Surah tul Mulk ( Tabaraka) Mungu kataja twabaka 7 za ardhi ayah ya 3 na kuumba majini na binadamu ili kuniabudu sijakumbuka ni surah gani ila aya naijuwa" innah khalaqtul Jinnah wal innsah ila liabudun."
Wakati Kiswahili kikifahamu Africa,movie watakazo zifuatilia walojifunza Kiswahili Kwa wakati huo zitakua niza madebe lidai,why?..wengi watataka kujifunza zaidi Kiswahili maana filamu zake zina mafunzo mengi sana na lugha sahihi ya Kiswahili..Hongera Madebe
Wanaume wanapenda sana vya kuonekana ndio maana wanawake wanajichubuwa na ku vaa vigodoro🥱🥱🥱 wanawake wanapenda sana vya kusikiya ndo maana wanaume wanadanganya sana
Mzembe we, neno (bin)neno la Kiarabu hutumika kwa mwanaume na neno (bint)pia la Kiarabu hutumika kwa mwanamke.watu ni sote wanawake na wanaume, Bin'adamu hutumika kwa lugha ya Kiswahili ni kizazi cha Adamu kwahio ina husu pande zote mbili Adamu hakuzaa alio zaa ni Hawa. Na Hawa hakuzaliwa na Adamu ila kaumbwa kutokana na ubavu wa Adamu.
Madebe kaka leo Nimekukubal stokuw Na upishi teeeeeeeeeena Kuanzia leo nakukubali Nimepata soma la mwenyez Mungu kuwa aliumba watu Na majina Wanaume wooote ni Watu Wanawake ndiyo Binaadam ukoo wa wanawake Ni bin Aadam nandiyo tuliwazaa Sisi watu! UWEZ kunielewa kama Aujamskiliza madebe
Una ambiwa wanawake wanapend sana pesa kuliko tendo lakin chaajabu nachakuxhnga wanapata San mimba kuliko pesa paka inapelekea wan towa sana mimba kuliko sadaka yan madebe noma
Hapo kwa mafunzo ya adam na mwanadamu mnakosea. Mungu kaumba Adam na sisi tulio tokana na Adam tunaitwa Bin Adam kwa lugha ya kiarabu na kwa lugha ya kiswahili Wana Adam