❤Mashallah Allah azidi kukupa ilimu ili utuelimishe na uwafunze wenye kupotosha watu. Allah akulipe khery Dr Muhammad bachu. Yni Leo umetumia ilimu na hekma kubwa sana ktk majibu ulomjibu uyo sheikh Allah akuhifadhi❤
Mimi KUANZIA Leo WATOTO WANGU hawataenda kwenye maulidi am a NDIO haya unayoyasema MTUME uwa anakuja kwenye maulidi !!! Sasa mbona hawayaweki bayana haya unayoyaaema.ALLAH ATUNUSURU.
Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad bachu Allah akuhifadh na akubariki sana. Ukweli mtupu ulio sema . Makhurafi hawana hoja bali bid'ah na ujuaji mwingi tu. Allah atuongoze na atuepushe na watu madhalim .
Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo.
Jamani huyu kijana anaonekana anauelewa mdogo maskini lakini ajiona amepatia kweli na inaonekana watu wengi wanaokomenti wako hivyohivyo shekh uthaimini kwahapa amezungumzia ibada ya hija kule maka yatekelezwa kwa kuzingatia mwezi wa maka ima fatwa ya funga ya arafa ameitanguliza
Sheikh shukran sana Allah akubariki kwa kila Kheyr.Lkn Sheikh ningeomba kufahamishwa kitu cz mm c kusoma lkn kuna Mengine hayahitajii usomi.kuuliza Swali langu ni hilii Kabla hakujaingia Mitandao Mababu zetu waliifaidi Vipi hii Funga ya Arafaa kabla ya mitandao kuwepo chengine Fat'wa ya Said Hassan na yako zote zipo kwa hiyo Majmuul fatawa ya Sheikh Swaleh RahimahuLlahu Sasa tuelewe vipii huoni km huo ni mgonganoo Shukran sana
Hapo ndo ujuwe pia uwahabi ni chombo cha kuwapeleka watu motoni. Kumbe ramadhani shekh wao kasema wafate kwenye mji walo kuwemo ndani ila wafuasi hawajiulizi wanakazi ya kuwatukana masufi mtachelewa sana minyoo ya saudia.
DR ALI JUMUAH SIO MWANACHUONI WAKISHAFII NDIO MAANA HAKUTOWA FATWA KUTEGEMEA MADH'HAB YA AL IMAAM SHAAFI3YY KWA HIVYO HATUMTEGEMEI KATIKA SWAUM YA ARAFA HATA KAMA NI WETU WA TWARIQA ... SI NYINYI PIA MUMEMUWACHA MKONO IBNU UTHEYMIIN KATIKA MUANDAMO WA RAMADHANI !!!!! KIELEWEKE..
A.alaykum sheikh bachu,ndg yangu pole sana,wote nyingi mnatngaza na kujifurahia makundi yenu tu(madhehebu)kama unavokariri bila haya ati wewe ni muwahabi!! Hebu tuirejee 22:78 kisha 3:103,105 na 30:32 halafu utufafanulie umeyaelewaje na ulinganishe na maneno yako uliyoyatamka ktk mada ya arafa,tafadhali tuifuate qurani ndg zanguni.
Wewe ndo Bado sana shehe zenu wanatumia sana uongo kama anamfatilia bin uthaymeen kwanin asione hayo maneno hapo kuhusu hija na ayanukuu tofaut na maneno yanayohusu ramadhan? Shehe bacho kumuomba vizur tu Kwa heshima kwamba akasome tena hiyo miatar Wala hamna tusi hapo
Umejichanganya sana bachu Acha nikusaidie hyo fatwa ulotoa ww HAPO IBNI UTHAEMEEN ANAKATAZA MAKKA KUFUATA MIANDAMO YA NCHI NYENGINE YAAANI MAKKA ITAZAME TU MUANDAMO WA SAUDIA ILA SIO PENGINE leo bachu nimeona kumbe wasoma sana ila huelewi ulichosoma Na NDIO MAANA MAKKA HAWAFUATI MUANDAMO POPOTE DUNIANI
Halafu kwa makusudi baada tu ya kusoma hicho kipengele badala ya kutafakari kwa kina majibu ya sheikh Uthymin anakurupukia kwenye mada zingine, hii ni dalili ya mtu mdanganyifu!
SHEKH BACHU NUKUU VIZUR ALOYASEMA SHEKH MIMI BINAFSI SJASKIA KAMA KASEMA ANAMFATILIA SANA ANAMSOMA SANA LAA KASEMA ALIPOENDA ARAFA KAKAA KWENYE DARSA YAKE MPAKA IKAMALIZA NA AKAENDA KUMSALMIA
Nyie ndo vichwa mboga waambien mashehe zenu waache uongo huyo shehe wako katoa dalili kwenye kitabu Kwa kukata kata vipande mwambie asome maelezo kama alivonukuu Muhammad bacho mana kitabu ni hiko hiko😂
Halafu video inavianza mwanzo tu inaanza na video ya shehe wenu wa kisufi mkubwa tu anaitwa shehe jumaaa anasema Arafat ni Moja siku wakisimama wahujaji na ramadhan watafuata Kila mtu mwez wao Sasa sheikh wenu Saidi na huyu sheikh jumaa mkubwa nan kielimu? Au hujaona hapo iyo video
Wewe na hio akili yako timamu unavyoona ni sawa arafaa jumapili kweli . Ulimwengu mzima wako makkah sasa basi watu wenge simama kila mmjoja na siku yake alivyotaka
Kazungumzia Arafa ilivyo halfu akagusia mambo Ya sheikh ibn uthaimin kaongelea mambo Ya akida mbona amuyafatilii kama sheikh anamfatilia sheikh mwenzie
very wise answer from sh.Mohd Bachu to the khurafi said ali hassan.. Very sad they are trying to divert the truth but Allah has provided answer from a very young wise student of knowledge.. Subhana Allah said hassan will never have an answer for Bachu junior hafidhahu Allah.. Allah Akbar
Mm nauliza kwan sisi tumeambiwa tufunge mwez tisa au tumeambiwa tufunge siku ya arafa jamani mbona tunazongana zongana kwani mtume anasemaje sheikh bachu Allah akuhifadhi pamoja nasi
Binafsi Mungu ataenda kuniuliza kuwa kanipa ufahamu kutofauti zuri na baya , duniani kuna kukosea na kupatia,, binafsi Mambo ya Ki sunna hayawezi kunitoa kwenye mstari , Kuna Hijja na Kufunga ni ibada mbili tofauti, Alio Hijja hawafungi basi tunaofunga ni sisi tusio hijja😢 sasa sioni haja ya watu kuwa wakali kiasi hiki
NA SWALI LA MWISHO KWANINI MASHEKHE WOTE WA AFRICA MASHARIKI TUSIEENDE KWA PAMOJA MAKKA TUKAONANE NA MUFTY WA MAKKA NA MAULAAMAA WOTE WATOWE FATUWA ILI HILI LA MIZOZO LIMALIZE? AU HAMNA UWEZO WA KUKUTANA NA MUFTY WA HUKO MAKKA?
Asalam alaykum sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi lkin tukitizam hiz clip matangazo yanakuwa mengi hususwa ya kuchukuwa mkopo wa riba jitahidi kuyaondowa Allah akulipe heri
Iv ww ni muelewa mmh au na ww unafuta mihemko..yy alisha sema km kwa shekh anae fikisha kwa njia ya media anafikishiwa kwa style hiyo hiyo kutokana na watu walisha potoka kwake
Tatizo ni ujinga !! Ukosefu wa elimu ya jiografia. Watu wanaposimama arafa pale saidia ni adhuhuri. Lakini wakati huo huo kule China ni wakati wa magharibi !! Dunia ni mviringo, tarehe hazifanani !!
Huko juu si kuhusu ramadhani pekeyake, hukusoma swali ndiyo maana hukuelewa jibu Shekh utheymin amemjibu mtu ambae kwao tarehe iko tafauti akienda makkah atafuata makka Elewaaaa!
Mtume s.a.w amesema damu ya mwislamu ni Bora kuliko Kaaba.Hivi mashekhe yanayoendea Gaza na Rafa midomo mumeifunga huku damu za watoto,wanawake na wazee katika sehemu hizo.😢😢 7:15 7:17
Izudin hana haja kuskia hii coz izudin ni msomi. Na pia amemfuata huyo shekh wenu Sheikh Uthaimin. Nyinyi mwahabi hamujielewi. Pia ma sheikh wenu hamuwafuati
@@suuahmed71 Wanapingana wao kwa wao na mashekh kwa mashekh, yaani wao wanajiona ndio wasomi wakubwa na wenye elimu yakutegemewa na sio waislam wengine na ndio maana hata huyu shekh unaona kwenye video zake anajaza vitabu vingi ili watu wamuone ni msomi haswa, Hatukatai kulingania uislam kwa waislam na wasio waislam ila iwe kwa misingi ya uislam sahihi na mafundisho sahihi na sio mafundisho ya madhehebu yetu au itikadi zetu tunazinasibisha na uislam na kuwa aminisha watu na waislam kua ndio sahihi.
WEWE UNAJUWAJE KWAMBA TUNAKOSA SAWABU ZA ARAFA? WEWE NI MUNGU HATA USEME WATU WANAKOSA SWAWABU ? WEWE FUATA UTAKAPO FUNGA HATA KUFATA PONGWE AU KIKWAJUNI
Huna elim Muhammad Bachoo na huku ukijifanya unajua na ukiwa na kibri king Muhammad Bachoo unanyanyua mzigo mzito rudi kwa mola wako na mapema tunakoenda ni kuzito kaka
Arafa ni tatu 1- arafa ni pahali (jabali) lipo maka laitwa hivyo siku yoyote na wakati wowote 2- arafa ni kisimamo katika shaair za haj , kisimamo hicho imeambatanishwa na pahali na tarehe (9 thi alhija) 3- arafa ni tarehe 9 thi alhija kwa muandamo wa pali ulipo popote ulimwenguni Mutume SAW alikuwa anafunga kabla ya kufaradhishwa haj . Na haikuthibitipo kuwa alikuwa snafunga kwa kuzingatia kisimamo cha mahujaj aw kufuata muandamo wa maka Kamalivyokuwa watu waswali kwa kufuata nyakati za maeneo yao na vilevile wanapaswa wafuate tarehe kwa miandamo yao Hadjthi ya ibnu abas na kureib imeweka wazi kuwa watu wafuate miandamo yao na hivyo ndivyo alivyo amrisha mtume SAW
In really sense why Mohd Bachu think tht He is most learned, is it necessary always bringing contraversy. Anyway ma opinion we hv allot as community to discuss rather than thinking ur most perfect.
KAMA HAYA YA SWAUM YA ARAFA NI MADOGO BASI KWANINI UJITOLEE WAKATI WAKO NA NGUVU ZAKO NA UFIDHULI WAKO KUMJIBU MWANACHUONI AMBAE WAJJIJUWA HUTOSHI HATA KIDOGO KWA WANAFUNZI WAKE LICHA YEYE MWENYEWE... MEDIA CHAMPIONS MUNA SHIDA SANA.
Sheikh mimi naona umekosea sana kusema Funga ya Arafa si chochote wakati Bw.Mtume kaieleza na umuhimu wake.Wewe unasema si muhimu kwa sababu ni sunna tu.Kwani wewe si mtu wa sunna?Pili kwani wanachuoni hawana hisabu siku ya siku.Hawakosei.Na ni jambo gani lisilo kuwa na ikhtilafu.Uthaimin,Ali juma,Mohammad Nassor ,Bachu,n.k wote si mitume.Mbona wewe unazungumzia Arafa,unajichanganya mbona?
Wallahi Sheikh na lengine lakushangaxa zaidi ni pale uliponukuu kauli za masheikh au Sheikh eti Ramadhan tue tukifuata mwandamo wa kwetu lkn Dhulhijjah tufuate mwandamo wa Saudia hili laingia akilinii
Swali: 1.JEE KUNA MAGUNGAMANO BAINA YA FUNGA YA ARAFA NA KISIMAMO CHA ARAFA? JEE ITAKAPOTOKEA IBADA YA HIJJA HAIKUFANYIKA KWA SABABU TOUFAUTI AMBAZO ZITAPELEKEA KUTOFANYIKA IBADA HIYO KAMA VILE KUSAMBARATISHWA KWA KAABA, AU VIZUIZI VYENGINE VYA KISHERIA, JEE WAUMINI HAWATAFUNGA YAUMU ARAFA?? 2.VP KWA WALE AMBAO HAWAKUTANI NA ARAFA(MCHANA) KWA SABABU YA MATLAI ZA NCHI ZAO, WAO HAWATAFUNGA ARAF?
Nasikitika sana wallah mashekhe zetu wanautia aibu uislamu husikii kanisa la katoliki linapingana na anglikana wanakosoana ila waislam tumetiwa chuki twatombana cc kwa cc mapadri hukosea waislam mbona sioni mukieka mijadala mukapambana na mapadri
Lengine zamani kulikua hakuna simu hakuna tv hakuna usafiri wa haraka waliwezaje kujuana jamani arafa ni siku flani ulimwengu mzima fuateni .lengine katika ulimwengu wengine tukiingia dhuhr wengine nimaghrib je nchi zengine itakua hazina arafah tia akili mche mngu usipotoshe watu.kama nikweli nijibu haya yangu yote
Naona masuali yanweza kuwa mengi kutokana na tafsiri ya sheikh wenu lakin itakuwa hakufahamu vizuri masuali yaliyoulizwa kwenye kipengele kile. Maana hakuna sehemu ambayo imetajwa funga ya Arafa pale zaidi ya kutajwa masuala ya hiija tu na wala sio funga ya arafa. arudi akiangalie tena ile sehemu ikiwezekana aende tena kwa mashekhe zake wamuelekeze
Sikiliza tena anavyosema bacho Yani shehe lenu ni muongo Kwa maana hii Kwa sababu kanukuu maneno ya sheikh Muhammad bin uthaymeen tofaut na na MADA iliyokua inajibiwa mambo ya mwez wa ramadhan kayaleta kwenye hijaah 😂😂 mtaacha lini uongo masufi
Muhamad bachu mbona unapepesuka kwenye mada tupe msimamo wa kauli ya uthaimini kwenye hiyo mjmuugh alio nukuu sheikh ally Hasan mbona una yumba tulitarajia useme hiyo kauli haipo au niuongo .au sheikh alirekebisha fatuwa😅😅😅😅.utawakamata wahuni wenzako ambao hawajakaa madrasa
Badhu hapo Shekhe anasema IBADA ya Hijja inazingatia mwandamo wa Maka kwasababu ndipo IBADA zinafanyika hazungumzii Sunna ya kufunga siku ya Arafa, usibabaishe watu kaa kimya