Hakuna uchamungu kwenye uzushi kwani uzushi ni kinyume cha Sunnah, Allah awaongoze hao watu wa kuondoa kwani hawajui wanachokifanya huku wakitarajia malipo mama.
@@khadijasaidi1332 mwenye kujua ndie hukujulisha hivyo" sasa mjuaji asikujuze tena!! Utajuzwa na wasiojua iwe balaa zaidi. Hivyo wacha ujuzwe na wajuaji
Asallaam alykum warahmatullah wabarakatuh. Huu siyo uchamungu huu ni uzushi bidaa. Fuateni quraan na sunnah. Mnapoteza muda wenu kwa kuhifadhi kaswida. Na msisahau sauti ya mwamamke ni uchiii. Nimesema haya kwa kuwatakieni kheir. Zindukeni.
Kamote Ismail Kamote ...hii dini akhui haiend kwa fikra na akili zamtu...Bali kwa kur'an na sunna..hebu wape ushahd wahayo uyasemayo ili nawao wapate faida...sio kukurupuka tu nakutoa fyatua.. Mana kuna fatua na fyatua..sasa yako fyatua mana haina ushahd..mungu pekee ndio ajuae kama wanapoteza au la
Kwanini mnapenda kutanguliza maneno makali? Kwanini usimlinganie mwenzako wa maneno yakueleweka kuliko mnavyofanya hivi? Hata uislam umetuamrisha hivyo naomba tueleweshane kwa maneno mazuri ili ueleleweke sio kutengeneza chuki, Allah atuongoze kwenye kheir inshaallah
Shekhe Zuberi ndg yangu ktk imani uchamubgu unaonekana ktk matendo ya kiimani, hii ni moja ya hatua kuangalia uchamungu kuna mambo mengi zaidi kuchunguza Ili kupata mke hslisi