Ukiniuliza ni mchezaj gani unataka arudi yanga nitakujibu FEI TOTO coz jamaa anajua yani ananikosha kwenye hiyo mikombora yake daah ,,,,,ila bado namkubali hata aki nda simba coz yeye ni mchezajo wang bora wa muda wote,,,God bless Feisal❤
Tatizo mpira wa Tanzania bara mumefanya mpira upo yanga na simba ndo maana anayofanya akiwa Azam hayaonekani media zote promo IPO simba na yanga, magazeti yote hapo lazima useme jina lake linakufa lakin kiwango tunakiona