya Isha ulikuwa unakosa liziki
@ibnnjoka4808
@ibnnjoka4808 Месяц назад
Huyu kweli mkurya kiboko
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 28 дней назад
Mwenyezimungu anasema samehe mara 70 kwa siku
@Naema-x7p
@Naema-x7p Месяц назад
Maskiniiii mapenzi haya adi amenitia huruma kaka wawatu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭isha msamehe mwenzako😢😢😢😢😢😢😢😢
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 дней назад
Yani unishid mm nimeumia san msamee
@MpajiAli
@MpajiAli 26 дней назад
Hao wanaume loòh hats huruma cimuonei huruma mishenz mijanaume
@NeemaMweta
@NeemaMweta 29 дней назад
Ukimsamehe huyo atakukomesha mara 2000
@EliangikayaJoseph
@EliangikayaJoseph 25 дней назад
Dah msamehe tu Dada Isha😢
@tusaamon3216
@tusaamon3216 Месяц назад
Isha litakupata jambo mtu gani uwezi kusamee
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 дней назад
Sindio apo kwanza kun cha pekeyako sikuizi
@TracyKim-t6u
@TracyKim-t6u Месяц назад
Tatizo lingine jamaa anaomba msamaha kizembe sana, mkulya unamuomba msamaha huku unalamba lipsi woooooi anitafute mimi nimpe code za kuwaomba msamaha wakulya.
@TracyKim-t6u
@TracyKim-t6u Месяц назад
@@FatimaAli-of4gh Umeelewa iyo coment????
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 Месяц назад
Inauma umsaidie mtu afu akusaliti
@nuruhamisi5384
@nuruhamisi5384 Месяц назад
Atamsamee tu anampenda namuona kabisa sema kwakua mkubwa na anajua kuna camera awez kuonesha udhaifu watu wakaona
@OklyKornelio
@OklyKornelio Месяц назад
Msamehe jamani mamy wangu hakuna mkamilifu duniani msamehe shemeji jamani
@NdayisengaAmina
@NdayisengaAmina Месяц назад
As ww dada yangu nakuomba kwa ajili ya Allah msamehe uyo kaka ukiona mwana mume anapiga magoti kukuomba msamaa uyo nimpenzi wako kabisa kwa sababu dada yangu Allah tunamkoseya sana ila nimwepesi wahuruma anatuhurumiya n'a anatusamehe waja wake mimi ni shabiki wako kutoka Burundi naomba m'amène uyo kala kwakweli ata mimi namuoneya huruma
@mshambaused3840
@mshambaused3840 16 дней назад
Watu wameharibu mpenzi hyo
@nasramussa2370
@nasramussa2370 Месяц назад
Em na kunyenyekea uko pia kusiishie apo tu na pia kwa Mola tuwe zaid ya ivyo
@jonasnyanga8167
@jonasnyanga8167 Месяц назад
Kwan mwanamke ni isha tuuu we jamaa
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Месяц назад
😂😂😂kuanzia leo isha ndo mwenyekiti wa mashangazii wotee😂😂
@mwanamambokimbwara9733
@mwanamambokimbwara9733 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Месяц назад
Hawa nao" hata wasaf tv alisema hvyo hvyo leo ndo mala y kwanza kuonana tangu wakosane" mm naona huyu mabango angemkaushia tu sio kuombana msamaha mbele za watu kama hv jmn dah
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 дней назад
Ndio angetulia tu uyu kak
@user-io6vz6ub9r
@user-io6vz6ub9r 10 дней назад
Leo nimekuelewaa mama anguh
@Amirihussein-t7j
@Amirihussein-t7j Месяц назад
kaka yangu mwaimu umezinguwa sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Месяц назад
Mim japokuwa napenda mahusiano Yao awo...ila ninachogundua Isha anamsimamo...ila mnyooshe alafu ndo msamehe...iyo adabu lazima atashika adabu ata kama ikitokea umemsamehe safi...ila mim nawatakia Kila la heri
@DarvelKnowles
@DarvelKnowles Месяц назад
😂😂😂😂mapenzi matamu sana,..ila daah kiukweli mwana anaumia sana yaani adi anakosa raha, ana kama kushikishwa adabu siunaona kasjaishika ila ata ukimuangalia vizur Isha anamuonea huruma mwamba sema ndoivo kamkazia kwanza..ila afight tu litaisha
@user-oo5sj8hb5m
@user-oo5sj8hb5m Месяц назад
Siwengine tuna fumania kabisa na msamaha hatuombwi 😂😂😂😂
@bellommpanami9868
@bellommpanami9868 Месяц назад
Jike la Simba limeunguruma😂
@rerisamba
@rerisamba 28 дней назад
Pole dada watu wengine hupenda kuumiza watu
Далее
Isha Mashauzi - Hirizi Mzigo (Offical Music Video)
9:23