Тёмный

MACHO (Kwaya ya uinjilisti Uvuke Kanisa Kuu Dododma) 

Uvuke Kwaya Kanisa Kuu - Anglican Dodoma
Подписаться 1,4 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Ukikosa macho ni tatizo kubwa! huwezi kufanya kitu bila msaada. misaada mingne utapewa ambayo haikusaidii na matokeo yake unaweza kuporwa hata na kile kidogo ulichonacho. tuombe kupata macho ya Rohoni ili Tuone jinsi itupasavyo kuenenda.

Развлечения

Опубликовано:

 

25 май 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 39   
@magdalenajuma5923
@magdalenajuma5923 5 месяцев назад
Hakika hii nyimbo imenibarik sana,Mungu azidi kuwatumia watu Mungu ❤
@user-tl3dl7fu5v
@user-tl3dl7fu5v 4 месяца назад
Nawapenda xana uvuke MUNGU awabaliki Kwa kazi nzuri
@user-lv2fu9ip6h
@user-lv2fu9ip6h 21 день назад
Mpiga gitaa la soro, Mungu atakutendea mambo makuu usiyo yajua,ubarikiwe baba.
@jessicamasepo8320
@jessicamasepo8320 13 дней назад
Amina
@denisyohana2738
@denisyohana2738 Месяц назад
Nice song, congratulations
@benjaminmwalugeni3646
@benjaminmwalugeni3646 2 года назад
Mungu awabariki. Wimbo mzuri na huu ndio uimbaji wa kwaya. Endeleeni kuwa kielelezo kwa kwaya zingine.
@emmanuelbitungwa766
@emmanuelbitungwa766 10 месяцев назад
Daaaaaaaaaaaaahhhhh...nazidi kumshangaa huyu Muumbaji wa vitu vyote....NAMRUDISHIA SIFA NA UTUKUFU KWA HII KWAYA HASA HUYU SOLOLIST..... Hata mimi Bwana naomba kuona
@emanuelmaleshi6849
@emanuelmaleshi6849 11 месяцев назад
Mungu awabariki saana kwa utumishi uliotukuka
@godfreymsanya2726
@godfreymsanya2726 Год назад
Ni zaidi ya viwango vya kawaida Mungu awainue mpiga sollo gita umenipa kitu cha kujifunza
@zephaniasenga8730
@zephaniasenga8730 Год назад
Mungu akubariki Sana uvuke choir kwa nyimbo ya macho nzuri by Dr lupaa
@samilandoo
@samilandoo Год назад
Wimbo mzuri sana sana sanaa. kila kitu kiko kwa kiwango cha hali ya juu. this is UVUKE I know.
@festokanungha-ek5vu
@festokanungha-ek5vu Год назад
Hongera Sana uvuke mmenibariki Kwa wimbo mzuri Mungu awaongezee vipaji mpate kuihubiri injili takatifu.
@user-ce3op7qp4q
@user-ce3op7qp4q 7 месяцев назад
Mungu awabariki Sana.
@samweldaudi545
@samweldaudi545 2 года назад
Huu wimbo umenigusa sana nikimwangalia na solo wake yaani Mungu awabariki sana
@uvukekwayakanisakuu-anglic9603
@uvukekwayakanisakuu-anglic9603 2 года назад
Amina mtumishi wa Mungu. usiache kusubscribe mpendwa
@fredrickmtangoo5071
@fredrickmtangoo5071 Год назад
Amina.
@user-ew4pb9lx8i
@user-ew4pb9lx8i 23 дня назад
Ameni
@user-my4tq2ob8n
@user-my4tq2ob8n Год назад
Mbalikiwe Sana wapendwa kwakweliiii
@josephmonga2581
@josephmonga2581 Год назад
Mungu asifiwe. Niko RDC.
@pendobaharia7227
@pendobaharia7227 Год назад
Kwaya yangu pendwa mbarikiwe Toka enz za lisikien neno ❤️❤️
@stevenmarios4381
@stevenmarios4381 2 года назад
Hakika ni kazi nzuri ya kumtuza Mungu mbarikiwe sana mno mnooo
@listergospelsongs3974
@listergospelsongs3974 Год назад
Amina kubwa
@patrickmaloba214
@patrickmaloba214 Год назад
Amen
@ImeldaMagumba-ml8yo
@ImeldaMagumba-ml8yo Год назад
Mungu azidii kuwapa kibalii zaidi katika huduma yenu
@ommyfatuma3801
@ommyfatuma3801 2 года назад
Mungu aibariki sana kwaya ya uvuke waendeleee kumtumikia mungu Alie hai
@janiendalila9172
@janiendalila9172 2 года назад
Mungu awabariki nliposali kabisa kuu hapo nlibarikiwa sana and I will back again
@benardchinua1443
@benardchinua1443 Год назад
Hapa naona mbingu sasa. Nimefika. Baraka.
@johnnyemba2748
@johnnyemba2748 2 года назад
Mpo vizuri sana hongereni
@lazarovioleth730
@lazarovioleth730 2 года назад
Mungu awabariki sana wana uvuke,Pia ninamuomba Mungu aendelee kuinua na kukukuza kila iitwapo leo kipawa cha Abel
@listergospelsongs3974
@listergospelsongs3974 Год назад
Amina yeye ndie mwl wa Kwaya na nimtunzi wa wimbo huu
@paulkavansy4276
@paulkavansy4276 Год назад
Admini aje asome comment,na aseme AMEN au AHSANTE🤣
@giriadbirusha7006
@giriadbirusha7006 2 года назад
Tangu mje kututembelea pale Social Udom 2017, mimi nimekuwa mwanauvuke kiroho 🤣🤣🤣 ninawapenda sana, wimbo umenibariki sana moyoni. Salamu zangu sana kwa huyo baba mpiga solo, ametisha sana !!! natumai siku moja nitaimba pamoja na nyie live. Mungu awabariki sana kwaya yetu ya Uvuke 🙏
@masslubelej2637
@masslubelej2637 Год назад
Amen
@listergospelsongs3974
@listergospelsongs3974 Год назад
Amina tunakushukuru sana tupo kwa hudua ya Mungu tupo tayari kuimba na wewe karibu sana
@georgemzuli3422
@georgemzuli3422 2 года назад
Safiiii
@uvukekwayakanisakuu-anglic9603
@uvukekwayakanisakuu-anglic9603 2 года назад
Karibu mtoto wa nyumbani
@georgemzuli3422
@georgemzuli3422 2 года назад
Asnt sana
@benjaminmwalugeni3646
@benjaminmwalugeni3646 2 года назад
Mungu awabariki sana wimbo mzuri umenibariki sana. Na huu ndio uimbaji wa kwaya.
Далее
SIKIA MAOMBI YETU (Uvuke Kwaya DCT)
6:20
Просмотров 8 тыс.
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Просмотров 13 млн
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
Просмотров 4,8 млн
NJOZI - Official Video - Tumaini Shangilieni Choir
11:10
AHADI YA MUNGU OFFICIAL VIDEO
6:13
Просмотров 53 тыс.
USIOGOPE  KWAYA YA UVUKE DODOMA
3:33
Просмотров 30 тыс.
SIJAONA - Safina Anglican Choir (Dodoma)
8:08
Просмотров 38 тыс.
Ставь ❤️ и подписывайся 🔥
0:14
Оцените переход от 0 до 10🤣
0:14
Эй Рамазан # DamirAgroDizel
0:16
Просмотров 4,1 млн