Тёмный

MAJINA ya WALIOMBAKA BINTI wa YOMBO YAANIKWA -WALIOSAMBAZA VIDEO ya GLOBAL TV WAKIWEKA UONGO MBARONI 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 61   
@globaltv_online
@globaltv_online 2 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@Niget-us1np
@Niget-us1np 2 месяца назад
Kufa ya sio Sawa kabc Chanel kubwa kwnn Kafka Pic ya mwaz mumemuwek Pic ya mam ambaye kashafariki hio sio saw mam wa watu kafari na yie ndo mlilipot tukio tok la ubaki la watot wake na lapil kifo cha huyo mam na mashine pia kwn sas munawek Pic ya huyo mam wawa2 nakatika kashazikwa ache I kutum hayo mahojiano muljmuoji huy mama munaumiza family na malehem pia ache uhuni
@Niget-us1np
@Niget-us1np 2 месяца назад
Achani kumtumia mahojiano muliyafany na mam ambaye kwass kashafariki sio Sawa kwann sas family yingin munamuunganish na family hii atakm matuki yanafanan lkn sio tukio Hilo moj na huyo mam nyie no mashahid kwamb kafa sas kwann munawek katikati ya video munachanya na mahojiano ya huyo ambaye tayar Ni marehem samahani lkn munakosea San muhifadbin marehem jmn alikufa akitetea mtt wake tafadhali San muhimu dad wawa2 please please
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 2 месяца назад
Jeshi la polisi hongereni kwa kazi nzuri.
@dennishyera5448
@dennishyera5448 2 месяца назад
Asante Polis kwa kazi nzuri.
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 2 месяца назад
Mm nasubiri tu nimuone mwanamke aliyeshindwa kujua thamani ya mwanamke mwenzake na kutafuta watu wamfanyie hayo.
@ambwenejobbin4463
@ambwenejobbin4463 2 месяца назад
Mungu hawezi kuwaacha salama. Walichokifanya ni zaidi ya unyama. Haina tofauti na kuua mtu
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 2 месяца назад
Shukran.kazi nzuri.
@AishaJafari-sh4pe
@AishaJafari-sh4pe 2 месяца назад
Hongera jeshi la polisi
@annanasoro3007
@annanasoro3007 2 месяца назад
Ahsante sana jeshi la polis kwa kazi nzuri
@mwanaidirashidi
@mwanaidirashidi 2 месяца назад
Ahsante mungu
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 2 месяца назад
Waonyeshe sura tuwaone na tusisikie wako huru
@OliverGodwinzakaria
@OliverGodwinzakaria 2 месяца назад
Mungu awabariki Sana polis
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 2 месяца назад
Mungu awabariki jeshi la Police 🙏🥰
@Andres-qt6kp
@Andres-qt6kp 2 месяца назад
Global ni kituo ki kubwa ondoeni picha ya marehemu huyu dada wa Magomeni mtoto wake alibakwa na Mpangaji mwenzie ni kesi tofauti haiusiani kabisa
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 2 месяца назад
Ninewaza hiyo picha ni ya nn
@teedullah5708
@teedullah5708 2 месяца назад
Alihamdulilah nahao engine piya atapatikana mungu awape LA kuwapa
@geraldathanas3997
@geraldathanas3997 2 месяца назад
Nimegundua wanawake wenyew hampendan
@salmyhussein6255
@salmyhussein6255 2 месяца назад
Huyo afande mwanamke ni nani mpaka ameweza kufanya serikali imlinde kwa nguvu zOte, afande mwanamke gani huyo mwenye nguvu hiyo
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl 2 месяца назад
Hata wakinlinda hawez jua ndugu wa huy mtoto wanafikiria nn me nawashauri wabige kisomo cha Al badru haimfichi mtu wapotea kama mshale huu sio ungwana kabsa
@zulfahaji91
@zulfahaji91 2 месяца назад
Ni vizuri zaidi kuwakamata zaidi wazushi wanaowauwa wenzao km yule. Mama wa binti aliebakwa mm nlijua kafariki kweli jeshi piga kazi mpk wakome kututoa machozi ya bure
@alfredamapunda1321
@alfredamapunda1321 2 месяца назад
Apo ndo kazi inaendelea ❤❤❤❤
@teedullah5708
@teedullah5708 2 месяца назад
Wakome she Hao wanahabati WA tz wamezidi🇰🇪
@mpefu_4936
@mpefu_4936 2 месяца назад
Fungua sura tuwaone
@tatumakwega6170
@tatumakwega6170 2 месяца назад
Kazi nzur jeshi la polis ila tuwaone
@DStarTz-if2ko
@DStarTz-if2ko 2 месяца назад
Mnadufanganyaaaaaaaaaaaaaa tuwaone kwanza
@HussainMaula-wr5co
@HussainMaula-wr5co 2 месяца назад
Ktk hao kamanda ni yupi maana ndio gaidi la kwanza linalotakiwa kukamatwa.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад
Lakini huyo.mama si alifariki kwakitendo cha kubakwa watoto wake kule magomeni au siyo huyo
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 месяца назад
Ndo yeye nashangaa wanaiweka hapa Tena yaani inanikumbusha simazi kubwa juu ya marehemu huyu,Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 2 месяца назад
Ndio huyu kuna baadhi ya Watanzania ni watu wahovyo wanaujinga watu kama hawa wanao ongopa wapewe adhabu na fain ili iwe fundisho
@leokamil6284
@leokamil6284 2 месяца назад
Ndio huyo hii ni mchanganyiko wa vituko 😅
@samiahjmlimanzilla9354
@samiahjmlimanzilla9354 2 месяца назад
Mtu ambient making ya watu wawili waliojificha ili hata mtu ukimuona jirani owe rahisi outta taarifa
@OfficialA83640
@OfficialA83640 2 месяца назад
Tunataka sura zao km mnavyotuonyesha panya road na wauza madawa mnaficha mnaficha nn sasa
@annanasoro3007
@annanasoro3007 2 месяца назад
Onyesha picha zao kama mnao maana mbona hyu binti walimuonyesha akiwa uchi dunia nzima ikamuona sasa tunaomba tuwaone kwa sura nawao
@fatmamansour2764
@fatmamansour2764 2 месяца назад
Sasa huyu aliyewatuma Afande mbona hakuna Habari zake mana yeye ndiye chanzo cha haya yote watu wanataka habri zake
@florencejohn6427
@florencejohn6427 2 месяца назад
Aliyewatuma je?
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 2 месяца назад
Tunashukuru same kuwakamata,Sasa tunaomba picha zao
@StevenSanga-n3n
@StevenSanga-n3n 2 месяца назад
Ko kumbe ni toka mwez wa 5 alaf hosptal mwez wa 8
@estambuya3901
@estambuya3901 2 месяца назад
Tunataka kuona hao bakabaka wakichukuliwa hatua kali kisheria.
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 2 месяца назад
Mi najiuliza wasmbazaji wakamatwe je mngejuaje unyanyasaji huo kama sio mitandao kusambaza hapo kisu kimegonga mfupa mlitaka zichujwe mi sierewi
@annakbunga8377
@annakbunga8377 2 месяца назад
Walio fanya nawao wawajibike wote
@FelistaGozibert
@FelistaGozibert 2 месяца назад
Mnatangaza majina tunataka sura zao tuzione
@saidymbagalla6622
@saidymbagalla6622 2 месяца назад
Yani tangu may hadileo duh
@RoseNailo
@RoseNailo 2 месяца назад
Huku ya hao watu ndio tunataka kuijua acheni Hawa watu wengine kwanza hao bakabaka ndio sosi tunataka wachukuliwe hatua
@teedullah5708
@teedullah5708 2 месяца назад
Aki mikiwafanyiya hivyo watakoma shenzi hao
@agreymkaburu7464
@agreymkaburu7464 2 месяца назад
Tunaomba tuwaone sura zao je ndio wale wale kwenye zile video,msije kukamata wengine
@nunumrisho6548
@nunumrisho6548 2 месяца назад
Hapo Umefanya Jambo la msingi maana kwenye mitandao kila mtu ana mamlaka ya kusema atakavyo
@johnsonzuma4932
@johnsonzuma4932 2 месяца назад
Hamna kazi wa jinga nyinyi police fanyeni kazi vizuri mapoyoyo nyinyi
@BoraHamisi-zl6xy
@BoraHamisi-zl6xy 2 месяца назад
Wachukuliwe hatua za kisheria
@EdnaJohn-c5x
@EdnaJohn-c5x 2 месяца назад
mnge tuo nyesha sula walio bakia pengine tunge wa jua
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 месяца назад
Kabisa hata tiktok yupo mtu aliposti huyo mama akisema ni mama wa huyo bint naye akamatwe wajifunze adabu😢
@annanasoro3007
@annanasoro3007 2 месяца назад
Namimo nimeshangaa maana huyu mama walisema kafariki maana ya kusikia mwanae nilishaga isoma hiyo yaan watu Roho ilikuwa ikiwasuta wanaangaika
@leokamil6284
@leokamil6284 2 месяца назад
Ati watu hawaruhusiwi kuhoji ila akimwagiwa mtu tindikali haina shida kuhojiwa nini kinafichwa hapo?
@kisoso890
@kisoso890 2 месяца назад
😂😂😂😂 tunaomba taarifa ya kukopeshwa b700 mbona hamchapishi hizi taarifa
@DStarTz-if2ko
@DStarTz-if2ko 2 месяца назад
Au kafa jaman hamtak watu wajue
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 2 месяца назад
Tunaomba tuwaone hao wauwaji ila nawaaminia Watanzania kwa kuwa wametajwa majina ndani ya siku 3 picha zao zitakuwa mtandaon tunaiomba serikal wachukue hatua kali hao ni wauwaji wapotelee hukohuko
@leokamil6284
@leokamil6284 2 месяца назад
Nashangaa kwa nini wamefichwa sura wengine huanikwa ila hawa wamefichwa sjui wao ni special people
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 2 месяца назад
@@leokamil6284 acha wawafiche tutawaona sijui kwanini wamefichwa hap ni wauwaji msichana imefikia anadai maji ya kunywa wao wanavunja chupa kutaka kumwambia kaa kimya nililia kama namjuwa
@chawahirelmymashlalltaabar4949
@chawahirelmymashlalltaabar4949 2 месяца назад
Good job hao hukumu ya kifo they deserve
Далее
Nightmare | Update 0.31.0 Trailer | Standoff 2
01:14
Просмотров 660 тыс.
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36