Singida Black Stars wameuanza msimu wa #NBCPremierleague kwa ushindi wa ugenini, wakiichapa KenGold mabao 3-1 kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya.
Magoli ya Singida yametoka kwa Emanuel Kayekeh 41', Elvis Rupia 62' na Mohamed Damaro 81' huku bao la kufutia machozi likifungwa na Joshua Ibrahim 68'.
13 сен 2024