Тёмный

Penati | Azam FC 5-6 Yanga SC | CRDB Bank Federation Cup - 02/06/2024 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 617 тыс.
50% 1

Tazama penati zote zilizopigwa kwenye mchezo wa fainali ya #crdbbankfederationcup kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.
Yanga imeshinda kwa jumla ya penati 6-5 na kutwaa kombe la Shirikisho la CRDB Benki kwa mara ya nne tangu lirejee mwaka 2015.
Waliokosa penati kwa Yanga ni Stephane Aziz Ki, Joseph Guede na Ibrahim Abdullah Bacca.
Waliokosa kwa Azam FC ni Iddy Nado, Gibril Sillah, Fuentes Mandoza na Lusajo Mwaikenda.

Спорт

Опубликовано:

 

1 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 693   
@dianasabu6156
@dianasabu6156 27 дней назад
Yanga yakunifanya mimi nipandishe joto kama mtoto mdogo...😢😢😢......I lOVE YOU YANGA💚🔰🔰
@mansuliusanga31
@mansuliusanga31 27 дней назад
Mungu ameokoa roho za zetu walai tungekufa
@queenokambo9518
@queenokambo9518 16 дней назад
Nani anaangalia tena Leo like hapa
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 28 дней назад
Ahsante fey ulitufunga midomo tumekufunga bao sisi ndio yangaaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉
@AngelDastani
@AngelDastani 27 дней назад
😂😂😂😂😂
@tumsifuvicent4108
@tumsifuvicent4108 26 дней назад
anamgogoro wa nafsi feisal
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 28 дней назад
Jamani nilikua mgonjwa ghafla kumbe nina mahaba mazito kwa timu yangu Alhmdulillah
@lwzmangulu7532
@lwzmangulu7532 28 дней назад
Aisee Leo kdg to nitoke kibanda umiz Walai mpira itakija kutuua aiseeeee naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚💚 💚🇹🇿
@davidsebastian661
@davidsebastian661 28 дней назад
Mpira ni shetani kk penda kiasi Mungu ni muhimu kuliko vitu vya Dunia😂😂😂
@AinessAmani
@AinessAmani 27 дней назад
Hahahahahaha
@delphinusdonatus3563
@delphinusdonatus3563 27 дней назад
Nilitoka baada ya penalt ya pili
@jacklinejohn552
@jacklinejohn552 27 дней назад
Ase me niliishiwa paka nguvu yanga itaniuwa
@user-kr2zi7du7y
@user-kr2zi7du7y 27 дней назад
Kwaiyo ulienda kushangilia nyumbani​@@delphinusdonatus3563
@YNation255
@YNation255 28 дней назад
LEO NDO NIMEJUA KUMBE NINA PRESHA 😢😢😢😢
@EmmanuelMachunte
@EmmanuelMachunte 28 дней назад
😂😂😂😂😂
@ReemaMajan-pq9gu
@ReemaMajan-pq9gu 28 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@LaurentMichael-un5pl
@LaurentMichael-un5pl 28 дней назад
🎉🎉🎉🎉🎉
@idiidi-rq5gk
@idiidi-rq5gk 28 дней назад
Ata mm k gwed walivyo Lisa nilienda nyumban
@EltonJohn-lh5ur
@EltonJohn-lh5ur 28 дней назад
😂😂😂😂
@cutemamuu
@cutemamuu 28 дней назад
We yanga we tokea nizaliwe sijawahi shikwa na plesha yanga mtaniuwa mm🥰🥰🥰🥰🥰💚💚💚💚💚
@ngabonzizadonath3638
@ngabonzizadonath3638 27 дней назад
Aprfc
@Manywele.Maluja
@Manywele.Maluja 28 дней назад
Muda wa penalti nimekojoa kama mara saba sijaelewa shida ni nini jamani huu mpira jamani duh.Namshukuru mungu nimelala vizuri love yangaaaa
@NkathaJuma
@NkathaJuma 27 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kipima sukari yanga
@lepa3tv832
@lepa3tv832 27 дней назад
hapana ni woga tu so presha ilikuwa juu ila jizuie hata mm nilikuwa kama wewe yanga ikicheza ntakojoa mpaka ila saizi akuuu nikasema nisije kufa kwa presha buure, sasa hata yanga ikifungwa mm wala siumii. jitahidi kuchukulia kama sehemu ya starehe usije ukaumia
@shayneee-hi9yw
@shayneee-hi9yw 27 дней назад
​@@lepa3tv832kwakwel mi mwenyewe nilikuwaga kawaida tu yanga ikicheza lakin saiv ikiwa inacheza mech kubwa za maamuz nakuwa na presha sana kama jana nusu moyo utoke. Nimeamua kujiambia sasa inabid niwe na kiasi cha kushangilia au niwe kama zamani mana nitakuja kufa
@esterkessy6940
@esterkessy6940 27 дней назад
Mshukuru mungu kama unakojoa hiyo ndiyo salama yako maana huyo ni presh
@user-cq2lt6ho5w
@user-cq2lt6ho5w 27 дней назад
Hahhhhh
@Happizo
@Happizo 27 дней назад
Nani mwingine kalia Kama mimi😢😢...likes za Yanga wapiii
@habarinamichezo6427
@habarinamichezo6427 27 дней назад
Ukute mechi ya jana iliandikwa ashinde Azam shida ikaja pale kwa kijana kunyamazisha Wakubwa nazani malaika wa nidhamu akaone abadilishe matokeo.
@LuthFuraha-rt2ps
@LuthFuraha-rt2ps 27 дней назад
😂😂 mecheka Kwa nguvu
@SuleimanRobert
@SuleimanRobert 28 дней назад
Hawa yanga Leo wamenifurahisha sana kutoka nyuma ya penat za hao mbwa ❤ kumbe tunaweza mpaka kombe la dunia
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 27 дней назад
Hao mnowaita mbwa wamewatoa kamasi nafikiria wengine wangelazwa ICU
@SuleimanRobert
@SuleimanRobert 27 дней назад
@@rahmaabdallah4514 kwani wao ndo wamechukua ubingwa n huyo feisal Aache dharau bad mtoto ambaye kalelewa na yanga
@agapemahenge7731
@agapemahenge7731 28 дней назад
Yan leo ndo nimemuheshimu mwalimu wangu wa kiswahili aliyenifundisha methali "kutangulia sio kufika" 😂
@rahimhamisi5298
@rahimhamisi5298 27 дней назад
😂😂😂😂kbsa
@Maryc2G
@Maryc2G 27 дней назад
Azami ni team nzuri na goal keeper wao pia. Hongera yanga
@RopesPol
@RopesPol 27 дней назад
Nakupenda diara tena Nakupenda sana
@kolosii4351
@kolosii4351 24 дня назад
Asante pacome, ulirudisha matumaini mapya.
@BimamuosmanOsman
@BimamuosmanOsman 28 дней назад
Hongera Sana yanga..mbona nilikuwa tu na presha mimi wallai Allah amenijibu duwa yangu..mimi ni Kenya natizama mpira nikiwa Qatar l enjoy the ball mashaallah.
@peternassari7634
@peternassari7634 28 дней назад
❤❤ 🇰🇪 🇹🇿
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 27 дней назад
Wewe ni Yanga pia
@BimamuosmanOsman
@BimamuosmanOsman 27 дней назад
@godwinkileo7702 mimi ni yanga damu kabisa kweli wallai naipenda yanga Africa club. Diyo iko kwa damu sio utani...my late father he is the best football player in Kenya.. his name Ali kajo.
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 27 дней назад
Safi sana mtoto wa Ally Kajo
@SubiraSubira-mb7br
@SubiraSubira-mb7br 25 дней назад
Hamn lolot
@Maryc2G
@Maryc2G 27 дней назад
Proffessor pacome z. Good job 💚🇹🇿. Yawakwasa
@nelicekelly6289
@nelicekelly6289 28 дней назад
Aisee Kaz ilikuwa ngumu jmn duuuuu,hongereni sana yanga an proud of you,japo penat zenu hazikuwa na raha
@MinhatAbdala
@MinhatAbdala 27 дней назад
Naaazaje kwa mfano kuhama yanga yani nainjoi sana jamn ilove yanga mwaaaaaa
@user-ox4ox9jm8j
@user-ox4ox9jm8j 20 дней назад
Aucho kaka big up kwako utawauwa
@BimamuosmanOsman
@BimamuosmanOsman 28 дней назад
Alhamdulilahi nashukuru Alllah time language ya yanga imechukuwa ubigwa wa finali..yanga Afican club l love all the player keep it up.Nawapenda bureeèe....
@LysonMshan-kf7rg
@LysonMshan-kf7rg 27 дней назад
sioo weee2
@amriiddy1972
@amriiddy1972 28 дней назад
Kama auna D2 uwez ielewa Yanga Africa 💚💚💛
@MgetabarakaBukori
@MgetabarakaBukori 28 дней назад
Mie wa kwanza leo like zang kwa diaraa
@ALCADOJAMES
@ALCADOJAMES 28 дней назад
Wakati penality zinapigwa Mimi tayali nimefariki Kwa mda nimefufuliwa na raia wema😅😅😅😅
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 27 дней назад
😂😂😂😂😂😂
@rosierajabu2280
@rosierajabu2280 26 дней назад
😂😂😂😂mimi mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda mbio huku nasali sala zote
@elizabethmtwale2719
@elizabethmtwale2719 25 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@IbrahimHassan-yc2nk
@IbrahimHassan-yc2nk 20 дней назад
congraduration my beloved team young africans I love you forever❤
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g 28 дней назад
Maajabu kweli leo mkude kawamkomboz wayanga🎉🎉🎉
@Fgldesigns
@Fgldesigns 28 дней назад
Kila mchezaji ana mchango wake ndomaana wanaingia wachezaji 11 kila timu
@vickhongole6611
@vickhongole6611 27 дней назад
Hata kwa mamelod alitubeba sana tu
@user-ox4ox9jm8j
@user-ox4ox9jm8j 20 дней назад
Mkude nungu nungu master uko vizur kaka
@thisisfrancis689
@thisisfrancis689 28 дней назад
Aisee leo Nimepata Presha zile Kosa mbili za Yanga za Mwanzo. Aisee Penati 2 tukakosa nimetaka kufa kwa presha.
@hamisasaid3286
@hamisasaid3286 28 дней назад
Hadi rahaaaa, yanga bingwa wa ligi mara tatu mfululizo, bingwa wa Shirikisho mara tatu mfululizo pia kamfunga Azamu kwenye fainali tatu yani Ni hatrick TU kila sehemu
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 27 дней назад
Daaah Diara amenifanya nimkumbuke the true legendary peter manyika dhidi ya sport villa ya Uganda💚💛💚💛💚💛💚💚💛💚💛💚💛💚
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 24 дня назад
Feisal: tukibeba kombe mtanijua Yanga fans: Yanga bingwaaaa❤❤❤❤
@luwanda03
@luwanda03 28 дней назад
Kipa wa Yanga ndiye mwenye furaha kuliko wote..... Duuuhh...mpira hatari sana... Unakupa furaha kuliko kitu chochote aise💛💛💛💛💛😘😘😘😘😘😝😝😝😝😚
@user-ut7ei2le4y
@user-ut7ei2le4y 26 дней назад
❤❤❤
@meddytoto93
@meddytoto93 22 дня назад
Kumbe presha ndio ilivyo hivi😢😢😢
@albertvalentino130
@albertvalentino130 25 дней назад
Ni kweli BARAKA MPENJA ,siku zote mototo mdogo halali na pesa,ukimsachi kwenye pampas zake,utakutana na " inya au nyea "
@JaccobRobert
@JaccobRobert 28 дней назад
Fantastic yanga tamu xanaa wengine wanaiga tu
@Maryc2G
@Maryc2G 25 дней назад
Yanga ninawapenda nilikuwa na masikitiko mwanzoni ila mliinua matumaini na kushinda.
@Munyama675
@Munyama675 24 дня назад
😂😂😂😂😂 Hashim Ibwe alidhani washachukua Kombe alipoona Yanga wamekosa Penalt 2 za kwanza.
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 27 дней назад
Kwa mara ya kwqnzaa naona diara akilia na kushangliaa ushindii kwa nguvuu zotee❤❤❤😢
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 27 дней назад
Hakutrgemea kabsa timu yake imekosa penat mbili za mapema
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 25 дней назад
Leo nd nmegungua Mkude ndo alitupa ushindi maan penalty yake ya mwisho alifunga nado akakosa😂😂😂😂 YaNGa 💚 oyeeee
@user-ox4ox9jm8j
@user-ox4ox9jm8j 20 дней назад
Nyie azam hamuwez mziki huuuuuuuuu😢😢
@mashakalonka7767
@mashakalonka7767 27 дней назад
But all in all both teams deserve to play African champions league cup,they have shown us the best!.
@dorcaskimati547
@dorcaskimati547 28 дней назад
Mungu wa yanga ni mungu kweli..kweli haijaisha mbaka iishe
@bonifacekasanga569
@bonifacekasanga569 28 дней назад
🎉🎉🎉🎉
@annayambayamba8614
@annayambayamba8614 27 дней назад
Huuu ulikuwa uchawi tu❤❤❤❤🎉🎉🎉 ongera saaan yanga
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 27 дней назад
Kbsa😅😅
@moreenbless-vr7oy
@moreenbless-vr7oy 28 дней назад
Imenibid niamke kuangalia Nan alikua mshind maana nililala aiseeeh yanga wanajali fulaha za mashabiki 👏👏👏🎉🎉
@francepaul7711
@francepaul7711 28 дней назад
SHIKAMOO MPIRA🙌🙌🙌🙌
@nicholausmsangi
@nicholausmsangi 28 дней назад
hii ndio mechi moja borq sana kwenye msimu huu
@shayneee-hi9yw
@shayneee-hi9yw 27 дней назад
Umesahau na nusu fainal sis na ihefu
@nicholausmsangi
@nicholausmsangi 25 дней назад
@@shayneee-hi9yw hii ilikuwa night of miracles hii mechi ilikua ni kivumbi na jasho
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 27 дней назад
Number oneon trending❤❤❤❤ wallahi Yanga ni Nouwmaaaa❤❤❤❤
@suzanakabatano6581
@suzanakabatano6581 17 дней назад
Hii siku ningekufa mimi jmani sio kwa mapenzi haya kwa timu yangu😢😢😢😢😢
@elizerbethmichael2435
@elizerbethmichael2435 27 дней назад
Daaaah hii mechi ckumaliza penat yaaan alipokosa Aziz na Guede nikazima redio nikajua tayar bye bye kumbe haiishi mpk iishe Ahsantee MUNGU yaan me wa kuvizia matokeo kwa group 😂😂😂
@richardnganya2311
@richardnganya2311 28 дней назад
Nyodo za Feisal zimejibiwa chap
@Samwellaizer782
@Samwellaizer782 27 дней назад
Thanks Young African 💚💚💚💚
@user-cl1ut6oq1v
@user-cl1ut6oq1v 28 дней назад
Feitoto kuwa na adabu vinginevyo utateseka sanaaaa😅
@francissaka9713
@francissaka9713 28 дней назад
😂😂amuulize kibu uwii 😮
@JamalKanani
@JamalKanani 27 дней назад
We mungu ndo unapanga riziki yake?
@PeterArron-qc1bx
@PeterArron-qc1bx 27 дней назад
Feitoto kuwa na adabu vingine utaendelea kulia2 Hiiiiiihiiiii
@hasanimohamedi279
@hasanimohamedi279 27 дней назад
na atateseka saaan😂😂😂
@jkuser7593
@jkuser7593 27 дней назад
Sanaaaa
@MateshoKhamis
@MateshoKhamis 27 дней назад
Asanten wan yanga mung akubarukin❤
@b.warron4631
@b.warron4631 28 дней назад
Hicho kidole ulichoonyesha nyamazeni Feisal ndio kimewaponzaaa
@aidanselywen9644
@aidanselywen9644 27 дней назад
Kumbe alikuwa anajinyamazisha mwenyewe 😁😁😁😁😁😁nyamaza 🙆🙆🙆
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 27 дней назад
Sijawah kurudia penat highlight zaid ya mara moja zaid ya hii mechi.
@SylvesterSafari-nf4fy
@SylvesterSafari-nf4fy 28 дней назад
Viongozi ningeomba bacca aachane na mambo ya penalty
@eliasmaguru9632
@eliasmaguru9632 27 дней назад
sijui kwa nn Huwa wanampa apige wakti tunajua fika hawezi funga penati basi hata ile kumpa golikipa akaudaka
@user-cs7wp9bz1h
@user-cs7wp9bz1h 27 дней назад
Wachezaji wengi wanaogopa kupiga penalty sa unafikili itakuaje😢😢
@JuliasChikukura
@JuliasChikukura 28 дней назад
Zaka za kazi wewe ni mtoto mdogo sana Kwa Yanga African sports club
@mariammussa9063
@mariammussa9063 27 дней назад
Yanga safi Sanaa 💛💛💚💚
@Alexismadimo
@Alexismadimo 28 дней назад
Kipre jr kamchangany Mungu kasali ki kikristo na kiislam juu
@abubakaliyahaya2968
@abubakaliyahaya2968 28 дней назад
Duuuuuuu
@Zubaiba
@Zubaiba 28 дней назад
Hatari
@EvelynPhilimon-zz3ox
@EvelynPhilimon-zz3ox 28 дней назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
@Mkoi_255
@Mkoi_255 27 дней назад
Sikumuelewa au wakristo wanasujudu😅
@bone102
@bone102 27 дней назад
Wakristo wanasujudu ndio nenda youtube andika orthodox​@@Mkoi_255
@benjaminnanaadjekum9092
@benjaminnanaadjekum9092 28 дней назад
YANGA went through Hell That makes the happiness unthinkable, congratulations 🎉🇬🇭🇬🇭🇬🇭 Hey Simba, were you watching that??
@user-ux3jj1er3e
@user-ux3jj1er3e 28 дней назад
Nusu nifariki😂 aisee love you yanga
@jacksonjackson4532
@jacksonjackson4532 28 дней назад
🤣🤣🤣🤣😅😅😅
@salimmalaka256
@salimmalaka256 28 дней назад
KUFA TU
@DavidMido
@DavidMido 27 дней назад
Yaan ashim ibwe akabinua na mdomo kwa majivuno akiamni shugur imeisha
@Swaummbonde-kp9uh
@Swaummbonde-kp9uh 28 дней назад
Yanga yangu jamn leo ndio nmegundua nina presha😂😊💛💚💛💚🙌
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 28 дней назад
Muone Daktari dada yangu Pile
@hawajohn749
@hawajohn749 28 дней назад
Acha tu yaani mpira unauma jamani
@candymruma352
@candymruma352 28 дней назад
Mm ndositaki shida nilizma tv badae nilipwasha😄😄😄😄
@ReemaMajan-pq9gu
@ReemaMajan-pq9gu 28 дней назад
😂😂😂😂😂😂
@Shongonilekerere-br5ps
@Shongonilekerere-br5ps 28 дней назад
😂😂😂😂😂😂 moyo ❤️❤️ imekudunda ,????
@user-eh5il7pw2f
@user-eh5il7pw2f 27 дней назад
Idd nado ni mrangi wa Kondoa jirani yangu kabisa aliposhika mpira nikaongea kirangi ili akose na akakosa 😅😅😅😅😅😅
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 27 дней назад
Ila bacca mungu anamuona😂😂😂😂
@samsonyuves7923
@samsonyuves7923 28 дней назад
Hii ni laana kwa Feisal mwambieni mashoga zake kolo mkubwa huwa hanyamazishwi❤❤ yanga
@Garrinchael
@Garrinchael 28 дней назад
chuki hazijengi boya ww kivyovyote vile Fei anajuw ball, punda wa muembe makumbi ww 🤫🤫🤫
@HaniiKim
@HaniiKim 27 дней назад
​@@Garrinchael sasa kwann akitufunga anatuziba mdomo na yy aache chuki laah ataendelea kuteseka 😂
@petermanala6138
@petermanala6138 27 дней назад
Mkubwa hakombi mboga😂😂😂😂😂😂
@Garrinchael
@Garrinchael 27 дней назад
​@@HaniiKimKwaiy kisa kachez yanga ndyo sababu y kuw asiwafumb midomo au 😆 my friend umenishinda kw Kila kity 😅 🙌🙌🙌
@MysarahMohamed
@MysarahMohamed 27 дней назад
Hivi kwanin hili kombe linatuhenyesha hivi tuhare weee mwisho tunashinda nadhani mnakumbuka ile ya 3-3 tukaenda matuta🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@SaidyWahaby
@SaidyWahaby 27 дней назад
Alooh yanga watupe kongole ani🎉🎉🎉
@Maryc2G
@Maryc2G 27 дней назад
Aucho juuu sana 💚
@denisshimela169
@denisshimela169 28 дней назад
Feisal ndoo amewagharim unatunyamazisha sisi tumekuonyesha mtoto halali na viatu
@Maryc2G
@Maryc2G 28 дней назад
Moyo ulikuwa unaenda mbio wakati wa penati. Yanga asante sana 🇹🇿🇹🇿💚💚🌼🌼
@christophergervas1409
@christophergervas1409 27 дней назад
Kuna watu kila siku utawasikia mm wakwanza nipeni like😂😂😂 yan sijui kwann
@hawamasanje9589
@hawamasanje9589 27 дней назад
Azizi Ki usijali Mungu yu mwema kuna siku utakuja kupata Penati sisi Yanga hao tunakuombea
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 28 дней назад
Nimeamin Kila binadamu anayepumua hapa Dunian ana presha kha!
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 28 дней назад
At all, the best match ever to watch katika mwaka huu nadhani.
@kolosii4351
@kolosii4351 26 дней назад
Mchezo ulikuwa mzuri sana mwanzo mwisho.
@Last...born28
@Last...born28 20 дней назад
kweli hii ilikuwa fainal ya kibabe mpk inashika nmb 2 trending 😮😮😮
@salmagodfrey4043
@salmagodfrey4043 28 дней назад
Yanga tamuuuu asikwambie mtu ututuuu yanga tamuuuu 💚💚💚💛💛💛💛🖐️
@steyllahzacharia5588
@steyllahzacharia5588 28 дней назад
Nyieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ZANZIBAR ya kijani ahsante MKUNDE a🎉🎉🎉
@emmanuelngosek8270
@emmanuelngosek8270 27 дней назад
Yanga kukosa penati mbili za kwanza, mie nikaenda kulala. Kumbe kila mtu ana presha ni kwamba tu tumetofautiana. Hongera sana Yangaaaaaaaaaaa❤❤❤❤
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 27 дней назад
Ni kweli kabisa
@SophiaChmpaya
@SophiaChmpaya 27 дней назад
Nilizima TV kwaza nikarudi penat ya 5
@user-wl8qm2yj2c
@user-wl8qm2yj2c 26 дней назад
Ila fei 😂
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 28 дней назад
Wachezaji wa Azam ni imara na wabora zaidi uwanjani na katika penati ila ukweli ni kua huu ni wakati wa yanga.Bahati ipo kwao.
@udizungwahimalaya5213
@udizungwahimalaya5213 27 дней назад
Alipoenda bakery nondo mwaminyeto sikuamini kilichotokea
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g 28 дней назад
Mtoto halali napesa🎉🎉🎉
@user-vo7yp5gj7x
@user-vo7yp5gj7x 27 дней назад
Yani hawa azam kwa team hii, ndo wataweza kweli Club bingwa Africa 😢
@filbertntibasiga8093
@filbertntibasiga8093 28 дней назад
Yanga hatukosei kusajili mkunde angeanzia yanga kitambo tungekuwa na kombe la africa
@mzakirumzamiru5125
@mzakirumzamiru5125 28 дней назад
Sina maneno mengi wana yanga gather here by replying🍏💚💚
@nyategamichael
@nyategamichael 28 дней назад
Ni usiku wa kutisha mno, Ndo maana Mimi sitaki kuamini kwenye mpira wa miguu
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 28 дней назад
Usiku wa kutisha mno nisiku ya kwanza kaburini ndugu achana na mpira
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 28 дней назад
Ahahaha
@nuruelmada2877
@nuruelmada2877 28 дней назад
Me Leo nimejua kua Mungu Yupo make siyo kwa pressure nilivyokua nayo ilikua ya hatarii😂
@Shebbytvs
@Shebbytvs 27 дней назад
Huyu Ibrahim Bacca jaman hata kama tunampenda asiwe anapiga penati ATAKUJA KUTUUA😢😢😢
@Hope-ok9dy
@Hope-ok9dy 27 дней назад
Mimi sijui ni yakushuka au yakupanda maana kuna muda moyo ulisimama presha ilifika 6000😂😂
@kassimourio6879
@kassimourio6879 25 дней назад
Kama ulikuwa unaangalia kwa makini kipa mustapha alikuwa anahama line kabla ya kupigwa mpira
@zaudahalisi2241
@zaudahalisi2241 27 дней назад
Ila penalty ya baka mpk saivi nacheka 😂😂
@hirizonetz9558
@hirizonetz9558 26 дней назад
Huyu golikipa wa Azam alikuwa anawahi kutoka kwenye mstari kabla mpira haujapigwa
@abubakaliyahaya2968
@abubakaliyahaya2968 28 дней назад
Azam wameonyesha upinzan mzury
@user-ux3jj1er3e
@user-ux3jj1er3e 28 дней назад
ila Koplo backa kapiga mbinguni kbs n alivoanza mbal kam anajua vile😂
@thepilot2530
@thepilot2530 28 дней назад
Koplo asipige tenaa😂
@user-ux3jj1er3e
@user-ux3jj1er3e 27 дней назад
​@@thepilot2530for sure asipige milele😂😂
@StephenMundi-hv1lv
@StephenMundi-hv1lv 27 дней назад
Baka ni beki mzuri ila kupiga penat hewa😂😂
@MeshackmarwaKihengu-in3sn
@MeshackmarwaKihengu-in3sn 27 дней назад
Nimeteseka kwenye mchezo huu bas nikama nilkiwa nimebeba tani mbili kichwani jamani daah!
@aproniamasatu5810
@aproniamasatu5810 28 дней назад
nimefurahi kuona mkude ana kiwasha
@sadrazungwe9564
@sadrazungwe9564 27 дней назад
Sio Kwa pressure hii
Далее
Как выжить на 1000 рублей?
13:01
Просмотров 685 тыс.
NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE  STEVE MWEUSI
14:04
O'ZBEKGA SAKRASHNI OQIBATI
1:00
Просмотров 2,7 млн
Парень ловко придумал😂
0:27
Просмотров 1,4 млн
Наби Набиев БОЕЦ UFC? #shorts
0:33
Просмотров 388 тыс.