Amina sana tena uwaambie natamani Mungu ukuinue juuu kabisa ulihubili neno la kweli nasi kona kona nakuombea Mungu awe nawe akupiganie akulinde leo kesho hata milele
Mm nakupenda San mungu amejitukuz kwako mtumish usiogp mm nilanz kukufuatilia nilipo maliza darasa LA saba 2020 huwez kunyamasishwa nakupenda Sana nakosa LA kusema
Upo sahihi kabisa. Pengine wao ni wanachama wa maji ya upako na mafuta ya upako,so lazima wajaribu kukutisha. Pigana hadi tone la mwisho. Ubarikiwe sana
Ni kwer kabisa hao si watumishi wa mungu hata nafsi zao zinashuhudia wanachofanya si mungu anachoagiza. Endelea kuweka mambo waz maana watu wengi wanaangamia
Laziama ukweli usemwe ni heri kufa kuliko kuishi ukishuhudia mambo mabaya yakiendelea ukweli usimame hata milele NA MUNGU WETU HAZIAKIWI. WALA HATANIWI.
Na Mimi ntakuja na hoja yangu mniambie umeandikiwa wapi mtumishi wa Mungu aitwe Baba maana Mimi toka nisamage biblia huwa naona mtumishi ,mtu wa Mungu,nabii wa bwana ,mtume ,mwinjilisti ,mwalimu,mchungaji ,na askofu Mara moja ndani ya biblia lakini ili Jina askofu ndo Lina maana kubwa kwa kanisa la Sasa na msingi wa kanisa wa Sasa unaonekana umejengwa juu ya Askofu badala ya kuwa Kama unavyoelekeza biblia kuwa umejengwa juu ya hao mitume na manabii wanaopigwa Vita leo kwa upande wa biblia baba NI Mungu pekee ukija kimwili baba NI yule aliye kuzaa kimwili labda Mimi ndo sielewi biblia mnisaidie.
Nikweli lakini, wao hawakutaji Wala hawakushambulii Kama unavowashambulia wao hapo unajifunza nini?? Pili wenye msimamo Kama wako wanapotea Kama upepo kila siku bila kujua adui ametokea wapi maana naona Sasa umeongeza wigo wa uadui na watu Sasa unagombana na serkali naomba ubadili mfumo wa mahubili yako wafundishe watu madhara ya mafuta syo kugusa maisha ya watu.
Ha ha haa We endelea kuwaponda Watumishi wa Mungu Mana ndo Kwanza wanazidi Kuinuliwa, Umeshindwa kuhubiri Neno la Mungu Unaimba majina ya watu, Du mi hata Hunidanganyi.
Kuwaonya hadharani ni halali maana hata wao ramli wanazopigia waumini wao kanisan huwa wanafanya wazi wazi. Big up sana mtumishi Paschal Mungu akujalie neema kubwa uendelee kutia mchanga vitumbua vya hawa wahuni wa mjini wanojiita watumishi.
Songa mbele baba , Mungu mtetezi wako yupo atakupigania. Yesu alituambia tuwe tayari hata kufa 😢na tunayoambiwa gizani lazima tuyaseme nuruni 🙏🙏🙏 . Makamo wako mkuu ni yesu 💪💪💪
Kumbukumbu la Torati 33:24 [24]Na Asheri akamnena, Na abarikiwe Asheri kwa watoto; Na akubaliwe katika nduguze, Na achovye mguu wake katika mafuta. And of Asher he said, Let Asher be blessed with children; let him be acceptable to his brethren, and let him dip his foot in oil.
Mungu akusaidie baba kaza mwendo endelea na kazi ya bwana hivyo ni vitisho tuu vyakutaka kuharibu kazi ya bwana endelea baba kaza mwendo wala usikate wala kugeuka nyuma na mungu akusaidie kwa jina la yesuuuuuuuuuuuuhuuuuuuuuu
Mtumishi wa MUNGU upo sahihi kwa 100% nakupenda sanaa Katika Kristo Yesu, Mimi mwenyewe nimekuwa nikikilashi sana kupitia Facebook hayo mahubiri ya mwamposa, na wengine kama yeye! husiogope MUNGU Yu pamoja naweee! Nyimbo zako zinanibaliki sana nikisikilizaaa
Kwa habari ya huduma 5 Paul ameeleza vizuri,na huduma ya kinabii IPO wapendwa, Waefeso 4:11-20 na ameeleza kusudi ya hizo huduma,changamoto ambazo tungezungumzia ni namna zinavyotumika hiyo infekuwa mada sahihi!
Ishi katika imani yako, wapo waumini wanaoenda kwa Mwamposa akiwa na imani ataponywa, akiwa hana imani hataponywa,hapo ndipo tutamuona mwamposa muongo.
Usiope mtumishi wewe toa ujumbe wa Mungu hata akina Paulo walifungwa ukifungwa atakuwa ameruhusu aliye kutuma neno la MUNGU wanalifanya kimazoea ....Mungu aendelee kukutunza
Shetani imeingia ndani yao ndo maana wana chuki na wewe the truth must be told, if they dont need the truth then come to kenya we need it especially me i neee to kno God more and i love that song, yenye umesema,WAMBIENI WATU UKUELI i lov it so much, tell them the truth man of God and be blesed.
Songa mbele Mtumishi wa Mungu, hivyo ni vitisho vya shetani kukudhoofisha ili usiseme kile ambacho Mungu amekuagiza useme. Songa mbele Mtumishi wa Mungu, shetani fumba kinywa chako kwa Jina la YESU. AMEEN.
Amen Mtumishi wa Mungu,Mungu amekuponya kwa makusudi,sema kweli na Mungu atakubariki,nakupenda Sana,nakumbuka wakati unaumwa tulikuwa tunaongea kupitia sms
Ungewajibu kwa njia walizokutumia ujumbe sio kuja kutujibu sie wakati wahusika unawataja na unawajua. Mbona wao hawakujirekodi video kama yako. Acha mbamba mtumishi, fata utaratibu
Kazi ni lazima ukweli usemwe huyo raisi mwenyewe atulie ya Mungu sio ya kaisari asiingilie mambo yaliyo nje ya uwezo wake hakuna mafumbo tutawapoteza watu wazi wazi ndiyo mpango wa injili kwasasa
Unatakiwa kuombewa sanasana tuko vitani vita ni kali sana tunaomba Yesu akulinde akufunike akukumbatie akufiche akuatamie ee Yesu mlinde yohana ni sauti ya mtu iliayo nyikani
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Paschal. Usiogope tuko wengi tulio pamoja nawe. Tutakusapoti kwa kila jambo. Hao ni mawakala wa shetani tu wanaona shida siri zao kufichuliwa
Pascal ikwaumeitwa na Mungu basi simama kama Paulo kwa waroma walausiwaogope. Kwamaanawoga nimtego,natena ukweli unakata kamakisu kwayule asie mkweli basi simamakama Elia pazasauti. Mpaka Mungu mwenyewe atakaposema inatosha. 🙏 🙏 🙏
Injili ilinza kwa mateso, itaisha kwa mateso tunaomba kwa wanao sema kweli tuko nyuma yako, sisi tunahila kilichondani ya manabii wauwongo, barikiwa baba
Alafu tambua wewe ulivyotumwa NI tofauti na yeye alivyotumwa kwani wewe Hawa watumishi umewatuma wewe hata uwakosoe na kwani wakiuza MAFUTA wewe inakuathili Nini mbona MIUJIZA ni Jambo la kawaida
Namshangaa huyo makamu,wasitajwe majina kama wao wakina nani kwa mfano,ila wao wamtaje Baba yetu YESU Jina lake kwa kuwaibiyaa haiwezekani ,tutawatajaa wee makamu wa Raisi mwache Casian afanye kazi ya MUNGU wa kweri.
Asante Baba mwamposa amefika uku Mozambiqui na weng Sana wanakwenda kununua, mafuta..Mimi nimepona kwa sababu yakukufatiliya sana nikamjua kabisa uuyu tapli
Hallelujah hallelujah kaka yangu 🙏🙏🙏 hiyo ni Kweli!! Maana jina analolitumia ni la yesu christo unayemuamini, sasa nilazima ulitetee jina la christo lisiendelee kuhaibika kwenye mahuduma zao za mafuta na maji 😢. Kuliko watu walifuate neno ili wapone ki Roho na kimwili, matokeo yake wanafata mafuta na maji 😢
Dume la yesu toka Tanzania nakupenda sana waambie kweli wanafiki wamemzoea mungu.usiogope passical mungu yu pamoja nawe aliekuepusha ajali alikuwa na makusudi nawe.
Uko sawa kabisa maana wanaoweza kusema ukweli ni wachache,wewe SEMA na tuko nyuma Yako kwa maombi.Mungu akutie nguvu wala usiogope.soma wafilipi 1:21,27
Sasa kama mafuta na maji yanaponyesha Kwa nini tusiyatumie Ili tupone!!? Wewe uliugua ukapona Kwa msaada wa Makonda,acha kuingilia ibada za wenzio, tuache tutumie mafuta ya upako tuendelee kupata baraka
Hapana bwana mdogo wewe kiri tu, Umekosea. Uwe muungwana. Wimbo una ujumbe na ala nzuri, ulipokosea ni kule kutaja majina ya hao watumishi wa Mungu. Uliona visions kuwahusu, nenda useme nao ana kwa ana privately; kuwaanika hadharani kama ulivyofanya, hapana. Umekosea. Labda kama unatafuta kiki.
Kaka pascor hawo ndio walewale piga kabisa wajinga hao tuna mda mchache mtumishi wa Mungu wenye akili tunakuelewa xn, kazi ya Mungu haikuwahi kuwa laisi lazima moto uyaunguze yatumie hao malaisi ya vyama kufikisha ujumbe unaowatesa, uyo unaona kama ni makamu wa laisi wa waimbaji lakini ni lusifer kaja huyo, anaunguzwa xn
Sasa hiyo siku usije shangaa hao mnaowaponda ndo wakawa wa kwanza kuiona ufalme kabla yenu munge kuwa na mbingu ya kuwapeleka nyie hapo ingekua sawa lakini hamjawatuma ninyi na aliyewatuma kanyamaza maana nnachojua mtu anaenda kinyume na Mungu HUDUMA yake huwa haikai mda mrefu inazimika Kama mshumaa baadhi ya HUDUMA hizo hapa Tz tunazijua zilizozimika kama mshuma nyinyi hamuoni au NI zitaje !!!!?