Tunamuomba ALLAH amsameh madhambi yake na ampeleke mahali pema peponi. Poleni sana wtt wake wote na familia na watanzania wote walioguswa na mcba huu. Nafatilia from Oman 🇴🇲😭😭💔
Inna Lillah wainna ilayhi rajiun,Kifo Cha tosha kuwa ni maidha,kwani mshairi mmoja wa kiarabu alisema,Al-maut yaghti baghtatan wal-kubur sunduk l-maly=Akiwa anamaanisha Umauti unakuja GHAFLA na Kaburi ndio sanduku la Matendo.so Ndugu zangu tupate mawaidha Kwa hilo Kwa Mzee wetu.Amina