Тёмный

MSWAHILI:ANUSURIKA KUFA ,MOTONI /AIBA MSIKITINI MPAKA KANISANI/ACHANGISHA MCHANGO KWENYE DALADALA 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 81 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 149   
@halimamis4236
@halimamis4236 2 года назад
Usimdharau usimhukumu usie mjua...Hakika Allah humjua Mja wake Nafsini mwake, Bismillah...masha'Allah
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 года назад
Mashallah Elimu ya dini unayo allah akufanyie wepesi utubu kabla ya umauti na urejee kwake na Allah awe radhi na wewe ili uwanze kujitakasa kwa swala za toba, allah akupe mwisho mwema na atupe mwisho mwema na sisi tulobakia maana hatujui kesho yetu 😭 maana dunia duru
@senenembeya.9753
@senenembeya.9753 2 года назад
Kwakweli tujitahidi kuisoma dini na kuwasomesha watoto dini.
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 года назад
Maaashallaaaaa hakika alikufungua katika adhabu Kwa hiyo sura inanusuru mambo mengi Allah akuongoze katika njia ya haki na atupe mwisho mwema
@mujibushamba4383
@mujibushamba4383 2 года назад
Ll
@seifahmed9689
@seifahmed9689 2 года назад
Ameen inasikitisha sanaaaa wallah
@jamalmohamed3400
@jamalmohamed3400 2 года назад
Amin Thumma Amin
@jamalmohamed3400
@jamalmohamed3400 2 года назад
SUBHANALLAH...ALLAH AZIDI KUMUONGOZA NDUGU. NA HIO POMBE pia weka kando .
@zainabmkuya5151
@zainabmkuya5151 2 года назад
Ni Maisha tu...Allah atakufanyia wepesi Kibelero urudi km zamani,very smart handsome...kaka la nguvu
@credo7837
@credo7837 2 года назад
Mume huyo sasa
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 года назад
Allah akuongoze ktk njia inayompendeza uache na hyo pombe inauma mtu anaejua dini kwakweli ila kwa Allah hakuna kubwa
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 2 года назад
Such a touching story wallah Allah hadha wajaallah akuongize uache kila kitu ufanye ibada jamani kijana mzuri MAA shaa Allah
@corneliuslangat7834
@corneliuslangat7834 2 года назад
Am watching from Kenya...Zembwela you are a great talent. Excellent work.
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 2 года назад
Kazi nzuri Zembwela. Big Up 🙏
@Shariff143
@Shariff143 2 года назад
Swadakta brother this my first time to comment on any platforms,this is true my brother we want to see you in good path and you will get the success that you want,Also i am in that Journey with you guys we need to see him after some months thanks
@anordgwakisa7524
@anordgwakisa7524 2 года назад
Vzr saana
@husna34562
@husna34562 2 года назад
Mashallah naam amepata usaidiz na in sha Allah atakua sw
@wisemanking001
@wisemanking001 2 года назад
Marekani nakufatilia mnoooo....ahsante kaka Zembwela! Kipindi kina mafunzo mengi aiseee. Ahsante.
@baysuraoman7910
@baysuraoman7910 2 года назад
Samahani ndugu nitafutie kz uko
@mwljuliuskiwovele
@mwljuliuskiwovele 2 года назад
Sema Zembwela ni mtaalamu sana wa kuhoji na anaendana na saikolojia ya mtu mwenyewe
@ahmedsalim4930
@ahmedsalim4930 2 года назад
MASHAAALLAH na anajua vizuri kurana Allah amuongoze
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Yani kaka imeniuma jamani kumbe unadini yako umesoma daa Rudikwa Allah Allah kakupima Imani tulia uswari acha pombe jamani Allah atujaaliemwishomwema
@moricemorice75
@moricemorice75 2 года назад
Aisee mswahili Dr Sina cha kusema ila haya maisha bus tu pole Sana kaka #kibelelo haya ndio maisha nimejifunza mengi ila Mimi ningekua na kitu ningemtoa ila Sina namuna mwenye uwezo amtoe tafadhari jaman
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 года назад
Masha"Allah Allah amekunusuru
@OmanCom-ky8tn
@OmanCom-ky8tn 2 года назад
Mashaalah allah akutangulie mpaka mwixho wa maixha yako
@momomlaga7403
@momomlaga7403 2 года назад
Kaka nakumbuka tulivyo kupa kipigo ww...aiseeee noma sana
@abasmwika3432
@abasmwika3432 2 года назад
Allah amuongoze ila dunia imemchakaza simchezo kachakaa!!!
@emmanuelchejo7154
@emmanuelchejo7154 2 года назад
Bro zembwela natamani nikutane na ww kweli we no chuma cha pua.. Mi nipo iringa kaka we ni icon..
@rosemuba2532
@rosemuba2532 2 года назад
Zembwela your the best
@user-sf5lk3qo4s
@user-sf5lk3qo4s 6 месяцев назад
Allah amfanyie wepes pia akuongoze
@muhasatv9245
@muhasatv9245 2 года назад
Wangapi wameskia ova ova
@mpilimussa7322
@mpilimussa7322 2 года назад
Story naijua vizuri home boy magomeni kagera
@kevintungucha9725
@kevintungucha9725 2 года назад
Kakangu zembwela mimi nipo mombasa na nina mdogo wangu wa damu yeye ni zaidi ya kibe walahi kama utakuwa na muda nitafute nikueleze bro
@alfamgayatv872
@alfamgayatv872 2 года назад
Rete namba hatamm na media
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Maashallah umeongea vizuri
@kareemabas2610
@kareemabas2610 2 года назад
Mungu akujaalie msela wangu Kiberelo
@immah_deo19
@immah_deo19 2 года назад
Alhamdulillah
@IlhaamMarshed
@IlhaamMarshed 2 года назад
Wewe ni human resource kwenye jamii yetu kama t-shirt ulovaa tunakuthamini ndugu yetu Allah aendelee kukuongoza
@mzeekara2370
@mzeekara2370 2 года назад
Babuuu tuna enjoy sho ila mna chelewa kuachia shoo , mswahili toka pande z Saudia Arabia
@gratiouskimberly2949
@gratiouskimberly2949 2 года назад
Umetisha mkuu. Kweli mswahili..salamu kutoka Berlin
@tonyspencer1928
@tonyspencer1928 2 года назад
Ndugu yangu madeal hakuna huko tufanye mpango tuje huko ndugu yangu
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 2 года назад
Ila zembwela hakuna maisha ya uhuni usiyoyajua, we nawe Ni mstaafu kudadeki
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 2 года назад
Zembwela amezaliwa kwenye maisha hayo so.! anayajua vema anachoongea..kifupi mtoto wa mjin, tena alikua kwao magomen mjin sana.. 😂😂😂
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
@@sumayasumaya6455 Yes huyo mtoto wa mjini ile ile
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 2 года назад
Mr..zembwe broo uko pwa.unavumbua,unaonya jamiii kufundisha pia.tupiaga manambaaako nikupe michongo.
@Amylotu
@Amylotu 2 года назад
Mashallah 🙏
@stn4873
@stn4873 2 года назад
Huyo kweli Kibelelo yani katoka hospitali watu wamemchangia kaenda kula poda tena🤣🤣🤣🤣
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Год назад
Mtihani yarabi tunusuru sisi na vizazi vyetu na hili janga lililo ingiya katika duniya piya mola wetu awaongoze walio ingiya katika hili janga
@fathimamct232
@fathimamct232 2 года назад
Mambo ya Zamaniiiii zembwela bwana nakumbuka enzi zako za hujakwama ukikwama utakuja.
@yussufmachano124
@yussufmachano124 2 года назад
Mashallah
@philippascalmusyoki5417
@philippascalmusyoki5417 2 года назад
Amazing,,, let's keep going
@chunanachu2529
@chunanachu2529 Год назад
Nakukubali sana zembwela
@happinesskitali164
@happinesskitali164 Год назад
Mungu anamakusudi nawewe uliponea kwenye tundu la sindano
@lastbornsaadah7632
@lastbornsaadah7632 Год назад
Vijana wanaelimu akhera 🤒 daah natamani kulia wallah vijana tuachemambo mabaya
@runyadraft1519
@runyadraft1519 2 года назад
Dah mwana katokea kwenye tundu la sindano💥💥💥💥💥
@hassanmussa3664
@hassanmussa3664 8 месяцев назад
Kibe The hunter more blessings 😅
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 2 года назад
Nice from 🇸🇦 👌 👏 👍
@amribihoga5127
@amribihoga5127 2 года назад
ZEMBWELA kaka kipindi chako kweli kinatoa funzo kwa jamii sana vijana waachane na matumizi ya madawaya kulevywa vijana tufanye kazi tuachekukaa vijiweni tumkumbuke mungumwenyezi
@pendalaizer8853
@pendalaizer8853 2 года назад
Nimecheka sana
@devisshirima6780
@devisshirima6780 2 года назад
Yani wanaokwenda ulaya kufuata maisha, maisha si ndio haya hapa bongo sasa 😂😂😂 Dah sihamiiiii !! Ulaya ntaenda na ukwaju nieke kwenye zile barafu zao za bure nile 😂😂😂😂
@ffrank6754
@ffrank6754 2 года назад
Uwiiiiiiiiiiiii uwiii7ii mbav zang mie
@cutecute5269
@cutecute5269 Год назад
Wallah nimempenda bure huyu kaka 😂😂😂😂ni Mjanja
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
Nilimiss hili pindi babu saluti
@hassanmussa3664
@hassanmussa3664 2 года назад
Kibe duh ww kweli ni the Monsters
@shamilakalinga437
@shamilakalinga437 2 года назад
Jaman mimi nimempenda Huyu kaka nampataje jaman nisaidieni
@shamilakalinga437
@shamilakalinga437 2 года назад
@@mohamedslh5478 😂😂😂hapana kuna kitu nataka tuzungumze maana nimeguswa sana na mkasa wake kwahiyo kama naweza kumsaidia insha Allah nitamsaidia
@shamilakalinga437
@shamilakalinga437 2 года назад
@@mohamedslh5478 hukunipa
@shamilakalinga437
@shamilakalinga437 2 года назад
@@mohamedslh5478 mmmh haya bana
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 2 года назад
Nenda wasafi mtafute huyu zembwela itakuwa laisi kumpata jamaa...huyu jamaa anaitaji kusaidiwa.
@shamilakalinga437
@shamilakalinga437 2 года назад
@@kaundasutikaunda7769 sasa mimi nipo Oman kabisa
@joackimmbonde4125
@joackimmbonde4125 2 года назад
Asifiwe YESU ambaye ndie anae amua umauti umfike mtu,,, mshukuru sana MUNGU kwani amekupa chance ya kuishi ili uyasimulie matendo yake
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 2 года назад
Anaamua umauti wakati yeye anakufa aliemfisha nani?acheni ujinga
@mbaichris8772
@mbaichris8772 Год назад
Kazi Bora tunaona kutoka mbali
@rasterwangu9708
@rasterwangu9708 2 года назад
Daah kibaka kaenda madrasa
@rashiidrashiid9801
@rashiidrashiid9801 2 года назад
Mashalla uyo ni kiboko.
@hamisimuna125
@hamisimuna125 2 года назад
Zembwela😍😍😍
@martinsamatajr7972
@martinsamatajr7972 2 года назад
mzee kibe kamkumbuka MUNGU baada ya kuona kifo chaja 😂😂😂😃😃😃😃
@dayah2554
@dayah2554 2 года назад
❣🤲
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 года назад
Mzee kibenenga huyu jamaa miaka ya 2003 mpaka na 6 alikua ndio mtengeneza umeme maarufi popobawa mpaka mwembechai wakuitwa vishoka kkk
@jamalmohamed3400
@jamalmohamed3400 2 года назад
Watu wanapiga vita wavutaji unga lakini wauzaji wanaigopewa au wanaheshimiwa... Kitu Cha kushangaza ni kuwa unampiga vita Teja alafu wewe mwenyewe ni mlaji riba au mfitishaji au hata huna heshima na wazazi. Siungi mkono uteja .....
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 года назад
Nimecheka kwafuraha jamani
@thabitiykitwana1271
@thabitiykitwana1271 2 года назад
Dah huyu jma ni mwinzi hatari.
@oscarmatapila6937
@oscarmatapila6937 Год назад
human resources tshirt ya mwana
@praisesteven7774
@praisesteven7774 8 месяцев назад
HR wa weziiii 🤣🤣🤣🤣
@awadhichimbunga2009
@awadhichimbunga2009 2 года назад
Mungu mkubwa.tumepata somo kubwa kaka
@khdigahk4246
@khdigahk4246 2 года назад
Aende sobar house zimbwela weeee
@eliaskemiti7785
@eliaskemiti7785 Год назад
Peraso peraso nini 😂😂😂😂😂 kuibaaa 😂😂😂 Zimbwela bwana
@fazeelshomary2704
@fazeelshomary2704 2 года назад
Kiberelo Lijendi 😁😁
@alfamgayatv872
@alfamgayatv872 5 месяцев назад
Kwambaliii
@NajmasoudiNajmasoudi
@NajmasoudiNajmasoudi 2 года назад
😭😭😭😭😭 pole
@stn4873
@stn4873 2 года назад
Kan'riakooo mia! Kan'riakooo mia!
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman 4 месяца назад
Biafra
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 2 года назад
🤣🤣🤣 ety vipigo hvyo adi kichwa kinabalu dah zembwela nyoko sna
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 года назад
Kweli mlimtoa mbali kibe
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 года назад
Kibelelo ni mtu htr 🤣🤣
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 года назад
Daaaah ndo alikua hivi
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 2 года назад
Cameraaaaaaa sio hd
@ridhiwanabass1273
@ridhiwanabass1273 2 года назад
Mh unatumia simu gani
@elochoyakobo7809
@elochoyakobo7809 2 года назад
Sio mnamuhoji tu alafu mnamuacha hivi hivi..muwezesheni kiaina..!!
@davidkizito6900
@davidkizito6900 2 года назад
Eti pilaso, pilaso, zee mbwera sema wizi pilaso pilaso wapi😅😅😅😅
@anestomgoiganga2031
@anestomgoiganga2031 Год назад
Kibe boy 😆😆
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 2 года назад
Tafuteni camera nzuri
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 года назад
Cm yako ndo mbov
@hamisimuna125
@hamisimuna125 2 года назад
Kijana Natamani Apate Mtaji wa biashara
@sheylaomar2864
@sheylaomar2864 2 года назад
Eti kariakoo Mia😃
@khadijamakuku9313
@khadijamakuku9313 2 года назад
Eti we usiniudhi zembwela kachimbwa biti
@eliyanibitanga4770
@eliyanibitanga4770 2 года назад
But damn
@cristinasofla5090
@cristinasofla5090 2 года назад
Zembwela bwana et vipigo hvyo😀😀😀
@josephatjordan5560
@josephatjordan5560 2 года назад
Hahahahaha nmemuelewa snaa 😂😂😂😂😂
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 года назад
Ila Zembwela hahaaaaaa...duh
@mwajabuyusuph3945
@mwajabuyusuph3945 2 года назад
Ninampataje?
@mariammariam1812
@mariammariam1812 2 года назад
Apo kanisan noma saan😂😂😂😂😂
@yudaseleman8320
@yudaseleman8320 2 года назад
Et tulkua na doctor wetu hiii
@OverdozClassic
@OverdozClassic 2 года назад
Watoto wapelekwe madrasa
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 2 года назад
Noma bana
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 года назад
Pelaso pelaso nini! Kuibaaaaaaaaaa😎😎😎😎😎😎
@mansourmakame355
@mansourmakame355 2 года назад
Zembwera naomba ukamuhoji babuhaji wa znz baharia aliehojiwa na dar24 naamini ukimuhoji we itakuapoa sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Ata yule mshikaji mbona kamuhoji poa tu
@mansourmakame355
@mansourmakame355 2 года назад
Yaa ofcoz but vipaji vya kuhoji vinatofautiana hajahoji vibaya mshakji yuko vzr na nimependa str yote
@tawhidislam4418
@tawhidislam4418 2 года назад
jamaa poa bro huyu hata akini iba nta msamehetu maana ni mwizi comedian anao chekesha kweli na cheka tu kumu angalia huyu na mpa hata na kazi 😂
@rosemuba2532
@rosemuba2532 2 года назад
😀😀😀😀🙏
@mshirazialisindindi4673
@mshirazialisindindi4673 2 года назад
Umerudi kaka
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 2 года назад
Nimeshindwa kuimaliza...hakuna cha kujifunza hapa..
@stenvibe9589
@stenvibe9589 2 года назад
Umeshindwa kuelewa funzo lolote kwamba wizi mbaya madawa mabaya bado huelewi
@thabitiykitwana1271
@thabitiykitwana1271 2 года назад
Kweli Hana kichwa kigumu
@leonardhossa3192
@leonardhossa3192 2 года назад
Tatizo hlo
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Utakuwa una mawenge wewe
@camicapoty9415
@camicapoty9415 2 года назад
Sasa ulitaka mpk afikie wapi kule kishakupeleka polis.kishachoma sasa ulitaka ujue amekaa siku ngapi jela
@fancymixx1026
@fancymixx1026 2 года назад
😂😂😂😂🙌
Далее
Construction site video BEST.99
01:00
Просмотров 330 тыс.
MALAYA MGENI 💞 Love Story | DONTA TV
22:35
Просмотров 324 тыс.
Подставили охранника🤯
0:31
Просмотров 1,9 млн
ДЕЛАЛИ ПОД СЕБЯ
0:33
Просмотров 6 млн