Тёмный

PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN 

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE
Подписаться 146 тыс.
Просмотров 413 тыс.
50% 1

#0788871769 #0766998994 #call0688199370 #0688199370 #

Опубликовано:

 

9 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 287   
@DavidMakvok
@DavidMakvok 4 месяца назад
Licha ya kumchangia tafadhari aombewe sana wapo walio na habari hizi lakini hawathubutu kufungua midomo yao kwa kuwa hawako sawa na Mungu na hawaja chukuwa hatua za kumumfanya Yesu Kristo na kufanya kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao , wengine wanadhani muda bado wakusema hayo mambo.
@user-xh1uu2bd9p
@user-xh1uu2bd9p Месяц назад
Tlnisiongee sana ila ukweli ana ujua aliye umba mbingu na nchi , ambaye ukisoma Mwanzo 1. 1 hapo mwanzo kulikuwa na mungu amvae mungu aliumbabingu na nchi na vitu vyote vina vyoonekana na visivyooneka , Kwa hiyo yeye ndiye aonae sirini mwa wanadamu coz aliumba Kila kitu 🙏🙏🏿
@emilyrissling9703
@emilyrissling9703 5 месяцев назад
Amen and Amen, wewe Casian unawito mkubwa wa kufungua funiko wale wanataka kusikia na kuona watasikua, wenye kukupinga watapitwa ,nungu akulinde na akutie Nguvu usimame kwenye nafasi yako vizuri
@derickcowly6681
@derickcowly6681 Год назад
Asante sana kwa ukweli Mungu akubariki sana ktk kristo Yesu asante Yesu kristo kwa kumpa roho ya ujasiri kuokoa Dunia
@AdamMathias-db2jq
@AdamMathias-db2jq 9 месяцев назад
God akujalie kaka akupe ulinzi wa kutosha. Tuna barikiwa sanaa!!.
@annewanyonyi-nb1zh
@annewanyonyi-nb1zh Год назад
Mungu wetu ni wa neema sana.Yeye hutuwazia mema kila wakati na hii ndiyo maana anamficha mtumishi wake katika kikundi cha maadui ili amfunulie uovu uliopo mle ndani na kisha kumpa ufahamu wa kutasimlia watakatifu wote ili isije hata siku moja wakakosa kubambanua ishara na uongo wa muovu huyo ambaye ni shetani kiongozi wa uasi wote duniani. Asante sana mtumishi wake Mungu kwa ujasiri wako na kwa kutuokoa sisi ambao hatuna uelewa wa hayo yote yaliyokusibu na kutusaidia ili tuepuke moto jehanamu kwa kutafuta umarufu duniani.🙏🙏🙏🇰🇪
@TosigwegeraisonMwakisenjele
@TosigwegeraisonMwakisenjele 6 месяцев назад
Ubarikiwe sana mwenye mungu akulinde na kukuepusha nawatuwabaya
@paskalimichael3994
@paskalimichael3994 6 месяцев назад
We need power of JESUS to push to our destiny in everything
@mosesandera6970
@mosesandera6970 6 месяцев назад
the power is in the watchman...has been prepared by the Almighty father himself the most high Jah...be cool children's and lets keep on praying to the father and ask for change because the world is on crisis knows so we have to make the change or it will be no change #watchman
@user-rn2ud7yh1q
@user-rn2ud7yh1q Год назад
Daaahhhhhh...!!! Nimeipenda hii habari inawafaa Sana waliopotea..,,,,!! Endelea mbele,walimpinga Musa,Elia,Yoshua,Paulo na wengine wengi,kwako isikusumbue hubiri tupone Mchg!!!!!
@yesuanikumbukejanuary8363
@yesuanikumbukejanuary8363 Год назад
Ameeni MUNGU akutunze mtumishi MUNGU ni MUNGU haja wahi kushindwa lazima atushindie pia MUNGU ni mwema amekuponya kipindi ulikuwa una umwa pia MUNGU awakumbuke woote walio toa sadaka zao ukaenda kutibiwa.
@TheMvenTvfamily
@TheMvenTvfamily Год назад
Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa kutuelezea ukweli uliopo,mungu ndiye njia pekee ya ukweli...
@gabrieljemawo7828
@gabrieljemawo7828 Год назад
Amen pia nakuomba ukuje kenya ubirihi huu ujumbe
@mitaocamilliusthegreatest7517
Mwenyezi Mungu azidi kutuimarisha kwa kweli dunia ina mambo mengi mno hakika!
@kamgishaisaya4763
@kamgishaisaya4763 8 месяцев назад
Amina, ni ufunguo tosha kwa mawaka mbalimbali katika sekita m alimbali
@bettymuhonja9967
@bettymuhonja9967 6 месяцев назад
Bwana yesu kristo akuwezeshe na neema yke ikutoshe ,,,Bwana Yesu kristo na. akulinde akufunike kwa damu yke takatifu mchungaji mie nakufuatila unahubili ukweli wale ambayo nivipofu macho kuelewa nivigumu muno but mungu azidii kutupa nguvu Ameni
@ReginaMasalu-hk8ho
@ReginaMasalu-hk8ho 11 месяцев назад
Mungu akubariki kwa kuwa thabit kwenye maamuzi yako, you are so strong! Stay connected always.
@adamjulius9782
@adamjulius9782 Год назад
Nikushukulu Sana kwa kutoa sili za adui yetu maana umetaka kusaidia wengi. Mwenye sikio na asikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa
@JenipherJoachimu
@JenipherJoachimu 19 дней назад
Mmh mtumishi unaonyesha unauchungu na watu wapotosha Imani ya kwel barikiwa
@Muislaelmumina
@Muislaelmumina 10 месяцев назад
Amen 🙏 barikiwa Sana mimi sina mali lakinitu niombee nipate mtumishi wamungu niko hali ngumu
@johnemmanuel7805
@johnemmanuel7805 Год назад
Bwana Yesu aendelee kukulinda na kukupigania.Watapigana nawe lakini hawatashinda.
@user-dh9gb8yn7y
@user-dh9gb8yn7y 8 месяцев назад
Daaah Mungu a2saidie akina sisi 2nayopitia kwenye maisha magumu mpaka 2naangaika mpaka kwa wachungaji ambawo upako wawo ni wa shetan
@Chekakidogo2
@Chekakidogo2 Год назад
Amen nimebarikiwa sana kwa ushuhuda kamanda wa Yesu,tunaomba mwendelezo.
@laninjeje8290
@laninjeje8290 6 месяцев назад
Kama unashangalia stori za Freemason wewe ni chizi
@michaelmwalimu6057
@michaelmwalimu6057 Год назад
Hongera sana kaka Mungu baba ktk kristo amekuokoa kweli
@SafiAkinyi8361
@SafiAkinyi8361 Год назад
AMEN AMEN 🙏 🙌 LAKINI BROTHER KUA MAAKINI NA HAWA WATU WA MEDIA KWA SABABU NDO WAMEANZA KUKUTAFUTA KWA WINGI HAO MAADUI WAKO WATATUMA WAO SASA KUA MAAKINI TAFADHALI
@alainmuhigirwa5151
@alainmuhigirwa5151 Год назад
Umeongea ya mana ndugu
@joycerehema9258
@joycerehema9258 Год назад
000⁰⁰⁰⁰
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 Год назад
Kama walishindwa kumuua kipindi kile bc hawawezi
@josephinmwanibanza6001
@josephinmwanibanza6001 Год назад
Mungu tu amtetee
@rachelmaina3476
@rachelmaina3476 Год назад
Amelindwa na damu ya Yesu kwa hivo atawatambua na hawatampata
@ByamunguErnest-jc7kd
@ByamunguErnest-jc7kd Год назад
Mungu akufunike na mukono wake🇨🇩👏🇨🇩.
@yaduniamapitotz26
@yaduniamapitotz26 Год назад
Amina pamoja munguatuokoe
@FistonMarc
@FistonMarc 2 месяца назад
Yesu kriston skyline sana nanguvuyamungo idhidi kuwa pamoja nawewe amen
@RebeccaMwaja-je7jk
@RebeccaMwaja-je7jk Год назад
Barikiwa Sana napenda Sana watu wanaochana ukweli
@user-wi2vr4bt1t
@user-wi2vr4bt1t 4 месяца назад
Mungu akusaidie ktk maisha yako
@MamaBarakha-no3bj
@MamaBarakha-no3bj Год назад
Safi mtumishi wamung usiogope Mungu yu nawe ata kulinda
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 Год назад
Hao wAtu wame nisumbua saana katika maisha yangu kamà kujiunga ningesha jiunga muda lakini atukuzwe yesu wambinguni Kwa kuniokoa 😢🙏🙏
@rowenalilie993
@rowenalilie993 Год назад
Ni YESU. SIO yesu
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 Год назад
@@rowenalilie993 sija soma nimeishià lapili kwaiyo utaelewa ivyo ivyo mpaka hapo nimejitahidi saana wengine hawajui kabisa ivyo nashukulu MUNGU kwa yoote kwani neno lasema tushukulu kwa Kila jambo
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 Год назад
Say YESU Bro ✍️
@user-xq3xr9ui1w
@user-xq3xr9ui1w Год назад
Na we uliwavutia na nn?
@zaitunjuma870
@zaitunjuma870 Год назад
jee ulisaidik vip nina ndugu yangu wana mtisha sn kwa kumwambia wata muwan man yy aliwapigia cm na kupewa maelekezo yao lkn imekuwa ndo chanzo icho
@thomasamri
@thomasamri Год назад
In the might name of Jesus amen
@peterodongo7847
@peterodongo7847 7 месяцев назад
amen!!! kwa Mungu Kila kitu kitakuwa wazi .
@madam-florensialutego
@madam-florensialutego Год назад
Kweli tuliozaliwa familia za huko usukani elimu zagiza tunakuwa tukizijuwa natutakuwa tulikuwa nikaisha ya kawaida ila unapokuja kukutana na kikristo ndipo utajuwa kwamba elimu hiyo si sahihi na Mungu anapenda kutumia wafu wanaomba hiyo kwamba wanakuwa kweli yagiza kubwa niuwongo hakuna kweli hata moja ila Mungu pekee anaetusaidia nakubaki salama
@user-gk8vg4ow2i
@user-gk8vg4ow2i 3 месяца назад
Hongera Kaka kwakumpokea yesu
@israelmlabwa9783
@israelmlabwa9783 Год назад
Mungu akutunze
@VictoryMesu
@VictoryMesu День назад
Huyu bado hajatoka huko kama kweli wapo maana mimi sijui lakini kama ametoka angehubiri hari za ufalme wa mungu
@RegineBuloze
@RegineBuloze Месяц назад
Sio wote watakuelew baba amen ❤
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 Год назад
Amen, Yesu tumain langu
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 9 месяцев назад
Wonderful story
@alainmuhigirwa5151
@alainmuhigirwa5151 Год назад
Ubarikiwe sana mtumishi. Nakusikiliza kwa makini nikiwa apa bondeni Johannesburg 🇿🇦🇨🇩
@veronikashija4979
@veronikashija4979 Год назад
🎉
@ElishaMwashiuya-rz4dn
@ElishaMwashiuya-rz4dn Год назад
Asante nimejifunza japo siwez kuerezea nilicho jifunza, usiache kusema endelea mungu akutumie zaid mana saut Yako Niyamungu , na mungu amekutumia wewe uje utufundishe
@Muislaelmumina
@Muislaelmumina 10 месяцев назад
Amen 🙏 apo sasa
@issabaraka2850
@issabaraka2850 Год назад
Félicitations
@AgathaPesambili
@AgathaPesambili Год назад
Umetisha brother kama movie naisubiri party 6
@PeterPhilemonNzigula
@PeterPhilemonNzigula 7 дней назад
Asante sana
@MariamElias-qz9tk
@MariamElias-qz9tk 3 месяца назад
Dear Nice
@HebronMwasomola-iq1eg
@HebronMwasomola-iq1eg 2 месяца назад
Ubariwe sana atadhibitika katika haki atakuwa mbali y kuonewa
@mikael1656
@mikael1656 Год назад
Amen
@milkambithe4622
@milkambithe4622 Год назад
Uyasemayo ni ya kweli kabisa 👏👏,wale wanaotembea katika ulimwengu wa Roho wanaufahamu hiyo kabisa
@georgemerere6097
@georgemerere6097 Год назад
Mm naogopa
@WillBat-gc9ex
@WillBat-gc9ex 7 месяцев назад
Ubarikiwe sana casim
@SmilingJellyFish-vf6xy
@SmilingJellyFish-vf6xy 7 месяцев назад
Amiiina nachukuru Mutumichi. Wamungu.
@magrethstany2032
@magrethstany2032 7 месяцев назад
Mtangaze Yesu itoshe
@collinsmercy3971
@collinsmercy3971 Год назад
Mambo mazito kweli Asante kwa elimu
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 Год назад
Yesu tuokolee maisha yetu
@JosueMumbereVasugha
@JosueMumbereVasugha Месяц назад
Mungu akupe nguvu zaidi pasta.sio raisi kabisa
@LeisaJonikaporua-lx4be
@LeisaJonikaporua-lx4be 11 месяцев назад
love you Jesus for the other two
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani Год назад
Nimeitwa na Mungu mwaka 2000, 1,1.tarehe moja mwezi wa kwanza mwaka elfu mbili.hapo ni mwisho wa utawala wa shetani duniani,na mwanzo wa ufalme wa mbinguni hapa duniani,yaani habari njema ya ufalme,na Mjumbe wa agano duniani John Isaya Igumi nipo Tanga Handeni ninakuomba unipe nafasi ya kufundisha Neno la wakati huu, Malaki3:1-6. Isaya 41:1------.
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani Год назад
Ninakuelewa sana ila jua kuwa Mungu hawezi kufanya jambo lolote bila kuwajulisha watumishi wake, na hii ni saa ya mjumbe wa agano duniani nikaribisheni basi msikie alicho sema Mungu juu ya dunia.
@user-rh9fd5or4r
@user-rh9fd5or4r Год назад
Eu Só Bernardo Filipe Tudo bem 🤲🤲
@AgnessChalles
@AgnessChalles Месяц назад
Asante kwanifumbua mim ninamadeni mengi sana nikua nataka kujiunga 26:21
@philoteuslwena3082
@philoteuslwena3082 Год назад
Jamani mwendelezo bav
@user-cg9df5nt1f
@user-cg9df5nt1f 2 месяца назад
Mungu tusaidie
@mkojeragodsonofficial4664
@mkojeragodsonofficial4664 Год назад
Kaka NAKUPATA vizuri Sana ni kiwa hapa mjini Arusha I love the kind of your gospel❤
@marylauwo
@marylauwo Год назад
Master j alikuwa hakupenda ushinde
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Год назад
Arusha sehemu gani
@ChalitoAssumaneAssumane
@ChalitoAssumaneAssumane 2 месяца назад
Good afternoon master please ayuta mid-day Freemasons please.
@paulinewambui6763
@paulinewambui6763 Год назад
Chunga pia hizi Juice zao
@florenceokullo6049
@florenceokullo6049 Год назад
Nakuamini sana mtumishi wa Mungu ila natamani sana nionge na wewe
@user-ll3zu8lz4y
@user-ll3zu8lz4y 7 месяцев назад
Ndugu haya simahubili mbona yesu hakuhubili maneno kama haya kwani unausiyano na mabo yakishetani juu unayaongelelea sana hubili ijili inayo tuwezesha kukaa imala katika Imani jameni Giza na Nuru zinakujia wapi uta zihubili zote kua na msimamo
@frankdanford8245
@frankdanford8245 Год назад
Elimu kubwa sana hii
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Год назад
Kazi ipo kweli kweli 😂😂
@samyjoseph2732
@samyjoseph2732 Год назад
Te encontro no meio de Moçambique e África do Sul
@AndreaMsemwa
@AndreaMsemwa Месяц назад
Kazana kumuomba Mungu maana dunia ipo mwishoni
@joshuacosmas681
@joshuacosmas681 Год назад
Mungu akubariki na akurinde
@zarizariboss4529
@zarizariboss4529 Год назад
Ok
@jacksonjeizh2n353
@jacksonjeizh2n353 Год назад
Bwana yesu aendelee kukulinda
@MayalaDieseloil
@MayalaDieseloil 3 месяца назад
Aache uongo hawa wanakimbiria kwenye mafanikio ya haraka mwisho wa siku ndo wanakimbiria kwenye midia
@ChalitoAssumaneAssumane
@ChalitoAssumaneAssumane 2 месяца назад
Salve Luz.
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 11 месяцев назад
Nikweli kabisa
@user-ni3lj3je6i
@user-ni3lj3je6i 10 месяцев назад
🙏🙏🙏
@Ntomolapagu255
@Ntomolapagu255 24 дня назад
🎉🎉❤
@user-be8es3bu4i
@user-be8es3bu4i 7 месяцев назад
YESU NO.1
@WittnessShoo
@WittnessShoo 3 месяца назад
God help us
@cobilmaster5221
@cobilmaster5221 Год назад
Tupe connection Sisi tukapige hela jombaaa
@okekemasimba9961
@okekemasimba9961 Год назад
😂😂😂😂😂
@wannaproducts
@wannaproducts 10 месяцев назад
Aitoe wapi hiyo connection tapeli muongo huyu
@abdallahsaidi7729
@abdallahsaidi7729 9 месяцев назад
elezea uliingiaje freemasons unaongelea mambo mengine unatumalizia bando ujinga mtu unaongelea aina aja kuongea ongea sana kaka atuuhitaji stor nyingine acha ushamba wew
@user-qt2mu1cn3t
@user-qt2mu1cn3t 5 месяцев назад
I love free mason💙💙💙💙akuna Alie wai kuwa mwanachama akatoka maana anapata manufaa makubwa sana yaakili naakili nimafanikio nahuwa awajitangazi kama uyu jamaa anatafuta ela za RU-vid
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
@IMANIMWAITEGE-ve8gr 2 месяца назад
Hujui usemalo MUNGU akusamehe VP na wewe umeshindwa Nini kutafuta hela RU-vid
@maryncudo4526
@maryncudo4526 11 месяцев назад
What is Paschal talking about? Will someone translate the entire interview in English, please. Is Paschal, a member of the free mason and a preacher of the Gospel, at the same time, LORD helps us. I have listened to his songs for years now.
@edinamkomwa953
@edinamkomwa953 11 месяцев назад
No he's now a gospel singer.he was a member of the freemason but now he is in Jesus.
@KarenKetura
@KarenKetura 11 месяцев назад
His explaining how dark world is, he was there, first nobody is elected they have conditions, right now he's saved
@user-kn3ll6ju8b
@user-kn3ll6ju8b 11 месяцев назад
He was a member of a freemason but now he is saved by the blood of Jesus, and he sings gospel songs, so he gives the secrets of the freemason (he gives a testimony).
@bujamoviesonline8553
@bujamoviesonline8553 10 месяцев назад
He used to be a member but no longer a member. This is his testimony and now he's a preacher
@MkoiTvTz
@MkoiTvTz 10 месяцев назад
MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.! ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9bXTiw6Qklc.html. MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA. AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE. UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA. WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE. AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU. COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718. KARIBUNI SANA
@veronicahkhaikwa4929
@veronicahkhaikwa4929 Год назад
Weee watanzania hamtaki ukweli njoo Kenya cassian
@Crabtree1844
@Crabtree1844 Год назад
Ukweli gani wa Kenya wataka kushinda waTZ?
@frankjohn8706
@frankjohn8706 10 месяцев назад
Sura ni Cassian mikono ya mzungu
@user-ry9vx8yv7u
@user-ry9vx8yv7u Год назад
mimi nataka nijiunge
@davibphilipo5425
@davibphilipo5425 10 месяцев назад
Naikumbuka sana bss 2009 stagen Michael Jackson wa bongo aliimba mpaka akachana fulana, lakin ulipopanda uliimba ukamficha na ulitunzwa sana pale stagen na ule wimbo wako wa shebeleza ulioukopi ktoka kwa marhem joe mafela, leo Mungu aliemgeza sauli muuaji kuwa paulo mtume amekugeuza na wewe, usrudi hko tena kama unavyoimba sku zote Mungu akushike mkono.
@user-qy1fv6rm7v
@user-qy1fv6rm7v 4 месяца назад
Mimi nataka kujiunga na chama cha freemason
@upgo6112
@upgo6112 Год назад
Aaah ni mwongo bana
@AnnoyedAirboat-vk5ki
@AnnoyedAirboat-vk5ki 5 месяцев назад
😊
@benjaminwafula
@benjaminwafula Год назад
13days ago ndio nimeiona Sasa hv mchungaji kama ulivosema shetani akikuitaji nawe ukampa nafasi hapo panaitaji neema ya kristo iwe nawe bwana atakupigania kama Kuna mtu namfatilia Sana ni wewe mungu yupo nawe
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 7 месяцев назад
NDo maaana msannii ana akili sana😂😂
@GoldvanJackson
@GoldvanJackson 3 месяца назад
Rais samia mwenyewe ni freemasonry kwahyo sisi wenyewe tunajiongoza kama makomando
@iranangole7007
@iranangole7007 Год назад
Nilkuwa na mfananisha kumbe Yey
@PeterMagwea
@PeterMagwea 13 дней назад
tuache kejeli na kumuinjoy mtumish wapendwa hutaki kumsikiliza acha usimalize bando
@roseombay2086
@roseombay2086 Год назад
We ndo ulikuwaga msabato?naikumbuka sana ile BSS
@user-jm4pp6vt9i
@user-jm4pp6vt9i 5 месяцев назад
Naitaji kuwa mwana memba wa frimason
@manethmwiyanja2452
@manethmwiyanja2452 11 месяцев назад
samahani nirekebishe hapo hakuna mwanajeshi kuruta - kuruta ni mwanafunzi anaeanza mafunzo halafu anakuja service man kama ngazi ya jeshi anaanza na private ni mwanajeshi kamili kabisa na mwenye sifa zote za kijeshi ikiwa uvumilivu na zingine.
@AziziMapunda-vt4nv
@AziziMapunda-vt4nv Год назад
Ubalikiwe
Далее
КРАФТИМ НЕМЛЕС ФРАГМЕНТЫ
1:05:04
Просмотров 250 тыс.
MKE WANGU ALINI KIMBIA EV PASCHAL CASSIAN
31:44
Просмотров 37 тыс.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Просмотров 64 тыс.