Ukikosa macho ni tatizo kubwa! huwezi kufanya kitu bila msaada. misaada mingne utapewa ambayo haikusaidii na matokeo yake unaweza kuporwa hata na kile kidogo ulichonacho. tuombe kupata macho ya Rohoni ili Tuone jinsi itupasavyo kuenenda.
Daaaaaaaaaaaaahhhhh...nazidi kumshangaa huyu Muumbaji wa vitu vyote....NAMRUDISHIA SIFA NA UTUKUFU KWA HII KWAYA HASA HUYU SOLOLIST..... Hata mimi Bwana naomba kuona
Tangu mje kututembelea pale Social Udom 2017, mimi nimekuwa mwanauvuke kiroho 🤣🤣🤣 ninawapenda sana, wimbo umenibariki sana moyoni. Salamu zangu sana kwa huyo baba mpiga solo, ametisha sana !!! natumai siku moja nitaimba pamoja na nyie live. Mungu awabariki sana kwaya yetu ya Uvuke 🙏