Тёмный
No video :(

| MAKASISI WABAKAJI | Wasichana wakiri kubakwa na makasisi 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 1,7 млн
50% 1

Maeneo ya kuabudu ni maeneo yanayofaa kuwa takatifu, maeneo ambayo bila wasiwasi wowote utamruhusu mtoto wako kutembelea wakati wowote. Lakini tafakari haya unapokea taarifa kuwa mtoto wako amenajisiwa na pale unapokimbilia maafisa wanaoshughulika na masuala ya watoto badala ya kukusaidia wanakuambia ushahidi haupo na itabidi umrudishe mtoto wako anajisiwe mara ya pili ili kupata ushahidi. Huyu hapa mwanahabari wetu Purity Mwambia na makala ya maalum ya upekuzi 'makasisi wabakaji' #MakasisiWabakaji
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@puritydaudi9752
@puritydaudi9752 5 лет назад
People r hiding behind the name of God but whatever is done in darkness shall be brought in daylight.. You will all pay for this😢😢😢😢
@millicentwanini3903
@millicentwanini3903 4 месяца назад
U4piiiiiiuiiuuiuiuiiiiuiiuiuiiiuiiiuipiuuuuuuuuuuuuiuuuuuputtt5ttu556piiuouuttt000000
@oppsinlyf
@oppsinlyf 5 лет назад
Purity mwambia in reporting has really grown up. Kudos
@juliuswanjohi2744
@juliuswanjohi2744 5 лет назад
Good job Purity. Probably the only proffesional journalist i recognise in Kenya. Majority choosing to follow politicians around glorifying them.
@BestAmazonReviews723
@BestAmazonReviews723 5 лет назад
purity mwambia the professional journalist we all yearn for
@kimberlytv7895
@kimberlytv7895 5 лет назад
People should not take advantage kwa yatima, am very upset with this, coz they know no one to fight for there right
@rashidkalimbo2451
@rashidkalimbo2451 3 года назад
SubhanaAllah...Nahisi kama Huku Nuru ya Mtume Muhammad (S.A.W) haijafika....
@visible7576
@visible7576 3 года назад
Huyo mtume Kwanzaa ndo alikua worse ,alioa mtoto wa miaka 6 akamwingilia akiwa miaka 9 ,come on ati nuru ya mtume ,soma vitabu vyenu .
@romantiquortiflah615
@romantiquortiflah615 3 года назад
please mind your words Mr cz you don't really understand what you are talking about😐😐ubhanaAllah m
@vtrends2
@vtrends2 5 лет назад
This is so painful and unfair!! Where are we heading now??
@faizabaishe5172
@faizabaishe5172 5 лет назад
Alhamdulilah, naomba Rais Uhuru Kenyatta awafunge maisha ndani jela, mungu awahifadhi watoto wote InshAllah heri roho yangu yaniuma Sana analia Sana machozi yanitoka😭😭😭
@jmeliasshanelle4303
@jmeliasshanelle4303 5 лет назад
Kama kenya hakuna sheria hata Uhuru atafanya nini
@oloodavid1785
@oloodavid1785 5 лет назад
Satan. Jolejo na joroho kumbaff Sana, mbona Uhuru anaacha this fools
@muelgit3569
@muelgit3569 4 года назад
Uhuru at a hawezi shugulika
@oyay2821
@oyay2821 4 года назад
Kwani Uhuru ni hakimu
@cytkl
@cytkl 4 года назад
Mlevi huyo na bhangi
@faithmurunga6899
@faithmurunga6899 4 года назад
Just knowing of this today. Citizen you can do an update. Justice only happens when such people are followed up. Thank You for sharing this.
@shiroannembiru5769
@shiroannembiru5769 5 лет назад
God protect our kids out there #966. May just prevail for this innocent souls.
@mateliud26
@mateliud26 3 года назад
You either serve a good who sends child rapists to rape children or you have a god who simply watches and says. ‘’When you are done I’m going to punish you... If i could stop a person from raping a child ,i would .That’s the difference btwn me and your god :tracie Harris.
@denniskasirimo6531
@denniskasirimo6531 3 года назад
@@mateliud26 God gave human beings free will. And evil to God includes fornication, adultery, using his name in vain, lying, basically the ten commandments and more. So if he was to stop evil, we would all be dead. Nobody is good only God. How many times have you lied, used his name in vain or done any other sinful act. Next time you wake up in the morning know that despite your evil deeds, remember God still loves you enough to let you, everybody in the world and I live.
@kennedymorientes8414
@kennedymorientes8414 5 лет назад
where are we heading as a people. a place of comfort ,refuge and prayer turns out to be a den of evil men preying on young kids. its utterly shameful.
@kingsam4851
@kingsam4851 3 года назад
Purity mwambia congratulation on what you are doing ur the best en keep it up I truly love your job en don't stop
@VIKIBRANDSKE
@VIKIBRANDSKE 4 года назад
there have always been suspicion on the activities that these kids do in this church during the night in the absence of their parents ..this is just one of the few cases that came out.
@morgan_biggy9614
@morgan_biggy9614 5 лет назад
Painful and shameful... Nowadays never trust anyone.. Never 😭
@elizabethliza2364
@elizabethliza2364 5 лет назад
Nowadays trust Only GOD
@sweetmumwake9729
@sweetmumwake9729 5 лет назад
Only God we can trust plzz my dear friends
@sofiaabdi5786
@sofiaabdi5786 5 лет назад
We
@sweetmumwake9729
@sweetmumwake9729 5 лет назад
@green acre Amen AMEEN In God we trust
@faizaesry8757
@faizaesry8757 4 года назад
. ,
@nahime9907
@nahime9907 5 лет назад
Wat goes around comes around...kila mtenda wamwenziwe nawake atatendewa..mungu halali.
@sylviajeffa5534
@sylviajeffa5534 3 месяца назад
How does one get the audacity to touch such innocent kids while Kuna watu hata wako biashara kujiuza...tena wanaapa in Jesus name really.Good job Purity
@Sharlen_
@Sharlen_ 2 года назад
I truly hope justice was served. An evil society we live in!
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
GOOD JOB MTANGAZAJI NA CITTIZEN KWA UJUAMLA
@ruthbrianna7779
@ruthbrianna7779 Год назад
Why does justice take too long to be done to such cases 😪 😫 😒, it's really hurting
@sweetmama6885
@sweetmama6885 5 лет назад
Washenzi wakubwa hao wanaume. Alafu wanajifanya Mungu, Mungu. Kamata wote funga maisha. Mashetani wa kubwa.
@esthernzilani7013
@esthernzilani7013 17 дней назад
Journalist is doing a good job in kenya❤❤kudos
@Ladypeace12312
@Ladypeace12312 5 лет назад
Two places to avoid in a 2019 and beyond. Church and prison
@moseskayan3705
@moseskayan3705 5 лет назад
God bless you purity yuo are doing a good job
@willywilson3442
@willywilson3442 5 лет назад
You can cheat human beings but you cant cheat tha ALMIGHTY.... Ata ukiapa mungu anajua chenye ulitenda
@ruthnatasha797
@ruthnatasha797 4 года назад
Mungu mwambie asisimame mbele ya madhabau yako
@paolinandai6768
@paolinandai6768 3 года назад
Am out of words, people swear in God's Name .They don't even fear God, His Name and the power in God's Name
@kelvinonyango1897
@kelvinonyango1897 5 лет назад
Purity you are doing a good job God bless you
@abdulwadud9778
@abdulwadud9778 5 лет назад
Linus kaikai comes into this ....when he raised the question on vetting for pastors ...some of them came out threateaning him that he should concentrate on his work and leave things that dont concern him...its high time we start vetting them and get educated people
@agnesmutai8410
@agnesmutai8410 Год назад
Thank you our media houses for bringing this to live God bless you.
@fraciahnjeri8650
@fraciahnjeri8650 5 лет назад
Ati mtoto abakwe tena😭😭😭who gives such an advice
@kajembekimata6782
@kajembekimata6782 4 года назад
U
@newmissaida1000
@newmissaida1000 4 года назад
Kenyan police
@marymunene4235
@marymunene4235 4 года назад
Gai pepo cristin
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 21 день назад
Uyo mama anakichaa si apeleke mutoto yake jameni sio powa
@gekaraeric9209
@gekaraeric9209 5 лет назад
Nanyonga pastor wallahi....kesi baadae. Nimekasirika sana.
@labumua8656
@labumua8656 4 года назад
Wallai hata mm siwesi spear
@josienagel1693
@josienagel1693 3 года назад
Good job purity you're blessed
@paulkaula6695
@paulkaula6695 4 месяца назад
That senior officer just disappointed the government 😢
@janetlupamo8354
@janetlupamo8354 5 лет назад
We pray justice to prevail, Christine is very rude achukuliwe atua pia.
@faithligaka7619
@faithligaka7619 5 лет назад
Janet lupamo watoto wa siku hizi ni digital sio kama kitambo, Fanya umalize shughuli yako kwake bora usimmalize, Latter utatambulika atakusema
@max_mwangi
@max_mwangi 5 лет назад
@@faithligaka7619 , Christine ni huyo Children Officer huyo ameambia mtoto arudi abakwe tena ndio apate evidence
@richardochola6382
@richardochola6382 5 лет назад
Maybe I'm understanding Christine from a different side of the coin... You'll end up taking this Kasisi to court of law with no evidence...
@maxmumcyber9308
@maxmumcyber9308 4 года назад
janet
@alice8005
@alice8005 5 лет назад
That woman needs to be locked up forever.
@sumeiya64ali34
@sumeiya64ali34 3 года назад
Yes
@bettyabilla4922
@bettyabilla4922 Год назад
She makes me feel ashamed for being a woman, I hope she doesn’t have a daughter, sister,mother ,niece , aunt or any female relativ. Haki she is a devil very heartless may karma catch up with her someday
@jamoh9
@jamoh9 2 года назад
God Show us The right ways🙏
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 Год назад
Subhanaallah ewemwezi mungu tusitili ana haya yanatokea duniani jamani 💔💔 Makanisa yamekuwa ndio haya aminiki kabisa tena naukimuona mtu anaapa kwa jina la mwenyezi mungu kila MARA ni mtu mbaya sana kumshirikisha mwenyezi mungu kwenye upumbavu wanaofanya
@Kekee9595
@Kekee9595 Год назад
God bless you for helping those girls. GOD please have mercy
@maggiealf4474
@maggiealf4474 5 лет назад
God have mercy on our children
@leahwanjiku3566
@leahwanjiku3566 Год назад
Amen only God can protect them
@euphemiaoyori606
@euphemiaoyori606 5 лет назад
Hello God u still there the same place do something to our kids fight for them let justice prevail please Lord why
@noblechild5652
@noblechild5652 3 года назад
SubhanAllah 😭 Kenya yetu yaelekea wapiiii 😭😭
@OmarAbdulAzeez4714
@OmarAbdulAzeez4714 4 года назад
Officer Ruto..ur good man representing the law before workin in dandora..keep up the good work
@shiphrahblessing284
@shiphrahblessing284 5 лет назад
Lord God protect our kids
@teendungu6296
@teendungu6296 5 лет назад
Amen
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 4 года назад
Faithless clergy , Lord have mercy on us
@charitywambo4156
@charitywambo4156 Год назад
These are the days which Jesus said "That the days will come when people will stop going to Jerusalem to seek God but they will worship in the spirit and Truth , People of God be wise.
@godifreypaul9409
@godifreypaul9409 4 года назад
Sifa za kanisa LA uongo ni uzinzi na uuaji.Ukiona kanisa lenye kashifa ya uzinzi kimbia ufe maana Mungu hakai na watu hao.Alivyo baba ndivyo alivyo na mwanae.Utasikia MTU anasema dini ya wazazi wake.Sanamu kibao kanisani na nyumbani,mtaachwa kubakwa.Njooni kwa Yesu acheni ushamba.
@sumeiya64ali34
@sumeiya64ali34 3 года назад
It's sad & shameful 🙆 they need to be locked up forever
@carolinanjerimaina3227
@carolinanjerimaina3227 5 лет назад
Trust no-one but love everyone
@paulkaula6695
@paulkaula6695 4 месяца назад
May God rescue this generation 😢
@carolinekimani5039
@carolinekimani5039 5 лет назад
May God intervene and protect our children
@wojaffochicago6591
@wojaffochicago6591 2 года назад
No, you intervene. It starts with you
@hellennjoki84
@hellennjoki84 5 лет назад
that why I say no pastor shall lay hands on my children ati ni kubariki ata sambaza this evil powers to them
@joycempaze9245
@joycempaze9245 4 года назад
Mbonaa yule Mama hajashikwa?aliyesema mtoto akabbakwe Tena ili ushahid upatikane hao ndio wanaofuga unyama huu kama Tz hata huyo Mama ana kesi yakujibu
@annwambua1882
@annwambua1882 5 лет назад
Trust no one with your child.
@KellyJohnson-qz3ys
@KellyJohnson-qz3ys Месяц назад
Purity big up for this good work....God portent you whit everything ... your doing bat people like this they don't have to live in this world they have to feel the pin they make the baby go through 😢
@sharleenkate3044
@sharleenkate3044 5 лет назад
Nice work purity kudos 👏.....this are the people who need to be senteced death or life prison
@likunda1967
@likunda1967 5 лет назад
God bless you purity and citizen TV
@maggiewambui1112
@maggiewambui1112 5 лет назад
May God bless you purity.
@obirinaom6568
@obirinaom6568 5 лет назад
There is a living God in heaven. He'll judge this, eti aende church mara ya pili tena abakwe.This is the Kenya we are living in so saaaaaaaad what if it is ur child?
@stephenmugorucha8291
@stephenmugorucha8291 4 года назад
These things are happening in many churches and unfortunately the parents who are worshipping in the same churches are encouraging it because of money the children are given. If the act becomes public and police are informed, they are given money so protects the Church readers and so the the problem continues.
@Lemonthegacha
@Lemonthegacha 2 года назад
PPb dr
@RitzeeTheExplorer
@RitzeeTheExplorer 5 лет назад
Mungu shuka wewe mwenyewe, usitumane
@elizabethsamwel9903
@elizabethsamwel9903 5 лет назад
😂😂😂 Martin mola ayabwna
@omarionshev798
@omarionshev798 4 года назад
You must be so foolish my friend shme on you! 🙊
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 4 года назад
Ni jambo la kuhuzunisha. Lakini umenichekesha. Mungu haleti mtume (aliyetumwa) mbaya. Suali la kujiuliza ni - je hawa watume wengine ni wa kweli?!
@omarionshev798
@omarionshev798 4 года назад
@@Ali-nl2du kama nani
@amirmohamedali7922
@amirmohamedali7922 4 года назад
AstaqfiruAllah
@cindymbuthia6073
@cindymbuthia6073 5 лет назад
So painful running away to a hyena in the name of kasisi.....😪😪
@extrovertbernice6425
@extrovertbernice6425 5 лет назад
My goodness this are things that makes my blood boil.
@OmarAbdulAzeez4714
@OmarAbdulAzeez4714 4 года назад
Our court system is very poor needs alot of effectiveness and independence
@johnwachi1605
@johnwachi1605 3 года назад
My God I can't hold my tears 😭😭
@kellykord1070
@kellykord1070 5 лет назад
Mighty God please Lord protect our children always so sad
@ruthnatasha797
@ruthnatasha797 4 года назад
Pray for that person
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 4 года назад
See Mungu tusamehe! Wajalie watumishi wako wakujue kweli kweli na waache tabia mbaya ya kishetani ya kunajisi watoto! Wape uwezo na maarifa viongozi na mamlaka za kisheria kutenda haki Bila kupindisha.
@petromlowe9079
@petromlowe9079 4 года назад
pole sana mama pamoja na binti yako.matendo haya yamekidhili sana katika kanisa hilo.Mungu atusaidie sana.hawa wanauo fanya hayo selikali ishike mkondo wako
@ericmugambi29
@ericmugambi29 5 лет назад
Purity mwambia i lyk the u do your coverage
@groupmachachari2034
@groupmachachari2034 5 лет назад
Salalahhhh. Masaibu ya wakiristo
@antonykawawah5951
@antonykawawah5951 5 месяцев назад
So sad that Purity Mwambia was hunted like a criminal by the criminals she exposed until she had to flee the country to the USA where life is so hard! May God Almighty protect and provide for her
@elizabethmukaria2509
@elizabethmukaria2509 5 лет назад
Hii dunia inaelekea wapi jameni. 😭😭😭😭😭😭😭😭
@liennakull6202
@liennakull6202 5 лет назад
Kudos purity ...great work
@lucyhussein7126
@lucyhussein7126 3 года назад
Inauma Ila nimecheka et nimempeleka kwachui akuliwe huko haha
@mimsbaibemimskim9556
@mimsbaibemimskim9556 5 лет назад
God have mercy n protect our young generation so sad we pray justice for this angles so siku izi mbwa mwitu wanakula watoto
@victorkimani3735
@victorkimani3735 5 лет назад
Mtoto amezaliwa,ako na five yrs,DNA (mara mbili)ni wazi kuwa mtoto ni wa 'kasisi' na bado hajafungwa.Yesu kumbuka hawa watoto uwatete kwa haki na ukweli.
@sylviaecke1772
@sylviaecke1772 5 лет назад
Yani mtoto aendlee kunajisiwa,unakula na huyo pastor nini,unataji fimbo haki
@mercysambi1317
@mercysambi1317 5 лет назад
Well don mwambia nikiwa hapa kwenu laare
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 4 года назад
Mahali popote mungu yupo ukimuomba anakusikia heri niombe kwanyumba yangu nafamilia yangu
@jaymoo29
@jaymoo29 2 года назад
Purity Big up Dadangu Mungu akulinde akupe maisha marefu
@tafutatufanane9202
@tafutatufanane9202 5 лет назад
God have mercy 😥😥😥Ooh God My heart is bleeding
@freddywizzyTz255
@freddywizzyTz255 4 года назад
😭😭🙏🙏
@bongasasa3895
@bongasasa3895 5 лет назад
These fools are the ones deserve mob justice leave kuku thieves alone and zika these fools wajue watoto wetu are no go area!
@paulinasemindu1292
@paulinasemindu1292 4 года назад
dah ww mtqngazaj hua nakukubali sana tena sana good job my😘
@jmeliasshanelle4303
@jmeliasshanelle4303 5 лет назад
Mwenyezi Mungu anatwambia tokeni huko kwao maana thambi zao zimekuwa nyingi mpaka zimefika mbinguni. Tokeni msije mkapunishiwa na wao. Mnaenda kufanya nini huko wanafanya upuzi na zile pesa mnazo wapatia za sadaka mkijiacha bila kitu. Ombeeni manyumbani kwenu. Watu wametoka ka hilo kanisa lakini nyinyi Afrika hamtaki kuamka.
@niasworld27
@niasworld27 5 лет назад
This is utterly in despecable
@florencewilson4821
@florencewilson4821 5 лет назад
This center should be closed with immediate effect. The operators are not professional at all.
@johnnyagandwiga2779
@johnnyagandwiga2779 4 года назад
If DNA was done and proved the baby is for the pastor what's the judge waiting for to rule out the case. Qatar
@user-vp7ud9hv1l
@user-vp7ud9hv1l 5 месяцев назад
I hope that Evil Christine isnt working at the institution, good job purity
@alexsavatia5584
@alexsavatia5584 Год назад
God have mercy too painful
@wanzueni
@wanzueni 5 лет назад
sickening,kwa nini wazazi wanawapeleka watoto katika ulevi huu wa dini,nchi imeharibika,desperate souls
@labumua8656
@labumua8656 4 года назад
Nowdaiz zio kama kitambo nakumbuka tulikua twakesha kanisani na hamna kitu itahappen.. Watu walilaniwa haki
@daimavlog
@daimavlog 5 лет назад
😭😭 mtoto arudishwe kufanyiwa unyama dah! Kuwa mtoto yatima ni shida jamani. Hawa wanaume wananini jamani. Wazazi tuongeeni na wanetu maana wanawatisha watoto wasiseme ukweli.
@omarionshev798
@omarionshev798 4 года назад
Ooh my Lord,! 14:51-15:10 sikieni hayo nonsense jameni uongo mtupu! Wataishia motoni hawa watu wakuenda makanisa! Mrudi kwa mungu before it gets too late
@charleskamau645
@charleskamau645 4 года назад
Haya Mambo ya ubakaji huwezi kuyaona katika kanisa la Mungu yaani Church of God. Utayaona tu kwa watu wa dini maana yake wanaogopa watu badala ya kuogopa Mungu.
@Irandabale
@Irandabale 5 лет назад
Binadamu tumekuwa wabaya kuliko wanyama wa mwitu! Wazazi, tuwache kuamini Hawa makasisi. Watoto walio dhulumiwa, poleni Sana.,ni sisi Wazazi tuliofeli kabisa
@joashkeya4812
@joashkeya4812 5 лет назад
wee ile siku utakutana na crocodile ukiwa kwa boat ndo utaproof kenye unasema....anyway, binadamu wanaendelea kuharibika zaidi....so sad
@washingtonlondon9634
@washingtonlondon9634 5 лет назад
Am sorry Kenyans 😢😢😢.
@chiweramercy3498
@chiweramercy3498 Год назад
Oh 😳😳 God protect our children from those evil people
@mohameeddoaan2296
@mohameeddoaan2296 3 года назад
Purity mwambia nakupenda dadaangu
@collodejesus9901
@collodejesus9901 5 лет назад
Legion maria is not a church but a cult, calling those guys kasisi is wrong!
@sharonmwende7956
@sharonmwende7956 5 лет назад
I second You collo
@richardochola6382
@richardochola6382 5 лет назад
But Collins what's the difference between kasisi and ocults
@rowaka9188
@rowaka9188 5 лет назад
I second you
@faizhussein6635
@faizhussein6635 5 лет назад
Not only Legio Maria but all churches.Look at what is going on in Catholic Church
@richardochola6382
@richardochola6382 5 лет назад
@FaizHussein I think it's not only the church as PA say but all these immoral values cuts across all religious groupings... Remember we're putting our trust in men too much.
@idimbarak9455
@idimbarak9455 5 лет назад
Hii tabia hadi lini itakuwa kenya Mara kuku Mara wakasisi hii ni mapepo
@daprince7545
@daprince7545 5 лет назад
Inauma sana mwanaume na nguvu zako waenda lazimisha mtoto mdogo kufanya kitendo Cha mapenzi . Halafu nyinyi wazazi kwanini hamchunguzi Hawa wanaojiita watumishi wa mungu. Mahali alitoka na familia yake iko wapi. Image yeye nimtumishi na hajulikani hata familia yake ndugu ama dadake. Halafu anakua kiongozi wa kanisa . Unakuta wamama wanamuamini mtumishi huyo mpaka wanampea watoto wao ili wafundishwe dini .
@sharinv8864
@sharinv8864 3 года назад
Ooh mungu wangu ingilia kati baba wanapo sema eti hata mbele ya mungu sijafanya wapige upofu mungu wangu maana wachungaji wanalichezea jina lako.
@terryvlog9695
@terryvlog9695 5 лет назад
Hii ni painful Sana 😭😭😭
@maureenjannephar3507
@maureenjannephar3507 5 лет назад
Death penalty should be introduced in Kenya for people like this, mashetani
@marymary1059
@marymary1059 5 лет назад
Maureen Jannephar True kabsaa wanyogwe wapate adabu
@legitboss404
@legitboss404 5 лет назад
They Ned to be castrated
@joansafo7831
@joansafo7831 2 года назад
Hakuna haja ya polisi ama court let mob justice deal with him .
@freespirit7483
@freespirit7483 2 года назад
Exactly
@fundijames3200
@fundijames3200 Год назад
Bad people are all over. Parents must take care of children no matter what. Don't ever let young girls spend nights and sleep elsewhere occasionnary.
@lenceromondi6834
@lenceromondi6834 5 лет назад
wanabi wasiku izi munatushangaza sana munachafulia mungu wetu jina Ana munabudu miungu god save us
@ramenyaramenya6223
@ramenyaramenya6223 5 лет назад
Christine inafaa ashtakiwe mara moja .
Далее