Halmashauri ya wilaya ya Chunya kwa mara ya pili tena itapokea Madaktari Bingwa Wanane (08) ambapo wanataraji kuingia rasmi Chunya Tarehe 30/09/2024 na kudumu kwa siku karibu sita kuanzia tarehe 30/09/2024
Akizungumza wandishi wa Habari ofisini kwake Dkt John Gungumka amewataka wananchi kufika Hospitali ya wilaya ya Chunya ili wapate huduma za Kibingwa kwa gharama za kawaida tofauti na huduma hizo zinavyopatikana Maeneo menginu
26 окт 2024