Тёмный

#MadeinTanzania 

Xtreme Media
Подписаться 10 тыс.
Просмотров 175 тыс.
50% 1

Hapa hapa katika Tanzania yetu, kuna kiwanda kinachotoa suluhisho la kuondoa ugumu wa kujenga na kutumia rasilimali nyingi katika ujenzi. Teknolojia ya Mega Panel, inayotumia Maboya kutengeneza nyumba kama hizi na unaambiwa kuta zake hudumu kwa miaka 85-100.
⠀⠀
Usikose kufuatilia Made in Tz Show katika Clouds TV
Kila Jumatano saa 2:30 Usiku:
Kila Jumapili saa 9:30 Alasiri (Marudio)
SUBSCRIBE CHANNEL HII KUPATA INFOS ZAIDI!!!

Наука

Опубликовано:

 

16 июн 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 473   
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 года назад
Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje
@johanesjofrey2105
@johanesjofrey2105 3 года назад
Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu. Kazi nzuri
@montanaprime
@montanaprime 4 года назад
Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.
@dewaweshawakening9977
@dewaweshawakening9977 4 года назад
Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 3 года назад
We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more
@harounali9057
@harounali9057 4 года назад
Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi. Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍
@user-gv3si2mv3l
@user-gv3si2mv3l Год назад
Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge
@officialyohanamalisa1873
@officialyohanamalisa1873 6 месяцев назад
Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌
@JK-bi2jl
@JK-bi2jl 4 года назад
Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.
@picsandvidstv1348
@picsandvidstv1348 4 года назад
This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.
@rumeyswairshad8308
@rumeyswairshad8308 3 года назад
Mashaa Allah Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 3 года назад
Masha Allah kazi nzuri sana nimeipenda ❤
@Moses_Mash
@Moses_Mash 4 года назад
Great editing $ narration, thumbs up mister
@ramazaniekenya8312
@ramazaniekenya8312 3 года назад
Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka
@mariamayenga5867
@mariamayenga5867 4 года назад
Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu
@gmstv2043
@gmstv2043 4 года назад
That's an old technology innovated by Chinese
@rickkariuki4523
@rickkariuki4523 3 года назад
from Kenya proud of Tanzania
@sarahwamboko2041
@sarahwamboko2041 3 года назад
Ziko kenya kirio project ilianza 7yrs ago in kenya
@mannabu9333
@mannabu9333 3 года назад
@@sarahwamboko2041 alie kuuliza nan
@happynicholaus6474
@happynicholaus6474 3 года назад
@@sarahwamboko2041 umeulizwa
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 3 года назад
@@mannabu9333 ha ha ha...
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 3 года назад
Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7
@iammarwa
@iammarwa 3 года назад
i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.
@muritujamlick5534
@muritujamlick5534 2 года назад
Thank you so much for this show. An eye opener
@kamanda007
@kamanda007 4 года назад
Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji
@aminapazi3694
@aminapazi3694 4 года назад
kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je
@mansooralmahruqi885
@mansooralmahruqi885 4 года назад
USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 10 месяцев назад
Haujui sababu unalabwajika tu
@kamanda007
@kamanda007 10 месяцев назад
@@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie
@jeanboscomunyarurembo3490
@jeanboscomunyarurembo3490 3 года назад
Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania
@geoffreymwangi6627
@geoffreymwangi6627 4 года назад
Hapo sawa mko Wa-Tz.
@geoffreymwangi6627
@geoffreymwangi6627 4 года назад
Tafadhali mtupe namba ya simu Nyinyi Megapanel.
@nalotayecamara5423
@nalotayecamara5423 4 года назад
I really appreciate your video thanks u 😘 brother
@Diana-cn6cf
@Diana-cn6cf 3 года назад
Kazi nzuri... Tanzania inaweza
@yusufhassan5
@yusufhassan5 4 года назад
Old is gold ! Matofali is the best...... haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !
@jacksonmawole4029
@jacksonmawole4029 4 года назад
Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga
@khalidgugu4964
@khalidgugu4964 4 года назад
@@jacksonmawole4029 haaaaa
@yusufhassan5
@yusufhassan5 4 года назад
@@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 года назад
@@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣
@hallin9561
@hallin9561 3 года назад
Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh
@upendoirenmattoke9860
@upendoirenmattoke9860 4 года назад
Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽
@barakarobert9516
@barakarobert9516 3 года назад
Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako
@davidmagundu2285
@davidmagundu2285 4 года назад
Interesting!
@HustlaDY
@HustlaDY 3 года назад
Beautiful design
@gideon_maina
@gideon_maina 4 года назад
Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.
@picsandvidstv1348
@picsandvidstv1348 4 года назад
These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!
@robertmuiga5255
@robertmuiga5255 4 года назад
Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology
@djumoja
@djumoja 4 года назад
Build an earth home instead
@eliasnavytanga
@eliasnavytanga 2 года назад
@@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.
@mamahustru
@mamahustru 3 года назад
Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?
@samkariuki9424
@samkariuki9424 3 года назад
Mfinyanzi hulia gaeni
@mukra44
@mukra44 3 года назад
Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda
@gilbertcfc2959
@gilbertcfc2959 3 года назад
mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 года назад
Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 4 года назад
Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 4 года назад
Tecnologia nzuri
@owlbig
@owlbig 3 года назад
Nice interview ❤️🇧🇮
@hhabusinesspro
@hhabusinesspro 3 года назад
Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 3 года назад
Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah
@Watema23
@Watema23 4 года назад
Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.
@nathanjunior7694
@nathanjunior7694 4 года назад
Good video presentation
@jj4chizel
@jj4chizel 4 года назад
From 🇺🇬🇺🇬🇺🇬... Nice
@bunukhalifa7074
@bunukhalifa7074 4 года назад
Do you have a branch in Kenya
@MegaAlexison
@MegaAlexison 3 года назад
Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question
@thelistener8357
@thelistener8357 3 года назад
Wow. Nice
@xtreme-media
@xtreme-media 3 года назад
Thank you! Cheers!
@maigathomas2353
@maigathomas2353 3 года назад
Mko vizuri et
@karimhamisi4627
@karimhamisi4627 4 года назад
Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi
@mohamedmaulidi5319
@mohamedmaulidi5319 3 года назад
hahahaaas
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 года назад
🤣🤣🤣
@worldcuisine9102
@worldcuisine9102 3 года назад
😄
@fatmaali4794
@fatmaali4794 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@noelmgulusi6707
@noelmgulusi6707 4 года назад
Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi
@crissxavery2887
@crissxavery2887 3 года назад
Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.
@crissxavery2887
@crissxavery2887 3 года назад
@simply pash ...
@merymichael5513
@merymichael5513 3 года назад
Cjaelewa
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 года назад
Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you
@samniza1763
@samniza1763 3 года назад
Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.
@yohanahbyzehomba1352
@yohanahbyzehomba1352 3 года назад
Amaizing
@abdulpeter7460
@abdulpeter7460 4 года назад
God bless Tanzania
@bsrabbitfarm
@bsrabbitfarm 4 года назад
Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?
@kingj9606
@kingj9606 4 года назад
Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?
@gracenestory9384
@gracenestory9384 4 года назад
Nice or a nice 💙💙💙💙
@danielmuchi8196
@danielmuchi8196 4 года назад
Impressive
@napendamuzikiilovemusic5840
@napendamuzikiilovemusic5840 4 года назад
Nice one
@barakamponda914
@barakamponda914 4 года назад
Arusha tunakuhitaji raja namba ya simu
@maddproff
@maddproff 4 года назад
Wow !
@sudiyahya9276
@sudiyahya9276 4 года назад
Goood job
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 4 года назад
Yaaa nimekubali
@kimstvonline6411
@kimstvonline6411 4 года назад
Nilikuwa nasubiri sana hii technology
@agreyaloyce432
@agreyaloyce432 4 года назад
Information zao inakuwaje
@dulabori9922
@dulabori9922 3 года назад
Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja
@rehemaothuman3764
@rehemaothuman3764 2 дня назад
Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi
@josephshayo5493
@josephshayo5493 2 месяца назад
Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 4 года назад
Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza
@victoriamabele7671
@victoriamabele7671 4 года назад
Naomba na. ya simu kwa mawasiliano na mlipo.
@keagleeagle821
@keagleeagle821 3 года назад
Mngeweka kwenye discription box kujua tunawapata wapi
@denisjrmgulambwa1866
@denisjrmgulambwa1866 4 года назад
Je nikiasi gani hutumika kukamilisha nyumba nzima...na material yao wanauzaje? Gharama za chini ni kiasi gani kwa ujenzi wa hzo nyumba?
@jayaron218
@jayaron218 3 года назад
Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 3 года назад
Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@Catherineflorian1997
@Catherineflorian1997 3 года назад
🤣🤣
@rithersospeterkati2303
@rithersospeterkati2303 3 года назад
Mmm Amen Tanzania.
@ubahamisi431
@ubahamisi431 Месяц назад
Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?
@silasyadam8943
@silasyadam8943 4 года назад
Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?
@erickmahujilo4643
@erickmahujilo4643 4 года назад
Yea bro upo sahihi kabisa wangesema na ghalama au amakadirio ni kiasi gani
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 3 года назад
Nimekubalii wazeeubunifu mzuri
@abellmawio8694
@abellmawio8694 2 года назад
Na je interloçk zinawez3kana nà kupàtikàna?
@yohanaernest8552
@yohanaernest8552 3 года назад
Inapendeza
@joels.orinda6352
@joels.orinda6352 Год назад
Eti kwa technology hii kujenga nyumba ya vyumba 4 ni cost how much hivi
@elibarikijustine4546
@elibarikijustine4546 3 года назад
How about columns?!
@bunukhalifa7074
@bunukhalifa7074 4 года назад
Where can we find them in Kenya? Nimependa uvumbuzi wao pengine kuna nambari ya simu
@maryodrwebandiza2056
@maryodrwebandiza2056 4 года назад
Njoo Tanzania mkoa wa dar es salaam wilaya ya ilala
@BenCheck-jx9lo
@BenCheck-jx9lo 4 года назад
Naona yanfaa kwenye partitioning
@caseyjason-ws3fr
@caseyjason-ws3fr 3 года назад
Tunawapataje jamani Mbona hamna contact information Kaka yangu alikua anataka nyumba
@amourmtungo623
@amourmtungo623 3 года назад
Hizi nyumba kwa watu maskini au wenye uwezo tu? Anyway, kazi nzuri na zinapendeza kusema kweli. Hongera sana
@jumakaswelele3143
@jumakaswelele3143 4 года назад
Unafanya kazi kubwa Sana kutujuza vitu ambavyo tunavuona ila hatujuwi niwapi vyapatikana ila mzee big Sam ivyo viatuvyako mzee baba nimaalum kwaajili ya viwandani maana kila maali uwendako nikiatu ichoicho ha ha ha ha
@edwinismail9401
@edwinismail9401 2 месяца назад
sasa website yao ipo wapi
@movieindustry9253
@movieindustry9253 3 года назад
Hata jamaaa wanapatikanaje boss
@xtreme-media
@xtreme-media 3 года назад
Asante kwa kufuatilia Made in Tanzania, mawasiliano Mr. Jonathan 0653 592322. Endelea kufuatilia fursa mbali mbali kwenye #MadeinTanzani.
@mohamedzahor1957
@mohamedzahor1957 4 года назад
Tuna hitaji namba zao kwa mawasiliano zaidi
@warialangandossi
@warialangandossi 10 месяцев назад
Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante
@Youstechltd
@Youstechltd 4 года назад
tunaomba jua kwanza cost plan yake ipo na upatikanaji wa mafundi wenye uwezo wakujenga tumia hayo material nao upoje.
@mishmishy8937
@mishmishy8937 3 года назад
How much would the same 5bedroomed house cost?
@samiramohammed9758
@samiramohammed9758 2 года назад
Habari zenu naitaji namba ya simu tafadhali
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa
@confredsangija1796
@confredsangija1796 6 месяцев назад
hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone
@dominicklema1835
@dominicklema1835 Год назад
Naitaji kujua zaidi kuhusu I program
@wiljoe22
@wiljoe22 3 года назад
Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka
@zaharahasan1912
@zaharahasan1912 4 года назад
Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo
@lucasmsuluza1529
@lucasmsuluza1529 4 года назад
Inaendo vip vibration?
@noelkaaya2433
@noelkaaya2433 4 года назад
tofali bado ni bora zaidi
@Adeen.1
@Adeen.1 4 года назад
Kwa upeo wangu mdogo siwapingi wala sitaki mtu afate msimamo wangu, mie nadhani aina hii ya nyumba walianzisha wazungu au wachina sababu kubwa ni resources katika nchi zao changamoto mchanga mawe ila sababu sie kila kitu kitu mie naona ni vyema kutumia mawe na michanga yetu yunaweza kudhani ni utandawazi kumbe ndo tunajiumiza ndo yale mambo ya green house na broilers chicken
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 3 года назад
nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 4 года назад
Please naomba namba ya simu kwa sababu ya contact simba
@thelistener8357
@thelistener8357 3 года назад
Rahisi lakni hamujaongelea bei
@salmamohammedyahaya6098
@salmamohammedyahaya6098 3 года назад
Mbona hamjaweka nambazasimuu ?
@asheracuteahmedi8700
@asheracuteahmedi8700 3 года назад
Naitaji namba zao za simu mbona hamjaweka?
@calvoh9715
@calvoh9715 3 года назад
is this same as c-max panels?
@aqsaali49
@aqsaali49 3 года назад
Safi sana i hope ita fika Kenya
@afyayangutv6015
@afyayangutv6015 4 года назад
Bei gan nyumba
@omarysebastian3208
@omarysebastian3208 4 года назад
Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
🤔🤗😄😄
@calvinjoseph
@calvinjoseph 4 года назад
Me nataka kujenga nyumba kama hii
Далее
skibidi toilet 76 (full episode)
08:11
Просмотров 10 млн
iPhone 16 - НЕ СТОИТ ПРОПУСКАТЬ
4:50