Тёмный

MAIMAI KUPAMBANA NA M23 : JE? SEREKALI YA CONGO IMEKUBALI? NINI KINAENDELEA RUTSHURU KWASASA? 

AC COMPANY TV UVIRA-FIZI DRC
Подписаться 39 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

USIKOSE KUWA NAFATILIYA AC COMPANY TV KILA WAKATI ILI KUKULETEA HABARI ZENYE UAKIKA

Опубликовано:

 

17 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@saidibaraka931
@saidibaraka931 Год назад
from 🇨🇩congo fizi m'bembe m'bondo
@jacobletema3681
@jacobletema3681 Год назад
Austeri Malivika asante kwa kazi nzuri, sasa upumzike ule fedha yako kazi hiyo ni ya hatari sana
@congoleseyouthnetworkc.y.n1803
Ni kweli tunapiganiya Congo na vita tunayo ni Rwanda na Uganda. We must enter Rwanda
@chachawambura4030
@chachawambura4030 Год назад
Vita haiwezi kuisha Congo kwa sababu inavyoonekana baadhi ya wakuu wa jeshi la Congo wananufaika na hivi vita (They benefit from that war). Sasa wakisitisha mapigano hawawezi kuchuma mali wanazochuma sasa. Wape MaiMai waingie kazini uone moto. Congo government cant stop that war. Natizama toka TANZANIA
@assadelphinstephano
@assadelphinstephano Год назад
Mutoke pâle bashezi sheria ngani muta tuletea kwetu Congo? Maimai ni jeshi yetu nayo iungane n'a jeshi yetu ya inchi ipingane n'a andui kutoka Rwanda 🇨🇩💪💪💪
@saidisaidi5344
@saidisaidi5344 Год назад
Anae kupiga mpige wewe congo ingieni Rwanda hapo vita vitakwisha acheni kuwasikiliza hao weupe wazungu
@maselemasele5959
@maselemasele5959 Год назад
AC channel kiswahili ni.habali kamili kila siku Toka Congo nk asanteni Sana ac
@michaelkeresungura1203
@michaelkeresungura1203 Год назад
Kwanini hao raiya wa kitusi hawaandamani pamoja na wengine? Ila wajitenga na kuwa na wasiwasi?
@saidibaraka931
@saidibaraka931 Год назад
Congo akuna kabila ambalo lina itwa wanyamulenge mtusi akuna kabisa mtu ambaye ana jihita mnyamulenge mtusi kwao ni rwanda warudi kwao rwanda wapumbavu hao mbona sisi wacongmani tupo Tanzania atuja jihita watanzania pia wengine wapo kenya pia na sehemu zingine warudi kwao mucongo akuna kabila ambalo lina itwa wanyamulenge mtusi akuna kabisa warudi kwao rwanda
@wimanamaniteze2801
@wimanamaniteze2801 Год назад
M23 kamawanasema niwakongomani kwanini hawaache mapigano? Nauliza munijibu.
@jeremiatshiunza8845
@jeremiatshiunza8845 Год назад
Wewe ni mjika nie sio wa Congo
@rizikivincent5255
@rizikivincent5255 Год назад
Wazungu panda puliza maana wanapenda kila mara wamajimaji wawe wanaojiwa ili kuwateka mawazo yao nao
@j.bjacobbasubi2187
@j.bjacobbasubi2187 Год назад
Niwakati sasa wa mai mai kukamata silah niwakati sahihi kabisa mai mai ingiyeni jeshini sasa ili muka ilinde inchi
@jeaninezanika2333
@jeaninezanika2333 Год назад
M23 courangee mingi sana Mungu bele yenyu Batoto ya haki ya Mungu
@mundelejudith3940
@mundelejudith3940 Год назад
Musenge wewe wa mayi bobo mutakufa meno inje wa masikini tuwa choma tena musenge
@wimanamaniteze2801
@wimanamaniteze2801 Год назад
Nauliza M23 wamekubali kuacha eneozote ambazo wamekuwa wamekamata
@saidibaraka931
@saidibaraka931 Год назад
ila diplomasia gani ambayo itatumika kati wanyarwanda wame famia inchi yetu congo kama niku kaha kwenye meza yama zungumuzo wamesha hongea sana b.b.c kiswahili imetangaza kwamba waasi wa m23 wame igabizi serikali ya congo sehemu zote ambazo ili kuwa imekamata sasa tena mbona vita ni pale pale kati wali kaha kwenye meza ya mazungumzo cha msingi tu nikupigania inchi uchinga waku sema diplomasia gani ambayo itatumika kati wanyarwanda wame famia inchi yetu congo
@mihigonyagahigi8017
@mihigonyagahigi8017 Год назад
Gongo muwachaubabuzi wamakabila watusi wameigiza uchoganishiwakikabilakusundiwakamatekongo mukumbuke wakatiyamombutu kwanini hamuone bali
@elishalugano5679
@elishalugano5679 Год назад
Akuna raia mtusi my Congo akuna .wa rwanda wa rudi kwao
@j.bjacobbasubi2187
@j.bjacobbasubi2187 Год назад
Sasa wale watusi siwa rudi kwawoo ama waitike ku nyenyekea
@justinklins335
@justinklins335 Год назад
wa congo Mani wakati wa mutebusi mbana kabila hakulomba njeshi Kenya Uganda munusuko njeshi la congo lilipigana mutebusi alokimbiya Rwanda acha njeshila congo lipigane
@justinklins335
@justinklins335 Год назад
musiwaze ruto alikuya leta amani alikuyabe pesa za wa asikari wake wenye wako goma asikari mumoja munakuwa makutagapi Felix ambiye raiya njeshi lake mushahara mwana njeshi wakenya na congo kama watalingane
@nzeyimanaambari9754
@nzeyimanaambari9754 Год назад
Mona hampatikani mara kwamara
@rizikivincent5255
@rizikivincent5255 Год назад
Lakini wakongomani wanasoma lakini elimu aikai kichwani watu wanapitia mateso ya kuuliwa na watu wanaowaona majirani wa karibu tu lakini wao kila mara wanasema Sema tu mitandaoni kuwapa maadui zao njia na maarifa hacha kabisa wawambie hivyo ni kweli wanyarwanda wanapoona wamelemewa na mambo wanakimbilia kusema heti wafanye meza ya mazungumuzo na wakongomani wanaregea kumbe wenzao tena wanajipanga sawasawa na kujiandaa acheni ujinga wacongomani mujiokowe na mkomboe inchi msijali mashauri ya kutoka nje tazameni jinsi ya kutaka kujipatia amani na usalama kwauo mpango ulioko kwamba wakishawatawala naiyo sheria ya kwamba anaposikizana akutakuwa mtu kutoa kauli yakusema heti mgeni atakaye bainika atachukuliwa atuwa wacongomani juweni nanyi imekula kwenu ndo mtamalizika kimya kimya na hivyo munakuwa watumwa muinchi yenu musikubali mazungumuzo kataeni kabisa
@nyotaramadhani66
@nyotaramadhani66 Год назад
Akunaraiya munyarwanda mucongo.
@assadelphinstephano
@assadelphinstephano Год назад
Toka pâle we Yuma kama kagame
@robertamsini1256
@robertamsini1256 Год назад
@@assadelphinstephano unaandika nini
Далее
Eminem НА РУССКОМ💔
00:30
Просмотров 365 тыс.
moto tag - AirTag для Android
00:47
Просмотров 428 тыс.
Eminem НА РУССКОМ💔
00:30
Просмотров 365 тыс.