Hongera sana manyanya kwa mahojiano mazuri na Askofu mteule Geofrey mwakihaba.. Ahsante pia kwa jitihada kuhakikisha unatuletea tarifa zilizo kamili...hakika Mungu aendelee kukuinua Zaid na zaid
Ugomvi mwingi kwenye Dayosisi zetu unaletwa na hii michakato ya uchaguzi wa Askofu. Chaguzi hizi zinaleta ugomvi, uhasama na chuki na kujeruhi nafsi za wachungaji wengi. Ugomvi huo huendelea hata baada ya uchaguzi na kwa mimi ninavyoona huko Konde, mgogoro huu ni matokeo ya uchaguzi wa Askofu. Hili la kuhamisha makao makuu lifanyika kama njia tu ya kupitia, chanzo ni uchaguzi uliofanyika miaka ya nyuma