Kwani ziara za makonda si niwazi zilionyesha tuna mahakama za namna Gani mi nawaombea watu wa Tanzania waamke vinginevyo itakuwa shida sana coz watanzania wako tayari kuuza utu wao Kwa kupewa chochote kile ambacho hakiwezi msaidia mtu hata ndani ya week mbili kutatuwa shida zake afu miaka mitano anaishi Kwa shida.
We told you people no palament only ccm protocol committee run national that why what call mp always follow lnstruction from gavment what to do where the cabinet of minister ccm protocol committee
Watanzania wangapi wanastahili kupewa nafasi hiyo mpaka anapewa marehemu je vipi kwa wageni kupewa teuzi mbali mbali ndani ya nchi yetu watanzania tutaamka lini kuipigania nchi yetu
HIZO PHD ZINGINE NI 'RUSHWA'....'HONGO'....'DHARAU'....AKINA MWALIMU NYERERE, KAUNDA, OBOTE, SAMORA, MANDELA, NKURUMAH, SEKOU TURE NA MARAIS WENGINE WENGI WALIZIKATAA....!
Mheshimiwa wakili msomi tafadhali ninakuomba pia uhoji mkataba wa milele kati ya dini yako na chama cha mapinduzi. tafadhali sana hoji huo mkataba ndipo watu wa dini nyingine waweze kuwaamini kama nyinyi ni watetezi wa rasilimali za nchi. Aksante.
Watanganyika tuamke tunawajengea kitu gani watoto zetu na wajukuu zetu tunangalia tu watu wachache kikundi Cha wahuni wachache wanamua kuuza urithi wetu tuliyo pewa na mungu tuko kimya some time tunawashambulia hata wale wanao tetea tusiwe vichwa vya puuzi tukataye ongera wakili msomi peter Kwa elimu hii
Wana msifia Kwa sababu magufuli alifunga koki ya wizi wa fedha za serikali aliyepo amefungua koki wanachota sisi wanainchi ndio tuko kama punda tumebeba magunia ya misumari au tozo awamu hii wajipange kutuua vinginevyo nishida
Ni kweli. Huku Arusha hilo limethibitika pasi na shaka. Sijui mikoa mingine kukoje huko.Labda mkuu wetu wa mkoa apelekwe mikoa yote akayaibue nako huko. Mungu atudaidie.
Tungekuwa na majaji angalawo ,50.tanzania taifa hili ccm mungeongoza milele. tuna majaji wa kusifia yupo jaji tanzania ambaye akiendesha kesi wanaweza wakaweka mfano kuwa jaji x aliendesha kesi fulani inayo fanana hii dunia ikasoma sisi ni wamadarasa 7. Tunafika hatua ya kudharau majaji.si mnachama chenu anaye kosea mtimuweni anawaibisha mkikaa totoro mnawekwa kundi moja.