Тёмный
No video :(

Magoli yote 21 ya Aziz Ki NBC Premier League 2023/24 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 162 тыс.
50% 1

NYUNDO 21 ZA AZIZ KI: Tazama magoli yote 21 yaliyofungwa na Stephane Aziz Ki kwenye NBC Premier League msimu wa 2023/24
Goli gani lilikuvutia zaidi?
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #AzizKi #Magoli #YangaSC

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 30   
@Deadskytz
@Deadskytz 2 месяца назад
Sema kama vile Wachezaji wa bongo aziz ki sio level zake anawaonea tu
@Ensirsomie
@Ensirsomie 2 месяца назад
Kenya naona tukifikia ligi y tz afta twenty yrs😢
@abusad123
@abusad123 23 дня назад
True.. tuko chini.
@Official.DS-WW
@Official.DS-WW 2 месяца назад
Kama unakubali mwamba azizi ki alikua hana mpinzani hemu gonga like tujuane wananchi💚💛💚💚
@user-sp2fq5xu6v
@user-sp2fq5xu6v 2 месяца назад
boy you deserve to be in premier league
@MohamedAbdallah-dd2dm
@MohamedAbdallah-dd2dm 19 дней назад
Aziz ki mpira mwingi sana ⚽️
@MohamedAbdallah-dd2dm
@MohamedAbdallah-dd2dm 19 дней назад
Aziz ki will deserved to play in Europ
@OctaJohn-ov9gc
@OctaJohn-ov9gc 18 дней назад
Ki Aziz master
@NomathamsanqaMyataza
@NomathamsanqaMyataza Месяц назад
Kaizer Chiefs will regret nothing about buying this boy❤
@Economically-Growth-Musicians
@Economically-Growth-Musicians 2 месяца назад
Congratulations 🎉🎉🎉🎉
@Kimweri_tz
@Kimweri_tz 2 месяца назад
The man with Master Ki
@user-rv4wm7ov3s
@user-rv4wm7ov3s 2 месяца назад
Wa kwanzaa naombeni likess za tanga❤
@Holiallen
@Holiallen 2 месяца назад
Yanga tamu
@gregory6165
@gregory6165 2 месяца назад
yanga tafadhari tutumie hili dirisha kutafuta mshambuliaji mzuri, timu yetu imepiga hatua kubwa kisoka, tukitaka kupambana vizur clab bingwa msim ujao tutafute mshambuliaji mzuri, pengo la mayele halijazibika tukubali tukatae.. Msim ulopita tungekuwa na mshambuliaji makini tulikuwa tunawatoa sundowns dar wangelala hata goli 3, tulipata nafasi nzuri ila zilipotezwa na ukosefu wa uzoefu na clinicallity ya washambuliaji
@charlesbalinda4410
@charlesbalinda4410 2 месяца назад
Ni kweli pengo lipo lakini kumbuka tulishindwa kufuzu kwenda makundi ya Kilab bingwa alikuwepo na alipata nafasi ya kucheza
@gregory6165
@gregory6165 2 месяца назад
@@charlesbalinda4410 kipindi kile tim ilikuwa haijabalance, wachezaji walikuwa wanazoeana, mifumo n.k.. Saiz tim iko vizur shida ni mshambuliaji makini
@azizambise
@azizambise 2 месяца назад
Tulienjoy sana hii game ya mwisho
@adieljoshua640
@adieljoshua640 2 месяца назад
Na bado Ki Aziz ni moto
@skrshaku7207
@skrshaku7207 2 месяца назад
The struggle was real
@GucciJackson-sw6pg
@GucciJackson-sw6pg 2 месяца назад
Man U wakimuona Azizi Ki tumekwisha 😢
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 2 месяца назад
Allaah Akbar
@MysarahMohamed
@MysarahMohamed 2 месяца назад
Kwani ligi inaanza lini?😅😅nimeimic timu yangu💛💚😊
@RaphaeliAdamu
@RaphaeliAdamu Месяц назад
Leo
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 2 месяца назад
Messi wa Bongo 🎉🎉
@TarikiMussa-w7k
@TarikiMussa-w7k 17 дней назад
Unajua
@Official.DS-WW
@Official.DS-WW 2 месяца назад
Hivi kuna timu hajaipasua 😅😅😅😅😅😅
@saidyori7007
@saidyori7007 2 месяца назад
😂 KAWAPIGA MATOBO 😅
Далее